Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 30
@OmerSuley-gl7go8 ай бұрын
Wazanzibari walio wengi hawataki muungano
@nailamohd-wn6sb8 ай бұрын
Hakutaka kufukua makaburi kwasababu yy ndio mkosa kwa uchaguzi wa 2020 hayo ya mapinduzi hatunayo khasaa usimsifu tuu mwambie pia atende haki aende kwenye uchaguzi kwa kujiamini na sera zake asilazimishe lazima atangazwe kua rais wakati hajashinda hakuna kitu kibaya km dhulma na Allah kishasema anaedhulumu hamsamehe musisifu na mabaya semeni au nyamazeni
@nailamohd-wn6sb8 ай бұрын
Hayo marikwama unayosema bado tunabeba na wanawake wanafanya kazi majumbani kwa shida ni aibu kusema vitu ambavyo bado wazanzibar wanateseka navyo 😢
@solomonadams63378 ай бұрын
is only I want to say Kama wewe sio Mzanzibar usiizungumzee Zanzibar,Kwa sababu Zanzibar wanaijua Wazanzibar wenyewe tuu sawa,as feather I know Zanzibar kulikua hakuna haja ya kufanya Mapinduzi watu walikua wazungumze tuu Sultan alikua ni Mzanzibar,na Serekali iliokua bora na haitotokea tena Zanzibar ni ya mwaka 1963....Raia wa Wazalendo hawatopata maendeleo mpaka dunia itakwisha kwa sababu ya dhulma Allah yeye amejiharamishia dhulma lakini katika Zanzibar kuna watu wanajiita Waislam lakini kila baada ya miaka mitano wanadhulumu ,sisi Wazinjibar tuliokueko n'nje inshaallah tutakuja huko kutembea tuu sawa...hakuna diaspora wala nini sawa.thanks
@sleyumalgheithy32688 ай бұрын
Mambo yalipikwa na waingereza marauding na mauretania kuwaua warabu walokua majumbani ndo walouwawa, Okelo kakodiwa tu soo mapinduzi ni mavamizi ndo mana nchi imekwenda na making na kutawaliwa mpaka sasa
@msabahaali7584 ай бұрын
Waafrika wa Zanzibar mpka leo wanafanya kazi za chini wanaendesha bodaboda mpka leo wanauwawa barabarani pia kazi za ndani mpka leo dada zetu kwa dhiki zetu wanafika arabuni kutafuta maisha mapunduzi ya Zanzibar hayana faida wala mabadiliko zaidi ya kuingamiza Zanzibar
@user-rd2fw2rh5i8 ай бұрын
Mlikuwa nyote mshtakiwe
@absalomkibanda8 ай бұрын
Kuna jambo hapo Mzee Enzi Talib analisema lakini hajaliweka sawa na kama hujapata kukaa na wazee wengine wa Zanzibar au kusoma maandishi ya mapinduzi huwezi kumuelewa. Hoja yake ni kwamba dhamira ya mapinduzi hasa ilikuwa na kumng’oa Sultani na si kuua watu hovyo mitaani na kuwaua watu kwa sababu ya rangi zao. Mzee Enzi anachosema ni kwamba, Okello na wenzake walikuwa ni wahuni waliotumia Mapinduzi kuua watu hovyo mitaani tena kikatili na kuna mifano kaitoa Mzee Enzi hapo kama yule bubu aliyeuawa kikatili akitoka msikitini. Haishii hapo anayataja pia mauaji mengine ya watu 25 waliouawa kwa risasi. Kwa hoja ya Mzee Enzi Talib, huyu Okello alipaswa kutangazwa kwamba mhalifu aliyeshirikishwa na vijana wa ASP katika kupindua dhamira njema ya mapinduzi ya kujenga taifa la haki wao wakageuka na kuua watu.
@MrMcama8 ай бұрын
Shukran sana kwa hii clarification! You’ve saved me some precious time.
@Ali-nl2du8 ай бұрын
1. Kapinduliwa Mzanzibari, sio muarabu. 2. Mapinduzi = Mavamizi. Yameandaliwa na USA. Yametekelezwa na kibaraka wao Nyerere. 3. Kama 1 na 2 sio kweli, nijibu yafuatayo: A. Dola ya Zanzibar iko wapi? B. Mamlaka ya Zanzibar yako wapi? C. Sarafu ya Zanzibar iko wapi? D. Jeshi la Zanzibar liko wapi?
@batashqiraa99363 ай бұрын
Hayo makaburi yanayozungumziwa kwa zanzibar huwezi kusema unafukua au hufukui kwa sababu bado yapo wazi na yanawaumbua madhalimu, waliouawa kwa dhulma haki zao watazikuta kwa ALLAH, na anayebeba dhimma hii ya dhulma kubwa ni adui namba moja wa zanzibar ambaye ni nyerere.
@MasnamussaPp8 ай бұрын
Mzee wetu twakuamini ila tetea mambo yote sio sio ya john okelo tu😂unayajua yote ya znz na chaguzi zote za Zanzibar si zahaki ni za kimapinduzi umwagaji damu ulaghai ubadhirifu na hayo yatetee ili tujue kwabwa unapenda haki
@kombohassan28028 ай бұрын
Elim yanyu ndago sijiwi nini lakini mnaujua mnatuchanganyaa. Hatuwasomi hatui mmepanga nini hatuhitaji nyuma so tunahita hapa tulipo tunatokajey hilo ndiyo muhim Raisi wetu mbona yupo sawa msiwe wajinga nyuma ibaki hisotoriya mtume muhamadi alpingwa nani muhim kame yeye je Mimi na wewe kiongozi Fanya kazi mungu atakulinda ❤😂🎉🎉
@111dudi7 ай бұрын
Elimu ndogo, John Okello aliua waafrika wengi zaidi kuliko waarabu na waasia. Fanyeni utafiti, historia inayasema haya
@reformerthrone9724 ай бұрын
Mimi sitoshangaa kama huyu alioandika Habari ni kwamba katumwa na analengo maalum ambalo la kuporomowa japo la diaspora wanataka kuliharibu kwa hio lazima Raisi mwinyi alizungumze kiwazi hili kule Bara.
@rajabjuma2778 ай бұрын
Mpemba gani alomleta Jon okelo sema kweli km Jon okel kakodiwa aje kufanya mauwaji
@nailamohd-wn6sb8 ай бұрын
Tena kiswahili alikua hakijui kakodiwa kwa mauwaji tuuu na naam kayatimiza 😢
@DaudaBilikesi3 ай бұрын
Amlipaye mpiga zumari ndiye huchagua wimbo!
@user-pm7yo3xi3h2 ай бұрын
John okelo ni muuaji tu .kaletwa zanzibar na makanisa kuuwa waislamu na kuuwa uislamu. Kasomeni kitabu chake. Ndio mpaka leo zanzibar inatawaliwa na kanisa. Na wakala wa kanisa hilo ni Tanganyika
@babawatoto43128 ай бұрын
Big up mzee wetu
@zinjibaryetu84518 ай бұрын
Madhalim walioshiriki mapinduzi ya Zanzibar ni wengi na wanajulkana.. mzee Enzi amewataja wawili watatu tunahitaji wazee wengine kama huyu afanye more exposure ya madhambi ya uvamizi wa 1964