Mwalimu Ndacha you are so informed! Thank you Jesus for your servant Francis! Give him even more wisdom to bring light to these people in darkness.
@abcdg19953 жыл бұрын
Teacher Francis Ndasha keep burning them with the burning gospel MAY GOD Almighty bless you beyond repair SIR People never learn till they drop dead No human ix limited A candle can not lose it's light by lightening other candles if you are born with a silver spoon it's so easy to judge
@manasehnjoki39342 жыл бұрын
Nakubali kubatizwa na namkubali yesu
@YUSUFUKOMBOOMARY Жыл бұрын
Ww jina lako tu la kikristo achaa uongo ww.
@tabbygocho4127 Жыл бұрын
Welkam bro 🙏🙏🙏
@abcdg19953 жыл бұрын
Burning gospel guys Let them go like bullet. .Teacher Francis Ndasha The Greatest Evangelist the world has ever known
@lumeaaniceth63915 жыл бұрын
Jesus is fire
@alukochannel3362 жыл бұрын
Mungu azidi kubariki pastor ndacha you are doing good job
@magwaza8904 Жыл бұрын
Yesu oyeeeee.💪💪💪💪 Ndacha MUNGU akutunze na kukuepusha na Majanga Ili uendelee kumwinua Yesu kwa Waislamu waokoke.
@alliyrubea5731 Жыл бұрын
Yesu oyeee,yesu haujuwi u unaoitwa ukristo wakristo si wafuasi wa yesu bali wa mroma aitwae PAULO ambaye aliwapa sheria yake ya kuwa na magovi musio tahiriwa maana yesu alitahiriwa
@thomasnachenga7955 жыл бұрын
DINI si kitu ya kung'ang'ania... kama maandiko yanakushinda wahi mapema kwa yesu ni njia ya ukweli na uzima, AM WATCHING THIS FROM TANZANIA....ubarikiwe sana pastor FRANCIS {nakutafta sana}
@aripaliev10595 жыл бұрын
Amina Amina Amina YESU KRISTO NDIE NJIA YA KWELI KHAKI NA UZIMA ASIFIWE MILELE Amina.
@minaminaa16695 жыл бұрын
Quran is the holy
@ermichaelqnic3595O Жыл бұрын
Tafuta ukweli wewe
@alliyrubea5731 Жыл бұрын
Kwa hiyo ndio unatuambia Yesu hakuwa na dini!
@angelangare8634 жыл бұрын
Amen Yesu ni Bwana
@EStyle-xf1cb2 жыл бұрын
Classmate. 👋
@user-rf5tz5ft2y5 жыл бұрын
Contunue preaching pastor God bless you in Jesus name
@honestshayo40455 жыл бұрын
Yesu Kristo ni njia ya kweli na uzima wa milele. Ndio maana pepo linateketezwa kwa jina la Yesu. Tuokoke tusimwache Yesu.
@thomasalchannel11352 жыл бұрын
Ndacha Kiboko Yao More FIRE 🔥🔥🔥
@carolinendasala9355 жыл бұрын
Hahaha hahaha simba wa Yuda akiguruma waislamu wanakimbia Wakristo BWANA YESU KRISTO asifiwe
@everlynekaiga17844 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe saaaana
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Bwana mungu mmoja ndie wakusifiwa. ..Achen kupotea eenyi makafiri wakiAfrika. .wazungu waliwaletea ukirsto ili mue wajinga. Wao wazungu ata makanisan hawaendi. Ninyi wa afrika ndio muko na kiherehere chakuenda makanisa kwenye shetan...achen ujinga huo wakuabudu yesu mtu.mungu nimmoja tu wala hataki mshirika ninyi munamshirikisha mungu wahirikina wakubwa ...mungu hana mtoto wala hakuzaliwa wala hafanani namtu yyte...
@naomijudithmichaeljudith89704 жыл бұрын
Caroline Ndasala amen
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Eee nyi makafiri kwann munafanya yesu mtu kua nimungu wenu?Jee yesu Alisma yeye nmngu mumuabudu laa hasha Hakusma kamwe huo niuzushi wapaulo Alie Tumwa nashetan kupotosha Injili kitabu chanabii yesu. Nakuandika maneno yanabii yesu. Nabii yesu mtu Alikua Akiabudu Katika masinagogi Akiswali nakumtangaza mungu mmoja tu Alie mbinguni. .Eenyi makafiri wakikiristo niyni na wabaniani hamuna tofaut kuabudu kwenu kwani wao wanamuabudu sanam nawengine wanaabudu n'gombe nawengine moto.nanyi makafri wakikiristo munamuabudu nabii yesu mtu...Huo niujinga naushirikina. Badala kumuabudu mungu mmoja ..niyni munapitia kwa yesu mtumishi wa wa esrael...Achen ushabiki nijinga someni biblia vzr naata quraan musome ili mujue njia yakweli. Lakini mumelala katika ukirsto mumepotea. .Na katika kanisa ndio kuna kiti chaenzi cha shetan mkuu Alie laaniwa...kila aenda kanisn kuabudu bc Ajue mungu wake nishetan Anamuabudu. ..yesu Hakuenda kanisani.
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
@@everlynekaiga1784 Enyi zikafiri. Munamuabudu yesu mtu kama mungu wenu bc muko Katika Hasara yamilele mutajuta mukiwa katika jahannam ciku hzo..Nabii yesu Hakusma mumuabudu yeye Bali Aliwaambia wana wa ezarel wamuabudu mungu mmoja tu.nae yesu Hakuenda kanisani kuabudu. .nawalio lala Katika ukrsto wamepotea. .Na kanisani ndio kuna kiti cha chaenzi cha shetan mkuu Alie laaniwa. .kila aendae kanisan kuimba nakurukaruka bc Ajue Anamuabudu shetan na kumfurahisha shetan..bc mutaplkwa katika jahannam yamilele ninyi namashetan mukae huko milele. .someni bblia vzr nahata quraan ndio mutajua Ukweli. ..
@t7zkc5tpxgim284 жыл бұрын
AMEN, Mungu awabariki sana watumishi
@STEPHENAUNGO3 ай бұрын
Francis Ndacha you are a real apostle of Christ.What you speak is not yours but the Holy Spirit
@barikinihataringira51135 жыл бұрын
Wewe mwalimu wa kikristo hujawai kutuangusha
@Spuidward.2 жыл бұрын
Thumbs up Nyahururu. Am proud of you my people. Hawa waislamu wame memorize koran kwaruga hii heri wengine wao hawa kuwesa masomo ndio imekua rahizi kuwa brain washed to become muslim
@bonifacerobert29345 жыл бұрын
siku zote dawa ya waislamu ni wasabato. bila kua mjuzi wa vitabu huwezi kusemezana nao.
@reaganbaba4vees5524 жыл бұрын
Asenteni Sana waalimu wa dini ya kristo.Tafadhali nawaombeni mmtafute Mazinge kutoka Tanzania mkampashe ukweli.
@antoooa86643 жыл бұрын
Ashapashwa tayari Tafuta katika mitandao Washakutana huko mombasa
Wanawake wa kiislamu wanafanishwa na mbwa lakini wanagombania ni kweli
@chancelinechuchu73335 жыл бұрын
waislam wanajuw ukweli wote kwamba yesu ndie njia yauzima na milele
@trophainamagogwa79664 жыл бұрын
Ila waloshachagua moto waacheni Mungu ndiye atawaadhibu
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Nabii yesu Alikua niuislam kama kawaida yake Akienda katika misikiti akiswali nakumsujudia mungu wake
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Eenyi makafiri wauvu mutakua kuni zajahannam musipo fuata dini ya kweli ya mungu nao nidini yazsman sana ilio toka kwamnbii wote manabii wote walikua niwsislam
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Hakuna nabii wamungu hata mmoja Alie sema dini yake niukirsto nawote walikua wakimsujudia mungu katika masinagogi..jee yesu alisma dini yake niukirsto..au Alienda knisani. Bc achen uzushi kumcingizia nbii yesu uongo.
@YUSUFUKOMBOOMARY Жыл бұрын
Acha upuuzi ww.
@joachimsamwel8122 жыл бұрын
God bless you pastor
@mombasa00762 жыл бұрын
Pastor muongo. Hata hoja zake ni ovyo
@ombasoogise98572 жыл бұрын
NDACHA, you are SHADRACH, MESHACH N ABEDNEGO of today
@ombasoogise98572 жыл бұрын
@@mombasa0076 just prove
@boazgodfrey865 Жыл бұрын
@@mombasa0076 prove him wrong if you are sure of his lies
@luckyprincejabinho99865 жыл бұрын
Asante kakayangu kuwapa kidongo wana juuwaka kama yesu Ni nani,yesu iko katika korahani lakini mwamedi aiko katika Bibiliya muna chindwa muacha vujo
@mombasa00762 жыл бұрын
Wakristo hawajui yesu ni nani wala hawsjui muhammad ni nani?
@brysonpatrick61473 жыл бұрын
Waislamu muacheni YESU AITWE YESU hamuwezi badili ukweli kumhusu
@margaretmatuku11825 жыл бұрын
Ellen white sio nabii wa mungu alipewa maona na mungu na akawa mwaandishi wa vitu
@hirammbugua75932 жыл бұрын
ni akina nani nabii wa mungu????!!
@daphineotoigo80372 жыл бұрын
mwalimu francis mjasiri kweli mungu akujalie uendelee kuelimisha wakristo wote duniani.
Y'all Muslims are confused element Praise God Brethrens Greetings Teacher Francis Ndasha You never know who you are inspiring keep telling them the painful gospel of Jesus Christ
@msangij.h45933 жыл бұрын
إِنَّ ٱلدِّينَ عِندَ ٱللَّهِ ٱلۡإِسۡلَٰمُۗ وَمَا ٱخۡتَلَفَ ٱلَّذِينَ أُوتُواْ ٱلۡكِتَٰبَ إِلَّا مِنۢ بَعۡدِ مَا جَآءَهُمُ ٱلۡعِلۡمُ بَغۡيَۢا بَيۡنَهُمۡۗ وَمَن يَكۡفُرۡ بِـَٔايَٰتِ ٱللَّهِ فَإِنَّ ٱللَّهَ سَرِيعُ ٱلۡحِسَابِ (Ali Muhsin Al-Barwani) Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. -Surah Aal-E-Imran, Ayah 19
@jamesombaso9493 Жыл бұрын
Hahaha mungu ndie aliumba lugha zote wenyu anaelewa tu kiarabu
@monicaholajo66274 жыл бұрын
Amina Najifunza kila wakati nikiwaskiza, ubarikiwe sana
@adielgodwin3 жыл бұрын
Hi
@junicnamuwenge69572 жыл бұрын
Warilmu wakirito muwajwa moto wa ysue una wagoma🔥🔥🔥🔥🙏🙏
@adarashidi81782 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mchungaji ndacha
@samwelnyanga8996 Жыл бұрын
dacha.mungu..akurinde..zuguka .Tanzania nzima
@davidwainaina3899 Жыл бұрын
I'M proud of CHRISTIANS for how we keep loving Muslims, and from the love of Jesus Christ we will do us Jesus said, he came for all mankind, amen amen ✝️✝️✝️✝️✝️, peace love unity forgiveness healing understanding be with us all world,
@franciskiio99803 жыл бұрын
Mungu atukuzwe
@furahinimbise3382 Жыл бұрын
Mungu Akutunze ndacha
@festokiraryo.61075 жыл бұрын
Waislam wamekimbia baada ya kushindwa
@priscafuime40315 жыл бұрын
majini yatazid kuatesa waislam
@fereskenya99234 жыл бұрын
Amen Amen
@julianlukindo46235 жыл бұрын
Jamani eeee mnanivunja mbavu
@raphaelkimaro17535 жыл бұрын
Ukitaka usipulizwe nyuma okoka uje kwa Yesu Kristo. Utapona. Lah hutaki yatakukuta hayo yakupulizwa kulinganishwa na mbwa na undugu na mashetani.
@josephbonday85105 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@issaahaji39293 жыл бұрын
Ipo haja kwa watu kusoma vitabu vya dini zao kwa undani zaidi. Maana waweza kutana na wapinzani wa dini yako wakakupa maelezo au ufafanuzi ambao si sahihi.
@faithfultoyeshua45762 жыл бұрын
Yes
@mombasa00762 жыл бұрын
WAKRISTO HAWANA HOJA WANAJARIBU KUJITETEA LAKINI NI BURE. MATUSI NDIO HOJA ZAO LAKINI HAWANA HOJA.
@BernardChesoli-rj3nw Жыл бұрын
Ndacha umewaweza Leo kabisa Mungu akubariki
@wanjerijoseph62235 жыл бұрын
walimu wa kikristo mbarikiwe sana waislamu leo wamepatikana
@gladysjosephmacharia32505 жыл бұрын
hallelujah AMÉN AMEN AMÉN AMEN
@JohanaWaweru-vh1qc Жыл бұрын
Hey Ndacha Mungu akuonekanie
@hirammbugua75932 жыл бұрын
ni kweli waghadhabikao wako na uchungu.
@samwellwiza53394 жыл бұрын
Nabii kaoa mtoto Wa miaka 6...magufuri angemuweka lupango...
@chenzhenlee76334 жыл бұрын
😀😀😀😀
@eunicebukokhe68052 жыл бұрын
Mwenye kusikia na askie
@passlinemedia6657 Жыл бұрын
Nakumbuka kuna wakati watu waliogopa hawa waislamu lakini sasa Mungu ameinua watu wanaomtetea yeye.
@caleboloo34385 жыл бұрын
hahaha... Hii ilikuwa moto. Sema waislamu kupatikana Tiba yao ni, waokoke
@kayushapinky20525 жыл бұрын
Muislamu hawezi okoka labda awe chizi
@michaelnyauko60495 жыл бұрын
Eti kumtafuta Mohammed katika kitabu kitakatifu biblia ni sawa na kumtafuta mbwa msikitini mh!!!!!!!
@prfjonaslaviss50645 жыл бұрын
Amen
@BIBLIANURUYADUNIA5 жыл бұрын
Amin
@haskayulempole33585 жыл бұрын
@@BIBLIANURUYADUNIA ,,, wacha kudanganya watu ww bure sana mwongo unataka kupeleka watu motoni
@myself41285 жыл бұрын
Kutafuta mohammad katika biblia ni sawa na kutafuta nguruwe msikitini😂😂😂😂😂😂😂 mtumishi umenibariki saaaaaaaana😂😂😂😂😂😂
@Mokiwa5 жыл бұрын
Hahahaaaaaa,, jamaa kichwa chake kina ubongp wa ziada. Sijawahi fikiri kama kuna neno kama hilo
@hamduniabdi97115 жыл бұрын
EE RR nikikupa utasema nini
@musjushassan73365 жыл бұрын
wa kristo nawaonea huruma kwasababu yesu wanae mfata hawamjui yy dini gani
@musjushassan73365 жыл бұрын
watu wanaenda msikitini nyie mnamambo yaajabu kweli
@Mokiwa5 жыл бұрын
@@musjushassan7336 NINI MAANA YA DINI?
@kabarezephanie35732 жыл бұрын
Hhhhhhh ubarikiwe sana Ndasha tunafata hapa Rwanda Kigali
@kaisimwainunu11472 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe Mungu awabaliki
@issaahaji39293 жыл бұрын
Hoja na maswali ya washiriki yote mazuri, na yana maelezo na majawabu ya uwazi kabbisa katika zitabu kwa walimu waliobobea!
@jacksonmwafongo1917 Жыл бұрын
Nibii Muhammad alinyweshwa sumu unasema nabii wa mungu hawezi kunyweshwa sumu ila yesu kupigwa kibano mpaka kufa msalabu ni saw tu mungu kapigwa mpaka kufa mafunzo Yako ndacha yananisha Gaza hata kama wengine wanakusifia mimi sikubaliani nawewe
@barakamathayo34305 жыл бұрын
Waovu hukimbiaaaaaaa 😂😂😂😂😂😂
@jjtm1643 жыл бұрын
Yenyewe very powerful, hata Mimi napenda
@patricknjuguna3536 Жыл бұрын
Ndacha hooyee
@henryosoro76962 жыл бұрын
Jina linaloponya ni la yesu pekee.
@lazaromalanga65435 жыл бұрын
Asa awo wakina mama Mbona wanapiga makerere tu si wawambie walim wao watowe hoja
@alicemangat31652 жыл бұрын
Hawa wanawake wanapiga makeleke kwa vile kitabu chao kimea- dikwa? Ukweli unauma kweli.
@stephenmuckari45882 жыл бұрын
Muku sawa sana na huwa munanena ukweli wa Mungu mungu ambariki sana mko Navakholo yetu munasema ukweli musiende ninaomba muendelea mumalize hapa Navakholo miezi mbili mukipenda na mukimaliza mukucheko khuku Malaha.
@amidainarukundo67313 жыл бұрын
Apana apasae kuabudiwa kw haqi illa ALLAH
@user-rf5tz5ft2y5 жыл бұрын
Kaburi hapo sawa nimeona hapa saudi
@fereskenya99234 жыл бұрын
Usikose
@aswanipapa42915 жыл бұрын
clearly the truth will always hurt..😂😂😂😂😂
@mombasa00762 жыл бұрын
Huo ndio ukweli
@sadickcheyo2324 Жыл бұрын
Mungu akbariki par mazinge kazi unayo fanya nikubwa
@thetruthtvtriplet48555 жыл бұрын
Nawahurumia hawa makafiri waislamu, waislamu wote jehanam
@hamisikulola84815 жыл бұрын
waislamu wanaingia peponi quran 40:40 na Quran 43:68 toa andiko wakristo wataingia peponi
@abdirazackabdirashid97535 жыл бұрын
Hhhhhh mamako na babako jahanam wacha upatikane na muislamu utajua haujui
@fetrishakaza14735 жыл бұрын
@@hamisikulola8481 usizani kama shetani atakuambia uslamu dini yangu nani ataenda msikitini fungua akili wewe
@danielelnestngimba55165 жыл бұрын
KAMA DINI ZIPO NYINGI TUU, U HINDU,UBUDHA,UPAGANI,UISLAM, ZOTE BABA YAO NI SHETANI, NA UISLAM NI NGUVU KUTOKA KUZIMU
@gabrielmamela22065 жыл бұрын
Daniel Elnest Ngimba Amen mtumishi wa Mungu
@danielelnestngimba55165 жыл бұрын
@Gabriel Mamela tubarikiwe sote
@susansara62545 жыл бұрын
Nimecheka sana
@benadolphabiandustan41095 жыл бұрын
Mungu ana dini moja hizo zingine ni za wanadamu ulishawahi wapi serikali ina vyama vyingi? serikali moja chama kimoja vingine ni vya upinzani
@danielelnestngimba55165 жыл бұрын
Uislam ulibuniwa na waarabu mapangoni huko Uarabuni, ndio maana Muhammad alimsilimisha shetani "Allah"akawa Muslim, ndio maana Waislam na Shetani ni ndugu, UISLAM NI DINI YA MASHETANI NA MAJINI, HAINA MPANGO KABISA, Uislam ni janga la dunia
@innocentabae1118 Жыл бұрын
This was very hot. 🔥 🔥🔥🔥
@julianlukindo46235 жыл бұрын
Mbona huyo shekhe mbishi ila hatoi majibu toa jibu
@sarahmichael75384 жыл бұрын
Uislamu ni ibada ya gizani. Uislamu ni Giza nene! Ndio maana wanapambana sana ktk kutetea vitabu vyao vilivyojaa Giza, na mtume wao yuko kaburini anasubiri hukumu, wala hawezi kuwatetea watu wake mwnyw tu anaswaliwa kila siku ili labda apunguziwe adhabu ya kuudanganya umma wote wa Kiislamu, mwenyezi Mungu awasaidie sana ninyi ndgzetu; maana Mmepotea Mno!
@abuuhuraira23223 жыл бұрын
Sioni mtu akikimbia hapo mimi,hao wanaenda kuswali magharibi hao ni waislamu si makafiri kama vile quran inavyosema (Q 64:2) Tena ukristo sio dini ya mwenyezi Mungu ni dini ya upagani (acts 11:25)bible implemantor maelezo madogo pale chini.Pia Bwana wa wakristo atakuja kufanya ukahaba katika nyakati za mwisho (Isaya 23:17).Yehova anasema hatowaadhibu wazinifu na washerati (Hosea 4:14)
@festokiraryo.61075 жыл бұрын
Waislam hawaisomi kuran jingasana
@minaminaa16695 жыл бұрын
tusubiri siku yamwisho.
@shemsaomar13495 жыл бұрын
Muislam anaijua Quran vizuri sana na biblia yenu pia tunaijuwa kuliko nyinyi
@euniceeunice76805 жыл бұрын
Naona vumbi tuu la makanzu na majuba😂😂😂😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mungu awaongoze wale wanao taka kuongoka...lkn wakirsto somen mumtafute mungu uko katika dini..
@soenikmoitanyon5 жыл бұрын
Uislamu ni dini ya kishetani
@Spuidward.2 жыл бұрын
Na mwana ume akipita. God created us all equal kwahivyo , wacheni uongo wenu
@emmanuelokengo Жыл бұрын
Jesus is Lord!!
@stephanomapai79705 жыл бұрын
Waislam hoja hawana kabisa
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Ameen😭😭😭asante Bwana
@khuzeimaabdul42753 жыл бұрын
Waislamu hawakimbii makafiri
@timotheojoel18285 жыл бұрын
Muhammad ni pepo wasipo batizwa hakika hataingia mbingu
@Elecovid6 ай бұрын
Haooooo wakimbia
@DavisWangodi5 жыл бұрын
Waislamu wamekimbia Hahahaha 😂😂😂😂
@danielelnestngimba55165 жыл бұрын
UISLAM NI DINI YA KICHAWI, ALLAH NI IBILISI SHETANI
@bwegelanyakhaido30885 жыл бұрын
Daniel Elnest Ngimba kwanza nakupongeza Kwa kutambua kwamba uislam ni dini...ayo yaliyo fata ni polojo
@danielelnestngimba55165 жыл бұрын
UISLAM KWELI NI DINI WALA SIKATAI, ILA MWENYE HIYO DINI NI SHETANI, ALLAH NI SHETANI
@danielelnestngimba55165 жыл бұрын
Na nyie wafuasi wake ni waumini wa shetani "ALLAH"ISIPOKUWA mnajipa moyo tu. Uislam ni uchawi
@bwegelanyakhaido30885 жыл бұрын
Daniel Elnest Ngimba iyo Kwa maandiko yako Ila Kwa maandiko ya qur an inasibitisha kuwa hakuna mungu zaidii ya Allah....Sasa nakuja kwako mungu wenu nyinyi Nani Na km yesu hawezi kuwa mungu Kwa sababu kazaliwa katailiwa anakula,anakunya, Na vingine vingi mungu hawezi kuwa Na mama
@bwegelanyakhaido30885 жыл бұрын
Daniel Elnest Ngimba kati ya cc Na nyinyi Nani mungu wao anaweza kuwa shetani?
@GentilKiza-ob1gr Жыл бұрын
Mbona weslam wanapiga kelele
@fnnyanda59934 жыл бұрын
Ukweli ktk Qur'an Allah hajamtaja Mohammad kama Nabii bali yeye mwenyewe alijitaja kama nabii wakati anawataja manabii wa Mungu akisema,"Manabii wa Mungu ni Mussa,Ibrahim.....na Mimi"(He choose me").Hivyo,Allah hakumtaja Mohammad kama nabii na hivyo siyo nabii wala siyo mtume wa Mungu.
@alliyrubea5731 Жыл бұрын
Nadhani bado hujaisoma Qur aan kaa chini uisome umuone Mtume Muhammad na hata ktk hiyo munayoiita Biblia yumo pia
@muemastephen5980 Жыл бұрын
@@alliyrubea5731 Mohammed atoke wapi Kwa bibilia? Hayuko
@alliyrubea5731 Жыл бұрын
@@muemastephen5980 soma vizuri ili uelewe na Hata ktk Bibilia Muhammad yumo licha ya bibilia kuchafuliwa lkn bado yupo jawa ishara zilizo wazi na kama hujaona utaoneshwa
@alliyrubea5731 Жыл бұрын
@@muemastephen5980 kwanza nakupa challenge moja tafuta bibilia ya mwanafunzi wa yesu aitwae Barnabas kama utaipata umuone humo kamtaja kwa jina lkn ukishindwa kuipata(maana walizichoma moto)kuondoa ushahidi basi utaNeshwa kwenye hiyo uliyonayo
@muemastephen5980 Жыл бұрын
@@alliyrubea5731 just outline which book, chapter and verse where Mohammed has been mentioned in the bible, personally I have read the bible no where Mohammed has been mentioned besides that no where qorun has been mentioned in the bible leave alone Mohammed
@alexanzuruni19653 жыл бұрын
Kwakweli waesilam awana Mungu
@dicktzhome27795 жыл бұрын
R.I.P shekhee
@kmipos3 жыл бұрын
Waa ajabu mwanamke wa kiislamu na mbwa ni sawa shindwe pepo mbaya