No video

Waislamu wanaoenda kufanyiwa miujiza kanisani | Nini tatizo?

  Рет қаралды 123,833

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

Tafadhali subscribe ili uendelee kupata taarifa na video mpya kwa wakati unaofaa
+254722600533
+254777600777

Пікірлер: 1 500
@enuelabunimkali9529
@enuelabunimkali9529 2 жыл бұрын
Jina la bwana mungu wetu ni ngome imara mwenye shida hulikimbilia na akawa salama!!!
@seebs1156
@seebs1156 2 жыл бұрын
Ameni yeye ndiye mtua mizigo
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 2 жыл бұрын
Alleluyah Alleluyah, Jesus is the true, way and life, in him your self, no other God but Yaweh.
@khadijakitsao5451
@khadijakitsao5451 2 жыл бұрын
I love that pastor MUNGU akubariki
@amisisylviaalusa5143
@amisisylviaalusa5143 2 жыл бұрын
Amen
@purity8246
@purity8246 2 жыл бұрын
Amen
@sifajacky7779
@sifajacky7779 2 жыл бұрын
Subhanah Allah Allah Akbarr. mimi ni muislam ambae nimetoka.kwenye ulokole, and I still believe in Jesus as prophet of Allah Subhanah Wataala. but I can't go back to church because I am in the hands of The Creator Allah Subhanah Wataala 💞Ya Hayy💞 Ya Qayyum💞 Ya Jabbar💪💞 Ya Razak 💞Ya Mujib duwah 💗💞🔥🔥💗💞
@yusufitael9664
@yusufitael9664 2 жыл бұрын
Jibu la bwana Yesu... Hao wanatoa mapepo kwa nguvu za mkuu was mashwetan belzebuli..Yesu katika injili. Waislam tunaangamia kwa kukosa maarifa!
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 8 ай бұрын
Subhanallah astaghfir llah yarab atuogoze sote waislam
@rhomarx9824
@rhomarx9824 2 жыл бұрын
JINA LA YESU, NI NG'OME IMARA, WENYE HAKI HULIKIMBILIA WAKAWA SALAMA !!!
@abouswaleh7375
@abouswaleh7375 2 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKUONGOZE NDUGU YANGU COZ KUMUOMBA NA KUMFANYIA IBADA YEYOTE YULE ASIYEKUWA MWENYEZI MUNGU NDIYO USHIRIKINA HUO YAANI KUMUELEKEA KUMTEGEMEA KUMYENYEKEA NA KUMTAKA MSAADA YEYOTE ASIYEKUWA MWENYEZI MUNGU HUYO AMEMSHIRIKISHA MOLA WAKE NA HUYO ALOMWOMBA HAIJALISHI AWE MTUME MUHAMMAD AU YESU AU HATA MALAIKA MKUU GABRIEL....MWENYEZI MUNGU ATUFAHAMISHE
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
@@abouswaleh7375 swadakta
@SiriliNachan
@SiriliNachan 24 күн бұрын
​@@abouswaleh7375 kwahiyo point yako n nn ss
@noahgilead6210
@noahgilead6210 2 жыл бұрын
I was a Muslim but I found light... Amen.. Christ is Lord and he is coming soon.He helped me discovere the truth Christianity is not religion it is a personal relationship with Christ
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 жыл бұрын
U were not Muslim Allah is the one who knows people their hearts. So Don't fool ur self
@tatujuma8781
@tatujuma8781 2 жыл бұрын
@@hajjiomary2383 yess...a true Muslim who knows wat is Quran is...will never ritad...
@Yesunimwokozi1
@Yesunimwokozi1 11 ай бұрын
​@@tatujuma8781even Muhammad swahada retaded ...😂😂😂. Would it be u a kurya ??
@Yesunimwokozi1
@Yesunimwokozi1 11 ай бұрын
Praise GOD . REJOICE FOREVER
@michaelkmwangi1315
@michaelkmwangi1315 2 жыл бұрын
God has been doing good to all through faith. It happen in many churches. It is not about religion but faith in works of God through Jesus Christ
@shaanleishan9164
@shaanleishan9164 2 жыл бұрын
This is what I call maturity in religion. Sheikh na Pastor Mungu azidi kuwazaidia na kuwapa hekima ili zote tuishi kama ndugu na Dada. Mubarikiwe
@theblessedone7526
@theblessedone7526 2 жыл бұрын
Waislaam mnasumbuliwa na wivu. Alafu wengi wao hawajui dini wapo tu kwa kuvaa kanzu na Abaya ila matendo muozo mtupu. Alafu ninyi waislaam mwabeba uislam na mabavu na kukashifu dini zengine why???????? Christianity all the way 🙏🙏🙏
@daidibrahimadam482
@daidibrahimadam482 2 ай бұрын
all the way to hellfire
@theblessedone7526
@theblessedone7526 2 ай бұрын
@@daidibrahimadam482 koma mbwa Koko wewe nitolee komwe ka kopo la chooni mie
@nurdinsaleh4786
@nurdinsaleh4786 2 жыл бұрын
Najiskia burdaaan kuuacha uislam mazima mazima, Yesu peke ake ndiye mwokozi wa ULIMWENGU.. YESU ANAOKOA YESU KRISTO ANAPONYA YESU KRISTO NI MUHUKUMU WA WANADAMU WOTE, KABILA ZOTE DINI ZOTE... NA BILA YA YESU ASITEGEMEE MWANADAMU YEYOTE KUMWONA MUNGU... YESU KRISTO NI NJIA, KWELI NA UZIMA, HAKUNA JANNAH BILA YESU...HAKUNA PEPO WALA MSAMAHA WA DHAMBI BILA YESU... #kwa kweli dini yangu niliipenda Sana, lkn nilipouchunguza ukweli na kujua wapi WANADAMU wamepotoshwa na wapi palipo sahihi, kwa kweli DINI YOYOTE ILE DUNIANI BILA YESU KRISTO NI UPOTOFU WA lusifa mwenyewe... Japo niliipenda dini yangu, Nilipoujua ukweli sikuwa na budi kuachana nayo milele...sintoirudia kamwe... Siwezi Rudi upotevuni kamwe
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Yesu mwenyewe anaomba kuokolewa
@nurdinsaleh4786
@nurdinsaleh4786 2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah tungo za kitoto Sana izo, Nishazizoea sasa
@brianngiela9294
@brianngiela9294 2 жыл бұрын
Hakika Yeshua Kristo ndiye njia , Asante Sana ndugu kwa kusimama katika ukweli wa Kristo ,anaponya,anaokoa,anaweka watu huru kwa ajili ya damu yake msalabani n kufufuka kwake,ALLELUYAH EMMANUEL
@nurdinsaleh4786
@nurdinsaleh4786 2 жыл бұрын
@@brianngiela9294 yees, Yan hatuokolewi na marehemu, ila twaokolewa na YESU KRISTO ALIYE HAI MILELE NA MILELE.... huku hakuna Cha sanaa za lusifa kwa madai maakatalluuhu wammsaaswarabuhhu walaaqin shuhby alah'm...ya kwamba hawakumuua Wala kumsalibu ila walifananishiwa mwengine....huo NI utapeli wa viwango... Ila YESU HALISI HUYU ALIKUFA NA KUFUFUKA ILI ULIMWENGU UPATE TUMAINI LA KWELI NA UZIMA WA MILELE KWA KIFO CHAKE... Haleluya to the lamb of GOD.
@theblessedone7526
@theblessedone7526 2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah kwani unaumwa nini kaka. Au hukumu zao ni wewe utazibeba? Mind your business umeingia kanisani kuchunguza huna hata aibu. Ulionapi wakristo wakifuatilia watu kwenye madhehebu yao
@johnkiguru7434
@johnkiguru7434 2 жыл бұрын
The day we will put religious supremacy and competition aside is the day this world will be healed.We are all made by One God so let these other things come later
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
Yeh only one God
@yusufomar1848
@yusufomar1848 2 жыл бұрын
Yes one not three
@ibrahimlucas9490
@ibrahimlucas9490 2 жыл бұрын
Better off you know the sake for you to be created
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
Worshiping the only one who has neither father no son,😊ok!
@ibrahimlucas9490
@ibrahimlucas9490 2 жыл бұрын
@@fatimambaruku1833 that's all
@Miriam84Akizimana
@Miriam84Akizimana 2 жыл бұрын
Every knee shall bow and every tongue 👅 shall confess that Jesus is the lord 🙏🏼
@Pixe_lify
@Pixe_lify 2 жыл бұрын
GOD AND JESUS WHO CREATED WHO??
@mishibaron5021
@mishibaron5021 2 жыл бұрын
Amen
@mishibaron5021
@mishibaron5021 2 жыл бұрын
@@Pixe_lify hiyo jiekee
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 2 жыл бұрын
@Beholdthehandbeholdthenail 😏😏😏😏😏😏
@ruthkuriakuria3693
@ruthkuriakuria3693 2 жыл бұрын
@Beholdthehandbeholdthenail ,Allah is the God creator of Heaven ,earth evrything.(Allah =Arabic language
@AbdulmajidHyder
@AbdulmajidHyder 2 жыл бұрын
Wallahi kazi kubwa hiyo Unayo ifanya sio kazi ndogo, Allah Akulipe Jannah. Part2 tunaisubiru In Sha Allah..
@miriam7186
@miriam7186 2 жыл бұрын
Kazi gani kubwa yuwa tafuta kujulikana apate mlo Kiki tu izo
@abumuadh1053
@abumuadh1053 2 жыл бұрын
Kazi gani kafanya? Zaidi ya kutumia channel yake kuueneza ukafiri! Ampa pastor jisaa aalike watu waje kumshirikisha Allah.
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
Hapana anafunua maovu ya waislam waciojielewa Allah amlipe kher Inshallah
@nuruabdallah6692
@nuruabdallah6692 2 жыл бұрын
@@miriam7186 ww ndio unayetafuta kula dini yetu niyakutangaza dini si ya kutafuta sadaka kama nyinyi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Yesu atawaokoa tu sasa
@mikemwanza8027
@mikemwanza8027 2 жыл бұрын
There is no name Under sun given to men that they may be saved. The name Jesus is the name above all other names, powers, dominions and principalities. Now, believe in Jesus and receive your miracle today.
@jumjumsaid3552
@jumjumsaid3552 2 жыл бұрын
Wenye kuingia katika uislamu ndio wanaoipagania dini ya mungu kuliko waliozaliwa katika ,ndio maana naona mihadahara yote wengi ni wale walikuwa wakristo ndio wanapambana katika mihadhara mungu awalipe nyote kwa kazi mnayo fanya .
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Kabisa
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
Kweli tupo kimazoea
@halimaomar2986
@halimaomar2986 2 жыл бұрын
Sasa umesema..kwa sababu waliona ukweli ulipo na dini ya Allah n uislam na ukiipigania.basi Allah atakupigania siku ya kiama
@limelemon2916
@limelemon2916 2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏PRAISE BE TO THE LIVING JESUS!!!
@priscillah6646
@priscillah6646 2 жыл бұрын
Amen 🙏
@thuriyabarwani5111
@thuriyabarwani5111 Жыл бұрын
Why should Allah (God )sometimes comes down to Earth in a human shape (as the Christians believe) somebody weak when he has got the ability of being Great(or remain Great)more powerful than a human,? He can do anything He wants where He is !
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 жыл бұрын
Swali kwa wakati, omba du'a kwenye sujood, soma ayatul kursi na sura annas, falaq na ikhlas mara moja kila baada ya swala, unapo lala soma Baqara aya ya kwanza hadi ya tano, sura baqara aya ya 255,256,257,na aya 3 za mwisho ya sura hio baqara, sura nnas ,ikhlas na falaq
@bnussrahlimsantah3730
@bnussrahlimsantah3730 2 жыл бұрын
Upo sahihi kabsaa mimi nmeponywa na ayatul qursi nlikuwa sina amani juu yakuota ndoto mbaya hadi ukafikia mda nkawa naogopa kulala ila sasa nashukuru na sitojisahau tena naisima kila uingiapo kulala
@truthchannel5285
@truthchannel5285 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hpnIfpSJjc2foMU
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Labda apate maruhani
@adorashid8029
@adorashid8029 2 жыл бұрын
Hapo umesema hakii Nabi Muhammad ndoo amesema اللهم صل وصلم علي نبينا محمد
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 2 жыл бұрын
Hivi watu hudhania watakuwa waislamu bila kupata misukosuko...?Wallahi elimu ya tawhid ni muhimu
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 2 жыл бұрын
Tatizo kubwa ni udhaifu wa imaan ya kweli kwa baadhi ya Waislamu ni Wauslamu jina na mavazi tu.
@ummykheyr8325
@ummykheyr8325 2 жыл бұрын
Tuzidi kumuomba Allah atupe subra katika mitihani anayotupitisha tusiwe ni wenye kukengeuka
@saidiamiri4657
@saidiamiri4657 2 жыл бұрын
Shukran
@saidiamiri4657
@saidiamiri4657 2 жыл бұрын
S
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Unajua tutofautishe kati ya dini na kazi za Mungu.Kazi za Mungu au utendaji wa Mungu juu ya watu wake aufungwi na udini tunaoutukuza. Unajua watu wengi tunautukuza udini nakuacha kuutazama uweza wa Mungu uliomo ndani ya mtu aijalishi ni wa Dini gani.Ndo maana Yesu hana dini wala Mungu hana dini.Maandiko yansema Mimi ni Bwana Mungu wa Wote wenye mwili,je, kunaneno ngumu lolote niliso liweza? Dini imekuwa inamiliki watu kama ndiyo imekuwa Mungu wa watu.Nikama ndiyo imeumba watu,Tukiondoa udini hatutabaguana.Ndo maana Yesu aliingia kwenye Masinagogi na aliingia kwenye Mahekalu.Kwa Mkristo Yeyote akiyatafakari maisha ya Yesu awezi kufungwa na dini juu ya kuufikia wokovu mkuu wa nmna hii.Hata kama shekhe anahubiri habari ya kuurisi ufalme wa Mungu mimi nitamsikiliza.
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 2 жыл бұрын
Shekh unashangaa Mombasa njoo kwa mamposa dar es salaam robo ya kanisa ni waslam wanashudia makubwa
@ashleypetertv5894
@ashleypetertv5894 2 жыл бұрын
It's called revival..halleluyah kila mdomo utakiri Yesu ni bwana
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
Na ndo wako wengi mpka unashangaaaaaaaa na wengi wao MAJINI Kama yote😁😁😁😁😁😁😁
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 2 жыл бұрын
Demonic spirituals 🤮
@mwambinguphilip55
@mwambinguphilip55 2 жыл бұрын
Amen happy to hear that from the side of Bulldozer
@halimaomar2986
@halimaomar2986 2 жыл бұрын
Subhana Allah..awajielewi ao.. muislam tabiti mwenye iman afanyi uo upuzi..na ukute aijasoma qur,an..juu qur,an tu ni tiba ya shida zote ..we musilete mchezo bwana
@happytimes9747
@happytimes9747 2 жыл бұрын
Wakristo hawana miungu watatu Mungu ni mmoja tu, tunasema Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, sasa Mungu Baba niyule muumba wa dunia Mwana ambaye ni Yesu ni nafsi ya Mungu yani alitoka ndani ya Mungu ni pumzi ya Mungu, sijui kama unaelewa hadi hapo. Alafu Roho Mtakatifu ni nafsi ya Yesu ambaye ni Holy spirit sasa tukisema Mungu Baba Mwana na roho Mtakatifu haimaanishi kuwa tuna miungu mitatu ni Mungu mmoja aliye na nafsi tatu. Kwani Qur'an inasema Yesu ni nani? Baba yake nani? mitume wote wana Baba na mama Yesu Baba yake nani? Ndio ata tunasema ni mwana wa Mungu maana ni pumzi ya Mungu. Maana hata sisi wanadamu si tunasema tu viumbe wa Mungu ni Mungu alituumba? Sasa kama kanisani kuna pepo watu wanaponywa na nani? Maana wanapona hata wenyewe wanakwambia kweli wanapona hivi itakua ni shetani anawaponya ama ni nani?? HAPA LAZIMA KITAELEWEKA TU DINI
@kudramog6707
@kudramog6707 2 жыл бұрын
Aya adam baba ake nan
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 kzbin.info/www/bejne/n3rFo3ucjsyoobM
@abumuadh1053
@abumuadh1053 2 жыл бұрын
Umejaribu kukwepa imani yako kwamba hamuamini miungu mitatu kwa kutoa maelezo ya kukanganya, Swali langu ni. Alipokufa yesu (kwa imani yako) ni mungu wangapi walikufa? Kama ni peke yake, bila shaka hao miungu hawatakua kitu kimoja. Na kama walikufa wote, mungu wa vipi huyu afa? Kufa nikua na kikomo, vipi mungu awa na kikomo? je yeye siye ALFA na OMGA? Na dunia ilikua chini ya maangalizi ya nani? Huoni huku ni kukanganyana?
@happytimes9747
@happytimes9747 2 жыл бұрын
@@abumuadh1053 hatuwezi kushindana maana mimi nakwambia mambo ya kiroho ambayo hayaonekani kwa macho ya mwili na wewe unaniambia mambo ya mwili cha msingi ni sisi wakristo tunaamini kwamba tuna Mungu mmoja na tunaelewa vizuri kile tunacho abudu
@happytimes9747
@happytimes9747 2 жыл бұрын
@@DonMooSTUDIO_Express sitabonyeza maana ni mashindano tu yako huko na mimi ninavyo amini Mungu ninaye muabudu sitaki kushindana na watu wengine huu ni wakati wa mtu binafsi na Mungu
@catherinekuria1365
@catherinekuria1365 2 жыл бұрын
Beautiful platform to spread the gospel ,Jesus Christ loves all of us Muslim or Christian he is waiting for everyone to turn back to Him it's never too late there is power in the name of Jesus Christ
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 2 жыл бұрын
There is power in the teachings of Jesus only the rest achia God...ata jesu anajua God is more superior than him
@neemamassame8183
@neemamassame8183 2 жыл бұрын
Kwa jina la Yesu kila goti litapigwa Filipi 2:9_11
@amisisylviaalusa5143
@amisisylviaalusa5143 2 жыл бұрын
Amen
@sallynyosh2835
@sallynyosh2835 2 жыл бұрын
Amen
@halimaomar2986
@halimaomar2986 2 жыл бұрын
Sa nyie mnapiga goti au munapiga Kofi😁😁
@hassanedin6487
@hassanedin6487 2 жыл бұрын
Subhanallah Allah atujalie mwisho mwema Allah Akbar laa ilaaha illaa anta subhanaka inii kuntu mina dhaalimin
@alhamiraji2546
@alhamiraji2546 2 жыл бұрын
Hao wanaoenda sio waisllam haswa
@marykuria5819
@marykuria5819 2 жыл бұрын
Run to Jesus Christ he is the only one who can help you and set you free.don ' just sit and die with your problems.he is able to do the unthinkable
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 2 жыл бұрын
Run to God en not Jesus mummy...Jesus ako under God hakuna mungu wawili
@khadijamnayahe8011
@khadijamnayahe8011 2 жыл бұрын
Assalam alaykum warahamatullah wabarakatuhu,Shiekh Ramadhan In sha Allah,Allah akujalie kwa uwezo wake na nguvu zake uweze kufunguwa sehemu ya kufanyia maombi ya Ruqya kwa wenye matatizo mbali mbali,hata kama mambo magumu,ila kwake hakuna kisichokuwa rahisi akitaka,kikubwa ni kutokuchoka kumuomba yeye.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Wa aleikum salam warahmatullahi wabarakatuh, inshaAllah iwe kama ulivyosema, shukran jazeelan
@jamillahhajega8198
@jamillahhajega8198 2 жыл бұрын
We should not just criticize we need to know what the problem is and the solutions to the issues
@mufid707
@mufid707 2 жыл бұрын
Jazakallah kher Sheikh Sheikh: Ramadhan. Wallahi tupo konye msiba mkubwa Waislamu tumogopeni Allah.
@natrinemweha8625
@natrinemweha8625 2 жыл бұрын
Kwa Yesu kuna uponyaji, one saudi Muslim told me that their Allah does not heal but he adds more sickness for them to die and go to jannah....Kila goti litapigwa na kukili kwamba Yesu ni mwana wa Mungu...May God open their Spiritual eyes.
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 2 жыл бұрын
😂😂🤮🤮
@malikdodo5190
@malikdodo5190 2 жыл бұрын
This should be a wake-up call to all Muslims,...be cause "seeking for knowledge is an obligation to all Muslims". And i thank our daai Ramadhan kurya the great Islamic daawa spreading to Umma. May Allah eas your great job and reward u with Janna. Assalam alaikum warahmatil-llah wabarakatuhu
@mariamshemweta8880
@mariamshemweta8880 2 жыл бұрын
Kila la kher shekh allah akufanyie wepesi
@championalways192
@championalways192 2 жыл бұрын
Mtaongea yote mwaka huu nawaambia, waislam lazima waje kwa Yesu... alaa
@jagenaught
@jagenaught 2 жыл бұрын
@@championalways192 Yesu sio Mungu. Yesu ni Mtume. Wakristo wamepotea.
@khadijakamus2850
@khadijakamus2850 2 жыл бұрын
@@championalways192 jidanganyeni tuu ndugu yangu hao wanaokuja huko wote wanaenda kwa malengo yao wanaopewa hela ndio isha inayowapeleka
@khadijakamus2850
@khadijakamus2850 2 жыл бұрын
Anaekomboa ni Allah peke yake
@khadijamnayahe8011
@khadijamnayahe8011 2 жыл бұрын
Innalillah wa Inna ilaihy rajiuna,hao wote wanaokwenda huko Imani zao ni haba na kusoma hawayaki ndio maana wanapotea in sha Allah, Allah awazidue wajue upotevu wao amiina.
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 жыл бұрын
Innalolahi wainnailayhi rajioon, hii inaletwa ni upungufu wa ilm
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 2 жыл бұрын
Wallah hata huyo sheikh si lazima akuombee muislam wewe mwenyewe unaweza kujikaribisha kwa Mungu kuliko mtu mwengine. Imani zimepungua
@ellymaz2187
@ellymaz2187 2 жыл бұрын
Unasema imani hava na wenzio shida zao zinatatuliwa. Wasingekuwa na shida wasingeenda
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 2 жыл бұрын
Kabisa wallahi 😥
@HassanAli-vy3kb
@HassanAli-vy3kb 2 жыл бұрын
Amin
@haulamwanasiti9078
@haulamwanasiti9078 2 жыл бұрын
Allah atakulipa kwa kazi unayo fanya...Allah awaepushe ndugu zetu waislamu na mtihani huu
@adamomary2961
@adamomary2961 2 жыл бұрын
Aslm alykm as tupo Tanzania tunaomba mtukaribishe tuje kwenu tuwasaidie hao waisilam tunauwezo mkubwa wa kutibu kwa uwezo wa Allah
@husseinhincha1846
@husseinhincha1846 2 жыл бұрын
Allah azidi kukupa nguvu sheikh wetu, waislam wengi dini yao hawaijui bado hawajajengeka kiimani, daawah inahitajika sana zama hizi maana ni mtihan
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
Kwakweli unaanzaje kuingia kanisani
@truthchannel5285
@truthchannel5285 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/h4vYmXmnjKqid9k
@tatujuma8781
@tatujuma8781 2 жыл бұрын
Mitihani kweli kakangu...
@priscillanyakairo8750
@priscillanyakairo8750 2 жыл бұрын
Yesu ndiye njia kweli na uzima!
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ndio njia ya ukweli na uzima sio yesu
@quenice4433
@quenice4433 Жыл бұрын
@@belphineisiaho3707 akuna mwenye atafika mbinguni bila kupitia Kwa mwana, yesu kristo
@newbwejuu4302
@newbwejuu4302 11 ай бұрын
​​@@quenice4433uzushi uo wapi yesu kasema ivyo? na Yesu ni kwa ajili ya taifa moja tu.
@lutfabdulrab5527
@lutfabdulrab5527 2 жыл бұрын
Subhana llah, waislam msiwe na iman ndogo hakuna uponyo wa maradhi ila kwa Allah na mola akupe afya Sheikh
@faridaali3279
@faridaali3279 2 жыл бұрын
Isn't Allah an Arabic word for God. Isn't God we all worship I mean Allah.
@theChristshow1
@theChristshow1 2 жыл бұрын
Jesus is the truth he is the healer
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 kzbin.info/www/bejne/n3rFo3ucjsyoobM
@MsKimuluA
@MsKimuluA 2 жыл бұрын
Allah🤔🤔is not Allah God, Why do u have to be forced not to know God in your own language and relate with God (Allah) from a point of knowledge 🤔
@theChristshow1
@theChristshow1 2 жыл бұрын
@@MsKimuluA thats what you were lied and believed but Allah is not God, the name allah came with muhammad because there was no other book recorded Allah only Quran.. Muhammad was deceptive he deceived many people because he wanted to be powerful accross the Eastern countries They were no witnesses that saw muhammad receiving revelation from angle Gabriel all he did it was for his own benefit as we can see in Quran Allah claiming muhammad is the one to marry more wife than his followers this was for his own benefit. All he did was to gain and promise you lies that does not exist.the Quran also says Allah he is a deceiver the best deceiver
@godsservantrimo9844
@godsservantrimo9844 2 жыл бұрын
And whoever turns away from My remembrance - indeed, he will have a depressed life, and We will gather him on the Day of Resurrection blind." Quran 20:124 Tumebaki waislam majina tu...Innalilahi wainnailyhi rajiun.
@Asiyah2000
@Asiyah2000 2 жыл бұрын
Indeed Allahu akbar
@ibrahimsiddiq4018
@ibrahimsiddiq4018 2 жыл бұрын
Ila tuwaombee Dua ni ndugu zetu na pia tuoe wake zaidi ya mmoja Hadi wanne Kama uwezo upo na uadilifu kwa sabb wanwake madhaifu wallah binafsi hata huyo alokua akihojiwa Fatma naweza mstiri maadam yupo tayari na nimpende na kwa kufanya hivo huenda itakua sabb ya yeye kuwa mbali na kufru. Na zaidi kuwasomesha dini na hasahasa mambo ya aqeedah.
@catherinemuthanje8431
@catherinemuthanje8431 2 жыл бұрын
Jesus will continue doing miracles , you like it or not .
@carolynewambui2747
@carolynewambui2747 2 жыл бұрын
THE PAIN THAT THE INTERVIEWER SHOWS TO THE WOMAN ,SHOWS HE HAS A DIFFRENT AGENDA .ATI THAMBI KUOMBEWA NA ASIYE WA DINI YAKO, SO IS NOT ABOUT GOD IS ABOUT RELIGION .THAT'S WHAT THE INTERVIEWER MEANS
@ruwaidahadi7198
@ruwaidahadi7198 2 жыл бұрын
The prayers won't go anywhere
@annkuya1446
@annkuya1446 2 жыл бұрын
@@ruwaidahadi7198 If she has faith like a Canaanite woman the prayer will Help her.But if she continue to fear her religion priest the prayer won't work.
@dixfreeman5586
@dixfreeman5586 2 жыл бұрын
Not only what he means but what it is
@ruwaidahadi7198
@ruwaidahadi7198 2 жыл бұрын
It never works plus it business thing to get money n fame 💰 💰 nothing to do with prayers
@angelcecil4285
@angelcecil4285 2 жыл бұрын
Mungu mwenyewe hana upanguzi.If you believe in him it doesn't matter we ni ndini gani wala kabila gani.Mungu ni wetu sisi wote.
@newbwejuu4302
@newbwejuu4302 11 ай бұрын
Wakristo wanampa uzaifu eti ana mtoto na mshirika. Yesu ni nabii na ni mtu.
@sarahkudoyi4371
@sarahkudoyi4371 2 жыл бұрын
Badala ya kufata watu na kuwahoji ilimradi mchafue jina la dini za wenzenu basi mngekua mnafanya bidii mnawaondolea hayo matatizo yao ya mda mrefu hadi inawasababisha kuwaleta kwa Yesu wapate ukombozi,,,yesu ndie njia ata mfanyeje!!!
@jnrhassan4629
@jnrhassan4629 2 жыл бұрын
Thanks sheikh ramadhan kwa kuleta maficho nje .
@jamalathman6219
@jamalathman6219 2 жыл бұрын
Hio ni ukosefu wa dini malezi na mazingira musitafute sababu,Allah awaongoze jamii islamu Ameen yarab
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 2 жыл бұрын
Ameen yaraab alamiin
@issaramadhan4015
@issaramadhan4015 2 жыл бұрын
Hongera shekh unajasiri mashaallah
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 2 жыл бұрын
Amiin Amiin
@akeem1221
@akeem1221 2 жыл бұрын
Pastor hana chuki and very cooperative.
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 kzbin.info/www/bejne/n3rFo3ucjsyoobM
@theblessedone7526
@theblessedone7526 2 жыл бұрын
Kabisa ingekua ni sheikh ndoanaye hojiwa ungeona visanga hapo na maneno mengi ya kejeli
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
Hata huyo shekh Naye Ana subra kwa ujinga wanaofanya waislam
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Anataka watu wajue Yesu ni Nani??anajua utamu wa Yesu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@fatimambaruku1833 angewaua kama Waislamu wanavyoua Wakristo au ??Angewafanya nini huku wana Akili Timamu??
@slimtaley1759
@slimtaley1759 2 жыл бұрын
Vipi Huyu Mchungaji anaye sema Usiangalie Dini na M/Mungu ametuleta Duniani Kwa lengo la Dini Hawa Ndugu Zetu waislaam Hawaujuwi Uislaam Wao hilo Ndio tatizo Kubwa .
@ramadhanilukambuzi9760
@ramadhanilukambuzi9760 2 жыл бұрын
Ni kweli wanakosea Waislamu kwenda kuombeawa Kanisani laki shida iko kwetu kwa sababu Watabibu wetu wa Kislamu kona nyingi,mtu anaumwa vibaya anamtafuta Sheikh hapokei simu au anajibiwa vitu vya ajabu unadhani Mgonjwa huyo atafanyaje?Ni wakati sasa sisi wenyewe Waislamu kutenda haki kulingana na dini yetu inavyoelekeza ili tumalize shida zetu wenyewe au unadhani mtu anaumwa mapepo akienda kwa mtabibu akamwambia mapesa mengi na hapo hapo anasikia Kanisani wanatoa mapepo bule hata kama ni uhongo ataenda tu ili aone kama atapata nafuu!
@ramadhanilukambuzi9760
@ramadhanilukambuzi9760 2 жыл бұрын
Ni kweli wanakosea Waislamu kwenda kuombeawa Kanisani laki shida iko kwetu kwa sababu Watabibu wetu wa Kislamu kona nyingi,mtu anaumwa vibaya anamtafuta Sheikh hapokei simu au anajibiwa vitu vya ajabu unadhani Mgonjwa huyo atafanyaje?Ni wakati sasa sisi wenyewe Waislamu kutenda haki kulingana na dini yetu inavyoelekeza ili tumalize shida zetu wenyewe au unadhani mtu anaumwa mapepo akienda kwa mtabibu akamwambia mapesa mengi na hapo hapo anasikia Kanisani wanatoa mapepo bule hata kama ni uhongo ataenda tu ili aone kama atapata nafuu,Kanisani unakuta mafuta ya upako garama nafuu ukienda kule bei kubwa!
@jumjumsaid3552
@jumjumsaid3552 2 жыл бұрын
Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika. ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ بِـَٔايَٰتِنَا وَكَانُوا۟ مُسْلِمِينَ ( 69 ) Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu. ٱدْخُلُوا۟ ٱلْجَنَّةَ أَنتُمْ وَأَزْوَٰجُكُمْ تُحْبَرُونَ ( 70 ) Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
@@sharonandisi4260 Pole Sana Allah akuongoze njia
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 жыл бұрын
Na hutaki kuingia peponi kweny maisha ya kifahar baada ya kufa
@mkazahamisi8508
@mkazahamisi8508 2 жыл бұрын
Huu ni mtihani Allah amesema atatujaribu kwakila mitihani ili kutupima imani zetu lakni imani zetu ndogo wallah imeniuma sana
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 жыл бұрын
Mtihani mkubwa na majonzi
@HassanAli-vy3kb
@HassanAli-vy3kb 2 жыл бұрын
Allah amuonyeshe njia sahihi dadaetu
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 2 жыл бұрын
Majini kiboko yake ni Kristu, ukiwa unayafuga kwamba yatakusaidia kuna siku yatakugeuka na asikudanganye mtu yoyote popote kuwa kuna jini zuri. Majini yote ni mashetani na yameshalaaniwa ,
@ciruj.m1910
@ciruj.m1910 2 жыл бұрын
Amen
@paulinedavid2166
@paulinedavid2166 2 жыл бұрын
Walitoa comment zangu kwakuwa nilimwabia Kila kitu ni Kwa YESU mambo yote AMEN 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 everywhere 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@theblessedone7526
@theblessedone7526 2 жыл бұрын
Irudishe Tena. Hii dini yao hawaniambii chochote
@paulinenekesa6283
@paulinenekesa6283 2 жыл бұрын
Everyone has freedom to worship where they feel comfortable.No hard feelings but there's power God through Jesus Christ who died and resurrected on the third day.He said it is finished on the cross and if we trust that power He's faithful to heal and save.
@shakurpriest7141
@shakurpriest7141 2 жыл бұрын
Yes everyone has got the right to worship but in Islam, Muhammad said anyone who leaves Islam should be killed and it's well documented in Islamic sources
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 жыл бұрын
Ahasiba nnaasu an yutrakuu an yakuulu aaamanna wahum laa yuftanuun.. walaqad fatanna ladhiina min kablihim falayaalamanna llahu ladhiina swadaquu walayaalamanal kadhibuun..
@championalways192
@championalways192 2 жыл бұрын
Hakuna mtu wala kiumbe kingine chochote kilichowai kufa kwa ajili ya ulimwengu mzima isipokuwa Yesu Kristo mwana wa Mungu. Waislam pia ni watu wa Mungu na sio wa mashehe wala uislam, lazima waje kwa Yesu Kristo. Nawaambia leo, mtapambana sana kuwazuia, lakini hamtaweza, kwasababu nguvu ya Mungu ipo kazini kuwavuta watu kwa Yesu. Angalia kinachoendelea nchi za uarabuni, watu wanamfuata Yesu na kumwamini kwa namna isiyo ya kawaida. Hata mbele ya kifo bado wanamkiti Yesu Kristo kuwa ni Bwana wa maisha yao. Bado wewe shehe unaeongea hapa, iko siku nitakukuta youtube ukihubiri kwamba Yesu ni Bwana. Wait, time will tell.
@roselineokumu4636
@roselineokumu4636 2 жыл бұрын
Amen
@nahyaabdulla1755
@nahyaabdulla1755 2 жыл бұрын
Mislamu mwenye kujielewa na kumjua allah hawezi kuingia katika ukafiri na siku ya hukumu nyote mtamkimbilia Muhammad kuwaombea
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 жыл бұрын
kwa Yesu kila goti litapigwa!
@maryfeddy2798
@maryfeddy2798 2 жыл бұрын
Kabisa, hata nani apinge.
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 kzbin.info/www/bejne/n3rFo3ucjsyoobM
@gladystinah5928
@gladystinah5928 2 жыл бұрын
And every tongue shall confess that Jesus is Lord
@gladystinah5928
@gladystinah5928 2 жыл бұрын
Sure
@theblessedone7526
@theblessedone7526 2 жыл бұрын
Amen
@schrodingerscat2788
@schrodingerscat2788 2 жыл бұрын
Let's give it up for the very cooperative pastor🤝
@achanifumos1093
@achanifumos1093 2 жыл бұрын
Mara nyingi sana watu wana vaa mavazi ya kiislamu km buibui kujificha sura zao wanapo fanya maasi ht ambao si waislamu...na km kuna waislamu wanao enda hapo basi ni wale ambao hawana imani wala ilmu ya dini...Allah atuongoze jamii islamu...amiin
@jamalimgonda6252
@jamalimgonda6252 2 жыл бұрын
Kweli Kabisa unayoyasema
@kaatayari9555
@kaatayari9555 2 жыл бұрын
Tunajua unailinda na kuitetea iman yako kama kitabu chenu kilivyo waamuru mfanye Madada wako vizur sana wanatafuta hafueti ya matatizo yao kwa MUNGU Alie hai Na si huyu MUNGU JIWE ALIEPO UARABUNI
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
@@kaatayari9555 kumbe kuna mungu jiwe uwarabuni?
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 2 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@grace_gracious
@grace_gracious 2 жыл бұрын
Pastor Ezekiel n the team God bless you for spreading the gospel of God bolding as it should b ..more favor, anointing , protection of the blood of Jesus to you n the ministry & all that concerns you as you embark on God's work all for God glory , honour n praise !
@suleimansharjy9890
@suleimansharjy9890 2 жыл бұрын
Umenifurahisha Sana ndugu muandishi jinsi unavyompa nafasi pastor ili aelezee mambo yake,hivo ndivyo Mtume Mtukufu alivyotufundisha kuwa anapozungumza mmoja wenu inabidi asubiri hadi mwengine amalize kuzungumza usimkatishe,Umeniwakilisha kwa Kuonesha Heshima ya mazungumzo
@aishaathman7340
@aishaathman7340 2 жыл бұрын
Ya allah nipe mwisho mwema. Ya allah usiichukue roho yangu hadi utakapo kua radhi nami.
@ahlalbeytmufwasiwaahlalbey8470
@ahlalbeytmufwasiwaahlalbey8470 2 жыл бұрын
Hawo siyo wa islam
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 2 жыл бұрын
Amiin Amiin kwetu sote
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 2 жыл бұрын
SubhanaAllah Allah atuongoze waislam.tuwe na Iman ya kweli
@HassanAli-vy3kb
@HassanAli-vy3kb 2 жыл бұрын
Amin
@theshawod5710
@theshawod5710 2 жыл бұрын
🤝🤝
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mtumishi Umeukonga moyo wangu,dini ni mapito tu ,Yesu pekee yake ndiye Anaokoa na Kuponya
@halimaomar2986
@halimaomar2986 2 жыл бұрын
Yesu Kwan ndio mungu..mwenyewe mpk amuombe mungu ndio apate nguvu ya kuponya...kuokoa jichanganye tu... utajua ujui siku ya kiama
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@halimaomar2986 sema MUNGU siyo mungu(mtu au asiye na uwezo),Anao uwezo ni Mwana wa Mungu na ni Mungu na ROHO pia ukimkubali utaona baadaye
@halimaomar2986
@halimaomar2986 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 sasa kama n mwana wa MUNGU..pia yy mpk aombe ndio MUNGU ampe nguvu.. kwaiyo Iman zetu ziwe kwa MUNGU kuwa ana ponya na kufufua
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 2 жыл бұрын
Usisahau yesu mwenyewe alikua anaomba Mungu ruhusa kwanza ndo afanye miujiza@
@brefaw
@brefaw 2 жыл бұрын
@@halimaomar2986 tafadhalini wacheni kukosoa dini yetu... kama your sheikhs and ustadhs have not taken interest in praying diligently for their people, why do you get mad when your fellow muslims go to our CHURCHES to seek GOD through OUR JESUS CHRIST??? Jisuteni wenyewe cause hamna aliyepiga parapanda akiwaita kwa pastor Ezekiel... wenyewe wajikokota na kuraukia kanisani!
@khadjahakamali-njufsk-7827
@khadjahakamali-njufsk-7827 2 жыл бұрын
SubhanaAllah, hawo ni waisilamu kweli au waisilamu feki,hawajui yakuwa anayetoa uwezo ni Allah peke yake,na uponyaji ni Allah peke yake, waisilamu jifundisheni dini yenu.
@iddyally7228
@iddyally7228 2 жыл бұрын
Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam
@japhetcharo9660
@japhetcharo9660 2 жыл бұрын
For God so loved the world that he gave his only begotten son that whoever believes in him should not perish but have eternal life.
@jagenaught
@jagenaught 2 жыл бұрын
LOGICAL FALLACY OF CHRISTIANITY: Allah saved Jesus from dying on the cross cause he loves him more than some fictional character who loves to kill his son to forgive other's sin as if there's no other way to reach atonement without spilling blood. Secondly, blood isn't only way to achieve atonement. If God can't forgive without requiring sacrifice then that means He's either not merciful or omnipotent. True God can forgive without any conditions because His mercy is boundless. *Quran 4:157* That they said (in boast), "We killed Christ Jesus the son of Mary, the Messenger of Allah";- but they killed him not, nor crucified him, but so it was made to appear to them, and those who differ therein are full of doubts, with no (certain) knowledge, but only conjecture to follow, for of a surety they killed him not
@annkuya1446
@annkuya1446 2 жыл бұрын
@@jagenaught But we have eye witnesses who witnessed really Jesus being killed.So,we don't rely in any w other prophets who Never saw really Jesus with their eyes.The bible was written by eye witness who witnessed things that happened long time ago,during Jesus time and things to come. So we don't believe every prophets, because most of them are false prophets who will claim that there is another Jesus who has sent them.Jesus Christ finished His Work when He was in His universe, He never needed other fake prophets to Help Him to prophecie things He didn't mentione while He was still in His earth,Because He is The Beginning and The End.
@jagenaught
@jagenaught 2 жыл бұрын
@@annkuya1446 Who are the eyewitness? So far your claims fomy have evidences? Just name them. Also where did he say he was a god. One verse from the Bible. Was he a god or son of himself? Well Paul never met Jesus. How come he wrote and doctored the Bible many hundreds of years after the supposed death of Jesus? Where are the accounts from his disciples?
@jagenaught
@jagenaught 2 жыл бұрын
@@rayrayndiema Well critical thinking means what? Well Allah tells us in the Qur'an and we believe it. Critical thinkers deny creation and rub with concepts of evolution that make no sense and then mock the one who denies an iPhone for example was created. So what is your religion and foundation? The Qur'an isn't the criteria for you since you don't believe in it anyway.
@jagenaught
@jagenaught 2 жыл бұрын
@@rayrayndiema Also as a critical thinker, why don't you evade death? Where is the physical proof of your soul. Can you see it? Can you see the soul leaving the body?
@procymbelamzae7806
@procymbelamzae7806 2 жыл бұрын
Yesu ndiye jibu tu! 🙌
@anthonyonuti8473
@anthonyonuti8473 2 жыл бұрын
I pity that Mama how she was indirectly intimidated by the interviewer Later she had to give out her number - I wonder what lecture she'll be given later out of camera.
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 kzbin.info/www/bejne/n3rFo3ucjsyoobM
@gladystinah5928
@gladystinah5928 2 жыл бұрын
That means this Islamic religion is slavery,their allah is a punishing god unlike Jesus who is compassionate,loving,merciful, forgiving etc
@Pixe_lify
@Pixe_lify 2 жыл бұрын
@@gladystinah5928 lack of knowledge or failure to understand or understanding the bible lightly ati Lord Jesus ..A mere servant/messenger of God
@marychristiansen2990
@marychristiansen2990 2 жыл бұрын
Huyo ameyumbayumba, hatosaidika.. Msimamo muhimu
@annkuya1446
@annkuya1446 2 жыл бұрын
@@Pixe_lify A mere servant but He can Heal,He raise dead back to Life And He is the Best among all Prophets who Lives until today and every one will bow down before Him including all Prophets.Even You Educated man with your knowledge, You will bow before Him and Your tounge will confess that Jesus is the King of Kings until today wherever you like it or you don't like it .Jesus is the Final say.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 жыл бұрын
Tatizo hasa ni kukosa subra wakati unapo pata mitihani na kukosa imani ya kweli Kutoka moyoni ndio inapelekea watu kwenda kuombewa na makafiri. Allah atupe subra.
@stevenmahimbo3132
@stevenmahimbo3132 2 жыл бұрын
Kwahio nikiombewa na nikipona napatazambi
@nuruanaelisha8731
@nuruanaelisha8731 2 жыл бұрын
Makafirii????, Mwite Yesu ataitika , don't judge imani ya mtu hata akiamini wapi, angalia mwenyew ni wapi wanakufaa ,maana Kila moja na roho yake cku ya mwisho, jaman Mungu aweze kutufungua
@nuruanaelisha8731
@nuruanaelisha8731 2 жыл бұрын
I mean ni wapi panakufaa
@euniceotuch741
@euniceotuch741 2 жыл бұрын
Mkafiri ni wewe unayehukumu ju hauna mamlaka,utakaponyanganywa hiyo pumzi ujipate jehanamu ndio utajua Yesu ni bwana wa mabwana ndiye Mungu wa kweli na ni yeye atakayekuhukumu siye mwingine.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 жыл бұрын
@@euniceotuch741 embu kajifunze kuandika kwanza. Mmeitwa makafiri na Biblia yenu sio sisi waislamu.
@seniorcade1784
@seniorcade1784 2 жыл бұрын
Anaye ponesha ni Mungu na mtu hafai kuomba kando na Mungu .....I'm worried to hear that Muslims are going to church kuombewa😭😭😭May God guide them to the right way.....I could hear others saying they never went to Mandarasa wala swala hawaswali...uisilamu Sio mdomo tu ..my friends in Islam let this be a warning,.tusome dini yetu...ili tusipotezwe..
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
May Allah guide them
@kenyan9739
@kenyan9739 2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah hata si huko tu nai pia donholm wamejaa kwetu kwa usaidizi
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y 2 жыл бұрын
Subhanallah Shekh Ramadhan naomba Habari iwafikie mashee wa Mombasa Kazi yao kuu ni kushindana kuvaa makanzu mapya tu
@aminaamiri7684
@aminaamiri7684 2 жыл бұрын
Subhana llah maneno yako hayana hekma je Kuna shekh amtum maamuma kwend huko jibu n hapana je ulitaka wavae nguo kukuu
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y 2 жыл бұрын
@@aminaamiri7684 Haukufaham nlicho maanisha Kwa sisi watu wa kawaidi Hekima zilishia kwa Luqman tu
@ednamoraa817
@ednamoraa817 2 жыл бұрын
kweli kabisa Amen Amen pst Ezekiel mungu akutie nguvu mingi sana usidi kuomba
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Sheikh wetu ramadhani kurya Allah akutangulie ktk kila jambo
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 kzbin.info/www/bejne/n3rFo3ucjsyoobM
@bnussrahlimsantah3730
@bnussrahlimsantah3730 2 жыл бұрын
Amiin
@erickngatunga2359
@erickngatunga2359 2 жыл бұрын
unakwenda kuzuia waislam wasiingie kanisani lakini hatma yake ipo siku wewe mwenyewe utamfuata kristo.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@erickngatunga2359 Kweli kabisaa
@kassimahmed1666
@kassimahmed1666 2 жыл бұрын
Maustadh wakusomea watu waache kusomea watu kwa pesa na pia wengine mabasha ndio maana yaja mambo kama hayaa wanasoma madua kaa zote na haviwi na pia katika kuponya kuna kupoa au kutopoa
@mzeeyahya2516
@mzeeyahya2516 2 жыл бұрын
@Kassim, Maneno Yako ni ya kweli, Maustadh wanaosoma Ruqya wameifanya kuwa ajira..
@hamadiselemani1110
@hamadiselemani1110 2 жыл бұрын
Yaani kassim umeongea kweli kule tunapenda kuombewa Bure maana ukiugua Hadi uchumi unayumba
@Apostlesimonomari66
@Apostlesimonomari66 2 жыл бұрын
Allah akubariki zaidi Kwa maisha yako ewe Sheikh Ramadhan Kuria twakupenda Sana Kwa Kazi unayoifanya
@edithwangudi1348
@edithwangudi1348 Жыл бұрын
Mungu mtie Pastor Ezekiel nguvu... He is a true man of God....kwake sibanduki, na Mungu atabaki kua ni Mungu.🙏🙏🙏
@ahmadabdallah6641
@ahmadabdallah6641 2 жыл бұрын
Asalam alaykum. Tatizo baadhi ya Mashekhe wetu wanaosomea watu dua ama rukkuya wanawekeka pesa mbele. Imekuwa wagonjwa ndio chumo lao la pesa. Mtu atasomewa hapino sababu anataka arudi tena ili apate tena pesa. Sasa akiwa na wagonjwa kumi na kila mmoja anatoa elfu tano ama kumi kwa mwrzi kusomewa hizi ni pesa ngapi kwa mwezi. Lakini wajuwe watakwendwa ulizwa siku ya kiama.
@onetap8009
@onetap8009 2 жыл бұрын
Allah awaongoze in sha Allah..Na mashekhe wetu Allah awahifadhi awape nguvu na umri. Malipo yenu kwa Allah.Waislamu simunge kwenda kwa mashekhe mukasomewa Ruqyaa.wabilahi taufik mungetulia.
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 жыл бұрын
Kabisa, may Allha guide them to the straight path
@JesusChristLovesUs4ever
@JesusChristLovesUs4ever 2 жыл бұрын
God is one,God is love,God is patience,God is Unchanging God
@annaw.2573
@annaw.2573 2 жыл бұрын
Exactly that's what Christianity is all about. Love without discriminating
@rayhanrashid3928
@rayhanrashid3928 2 жыл бұрын
ALLAH awaongoze ndugu zetu katika Iman warudi kwa Allah
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 2 жыл бұрын
Allahumma amiyn
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 2 жыл бұрын
@Isaac Mwangi mwisho ukifika utajua tofauti ya Allah na jini!huu mchezo hauna dakika Za nyongeza!!!
@monicabh1668
@monicabh1668 2 жыл бұрын
ALLAH sio MUNGU.
@rayhanrashid3928
@rayhanrashid3928 2 жыл бұрын
@Isaac Mwangi AUDHUBILLAH!! YOU KNOW WHAT? LET'S WAIT AND SEE WHO AMONGST US WILL BE AT LOSE ON THE DAY OF RECKONING... LET ME NOT TOOK IT FAR, FIRST THE DAY DEATH SHALL OVERTAKE YOU, AHHH!! I THINK YOU WON'T REGRET IT.. AS FOR NOW YOU CAN CAN TALK ANY NONSENSE OF YOURS BECAUSE YOU THINK YOU FAR AWAY FROM THE ONE WHO MADE YOU AND BROUGHT YOU INTO THIS WORLD..
@rayhanrashid3928
@rayhanrashid3928 2 жыл бұрын
@@monicabh1668 It's okay !! You have your faith and I have mine.. not one forced you to follow Islam.. May Allah guid you to the straight path... you are fighting for the one (Jesus)who doesn't even know you..
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 2 жыл бұрын
Sheikh mahojiano mazuri hila ikifika hapo kwenye kumtishia huyo mjane anayetafuta nusra katika vile vinavyomzonga wakati ashajaribu maustadhi hapa na pale, Mdadisi anaweza kuhisi fitina,chuki na kinyongo ambacho kimefichika ndani ya kanzu. Mgonjwa ama yeyote anayesetwa na majini utafuta afueni. Bora kuingia mahali mchana ambapo mambo yote yanafanywa dhahiri tena kwenye nuru kuliko kwenda mapangoni ama makaburini kufukiziwa hudi na kuchezewa kayamba kando kando ya mizoga. Hawo wanawake ni watu wazima na wanamuelewa mungu,kama wangehisi shirki wangekuwa washatoroka kitambo. Lakini kama wanasaidika vya kweli basi wataalikiana
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Hamna chuki hapo Bali ukweli wa Mungu
@nasibndaro6281
@nasibndaro6281 2 жыл бұрын
Do men think that they will be left alone on saying ."we Believe" and that they will not be tested...? we did test those before them and Allah will certainly know those who are true from those who are false. {Quran 29 :2,3}
@iptisammohamed43mohamed17
@iptisammohamed43mohamed17 2 жыл бұрын
Allahu Akbar Allah sw atupe mwisho mwema atuepushe na fitna za masiihu dajjal waislam zindukeni jamaaniiii huu wakati wa mwisho msije kufa makafiri,laailaha illa anta subhanaka inna kunna Mina dhwalimiin
@suzanjacob3672
@suzanjacob3672 2 жыл бұрын
Tena wewe shekhe ndio mzuri Mungu akushughurikie katika jina la Yesu hadi umkili YESU ndie Bwana na Mwokozi wa maisha yako.Hallelluuyaa
@dreamer4052
@dreamer4052 2 жыл бұрын
Above all God our Almighty sent fire to those people who are against your pastors... You love us without perciality
@georgemungai3813
@georgemungai3813 2 жыл бұрын
Yesu, ndie atahukumu ulimwengu wote, wakati wa mwisho. Wafu, na wenye uhai. Wenye ndini mbila Yesu, watatupuo njehanamu, pamoja na ndini zao. Tafadhali, usiwe kikwazo kwa Mtu mwingine, kupata wokovu ama ukombozi wa shida yake. Mungu Baba alisema, kitabu cha Luka 9:35 Sauti ikatoka juu mbinguni ikasema, huyu Mtoto wangu, mumusikize, nafulahizwa naye. Mungu Baba hakusema mtu awe wa ndini, ya babu, ama wazazi wake, bali," asikize Mwana we. Watu wasima, munawaweka ndani ya itelenge cha Ndini. Mbinguni kuna Ndini ngapi? Njiurishe. Hakuna Ndini huko mbinguni, ila walio msikiza Yesu, masharti ya Mungu Baba. Maombi yangu, Mungu Baba awa bariki, na awape hekima ya Roho mtakatifu. Tukae kwa Amani, kama wa saledo, Katika Njina Lake Yesu kristo.
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 2 жыл бұрын
Cjaelewa ni mungu anaehukumu ama yesu?@george mungai
@barakamaliaki1365
@barakamaliaki1365 2 жыл бұрын
Ukitegemea dini utakufa na tai shingoni
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Kweli kabisaaa Yesu tu ndiye wa kumfuata
@kipiedhoabila4601
@kipiedhoabila4601 2 жыл бұрын
Islam is a beautiful. Life tests are there for everybody be it muslim or non muslim. Praying 5 times brings u inner peace and Allah feels that void inside u. Read quran too. Giv sadaqa. Help the needy. Everythng happens fr a reason. Maybe its fr the better. ALLAH SHUTS ONE DOOR TO OPEN A MUCH BETTER ONE. LOOSING HOPE IS NOT AN OPTION. JUST FOCUS ON YOUR DEEN. FOCUS ON ALLAH.WORK FR YOUR JANNAH. DUNIA MAPITO.JUST THINK OF YOUR DEATH EVERYDAY. IT LL KIP U MOTIVATED ON BUILDING YR AKHERA. PRAY MUSLIMS. DO PRAY WHOLEHEARTEDLY AND U WILL FIND PEACE.
@agnessngala3589
@agnessngala3589 2 жыл бұрын
Good explanation mtumishi wa Mungu asie na masikio asikie haya ajeni misingi ya kusini sote ni wana wa Mungu neno MUNGU ni yule yule jana leo na milele
@montenomontana1716
@montenomontana1716 2 жыл бұрын
La hawla wallaquwatta illa billah,
@miriam7186
@miriam7186 2 жыл бұрын
Wacheni ubaguzi wa dini sote tuna muombea Mungu
@yasiniselemani2412
@yasiniselemani2412 2 жыл бұрын
Mungu yupi mmoja au wale WATATU
@kimonimbinda422
@kimonimbinda422 2 жыл бұрын
Yesu ndiye mungu mkuu wa kuabudiwa milele!!! Waislamu wanajua yesu Alipofanyika mwili Tu...uungu wake hawahujui ata wakae misikitini milele
@musaisandeko8352
@musaisandeko8352 2 жыл бұрын
Uislam ni Imani Sio mavazi sku iz weng huvaa hijab but hawana Iman na wengine huvaa kanzu na unawakuta wanapga kitmoto ivo wenye Iman tutulie kwenye njia ilionyooka
@kennah03m
@kennah03m 2 жыл бұрын
Ukristo ni upendoo😍😍 proud to be one
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 2 жыл бұрын
Amen
@mwikalijosephine5178
@mwikalijosephine5178 2 жыл бұрын
Muslim god is dead , time for christ According to scripture every knee must bow . JESUS IS COMING .
@gladystinah5928
@gladystinah5928 2 жыл бұрын
Tell them
@nahyaabdulla1755
@nahyaabdulla1755 2 жыл бұрын
Allah is well never die never sleep be patient everything will be ok have a subr
@mwikalijosephine5178
@mwikalijosephine5178 2 жыл бұрын
Don't ever mention this rubbish to me .
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 8 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah sheikh wetu Allah akuogoze akupe afya njema
@ghaniyashaban8737
@ghaniyashaban8737 2 жыл бұрын
Sheikh mashalla imefanyika vizuri kwenda mahali hapo kuzuia wa Islam kufika na kudhalilisha dini subhana llaha Allah atunusuru
@gladystinah5928
@gladystinah5928 2 жыл бұрын
Every knee shall bow and every tongue shall confess that Jesus Christ is God. Eti huyu sheikh ama ndie nani anathreaten huyo mama na deni,false religion
@Pixe_lify
@Pixe_lify 2 жыл бұрын
JESUS AND GOD NANI MUHUUMBA?NANI ANA UWEZO KULIKO MWENZAKE
@ibrahimdubow9756
@ibrahimdubow9756 2 жыл бұрын
@Beholdthehandbeholdthenail wacha nikujulishe ya Allah haisemwi kama yenu mwatangaza mbele ya camera mukisema hivi na vile mukipiga kelele ila ya Allah ni muhimu mwenye anatibiwa ajue na mtipaji ajue uzuri kama sisi wailamu hatuna showbiz kama yinyi sisi tunaabudu mungu wetu kwa kujua wala si kujifanya na nikujulishe huyo yesu unasema aliumbwa kama ww tu so there is nothing you will tell that is new here
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 2 жыл бұрын
Ameeeeeeeen
@fridahmulongo9484
@fridahmulongo9484 2 жыл бұрын
Inna lillah wainalillah raja'un Waeslamu wanaoenda kule tambueni maana ya shahada.Allah amuongoe.
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 2 жыл бұрын
Huwezi amini uponyaji wa Yesu kama hujapata shida kwenye maisha yako, ukipatwa na mtihani then ukaombewa likaisha utakubali tu hata kwa kinafki, msiwazuie watu kwenda kupokea uponyaji wao.
@leocadiaonesmo8422
@leocadiaonesmo8422 2 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@aishamohamed9981
@aishamohamed9981 2 жыл бұрын
Waislamu wanahitaji Kusoma zaidi dini yao.. Mwenye kujua uislamu sawa sawa hawezi kufikia hapo walipofikia.. Tunawaombea sana wenzetu
@sifuelylyamuya9698
@sifuelylyamuya9698 2 жыл бұрын
Mtangazaji naona kajipatia namba fast a....pastor yupo right watu wawe huru kupokea Neno la Mungu
@mtorombwana3464
@mtorombwana3464 2 жыл бұрын
Understanding za watu ni tofauti, wengi tuna matatizo na njia zipo nyingi na kila mtu kwa mtazamo wake. Kwa pastor ama kwa sheikh, kwa mganga na hata kwa luminati, ni shida ndio hupeleka mtu kutafuta amani.
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 2 жыл бұрын
Yap ni vizuri mtu kukua na uhuru wa kuabudu lakini mbona uvae buibui au kanzu wakati Imani yako ya uponyaji haiko kwa iyo dini.si mtu avae tu kama venye hao watu weningine wanavaa...iyo tayari ni dalili ya kutojielewa@sifuely iyamuya
@majomasliman7856
@majomasliman7856 2 жыл бұрын
Sub hanallah umma unaangamia sheikh Allah akulipe
@jamessakaya6231
@jamessakaya6231 2 жыл бұрын
Wacheni watu wamtafute Mungu was kweli hata ulifanya juhudi za kuzuia watu kuja kwa Yesu ni kazi bure watakuja tena wengi zaidi ya hao maana Yesu ndio njia na kweli na uzima...
@nuruanaelisha8731
@nuruanaelisha8731 2 жыл бұрын
Mungu ndiye mwenye kibali ktk vyema vyote, ww unainterview huyo dada kwa kumtia hofu wakati yy mwenyew ndo mwenye imani yake ata siku ya mwisho atakuwa mwenyew, Kila mwenye kupitia kwa Kristo Naye ataokoka, ustazi karibu Kanisani Yesu anakupenda
@shabanisaidi2045
@shabanisaidi2045 2 жыл бұрын
Ukitaka kujua ukweli kuhusu dini Yako na ya mwingine, soma na uelewe sio ukariri maandiko. Hutabaki huko, na hao waislamu waendao kwa mchungaji hawana elimu ya dini yao
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 2 жыл бұрын
Masha Allah sheikh Ramadan kurya unahekma sana
@k-kol2547
@k-kol2547 2 жыл бұрын
Reign forever our Lord Jesus
@maryndungu8632
@maryndungu8632 2 жыл бұрын
It's the truth that's set's us free not religion. God isn't interested in our prayer houses names(religion) he's interested in our hearts and our faith. It's faith that makes us whole. Thank you lord for what you are doing.
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 2 жыл бұрын
Jamani njooni arusha mwone ndugu zetu waislamu wanavyopokea uponyaji katika uponyaji hakuna udini wanaponywa wote ukifika arusha uliza radio safina utajua sifa yake wakenya wanakuja na wanaponywa sisi hatuna ubaguzi karibuni sana Ameen
@bsjgeh59getting11
@bsjgeh59getting11 2 жыл бұрын
Kabisa, nashindwa kwa nini waisalamu wana wivu kiasi hicho, mbona imani yao ni hafifu, mtu anao uhuru wa kuabudu katika dini yoyote, mkristo akiingia kwenye uisalamu hutapata kuwa mkristo analalamika, naomba Yesu awafunguwe ndugu zetu waisilamu ukweli, na wawache kuhukumu wakristu maana ni Mungu pekeyake atakaye toa hukuma. Pastor Ezekiel Mungu aliye mpigania Daudi, asimame nawe katika siku xote,
Dawah kanisani kwa pastor Ezekiel | Waislamu wakatalia kanisani.
1:03:29
Straight Path Dawah
Рет қаралды 121 М.
PASTOR YAKOBO ASEMA UKRISTO SIO DINI, ASHANGAZA WAUMINI
1:04:43
Straight Path Dawah
Рет қаралды 18 М.
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 50 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 3,2 МЛН
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 47 МЛН
DA'WAH KATIKA MLIMA WA MAAJABU UKAMBANI
46:39
Straight Path Dawah
Рет қаралды 39 М.
DK.MWINYI ANGURUMAA KISIWA PANZA
7:56
OFISI YA RAIS IKULU PEMBA
Рет қаралды 579
DEBATE | WAISLAMU NA WAKRISTO | NI NANI MWENYE FUNGA YAKWELI NO1
2:06:05
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 17 М.
Wachungaji waikataa bibilia mbele ya waisilamu eastlegh ajabu sana by sheikh Anwar
32:11
ALIYESILIMU AAMUA KUTOBOA SIRI😀
58:34
Straight Path Dawah
Рет қаралды 16 М.
Mwalimu Ndacha akula kibano, Ipi dini ya Mitume na Manabii?
1:00:39
Straight Path Dawah
Рет қаралды 63 М.
MZEE ASHANGAA BIBLIA KUSEMA WALIOLALA KATIKA KRISTO WAMEPOTEA
1:04:24
Straight Path Dawah
Рет қаралды 14 М.
PASTOR NDACHA NA MWENZAKE WAPOKEA DOSE YA USIKU
59:02
Straight Path Dawah
Рет қаралды 27 М.
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 50 МЛН