WAKENYA wachukizwa baada ya kudaiwa RAIS RUTO amekodi NDEGE kwa TZS Bil.3.9 kwenye ziara ya MAREKANI

  Рет қаралды 17,293

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 173
@user-es7jn7cp5d
@user-es7jn7cp5d Ай бұрын
Mimi huwa nasema shida sio nchi za magaribi shida viogonzi wa kiafirica hao ndoo wanafanya Africa iwe masikini
@atutweve4160
@atutweve4160 Ай бұрын
UMEONA 👍🏿
@GodahMartin
@GodahMartin Ай бұрын
VIONGOZI SIO shida! Shida ni sisi wananchi hatujielewi na wala hatuna maono ya kujisimamia, HATUJIPENDI kwaio kiongozi akiingia anajua asilimia kubwa watu wanaakili za hovyo ndio maana wanafanya ivyo anaona bora ajipigie zake asepe.. chukulia mfano MAGUFULI alivyopondwa na watu na ile hali alikuwa anatuamsha hivi kama tungemlinda kwa gharama yule RAISI kwa wingi wetu unafikiri angekufa kirahisi vile?? kwaio mwisho wa siku hata tukipata RAISI mzuri kama RAIA hatujitambui ni kazi bure. SISI tunatakiwa kujielewa kwanza kabla ya viongozi na hata sheria tutazisimamisha sisi na viongozi tutamuwaweka mzuri.
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Kweli kabisaa
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
MIKATABA NDIOOO INAWAPONZA NAKADHALIKA
@john_1trader
@john_1trader Ай бұрын
Mimi mkenya ila raisi wetu mwehu sana
@sponsor7882
@sponsor7882 Ай бұрын
Samia na Ruto wanapenda sna ndege
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x Ай бұрын
😹😹
@user-zm8nq6xv8o
@user-zm8nq6xv8o Ай бұрын
Hivi unaanzaje labda kutowa pesa zote hizo huku wananchi wanalia nja 😢 wakamuangalie Ibrahim Traore
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
AFRICA BILA UZALENDO WETU BAINA YETU NI NGUM SANA KBS KUENDELEA
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b Ай бұрын
Sio uzalendo wan ubinafsi sana.
@user-zm8nq6xv8o
@user-zm8nq6xv8o Ай бұрын
Kwahakika inasikitisha sana Yaani ujinga ujinga ujingaaaaa kabisaaaa yaaani kiufupi hana hoja yoyote ile ya kujitetea
@3erffeoui86
@3erffeoui86 Ай бұрын
huyu Ruto alianza hii tabia mwaka 2013 mwezi wa tatu alitumia 100 million kenya shillings kuzunguka APA AFRIKA NA PRIVATE JET
@idatonymassawe
@idatonymassawe Ай бұрын
Na bado anazitunia had uchaguz ujao watanyooka tuu
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 Ай бұрын
Hawa Kenya hawa nivigeugeu waiosomeka ni afadhali ya TANZANIA❤🎉
@3erffeoui86
@3erffeoui86 Ай бұрын
boss ruto si wakenya
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Ай бұрын
Hanna kitu pia
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
​ 😅😅Ndiooo_🤦🏿‍♀️ 😅😅
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 Ай бұрын
@@3erffeoui86 ni wa wp
@TakarTeko
@TakarTeko Ай бұрын
Mimi ni mkenya sioni faida ya Ruto kwenda merekani
@MelodyDanteh98
@MelodyDanteh98 Ай бұрын
Huoni faida... Just go right now and see how many deals he has signed
@MamyHamso
@MamyHamso Ай бұрын
​@@MelodyDanteh98Ame saini ushoga tu 😢😢
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
​ 😭😭
@john_1trader
@john_1trader Ай бұрын
​@@MelodyDanteh98what deals uko kenya kweli he was anable to fight floods which deals bro pple sufering out here and u r saying deals
@show...002
@show...002 Ай бұрын
siasa ya kwetu mbona mmeikalia kmy lipuwa na yakwetu tu maana afazali ya kenya
@HansChuma
@HansChuma Ай бұрын
😂😂😂😂 thubutu wanaogopa ila kusema za wenzao tu hodari
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Nasikia pesa ya kenya inathamani sana ngoja Ruto awafundishe jinsi ya kuitumia.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Eee bwana 1000 kwa 22000
@golebenson4597
@golebenson4597 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@khadijaalimohd1320
@khadijaalimohd1320 Ай бұрын
AMEENDA KU LEGALIZE USHOGA KENYA .
@user-gx4jx4gv9l
@user-gx4jx4gv9l Ай бұрын
Baadhi ya viongozi wa afirika ni mazuzu ndiomana kwenye mazishi ya marikia walitengwa ata samia alienda kuchezea hela wakatuambia ameenda kwa faidi adi leo hatujaambiwa faida ya royotua zaidi ya maisha kuwa magumu tu.
@papamukulu1045
@papamukulu1045 Ай бұрын
Mchambue pia ya kwenu sio ua wenzenu naya kwenu yana washinda
@BHTV-ly4jf
@BHTV-ly4jf Ай бұрын
Kama niwamarekani ndio wana shida nasisi mbona yeye ndie ameenda Marekani? Afrika bado tuko watumwa kwanini yeye biden asije kenya😭😭
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
SUBUTU & SAHAU DUAA
@slowdns3694
@slowdns3694 Ай бұрын
Africa bado watumwa
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
NDIOOO KULIFAHAM LEO?
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Ай бұрын
Yaa true 😎😎😎👍👍👍
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl Ай бұрын
Hapo, Umechambuwa ukweli kaka" Mimi nimu Kenya, nampenda vile una fafanuwa.
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 Ай бұрын
Kenya Rwanda,agenti, wa nchi za magaribi,,,vivan uganda
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@mwalimunyerere
@mwalimunyerere Ай бұрын
ndio maana Tanzania mtazidi kua maskini.
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 Ай бұрын
Ameenda kuwauzaa wakenya cc mama alienda kutuuza ufaransa
@JuliusSenyael-ej6hg
@JuliusSenyael-ej6hg Ай бұрын
Wafe wote kwa jina la yesu MUNGU amewapima awafae
@benardmakori4012
@benardmakori4012 Ай бұрын
Hahaha😂😂😂
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Kulikuwa hamna haja yakutumia pesa zote izo Kwajili yakukodi ndege ya pesa nyingi ivyo..wakati ndege ya serikal ipo na hali za maisha ya wananchi wako wanaishi Kwa maisha magumu
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Ай бұрын
Hata hangezitoa hizo pesa, je raia wangezipata?
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
​ SUBUTU KBSAAAAAA
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Ай бұрын
Kenya wana ndege nyingi kwann hakutumia moja wapo kuepuk huu ufujaji wa pesa
@Soon815
@Soon815 29 күн бұрын
Wanandege 3 tu nyingine za kukodi
@dorambaga2667
@dorambaga2667 Ай бұрын
Si bora kenya vipi kuhu😢Tanzania mnajua mama yenu anatumia kiasi gani kila siku kuzurura
@aaa64sa13
@aaa64sa13 Ай бұрын
Jingazzzz we unatoka kenya ipi??? Pumbavu sana kama sio mkenya usiongele Kenya.
@dorambaga2667
@dorambaga2667 Ай бұрын
@@aaa64sa13 poor mind
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Ай бұрын
Hajawahi kukodi ndege ya bei hiyo
@dorambaga2667
@dorambaga2667 Ай бұрын
@@hashimchaoga9566 huna unalojua bora unyamaze
@criminalminds7723
@criminalminds7723 Ай бұрын
Ruto ni snitch tu kikaragosi wa marekani huyo,
@khalidsuleiman4588
@khalidsuleiman4588 Ай бұрын
Kuna mambo makubwa yatakuja kutukuta Ukanda wetu wa East Africa viongozi wetu wanatusinich sana
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Ай бұрын
Bona wa Kenya wana madege kwanini hajachukua hata denge monja ..jiga sana
@king_maik6375
@king_maik6375 Ай бұрын
Hovyo, rais bwege
@omarysaid8725
@omarysaid8725 Ай бұрын
Viongozi wengi wa kiafrika wanapenda sana anasa na kujilimbikizia mali wanapenda vitu vya kifahari
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Ай бұрын
Hapa ndio ninapomkumbuka Mavufuli, miaka minne mpaka anakufa hajapanda ndege kuwafgata hao majizi wa mali zetu.
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 Ай бұрын
Samia kaenda juzi tu kikazi Marekani
@christopherkanyalakc8941
@christopherkanyalakc8941 Ай бұрын
Ruto kama nikweli kafanya ivyo bass kichwa chakwe ni nimweeeeeeeeeeeeee
@mamakekhubeiby4206
@mamakekhubeiby4206 Ай бұрын
Ame kwenda kuchukuwa Tax America
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 Ай бұрын
Mbona wakenya wanalalamika mbona sisi bi mkubwa anasafiri kila mara??? Au shida kukodi ndege ya TZ??
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Ай бұрын
Hana tofauti na bibi titi juzi kati alimkumbatia Macron .
@uwezojaninosgospelartist1432
@uwezojaninosgospelartist1432 Ай бұрын
Wananunuwa watu weusi waende wauwawe tu, ambapo nzungu awezi kufa kwa ajili ya mtu mweusi.
@AAa-it7nx
@AAa-it7nx Ай бұрын
Watu wanateseka Sana aki yeye anatumia pesa hivo 😢😢😢😢😢
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
Hustler
@trizereve3386
@trizereve3386 Ай бұрын
Yani huyu mungu ndio atakae mtosha
@EsromuKamwela-ol9uo
@EsromuKamwela-ol9uo Ай бұрын
China Haina mpinzani
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw Ай бұрын
Hatuwataki marekani africa
@KhamisOmar-kt4kz
@KhamisOmar-kt4kz Ай бұрын
Kenya washamba sana
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Asante kwa hilo jina ubarikiwe
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Ай бұрын
Ndo tatizo la viongozi wetu wa Afrika yaani ni vurugu tu wakipata madaraka basi baada ya hapo wanawapa mikopo ya kutununua aiseee tuko nyuma ya muda Afrika
@magnificententertainment9328
@magnificententertainment9328 Ай бұрын
Kwani Dokta Samia si ameenda US mara kibao sana...😮😮....unasemaje tangu miaka 16...
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Ай бұрын
Rangi ya wazungu inawatisha awathamini uafrika wao.... Wanauza raslimali za afrika kwa kuthamini ngozi ya wazungu....
@josepheriah5977
@josepheriah5977 Ай бұрын
Apo saw
@jeffchurum1431
@jeffchurum1431 28 күн бұрын
Freedom of speech kitu ya maana sana, TZ mnachabua za Kenya lakini hakuna mmoja wa TZ ako na guts kuongelea serikali yao. Waoga tupu.
@fikirimutambala4330
@fikirimutambala4330 Ай бұрын
Rais wa ghana alikuwa huku 2008
@Zenny89
@Zenny89 Ай бұрын
Sasa Wakenya wanapiga kelele za nini..wao si ndo wanasemaga wanapesa East Africa😆 na hela Yao kubwa..basi..hela kubwa lazima itumike kikubwa
@mesaidikazungu4299
@mesaidikazungu4299 Ай бұрын
Wewe hujui unacho kiongea
@user-pg2tw8yt4l
@user-pg2tw8yt4l Ай бұрын
ndio hapo sasa halafu nimeipenda sana hii koment yako kuhusu wa kenya wanavyosemaga😂😂😂
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Ай бұрын
Na mimi mashangaaaa jamaniii😅😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Wanajiona wao ni matajiri😀😀😀😀😀😀😀
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
​@@user-pg2tw8yt4lZarau hizi dunia duaraa jamani cheka leo
@FatumaMamlo-st8pj
@FatumaMamlo-st8pj Ай бұрын
Kaenda kupaisha ushoga kenya kula chuma hicho
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Ай бұрын
Ukimaliz ya Ruto tupe tasimi ya mama Samia katumia sh ngap kweny safar zake
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
😮😮😮😮😮
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 Ай бұрын
Allah atustiri na wamagharibi... wasije wakafanya njia ya kuja tz
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
We nae si ameweka mzizi hapa ni nani ananyanya raiya huko mbugani Serengeti?
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Ай бұрын
Waje mara ngapi?
@golebenson4597
@golebenson4597 Ай бұрын
Kenya kenya inanuka shidah kila kona RUTO UNAHARIBU KENYA YETU NYANGUMI WEWE
@AnuHassani
@AnuHassani 29 күн бұрын
Pesa yao inasamanii sana jmn achaaa haitumiee tuuu😂😂😂
@akidashekue163
@akidashekue163 Ай бұрын
Kenya bado koloni la wazungu
@Swahili37
@Swahili37 Ай бұрын
Huyo mama yenu alipozindua filamu alikuwa nchi gani?? Pambaneni na hali zenu zetu mtuachie mwanzo hamziwezi.
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 Ай бұрын
Viongozi wa afrika wanafell hapo yaan HUU ni ujinga uliopitiza
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi Ай бұрын
Kenya mnahera kubwa wacha wapunguze kidogo msije mkashitwa kubeba😂😂
@user-pg2tw8yt4l
@user-pg2tw8yt4l Ай бұрын
😂😂😂
@Gabixtz
@Gabixtz Ай бұрын
😂😂😂
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Majuto:ubarikiwe
@True20137
@True20137 Ай бұрын
😂😂😂
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Amepewa mwaliko na rais wa US. Sasa kuna haja gani ya kubana matumizi? Kula tu. Ee shusha tu na soda ukiwa juu angani. Ndo maana Magufuli hakupenda kusafirisafiri kwenda huko ulaya na marekani. Anajua, atapata hasara kubwa sana sio faida kwa masikini. Wito: viongozi wa Africa. Tuache ushamba. Unaenda kwa wazungu kutafuta nini leo hii? Waje wao huku tule nyama choma ya hapa Tanzania au Kenya. Oky?
@user-mm5td4rz8t
@user-mm5td4rz8t Ай бұрын
Ruto Mutumishi wa wazungu
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 Ай бұрын
Kenya kashaliw koboga zamani. Ushoga ni,hatari kwa African
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj Ай бұрын
Jinga Sanaa hili Ji mtu Mfisadi mkubwa watu tuna dhiki kumbwa mlo kwa siku watushinda🤔
@amriseleman9395
@amriseleman9395 Ай бұрын
Ndo kusema Kenya hawana ndege ya Rais? Au hawana ndege za kutosha kwa Rais kuweza kusafiri?
@SharaMan-yn9px
@SharaMan-yn9px Ай бұрын
Wa kenya tuko sawa
@JuliusSenyael-ej6hg
@JuliusSenyael-ej6hg Ай бұрын
Pumbavu zenu
@mrshazychannel3359
@mrshazychannel3359 Ай бұрын
Kikaz?? Kwan mama samia hakwenda kikaz??
@Swahili37
@Swahili37 Ай бұрын
Usijaribu kulinganisha rais wetu na Samia
@user-kg8dn6qr8o
@user-kg8dn6qr8o Ай бұрын
Mnachambua Sana Habali za Selekali za nchi nyingine mbona Tanzania hamjawahi
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE Ай бұрын
ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukomenti
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Wakat tz kunaumaskin wakunuka bado wana ng,ang,ania kuchambua injizawatu
@MussaSuleiman-ui9fy
@MussaSuleiman-ui9fy Ай бұрын
Ruto ni maskini kila jambo anapelekeshwa ndio amesaini wananchi wake wafilane na wasagane sasa wewe RUTO subiri adhabu ya Allah wala usijione mjaja utasaga meno muda si mrefu
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Hakuna hajasaini popote
@johannesrwiza
@johannesrwiza 29 күн бұрын
The problem of Africa is their leaders nothing else
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv Ай бұрын
Ruto pumbavu sana hata hata ushoga atakubari
@muddjigal4096
@muddjigal4096 Ай бұрын
Ally samahani uhuru kenya si aliendaga wakati wa trump mpaka akatia aibu kwenye mapokezi na trump na mke wake au hyo ilikuwa ni sio ziara au vp
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
wakwetu sisi je?
@emanuelidamiani2943
@emanuelidamiani2943 Ай бұрын
Mmmmm haya bwana😅😅😅😅😅
@golebenson4597
@golebenson4597 Ай бұрын
Izzo ni gaharama za usafiri.Malazi,hoteli itafika m400😂😂
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 Ай бұрын
inchi km Kenya 'ni inchi zenye asili ya kiyahudi kwanini Kenya wahanze tena urafiki n'a marekani ni raisi mpumbavu ahana akili raisi km ruto akodi Ndege ?🫣🫣🫣🫣🫣🫣 ni ujinga viongozi wa afrika km uyo ruto siasa ajui ahiwezekani raisi kukodi Ndege maraisi wengi ajui wafanye n'ini niwezi
@mr_kajomba_og5719
@mr_kajomba_og5719 Ай бұрын
Wakenya tunao tu mpaka waseme
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Ай бұрын
Vibaraka wamagribi walioshindikana duniani 1 zelensky 2 ruto. Ruto ukiangalia ata sura yake kipua utajuwatu uyu ni mwizi bilashaka. Amekuwa akionge sana haana ata upanafrika uyu bwana
@simonmartin5358
@simonmartin5358 Ай бұрын
Kenya nao wanasota kama tz
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 Ай бұрын
Ruto niwakala wawazunguu
@chazy7ya216
@chazy7ya216 29 күн бұрын
amefanya ujingasana
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw Ай бұрын
Mpuuzi italeta matunda wakati italeta ushoga na usagaji na kuibiwa rasilimali
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
Uyu ame anza kuharibu mapema
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 Ай бұрын
Wanaongozaaaa mbumbu ndo mana cha kuwafanya hatuna daaaaa
@rehemashariff3119
@rehemashariff3119 Ай бұрын
Kwani ruto ameanda kuuza meno au naona yeye tu meno yako inje sina simo
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 Ай бұрын
Zakayo ni bure sana
@ARNOLDKARISA-fs3ht
@ARNOLDKARISA-fs3ht Ай бұрын
huyu jamaa amekuwa anatumiwa na watu wamagharibi juu ukiangalia huku kwetu madakatri na walimu wako nyumbani kwa mshahara duni alafu yeye ni mwenye kusafiri safari nyingi sasa hata anakoroga na hafai juu hazileti faida kivyovyote
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 Ай бұрын
Kenya moto unawawakia kama sisi tu wa tz hatuchekan 🤣🤣🤣🤣
@AAa-it7nx
@AAa-it7nx Ай бұрын
Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia
@AAa-it7nx
@AAa-it7nx Ай бұрын
Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia
@christopherkanyalakc8941
@christopherkanyalakc8941 Ай бұрын
Hasra sio poa
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Njia gani ya kwenda Marekani kwa bei nafuu hasa ukiwa Kiongozi wa Nchi, hivi kweli unapewa Mwaliko na Rais wa Marekani alafu ujibane kwenye Mashirika ya ndege na abiria kibao?? Rutto ana kasoro zake kama Binadam lakini kwahili vaa viatu vyake
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 Ай бұрын
Waafrica nyie ni waginga sana nitamkumbuka magufuli wngu
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 Ай бұрын
Ndugu zetu tusiwalaumu sana wao washakua mashiga tayali sasa mikundu ikikosa breki unahisi vichwa vitaweza kufikilia ??? Wametuangusha sana ndugu zetu tangia waukubali ushoga na kuuhalakiaha mambo yamewaharibikia sana ndio maana hata papa wa kanisa katholic alivyotangaza uhalali wa mashoga kufunga ndoa Ajinsia moja makanisani hakuongea chochote ambao waliandamana walikua waisilamutu pekeyao laki waisilamu kenya siowengi kama wakristo ndio maana ilesheria ilipitishwa mungu atunusurutu 😮😮😮😮😢😢😢😢
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Ай бұрын
Kwani Tanzania mashoga na wasagaji hawapo? Je imejalalishwa? Viongozi wanasiri kubwa usiongee ukamaliza, mbona hawakuliweka kwenye katiba ikiwa nirahisi?
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Ай бұрын
Kilicho ongelewa hapa ni pesa aliyoitumia sio mambo ya ushoga au usagaji, shoga ni shoga na msagaji ni msagaji hayo ni maamuzi ya mtu mwenyewe akiona shetani ndie anaemuongoza, Tanzania mbona mashoga na wasagaji wapo wengi tu na wanajulikana,hatua gani wamechukuliwa? Huko sio kuwalea?
@emmadora7848
@emmadora7848 Ай бұрын
Na huko Pwani ndio mashoga mmejaaa kuwemo wewe ,ukiacha unafikiri utafika mbali ,mashoga wengi wana majina Fulani hivi , na wapo siku nyingiii sana ,tumia akili vzr na sio hisia
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Ай бұрын
@@emmadora7848 mashoga hawana majina maalumu usiongozwe na hisia hata wewe, sio pwani wala nchi kavu,kila mahali mashoga na wasagaji wapo, na ingekua ni pwani tu nchi za wazungu wasingekua wanaongoza kwa mashoga na wasagaji
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Hakuna katiba humu nchini Kenya imekubaliwa jambo la usagaji,weka akilini
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js Ай бұрын
Upumbavu uhuu
@Swahili37
@Swahili37 Ай бұрын
Wakenya gani acha porojo wewe nkt
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl Ай бұрын
Nachukiyasana hilo kama mkenya
@JuliusSenyael-ej6hg
@JuliusSenyael-ej6hg Ай бұрын
Mnatuchanganya nyie
@kikongajoel2693
@kikongajoel2693 Ай бұрын
Ruto 😂😂😂
@SuleimanSalim-ql3ny
@SuleimanSalim-ql3ny Ай бұрын
Mnh tz tuwe makini na kenya
@user-ui5zo9re8b
@user-ui5zo9re8b Ай бұрын
Nawakongomani
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
SuleimaniSalim:Tz ndio wakamilifu duniani?acha zarau usione ndio mmefika sana dunia duara
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
​@@user-ui5zo9re8bukisema unawajuwa watu wenu😂ndio wazuri utashangaa ukiwa peke yako kuna mengi usiyoyajuwa kuhusu ndugu zako
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Ай бұрын
Unadhania samia akiitwa hataenda ,mbona juzi kaenda kwa mfaransa juzi na mfaransa ana kataliwa sana Africa ya magharibi.
@SuleimanSalim-ql3ny
@SuleimanSalim-ql3ny Ай бұрын
@@africanmandetraveler2847 Mnh ett nin!? Hv umesahau mama ametokea ktk mikono ya R I P nani vlee nadhani unamjuwa cz ata mabeberu waliisoma no.enzi za uhai wake hivyo ninaima mama hawezi kutuangusha istoshe anafahamu
@user-yp9el7xp8g
@user-yp9el7xp8g 29 күн бұрын
Vitu mtu anakata taxe adi watu wa KZbin
@user-zm8nq6xv8o
@user-zm8nq6xv8o Ай бұрын
Ujinga mtupu
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Ай бұрын
Wee mwandishi Acha unoko mbona raisi wetu samia suruhusu anasafili saana tofauti na magufuri Hujawai sema au unaogopa kufa yenu yawashinda KAZI umbea tuu 😔😞😔
@edisonbayona-rz9ed
@edisonbayona-rz9ed Ай бұрын
Ruto malekani wakikusifia ujuee wewe ni shonga
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 Ай бұрын
Ujinga huwo bora wangejenga shure au kupunguza codi kwa wananchi
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Kabisaaa❤
Khóa ly biệt
01:00
Đào Nguyễn Ánh - Hữu Hưng
Рет қаралды 19 МЛН
Обочечники жёстко обламываю на М5 #shorts
0:58
Вольвист 73
Рет қаралды 3,3 МЛН
А сколько катаешься ты?
0:53
Тот самый Денчик
Рет қаралды 3,9 МЛН
Дорох и алкобайк
0:55
Разгон
Рет қаралды 1,6 МЛН
This is World's Best Drift Entry#drift #drifting #jdm
0:15
DARWIS RAHMAN
Рет қаралды 43 МЛН