WAISALAMU PEMBA WAPELEKA UJUMBE KWA DUNIA.

  Рет қаралды 27,224

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Күн бұрын

Пікірлер: 142
@tumamohammed6019
@tumamohammed6019 Жыл бұрын
MashaAllah Mola awabarik machozi yamenitoka kwa furaha na pia Mola akubariki raisi Mwinyi umeeka tarehe isiosahaulika mpaka kuondoka kwako tutakukumbuka Mola akubarik na nyote mlohudhuria na sisi ingawa tuko mbali tunashuhudia Alhamdulillah
@salwamohammed4787
@salwamohammed4787 Жыл бұрын
Naipenda din yangu ya kiislamu❤❤❤❤❤
@aseelaisaa428
@aseelaisaa428 Жыл бұрын
Pemba hongereni ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ na dr hussein mwinyi ❤❤ Allah atakujaza na kukupa agya zaid na imani na busara ❤.
@mrsjj8804
@mrsjj8804 Жыл бұрын
Wallah nimefurah kumuona mtu ambae na skia tu sauti yake ktk maelezo baada ya Habari raha Sana kwa kweli I'm proud to be muslim love you all
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Hongera sana Kwa hatua hii Ila nitoe angalizo kuwa Uislam ni zaidi ya kusherehekea mwaka!!
@rasadsaid1818
@rasadsaid1818 Жыл бұрын
Kazi nzuri Sheikh Rashid!! ALLAH akubaarik
@ramlazubery1682
@ramlazubery1682 Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah. ALLAH KARIM ATUJALIE ifike na nchi nyingine. INSHAALLAH
@shuwekhaalsheiban9366
@shuwekhaalsheiban9366 Жыл бұрын
Mashaallah Allah ajaalie aendelee kila utakapofika mwaka mpya wa kiislam, hiii ni neema adhimu sana kwa waislam, Alhamdulillah.
@waheedaw1953
@waheedaw1953 Жыл бұрын
MashaAllah tabaraka Rahman iyo ADHIM sana kwa kizazi cha mbele
@artisthusnatalal3099
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
*Very BEAUTIFUL!* ❤😊
@nuhubamanya3346
@nuhubamanya3346 Жыл бұрын
Maa Sha Allah Rais Mwinyi Allah S.W akuzidishie hekma
@saidalreyami6748
@saidalreyami6748 Жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الرحمن الله يبارك فيكم جميعا
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 Жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu mhe. Rais wetu Dr Hussein Ally Mwinyi.
@ngenzitigana5344
@ngenzitigana5344 Жыл бұрын
Kazi nzuri sn Ilove you islam ❤❤❤❤❤❤❤
@misbahukhalifa3216
@misbahukhalifa3216 Жыл бұрын
ما شاء الله تبارك الله بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا. اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم تسليما. MashaAllah Mungu awabariki jambo zuri sana
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 Жыл бұрын
MASHA ALLAH wazanzibar mshukuruni sana ALLAH kwaneema hiyo ktk nchi yenu sisitunatamani Tanzania bara lkn ndiohaiwezekani
@chimilasaid447
@chimilasaid447 Жыл бұрын
mashallah pemba mume songa mbele kidni ustadhi walai Ntka machozi kenya kwale akuna vitu kama hivi aki n nthamani nasi pyi kenya tuwe n sku Malum y kusherkea mwezi w kwanza w kislamu njua itakuwa vigumu mno lakin kwa yye mwenyew jabri atalwzsha inshaallah wbilah taufq❤
@ShamsaHassan-q5c
@ShamsaHassan-q5c Жыл бұрын
Mashallah Allah azidi kutuunganisha nakutushikamanisha waislam,,Hadi Raha WALLAHY
@MasnamussaPp
@MasnamussaPp Жыл бұрын
Masha Allah tabarqa llah kwa kufurahia mwaka wa kiislam Allah aujalie uwe na khery nyingi,mwaka huu wa 1445hijria
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 Жыл бұрын
Allah ajae iwe yenye kuendeea love u all Muslims
@lilyali319
@lilyali319 Жыл бұрын
Mashallah. Allah ampe umri tawili Rais wetu.
@Safreenfeen
@Safreenfeen Жыл бұрын
Aaaamin…..Allah azidi kumuonesha njia na amkinge na kila hasada baya aone baya na Aliache
@ShuwekhaAbdullah-ez2un
@ShuwekhaAbdullah-ez2un Жыл бұрын
Mashallah Mashallah Allah atupe upendo zaid
@AlimohammedAli-i2x
@AlimohammedAli-i2x Жыл бұрын
Mashallah Mola awalinde ktk imani
@taliatakhalifa8303
@taliatakhalifa8303 Жыл бұрын
Mashaallah kullu aam waantum bikhair
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 Жыл бұрын
ماشاء الله تبارك الرحمن جميل جداً
@faizanassor6336
@faizanassor6336 Жыл бұрын
ALLAH AKBAR MASHA ALLAH
@safiamohamed635
@safiamohamed635 Жыл бұрын
Mashallah tabarakk Allah Allah ajaalie iwe daima asante mungu
@rashaadislamicgroup4213
@rashaadislamicgroup4213 Жыл бұрын
بارك الله فيكم
@swah555suhayl8
@swah555suhayl8 Жыл бұрын
MashaAllah jazakallahu Khair
@hamadmohamed3056
@hamadmohamed3056 Жыл бұрын
سنة جديدة سعيدة لكل مسلمين ❤
@artisthusnatalal3099
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
👍
@Debabaz1673
@Debabaz1673 Жыл бұрын
Mashallah ❤❤
@zuhura.suleimanmwamwari3083
@zuhura.suleimanmwamwari3083 Жыл бұрын
Asante sheikh wetu kutuwakilisha huko uliko
@abuufarha6562
@abuufarha6562 Жыл бұрын
Bida'a mpya hio poleni sana
@huss668
@huss668 Жыл бұрын
Ma Shaa Allah ❤❤❤
@abdullahmanalex2306
@abdullahmanalex2306 Жыл бұрын
Mashaallah
@sinangoarashid504
@sinangoarashid504 Жыл бұрын
Mashaallah 😍
@saadaalhabsi2517
@saadaalhabsi2517 Жыл бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمن ❤❤❤❤❤❤❤❤
@KhubeybJandaal-uz4oo
@KhubeybJandaal-uz4oo Жыл бұрын
Upuuz wenu,waislam haurusi,mambo ya kikafir ole wenu
@asiyasule5513
@asiyasule5513 Жыл бұрын
Ma sha Allah Hongere znz
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Maa shaa Allah
@nassorahmed7956
@nassorahmed7956 Жыл бұрын
Alhamdulilah kwakuwa muislam wakuzaliwa
@RukiaAbdalla-v1c
@RukiaAbdalla-v1c Жыл бұрын
Allah aqbar
@HassanAli-eq8ko
@HassanAli-eq8ko Жыл бұрын
Mashaallah jazakumllah kheri
@asharamadhan710
@asharamadhan710 Жыл бұрын
Mashaallah 😘😘
@noot-oe2mw
@noot-oe2mw Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@asmahchongoe1117
@asmahchongoe1117 Жыл бұрын
Masha allah alhamdulillah
@aseelaisaa428
@aseelaisaa428 Жыл бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 Жыл бұрын
Mashaallah .كل عام وانتم ب خير.
@nimmy2675
@nimmy2675 Жыл бұрын
Maashallah
@ahmadseif7241
@ahmadseif7241 Жыл бұрын
ماشاءاللہ
@khairatally-k8e
@khairatally-k8e Жыл бұрын
Mashaallah ❤
@zahorsalum4976
@zahorsalum4976 Жыл бұрын
Allah atuzidishie kher waislam wt
@hebamuhammad7278
@hebamuhammad7278 Жыл бұрын
Na mm dini yangu ya wisilam na ipenda sana
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@DR.SAIFILLAH.5363
@DR.SAIFILLAH.5363 Жыл бұрын
MAA SHAA ALLAH
@izdihaarsleyum3643
@izdihaarsleyum3643 Жыл бұрын
Maa shaa Allah tabaarakallah
@MwanajumaAbdi-ku6bp
@MwanajumaAbdi-ku6bp Жыл бұрын
Masha allah jazaka allahu kheir
@saidjuma25
@saidjuma25 Жыл бұрын
Masha allah
@issabakar8470
@issabakar8470 Жыл бұрын
Nafurahi kuzaliwa pemba
@ramsonramadhan4156
@ramsonramadhan4156 Жыл бұрын
❤MashaAllah
@fatmaalyahyai1700
@fatmaalyahyai1700 Жыл бұрын
MaashaaAlla mungu aibarik amiin kwa mwaka wakkiislam
@MamaZuu-x9v
@MamaZuu-x9v Жыл бұрын
Masha Allah rahaaa❤
@izzat-g3u
@izzat-g3u Жыл бұрын
mashaAllah
@bakarirutengwe3036
@bakarirutengwe3036 Жыл бұрын
MASHALLAH ❤️ ❤️❤️
@yusufuurungu-ht1sk
@yusufuurungu-ht1sk Жыл бұрын
M/MUNGU Atuzidishie kheir
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Жыл бұрын
Mashalla Allah ❤❤❤❤
@kazoletv9991
@kazoletv9991 Жыл бұрын
Mungu atuwafikishe
@ahmadseif7241
@ahmadseif7241 Жыл бұрын
Maasha allah
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 Жыл бұрын
Mashallah 😁😁
@salminijuma7746
@salminijuma7746 Жыл бұрын
Mashaa allah
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Жыл бұрын
🥰🥰🥰
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Mwaka mpya basi ubadilishe hali yetu mbaya ya kiuchumi tuliyonayo uwe mwaka pia muendelezo wa mabadiliko wa sisi tunaoufurahia kwa maandamano, uongozi basi utuhurumie kutusaidia sera itakayotuwezesha neema kiuchumi Tuletewe DP WORLD ambayo wenzetu wanaikataaa
@ayoubharoub5807
@ayoubharoub5807 Жыл бұрын
ماسة الله يسلمك يا رب العالمين
@mohamedimohamedi58
@mohamedimohamedi58 Жыл бұрын
❤❤❤😢
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Hebu acheni uzishi kwenye din
@aliomari5254
@aliomari5254 Жыл бұрын
Vizur ila hawachelewi kusema bidaa zile kanzu fupi
@dengemuhidinimuhidini3230
@dengemuhidinimuhidini3230 Жыл бұрын
Kwa kweli Sina la zaidi kwa raisi mpendwa WA Zanzibar , huyu ndiye raisi was pekee anaepa had hi yake , Amakweli mwinyi neema tumtunze na yéyé atutunze Allah Akbar
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Wacha kutuletea siasa ccm wewe nakujuwa km mavi kafanya nn cha mana angeliwafata wanyonge mitaan akawapa chakula na madawa kashindwa misikitin ataweza mitaan
@mohamedmrisho4403
@mohamedmrisho4403 Жыл бұрын
Tusibeze mambo si kila lililozushwa kwamba halifai. Hiyo tareikh ya Kiislamu pia haikuwepo Wakati wa Mtume ameianzisha Sayyidna Omar bin Khatwab . Tukisema kila linalofanywa hata kama la kheri ni uzushi tunaweza tukafika mbali tukawaita mpaka Makhalifa wazushi maana kila khalifa anayo aloyaanzisha ambayo hayakuepo, (kusali kwa Jamaa) Tarawekhe misikitini na mengineyo. Allah atuongoze katika hakki.Amin.
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Amyn yarabiaalamyn. Waislam waliyosoma ndiyo wanapotoshawatu kwanihatamwakampya aturuhusiwikusheleekea je hawa wanaukalibisha. Masufi mtuhami Alllah atuongoze
@alijumes3580
@alijumes3580 9 ай бұрын
Co dini
@salma0000
@salma0000 Жыл бұрын
Anaekereka na aende akajinyonge basi
@Ujumbewadini
@Ujumbewadini Жыл бұрын
Hatupingi alolifanya ni jema ama yeye kwa wema hanao ,, Hakuna kiongozi anaekaa madarqkani kwa dhula na kwa wizi na kuto kupata ridhaa za raia wake ikisha akawa mwema.. Hamuwezi tu kusema kwamba alofanya ni jema ama yeye wema hanao.
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 Жыл бұрын
Wewe. Mwenyewe una uhakika msafi?
@Ujumbewadini
@Ujumbewadini Жыл бұрын
@abdallahselemani6423 Hakuna mwenye uhakika ila kuna makosa ya mja kwa mola wake na akiomba msamaha Allah anasamehe...ila kuna makosa ya dhula ya waja na kubwa zaidi ni kumwaka damu ya Muislamu Ana sema Allah katika hadithi al-qudusiy (hakika mimi nimeiharamisha dhula juu ya nafsi yangu basi musidhulumiane) na akasema kwenye Qur-aan tukufu (32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.) Na mtume swalla llahu alayhi wasallam anasema katika hadithi ya Abii Hurayrah «من أعان على قتل مؤمن بشطر كلمة؛ لقي الله عز وجل مكتوب بين عينيه: آيس من رحمة الله» (MWENYE KUSAIDIA KATIKA KUWAGIGA DAMU YA MUISLAMU JAPO KWA NUSU YA NENO TU; BASI ATAKUTANA NA ALLAH HALI AMEANDIKWA BAINA YA MACHO YAKE : AMEKATA TAMAA NA REHEMA YA ALLA) Sasa nambie uongozi aloupata ameuoataje na je ameomba radhi lini kwa raia wake juu ya uovo olowafanyia na jee kuna dalili zozote za kujutia na kuto kufanya tena hili? Au anajipanga kwa 2025 kuja yafanya tena haya haya. Na dalili zaonesha wazi kuwa bado hajajutia juu ya damu za waislamu zilizo mwagika kwa sababu yake bado amemchaguwa tena yule yule alikuwa sababu ya maumivu ya wazanzibari kuwa tena mwenye kiti wa tume ya uchaguzi lengo lake ni lipi? Kwa hiyo msafi kwa asilimia %100 hayupo ila kuna mambo mwanadamu akiyafanya lazima alaumiwe na kuuwa ni katika madhambi makubwa amabyo kama hakutubia kwa Allah na kuwataka radhi walio poteza familia zao kwa sababu yake yeye na walokuwa vilema basi jambo hilo lina wajibisha Moto. Kwa hiyo Hajawa mwema kwa kuidhinisha sherehe za mwaka mpya wa kiislamu wakati Uislamu kwenye moyo wake unamatatizo.
@khalfanshahabakar7439
@khalfanshahabakar7439 Жыл бұрын
Kwa kweli Rais wetu anafanya mambo mazuri kila uchao.kwa ķila nyanja Mungu ampe kila la kheri.Amin
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
kalisha watu au kafanya nn kuna nn kipya hapo cha ajabu ngamia au faras wacha uccm
@nailamohd7693
@nailamohd7693 Жыл бұрын
Shukran ❤
@joojombi2341
@joojombi2341 Жыл бұрын
Akhui hiyo heading mbna yashtusha kwakweli
@salwamohammed4787
@salwamohammed4787 Жыл бұрын
Mkono kwa mkono Hadi peponi
@wahdabintabilha3643
@wahdabintabilha3643 Жыл бұрын
Kichwa cha habari ingependeza kama mungeandika Zanzibar. Kwenye maelezo ndio mungefafanua kama maadhimisho hayo ya Kitaifa yamefanyika kisiwani Pemba.
@noffalsalim
@noffalsalim Жыл бұрын
Zanzibar si unguja tu Pemba ni pemba tu ,maaa izo ndo kauli zao .
@wahdabintabilha3643
@wahdabintabilha3643 Жыл бұрын
Wewe usiwe mpumbavu kama wao. Zanzibar ni Unguja na Pemba.
@noffalsalim
@noffalsalim Жыл бұрын
@@wahdabintabilha3643 jidanganye tu
@mohamedali-ur6ri
@mohamedali-ur6ri Жыл бұрын
Wazanzibar wenyewe tushaelewa ; akili yako Unguja ndio Zanzibar wakati Zanzibar ni Unguja na Pemba ....
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Sasa hapo Pemba etii aseme zanzibar vipi na hapo pemba na kasema wananchi Wa pemba
@aliali-gw5pq
@aliali-gw5pq Жыл бұрын
BIDAA MPYA UZUSHI KATIKA DINI YA ALLAH KAMA KHERI WANGEANZISHA KUADHIMISHA WEMA/MASAHABA NA WALIOTANGULIA
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Watu wanafata mkumbo maulidi yalianza taratibu mpaka imefikia pahali wanakata mauno subiri utakuja kuona mengi hapo
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Kweli dini ina mambo mumezusha maulid na leo mwazusha jengine huu uzushi umeanza mwaka huuu daaa allah waongoze masufi kwwnye haki
@alhudhaify7810
@alhudhaify7810 Жыл бұрын
Hujielewi
@issanassor6795
@issanassor6795 Жыл бұрын
Msng
@hasbaallamaa749
@hasbaallamaa749 Жыл бұрын
Na ww akuongoze usiwe mtu wa kuleta farka katika Uislam na usiwe mtu wa kutumia na mayahudi waliokwisha laaniwa na Bwana Mlezi
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Haikuwa dini wakati wa mtume yupo jee Leo iwe dini musitudanganye sisi sio watoto wadogo bna
@Muhammad-el9iz
@Muhammad-el9iz Жыл бұрын
Unakusudia Nn kusema hvo?
@salma0000
@salma0000 Жыл бұрын
Lazima uinue kidole chako tukuone, kajinyonge basi kama umeumia😏
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Wazushi wamejaa zamahizi mtihanj
@Muhammad-el9iz
@Muhammad-el9iz Жыл бұрын
Kwani umesahau kuwa dini hii ilkuwa na nguvu hlaf ikakosa nguvu baadae itarudi Tena kuwa na nguvu ndyo maandko ynavyosema. Ssa uslete Manno kma hyo" haikuwa dini wkti wa mtume yupo jee Leo iwe dini " Yan mm kma sjkuelewa hasa nini kimekukasrisha hpo!? Wacha siasa kwenye dini niushauri tu.
@kichachu6391
@kichachu6391 Жыл бұрын
Inasikitisha kujivunia kuwa ni watu wa mwazo walioanzia uzushi wa kudhimisha siku ya mwaka mpya wa kisilamu kwani mtume عليه الصلاة والسلام ameshautuambia kuwa kila linalozushwa ktk dini ni upotovu na kila upotovu malipo yake ni moto wa JAHANAM
@khatibabass3106
@khatibabass3106 Жыл бұрын
Kwani hakuna mwaka mpya wa kiislam ? Binaadam kwakweli
@kichachu6391
@kichachu6391 Жыл бұрын
@@khatibabass3106 Mwaka mpya wa kiislamu upo lkn kuadhimisha ni uzushi ambao hauna dalili ktk sheria
@omarhaji2621
@omarhaji2621 Жыл бұрын
Assalam alaikum hili limefanikiwa ila na swala la wanawake kutembea uchi lifikiriwe
@nassiralli9304
@nassiralli9304 Жыл бұрын
Kwanini tunapenda kupinga mambo ambayo yanapelekea kushajihisha vizazi na vizazi daima kuweza kujuwa historia ya uislam...kuwakumbusha juu ya uwepo wa imani ya kweli ya Allah... Kukumbushana ni moja kati ya kheri kubwa na sifa kubwa za umma huu...sasa kukumbushana tarekh ya uislam katika stail kama hii hatuoni kama itapelekea kuutangaza zaidi uislam nchini na duniani..ni kama ukumbusho... Sasa hili suala la kusema uzushi linatokea wapi... Wenzetu wamekuwa wabunifu kuharibu ulimwengu...sisi tukianzisha mbinu za kuhuisha dini yetu unasikia bidaa... Hebu tuacheni hizi dini Za siasa.
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
​@@kichachu6391Brother mbona nchi za kiarabu ambapo asilimia kubwa ya watu wake ni waislamu wanaandhimisha na huwa ni holiday katika nchi zao ?
@siriyangu4724
@siriyangu4724 Жыл бұрын
Mashallah 💗
@rahmaarrington9019
@rahmaarrington9019 Жыл бұрын
Mashallah
@salma0000
@salma0000 Жыл бұрын
Mashaallah❤
@ChuuFilm_Qaswida
@ChuuFilm_Qaswida Жыл бұрын
Maasha Allah
@abuuvanlampard2564
@abuuvanlampard2564 Жыл бұрын
Mashaallah
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 Жыл бұрын
MASHA ALLAH
@nasrimswaki4824
@nasrimswaki4824 Жыл бұрын
Maashallah
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 Жыл бұрын
Mashallah
@saleherazakh3531
@saleherazakh3531 Жыл бұрын
Mashaallah
WASIOKUA WAISLAMU WAONDOKA NA WAISLAMU 25
11:27
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 3,7 М.
An Island On the Brink of Collapse Makes a Huge Comeback | Short Film Showcase
14:59
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Как не носить с собой вещи
00:31
Miracle
Рет қаралды 1,7 МЛН
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 29 МЛН
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 27 МЛН
MJADALA MZITO KUHUSU ZANZIBAR ILIVYOHARIBIKA (SEMA NASI)
33:19
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 9 М.
MWANDISHI WA HABARI WA MZEE KARUME AILILIA ZANZIBAR
36:02
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 27 М.
WAZANZIBARI (PEMBA NA UNGUJA) KIKE KIUME WATUMA UJUMBE ULIMWENGUNI KOTE
11:04
Riyadh Tv Online Znz
Рет қаралды 1,1 М.
Angalia Namna Mwaka Mpya wa Kiislamu Ulivyowagusa Walipakodi
3:53
MJADALA MZITO KUHUSU ZANZIBAR ILIVYOHARIBIKA EPISODE NO 02 (SEMA NASI)
35:32
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 4,5 М.
Shuhudia msewe munakash kutoka kisiwani Pemba
10:15
Weyani Tv
Рет қаралды 18 М.
JE, OKELO ANASTAHIKI KUWA SHUJAA WA MAPUNDUZI YA ZANZIBAR?
36:26
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 7 М.
SHEREHE ZA EID 2021 PEMBA ZA VUTIA DUNIA
11:51
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 49 М.
SHEIKH KISHK AKIRI HAJUI KUOGELEA BAADA YA KIZAZAA CHA BAHARI
7:05
Kishki Online TV
Рет қаралды 14 М.
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47