ALIYESILIMU AAMUA KUTOBOA SIRI😀

  Рет қаралды 17,562

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

Please subscribe to my KZbin channel. Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.

Пікірлер: 100
@wahidasalum780
@wahidasalum780 Жыл бұрын
Mashallah mashallah ramadhan Allah akujaze kheir inshallah mana hiyo kazi inataka uwe na subra na imani sanaaa mashallah.from Tanzania 🇹🇿
@SalehHajj-tt4ri
@SalehHajj-tt4ri Жыл бұрын
Assalam alykum tuko pamoja katika kila jambo la kheri. Ndugu yako katika iman kutokea Zanzibar
@abiudmakokha4605
@abiudmakokha4605 Жыл бұрын
Japo mimi ni mkristo ila Nampenda sana Ramadhan naifuatilia sana imani yake❤
@yussufhussein6097
@yussufhussein6097 Жыл бұрын
Karibu sanaaa kwa Dini ya haki brother 🙏🙏🙏
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Shukran sana
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Karibu sana Bwana Abiud!
@wahidasalum780
@wahidasalum780 Жыл бұрын
Mashallah mashallah
@Nur-al-islamchannel
@Nur-al-islamchannel Жыл бұрын
​@@StraightPathDawahAsalaamualeikum Ustadh ningependa upeleke daawah Marsabit county
@benin9773
@benin9773 Жыл бұрын
Allah sh.ramdhaan akuzidishie kila la kheri katika dunia na akhira kwa kazi unaofanya .ni nasaha juu yetu kuwekana sawa Kama alivyosema mtume rehma na amani ziwe juu yake. kusema kwa wasokuwa waislamu amani iwe juu yenu ni kama kusema asalaamu alaykum kwa tafsiri .Waweza kusema habari na kadhalika . jazakallahu kheir
@huseninchasi
@huseninchasi Жыл бұрын
Mashaalaaaa
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 Жыл бұрын
Sheikh hiyo ndo town yangu sasa😊karibu Sana Kakamega. Allah akuhifadhi.
@rashidwalwanda1991
@rashidwalwanda1991 Жыл бұрын
Pega kwa pega Hadi peponi Allah atufanyie wepesi
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Ni 'Mbega kwa Mbega'. AU, Bega kwa Bega.
@zuriathkajwangya9250
@zuriathkajwangya9250 Жыл бұрын
@@Sai.Mo69 jamani typing error
@mariamfouziawairimu7991
@mariamfouziawairimu7991 Жыл бұрын
Salaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Baraka zitokazo kwa Mwenyezi Mungu pamoja na ulinzi wake ziwe juu yako popote uendapo katika shughuli za daawa Ustadh Ramadhan. Kazi njema.
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Allahumma Aamin 🤲
@johnwanjala4311
@johnwanjala4311 Жыл бұрын
Si kazi njema hata kidogo ni propaganda ya iblees kutafuta watu hafifu ambao hawajui lolote na kuwahataa ili wajifunge bomu waue watu
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
​@@johnwanjala4311 tupe ushahidi uliemuona katika maisha yako amefundishwa kujifunga bomu ama ni uzushi tu umekuwa kama ibilisi unashawishi watu..mapasta wenu wamekuwa mashoga mbona sisi hatusemi mnafundishana ushoga tumia akili na uwe na ushahidi kwa unacho kiongea usiwe kama mwanamke ushahidi hauna
@johnwanjala4311
@johnwanjala4311 Жыл бұрын
@@mohamedhozi8110 ushahidi Afghanistan Wa shia mujaheeden's suuni alshabab na majangili wengi juzi Pakistan jamaa mmoja amejifunga bomu akaua masikini waislamu wenzao.
@PirfaImanipirfa
@PirfaImanipirfa Жыл бұрын
Allah amdulillay mwenyezi Mungu akulipe kila la heri
@vklhkhjji8070
@vklhkhjji8070 Жыл бұрын
masha'Allah sheikh Allah akulinde na akuzidshie umri mrefu wenye kheri insha'Allah.
@JamilaJumanne-u7q
@JamilaJumanne-u7q 2 күн бұрын
😆🤣🤣pole kwa marehemu nyie duniani kuna mambo
@amoswekesa1476
@amoswekesa1476 Жыл бұрын
Napenda imani ya huyo hawker..Ata ufanye nini habanduki kuwa mkristu❤🎉
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 Жыл бұрын
Kuna imani bila kujua elimu kupotea, but haqi ni qurani pekee
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
​@@mangeraalbert7982 takbiiiir
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
NI vizuri kuwa na msimamo ila kusoma zaidi ni muhimu sana
@joephmaukilo
@joephmaukilo Жыл бұрын
@@StraightPathDawah siri gan yakutobolewa apo
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Masha allaah
@babamkude81
@babamkude81 Жыл бұрын
Kazi moja
@zohramariga6678
@zohramariga6678 Жыл бұрын
Asalam alakumu mashala mungu akulidikwakilajabo
@suleymansaid6116
@suleymansaid6116 Жыл бұрын
Assalaam alaikum warahmatullahi wabarakaat...naomba kujuwa version ya bible yenye yatumika hapo
@fahimabeid6953
@fahimabeid6953 Жыл бұрын
Masha Allah❤
@isseamin2017
@isseamin2017 Жыл бұрын
Mungu akulinde ustadh Ramadaan
@guenterernst5481
@guenterernst5481 Жыл бұрын
Ameen
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Allahumma Aamin 🤲
@jamesgasper6764
@jamesgasper6764 Жыл бұрын
Asalaamalekhum aleikum Shekh!! Ramadhani bin kaguo ? Napenda kuomba siku moja mje na uku tz coz Kuna vichwa ngumu sana uku.
@salmanassor8732
@salmanassor8732 Жыл бұрын
Mashallah ❤
@zackynebar6365
@zackynebar6365 Жыл бұрын
Alhamdhulilah
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
Maashaallah baarakallah shukran jazakallau khayran
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
ALLAHU AKIBAR ❤
@cumaryuusuf7836
@cumaryuusuf7836 Жыл бұрын
M.shAallah
@juliusjamanda7313
@juliusjamanda7313 Жыл бұрын
Yesu alisema naenda lakini lakin sitawaacha peke yenu ntawatumia ROHO mtakatifu atakaye waogoza maishani mwenu hakusema mtume Mhamad.waislam acheni kuchanganyikiwa .....😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
Roho mtakatifu alikuwepo kabla yesu kuondoka duniani, labda useme roho mtakavitu huyo mlieachiwa
@juliusjamanda7313
@juliusjamanda7313 Жыл бұрын
Mm nkudhibitishia Kwa maandiko soma JOHN 14:26 pia wewe tuonyeshe nwapi YESU alisema mwenye anakuja nyuma yake n Mtume mhamad .dhibitisha kauli zako Kwa maandiko .
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
@@juliusjamanda7313 kwa akili yako huyo roho mtakatifu hakuwa wakati wa yesu? Alafu ndio uonekane mkeli nataka uniambie nikwa nini alishindwa kusema kua huyo anaekuja ni roho mtakatifu wewe ndio unaesema?,pia ndio unionyeshe utabiri utabiriwa kwa jina nataka unionyeshe niwapi Mussa alimtabiri yesu kwa jina yesu, na hata kukosekana kwa majini kwenye bibilia sishangai maana yesu hakuacha bibilia
@juliusjamanda7313
@juliusjamanda7313 Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 nmekupea kitabu usome apo utapata jibu ya swali lako
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
@@juliusjamanda7313 kwani iwapo huamini mbona bado unatoa maandiko yaliyomo kwenye bibilia wakati yesu hakuandika wala kuacha kitabu kinachoitwa bibilia? Sasa andiko halikutaja roho mtakatifu wala mtaka vitu, je huoni kua bibilia zenu ndio zikamilike inabidi mujiwekee maneno mnayotaka wenyewe? Nimesema, unipe andiko yesu ametajwa kwa jina yesu na nabii yeyote aliepita tena usiniletee waraka
@jumahamad9463
@jumahamad9463 Жыл бұрын
SHEIKH RAMADHAN WAMEFUNGA HAO KIFUNGO CHA MACKENZI CHA SHAKAHOLA
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
😅😅🤔
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
😅😅😅
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Жыл бұрын
Nimecheka kama mazuri eti maiti tna wanampa pole
@SalumZahor
@SalumZahor Жыл бұрын
Yupo kilillahi taala
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Mtoto wa mungu ni yesu?Astaghfirullah
@abdallahonesimebamporubusa1540
@abdallahonesimebamporubusa1540 Жыл бұрын
Ngo acha niwe kuuni🤔🤔🤔🤔🤔
@aliisaid854
@aliisaid854 Жыл бұрын
We Charles makuri bora wende shaka hola kwa Mackenzie,ukauliwe huko maana wewe na ndacha muwapotevu
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
😂🙄
@KKK-v6j
@KKK-v6j 2 ай бұрын
Tobaa😂😂😂😂😂🤭🤭
@papayai882
@papayai882 Жыл бұрын
Shekhe nimesilimu muda mrefu lakini cjapata madeasa nipo tz
@zenaahmedi8857
@zenaahmedi8857 Жыл бұрын
SubhanAllah 🤔hap unapoish hakun waislam
@AllyMbaruku-ky5fp
@AllyMbaruku-ky5fp Жыл бұрын
Nenda kwa msikiti ukiopo karibu yako madras zipo hapo elimu ya kiislamu nibure kk
@papayai882
@papayai882 Жыл бұрын
Ok inawezekana bolapesaaa
@ambarnelly6071
@ambarnelly6071 Жыл бұрын
​@@papayai882asalama alaikum ndungu tafuta sheh yyte uliye karibu nae kila kitu kitakuwa sawa insha allah kwa uwezo wa Mungu
@papayai882
@papayai882 Жыл бұрын
Sawa lakini ujue ninamkenawatoto wamegoma kuslimu pili wazazi nandugu wamenikataaa Nina mwaka wanne sijauliditena nyumbani
@SalumZahor
@SalumZahor Жыл бұрын
Humsikii kutagaza dawa wa La hajiiti shekhe
@alyumar4657
@alyumar4657 Жыл бұрын
Kama nina uwezo sheikh ramadhan dahh ungefurah t na ungejuwa kuwa waislam kutoka pemba tuko pamoja na ww
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Mashallah
@zenaal-baalawy1953
@zenaal-baalawy1953 Жыл бұрын
@@StraightPathDawah Assalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. May I have your contact please?
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Jamani naomba mnieleze , ukafiri ni nini? Na mshirikina ni nani?
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
Nakujibu dadangu kafiri ni yule anae mkufuru mungu..ni sawa na mshirikina pia maana mshirikina nmtu anae mshirikisha mungu..mkristo anamshirikisha mungu akisema mungu ni watatu..ati mungu baba mwana na mungu roo huo ni ushirikina na ni ukafiri pia
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
@@mohamedhozi8110 anha sawa asante kaka angu Mwenyezi Mungu akubariki.
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Mu Kafiri pia ni yule, ambaye asha julishwa haki wa UISLAMU na MUNGU moja tuu, ....LAKINI aka chagua ku endelea kum SHIRIKISHA Mwenyezi Mungu, ambaye ni Allah !
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
@@Sai.Mo69 anha sawa asante
@joephmaukilo
@joephmaukilo Жыл бұрын
@@Catherine-mh8sw kafili maana yake niyule anaepnga Mola wapekee na Bwana Yesu kristo soma Yuda1msar 4
@johnwanjala4311
@johnwanjala4311 Жыл бұрын
Dini yangu ni musambwa na hakuna ukweli wowote katika uislamu quran iliandikwa na Muhammed baada kusoma biblia na akapendua dunia juu chini na mambo ambayo yanaendelea kwenye uso wa dunia ni tisho tupu ,maangamizi ya kuogofya msidanganywe ndugu zangu huyu jamaa anahila,jihadhari na mjidenge naye
@zuriathkajwangya9250
@zuriathkajwangya9250 Жыл бұрын
Duh wewe umedata kabisa
@halimakhalfanmwareko4649
@halimakhalfanmwareko4649 Жыл бұрын
Inalilah wainaillah rajiun pole kaka tena pole sana
@rizikiali328
@rizikiali328 Жыл бұрын
Maana ya ukafiri ni kumkana mungu mmoja wa pekee na hilo limejidhihirisha kwa ndugu wakristo wao ni mungu Baba mungu mwana na mungu rohomtakatifu ambapo hata bibilia haijafunza hivyo nikinukuu kifunguw!nay uzima wa milele ndio huu wakujuee wewe mungu wa pekeee na yesu kristo uliee mtuma
@halimahassan3261
@halimahassan3261 Жыл бұрын
Somaa mwanzo kabla ya kusema uwongo😅
@maandaziimakavuu3790
@maandaziimakavuu3790 Жыл бұрын
Shehe umechemka acha kupotosha watu, alisema msaidizi atakuja alimaanisha roho wa kweli hakusema nabii soma hadi mstari wa 13 jibu lipo hapo acha kutafuta vijana ambao hawajui biblia tafuta wanaojua uone kuna pastor mmoja ulikuwa naye kipindi kilichopita yule ndo saizi yako!!!!!!
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Жыл бұрын
Mashalla Allah ❤❤❤
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Masha Allah 🥰
KUITWA PASTOR SIO KAZI RAHISI 😂 || ALIYEDAI KUWA PASTOR APATA DOSE YAKE
1:02:30
Ramadhan Kuria bin Kaguo, akiwa Eastleigh.   18 May 2024
44:42
Abass Online Tv, Daawa Kenya
Рет қаралды 2,5 М.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 72 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,8 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,6 МЛН
PASTOR ASHUHUDIA WALIOPOTELEA GIZANI WAKIRUDI KWENYE NURU YA ALLAH.
1:37:17
Straight Path Dawah
Рет қаралды 21 М.
Majini ni wa dini gani ni waisilamu au wakristo maswali moto moto leo moto imewaka
1:08:25
Polygamy Debate Between Brother Dahud & A Bishop Part 2
1:01:04
The Early Church of the Lord Yeshua Nairobi
Рет қаралды 1 М.
Simba wa Daawa nchini Kenya.. atufundisha Dini ya Haki... 24 November 2023
38:04
Abass Online Tv, Daawa Kenya
Рет қаралды 22 М.
KITANZI !!! 🫣WACHUNGAJI WAKUBALI KUWA NABII ISA (YESU) NI KIUMBE CHA ALLAH.
1:02:20
WENYEJI WA MURIRI MERU WAPOKEA DAWAH ILA WAOGOPA KUSILIMU HADHARANI
1:27:35
Straight Path Dawah
Рет қаралды 15 М.
WAKRISTO WAJITOKEZA KUONA QURAN KWA MARA YA KWANZA
1:41:06
Straight Path Dawah
Рет қаралды 26 М.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 72 МЛН