Mimi huwa nasema shida sio nchi za magaribi shida viogonzi wa kiafirica hao ndoo wanafanya Africa iwe masikini
@atutweve4160Ай бұрын
UMEONA 👍🏿
@GodahMartinАй бұрын
VIONGOZI SIO shida! Shida ni sisi wananchi hatujielewi na wala hatuna maono ya kujisimamia, HATUJIPENDI kwaio kiongozi akiingia anajua asilimia kubwa watu wanaakili za hovyo ndio maana wanafanya ivyo anaona bora ajipigie zake asepe.. chukulia mfano MAGUFULI alivyopondwa na watu na ile hali alikuwa anatuamsha hivi kama tungemlinda kwa gharama yule RAISI kwa wingi wetu unafikiri angekufa kirahisi vile?? kwaio mwisho wa siku hata tukipata RAISI mzuri kama RAIA hatujitambui ni kazi bure. SISI tunatakiwa kujielewa kwanza kabla ya viongozi na hata sheria tutazisimamisha sisi na viongozi tutamuwaweka mzuri.
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
Kweli kabisaa
@allahisone6386Ай бұрын
MIKATABA NDIOOO INAWAPONZA NAKADHALIKA
@john_1traderАй бұрын
Mimi mkenya ila raisi wetu mwehu sana
@sponsor7882Ай бұрын
Samia na Ruto wanapenda sna ndege
@user-wd2bc7bf5xАй бұрын
😹😹
@user-zm8nq6xv8oАй бұрын
Hivi unaanzaje labda kutowa pesa zote hizo huku wananchi wanalia nja 😢 wakamuangalie Ibrahim Traore
@allahisone6386Ай бұрын
AFRICA BILA UZALENDO WETU BAINA YETU NI NGUM SANA KBS KUENDELEA
@user-uo8xw9kr4bАй бұрын
Sio uzalendo wan ubinafsi sana.
@user-zm8nq6xv8oАй бұрын
Kwahakika inasikitisha sana Yaani ujinga ujinga ujingaaaaa kabisaaaa yaaani kiufupi hana hoja yoyote ile ya kujitetea
@3erffeoui86Ай бұрын
huyu Ruto alianza hii tabia mwaka 2013 mwezi wa tatu alitumia 100 million kenya shillings kuzunguka APA AFRIKA NA PRIVATE JET
@idatonymassaweАй бұрын
Na bado anazitunia had uchaguz ujao watanyooka tuu
@matukiotvonline6366Ай бұрын
Hawa Kenya hawa nivigeugeu waiosomeka ni afadhali ya TANZANIA❤🎉
@3erffeoui86Ай бұрын
boss ruto si wakenya
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Hanna kitu pia
@allahisone6386Ай бұрын
😅😅Ndiooo_🤦🏿♀️ 😅😅
@matukiotvonline6366Ай бұрын
@@3erffeoui86 ni wa wp
@TakarTekoАй бұрын
Mimi ni mkenya sioni faida ya Ruto kwenda merekani
@MelodyDanteh98Ай бұрын
Huoni faida... Just go right now and see how many deals he has signed
@MamyHamsoАй бұрын
@@MelodyDanteh98Ame saini ushoga tu 😢😢
@allahisone6386Ай бұрын
😭😭
@john_1traderАй бұрын
@@MelodyDanteh98what deals uko kenya kweli he was anable to fight floods which deals bro pple sufering out here and u r saying deals
@show...002Ай бұрын
siasa ya kwetu mbona mmeikalia kmy lipuwa na yakwetu tu maana afazali ya kenya
@HansChumaАй бұрын
😂😂😂😂 thubutu wanaogopa ila kusema za wenzao tu hodari
@omarybakunda2554Ай бұрын
Nasikia pesa ya kenya inathamani sana ngoja Ruto awafundishe jinsi ya kuitumia.
@MiriamAbdallahАй бұрын
Eee bwana 1000 kwa 22000
@golebenson4597Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@khadijaalimohd1320Ай бұрын
AMEENDA KU LEGALIZE USHOGA KENYA .
@user-gx4jx4gv9lАй бұрын
Baadhi ya viongozi wa afirika ni mazuzu ndiomana kwenye mazishi ya marikia walitengwa ata samia alienda kuchezea hela wakatuambia ameenda kwa faidi adi leo hatujaambiwa faida ya royotua zaidi ya maisha kuwa magumu tu.
@papamukulu1045Ай бұрын
Mchambue pia ya kwenu sio ua wenzenu naya kwenu yana washinda
@BHTV-ly4jfАй бұрын
Kama niwamarekani ndio wana shida nasisi mbona yeye ndie ameenda Marekani? Afrika bado tuko watumwa kwanini yeye biden asije kenya😭😭
@allahisone6386Ай бұрын
SUBUTU & SAHAU DUAA
@slowdns3694Ай бұрын
Africa bado watumwa
@allahisone6386Ай бұрын
NDIOOO KULIFAHAM LEO?
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
Yaa true 😎😎😎👍👍👍
@Elizabeth-gq9klАй бұрын
Hapo, Umechambuwa ukweli kaka" Mimi nimu Kenya, nampenda vile una fafanuwa.
@paschalfausitine7108Ай бұрын
Kenya Rwanda,agenti, wa nchi za magaribi,,,vivan uganda
@allahisone6386Ай бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@mwalimunyerereАй бұрын
ndio maana Tanzania mtazidi kua maskini.
@lugelosanga5798Ай бұрын
Ameenda kuwauzaa wakenya cc mama alienda kutuuza ufaransa
@JuliusSenyael-ej6hgАй бұрын
Wafe wote kwa jina la yesu MUNGU amewapima awafae
@benardmakori4012Ай бұрын
Hahaha😂😂😂
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Kulikuwa hamna haja yakutumia pesa zote izo Kwajili yakukodi ndege ya pesa nyingi ivyo..wakati ndege ya serikal ipo na hali za maisha ya wananchi wako wanaishi Kwa maisha magumu
@barrynzeyimana6270Ай бұрын
Hata hangezitoa hizo pesa, je raia wangezipata?
@allahisone6386Ай бұрын
SUBUTU KBSAAAAAA
@aminatanzanya7475Ай бұрын
Kenya wana ndege nyingi kwann hakutumia moja wapo kuepuk huu ufujaji wa pesa
@Soon81529 күн бұрын
Wanandege 3 tu nyingine za kukodi
@dorambaga2667Ай бұрын
Si bora kenya vipi kuhu😢Tanzania mnajua mama yenu anatumia kiasi gani kila siku kuzurura
@aaa64sa13Ай бұрын
Jingazzzz we unatoka kenya ipi??? Pumbavu sana kama sio mkenya usiongele Kenya.
@dorambaga2667Ай бұрын
@@aaa64sa13 poor mind
@hashimchaoga9566Ай бұрын
Hajawahi kukodi ndege ya bei hiyo
@dorambaga2667Ай бұрын
@@hashimchaoga9566 huna unalojua bora unyamaze
@criminalminds7723Ай бұрын
Ruto ni snitch tu kikaragosi wa marekani huyo,
@khalidsuleiman4588Ай бұрын
Kuna mambo makubwa yatakuja kutukuta Ukanda wetu wa East Africa viongozi wetu wanatusinich sana
@moseskulola6913Ай бұрын
Bona wa Kenya wana madege kwanini hajachukua hata denge monja ..jiga sana
@king_maik6375Ай бұрын
Hovyo, rais bwege
@omarysaid8725Ай бұрын
Viongozi wengi wa kiafrika wanapenda sana anasa na kujilimbikizia mali wanapenda vitu vya kifahari
@nassercurtis9579Ай бұрын
Hapa ndio ninapomkumbuka Mavufuli, miaka minne mpaka anakufa hajapanda ndege kuwafgata hao majizi wa mali zetu.
@adamkapolo8817Ай бұрын
Samia kaenda juzi tu kikazi Marekani
@christopherkanyalakc8941Ай бұрын
Ruto kama nikweli kafanya ivyo bass kichwa chakwe ni nimweeeeeeeeeeeeee
@mamakekhubeiby4206Ай бұрын
Ame kwenda kuchukuwa Tax America
@johnnkelebe7360Ай бұрын
Mbona wakenya wanalalamika mbona sisi bi mkubwa anasafiri kila mara??? Au shida kukodi ndege ya TZ??
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Hana tofauti na bibi titi juzi kati alimkumbatia Macron .
@uwezojaninosgospelartist1432Ай бұрын
Wananunuwa watu weusi waende wauwawe tu, ambapo nzungu awezi kufa kwa ajili ya mtu mweusi.
@AAa-it7nxАй бұрын
Watu wanateseka Sana aki yeye anatumia pesa hivo 😢😢😢😢😢
@kwisa4899Ай бұрын
Hustler
@trizereve3386Ай бұрын
Yani huyu mungu ndio atakae mtosha
@EsromuKamwela-ol9uoАй бұрын
China Haina mpinzani
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Hatuwataki marekani africa
@KhamisOmar-kt4kzАй бұрын
Kenya washamba sana
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
Asante kwa hilo jina ubarikiwe
@braystuskibassa3842Ай бұрын
Ndo tatizo la viongozi wetu wa Afrika yaani ni vurugu tu wakipata madaraka basi baada ya hapo wanawapa mikopo ya kutununua aiseee tuko nyuma ya muda Afrika
@magnificententertainment9328Ай бұрын
Kwani Dokta Samia si ameenda US mara kibao sana...😮😮....unasemaje tangu miaka 16...
@johnmalembo6464Ай бұрын
Rangi ya wazungu inawatisha awathamini uafrika wao.... Wanauza raslimali za afrika kwa kuthamini ngozi ya wazungu....
@josepheriah5977Ай бұрын
Apo saw
@jeffchurum143128 күн бұрын
Freedom of speech kitu ya maana sana, TZ mnachabua za Kenya lakini hakuna mmoja wa TZ ako na guts kuongelea serikali yao. Waoga tupu.
@fikirimutambala4330Ай бұрын
Rais wa ghana alikuwa huku 2008
@Zenny89Ай бұрын
Sasa Wakenya wanapiga kelele za nini..wao si ndo wanasemaga wanapesa East Africa😆 na hela Yao kubwa..basi..hela kubwa lazima itumike kikubwa
@mesaidikazungu4299Ай бұрын
Wewe hujui unacho kiongea
@user-pg2tw8yt4lАй бұрын
ndio hapo sasa halafu nimeipenda sana hii koment yako kuhusu wa kenya wanavyosemaga😂😂😂
@rithadonatus8110Ай бұрын
Na mimi mashangaaaa jamaniii😅😂😂😂
@MiriamAbdallahАй бұрын
Wanajiona wao ni matajiri😀😀😀😀😀😀😀
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
@@user-pg2tw8yt4lZarau hizi dunia duaraa jamani cheka leo
@FatumaMamlo-st8pjАй бұрын
Kaenda kupaisha ushoga kenya kula chuma hicho
@aminatanzanya7475Ай бұрын
Ukimaliz ya Ruto tupe tasimi ya mama Samia katumia sh ngap kweny safar zake
@MiriamAbdallahАй бұрын
😮😮😮😮😮
@mohamedaley5632Ай бұрын
Allah atustiri na wamagharibi... wasije wakafanya njia ya kuja tz
@MiriamAbdallahАй бұрын
We nae si ameweka mzizi hapa ni nani ananyanya raiya huko mbugani Serengeti?
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Waje mara ngapi?
@golebenson4597Ай бұрын
Kenya kenya inanuka shidah kila kona RUTO UNAHARIBU KENYA YETU NYANGUMI WEWE
@AnuHassani29 күн бұрын
Pesa yao inasamanii sana jmn achaaa haitumiee tuuu😂😂😂
@akidashekue163Ай бұрын
Kenya bado koloni la wazungu
@Swahili37Ай бұрын
Huyo mama yenu alipozindua filamu alikuwa nchi gani?? Pambaneni na hali zenu zetu mtuachie mwanzo hamziwezi.
@kassimbayuu5217Ай бұрын
Viongozi wa afrika wanafell hapo yaan HUU ni ujinga uliopitiza
@MajutoElliasiАй бұрын
Kenya mnahera kubwa wacha wapunguze kidogo msije mkashitwa kubeba😂😂
@user-pg2tw8yt4lАй бұрын
😂😂😂
@GabixtzАй бұрын
😂😂😂
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
Majuto:ubarikiwe
@True20137Ай бұрын
😂😂😂
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Amepewa mwaliko na rais wa US. Sasa kuna haja gani ya kubana matumizi? Kula tu. Ee shusha tu na soda ukiwa juu angani. Ndo maana Magufuli hakupenda kusafirisafiri kwenda huko ulaya na marekani. Anajua, atapata hasara kubwa sana sio faida kwa masikini. Wito: viongozi wa Africa. Tuache ushamba. Unaenda kwa wazungu kutafuta nini leo hii? Waje wao huku tule nyama choma ya hapa Tanzania au Kenya. Oky?
@user-mm5td4rz8tАй бұрын
Ruto Mutumishi wa wazungu
@paschalfausitine7108Ай бұрын
Kenya kashaliw koboga zamani. Ushoga ni,hatari kwa African
@MuniraShughuli-kc7vjАй бұрын
Jinga Sanaa hili Ji mtu Mfisadi mkubwa watu tuna dhiki kumbwa mlo kwa siku watushinda🤔
@amriseleman9395Ай бұрын
Ndo kusema Kenya hawana ndege ya Rais? Au hawana ndege za kutosha kwa Rais kuweza kusafiri?
@SharaMan-yn9pxАй бұрын
Wa kenya tuko sawa
@JuliusSenyael-ej6hgАй бұрын
Pumbavu zenu
@mrshazychannel3359Ай бұрын
Kikaz?? Kwan mama samia hakwenda kikaz??
@Swahili37Ай бұрын
Usijaribu kulinganisha rais wetu na Samia
@user-kg8dn6qr8oАй бұрын
Mnachambua Sana Habali za Selekali za nchi nyingine mbona Tanzania hamjawahi
@PAULNYANDILEАй бұрын
ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukomenti
@user-tq4lx9si1nАй бұрын
Wakat tz kunaumaskin wakunuka bado wana ng,ang,ania kuchambua injizawatu
@MussaSuleiman-ui9fyАй бұрын
Ruto ni maskini kila jambo anapelekeshwa ndio amesaini wananchi wake wafilane na wasagane sasa wewe RUTO subiri adhabu ya Allah wala usijione mjaja utasaga meno muda si mrefu
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
Hakuna hajasaini popote
@johannesrwiza29 күн бұрын
The problem of Africa is their leaders nothing else
@SM-fu1yvАй бұрын
Ruto pumbavu sana hata hata ushoga atakubari
@muddjigal4096Ай бұрын
Ally samahani uhuru kenya si aliendaga wakati wa trump mpaka akatia aibu kwenye mapokezi na trump na mke wake au hyo ilikuwa ni sio ziara au vp
@kwisa4899Ай бұрын
wakwetu sisi je?
@emanuelidamiani2943Ай бұрын
Mmmmm haya bwana😅😅😅😅😅
@golebenson4597Ай бұрын
Izzo ni gaharama za usafiri.Malazi,hoteli itafika m400😂😂
@ebengapierre8826Ай бұрын
inchi km Kenya 'ni inchi zenye asili ya kiyahudi kwanini Kenya wahanze tena urafiki n'a marekani ni raisi mpumbavu ahana akili raisi km ruto akodi Ndege ?🫣🫣🫣🫣🫣🫣 ni ujinga viongozi wa afrika km uyo ruto siasa ajui ahiwezekani raisi kukodi Ndege maraisi wengi ajui wafanye n'ini niwezi
@mr_kajomba_og5719Ай бұрын
Wakenya tunao tu mpaka waseme
@thelonewolf4429Ай бұрын
Vibaraka wamagribi walioshindikana duniani 1 zelensky 2 ruto. Ruto ukiangalia ata sura yake kipua utajuwatu uyu ni mwizi bilashaka. Amekuwa akionge sana haana ata upanafrika uyu bwana
@simonmartin5358Ай бұрын
Kenya nao wanasota kama tz
@zuberisalum2004Ай бұрын
Ruto niwakala wawazunguu
@chazy7ya21629 күн бұрын
amefanya ujingasana
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Mpuuzi italeta matunda wakati italeta ushoga na usagaji na kuibiwa rasilimali
@Sidrasidra636Ай бұрын
Uyu ame anza kuharibu mapema
@lugelosanga5798Ай бұрын
Wanaongozaaaa mbumbu ndo mana cha kuwafanya hatuna daaaaa
@rehemashariff3119Ай бұрын
Kwani ruto ameanda kuuza meno au naona yeye tu meno yako inje sina simo
@hassangaddafi2347Ай бұрын
Zakayo ni bure sana
@ARNOLDKARISA-fs3htАй бұрын
huyu jamaa amekuwa anatumiwa na watu wamagharibi juu ukiangalia huku kwetu madakatri na walimu wako nyumbani kwa mshahara duni alafu yeye ni mwenye kusafiri safari nyingi sasa hata anakoroga na hafai juu hazileti faida kivyovyote
@lisawilliam2491Ай бұрын
Kenya moto unawawakia kama sisi tu wa tz hatuchekan 🤣🤣🤣🤣
@AAa-it7nxАй бұрын
Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia
@AAa-it7nxАй бұрын
Bora hata nyie kunamakonda anazunguka hatakama sio kote lakini Sisi wakenya hatuna hata wakumlilia
@christopherkanyalakc8941Ай бұрын
Hasra sio poa
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Njia gani ya kwenda Marekani kwa bei nafuu hasa ukiwa Kiongozi wa Nchi, hivi kweli unapewa Mwaliko na Rais wa Marekani alafu ujibane kwenye Mashirika ya ndege na abiria kibao?? Rutto ana kasoro zake kama Binadam lakini kwahili vaa viatu vyake
@swalehemusa4546Ай бұрын
Waafrica nyie ni waginga sana nitamkumbuka magufuli wngu
@zaidiissa3714Ай бұрын
Ndugu zetu tusiwalaumu sana wao washakua mashiga tayali sasa mikundu ikikosa breki unahisi vichwa vitaweza kufikilia ??? Wametuangusha sana ndugu zetu tangia waukubali ushoga na kuuhalakiaha mambo yamewaharibikia sana ndio maana hata papa wa kanisa katholic alivyotangaza uhalali wa mashoga kufunga ndoa Ajinsia moja makanisani hakuongea chochote ambao waliandamana walikua waisilamutu pekeyao laki waisilamu kenya siowengi kama wakristo ndio maana ilesheria ilipitishwa mungu atunusurutu 😮😮😮😮😢😢😢😢
@fatumamwalimu5765Ай бұрын
Kwani Tanzania mashoga na wasagaji hawapo? Je imejalalishwa? Viongozi wanasiri kubwa usiongee ukamaliza, mbona hawakuliweka kwenye katiba ikiwa nirahisi?
@fatumamwalimu5765Ай бұрын
Kilicho ongelewa hapa ni pesa aliyoitumia sio mambo ya ushoga au usagaji, shoga ni shoga na msagaji ni msagaji hayo ni maamuzi ya mtu mwenyewe akiona shetani ndie anaemuongoza, Tanzania mbona mashoga na wasagaji wapo wengi tu na wanajulikana,hatua gani wamechukuliwa? Huko sio kuwalea?
@emmadora7848Ай бұрын
Na huko Pwani ndio mashoga mmejaaa kuwemo wewe ,ukiacha unafikiri utafika mbali ,mashoga wengi wana majina Fulani hivi , na wapo siku nyingiii sana ,tumia akili vzr na sio hisia
@fatumamwalimu5765Ай бұрын
@@emmadora7848 mashoga hawana majina maalumu usiongozwe na hisia hata wewe, sio pwani wala nchi kavu,kila mahali mashoga na wasagaji wapo, na ingekua ni pwani tu nchi za wazungu wasingekua wanaongoza kwa mashoga na wasagaji
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
Hakuna katiba humu nchini Kenya imekubaliwa jambo la usagaji,weka akilini
@FrankMushi-cs5jsАй бұрын
Upumbavu uhuu
@Swahili37Ай бұрын
Wakenya gani acha porojo wewe nkt
@Elizabeth-gq9klАй бұрын
Nachukiyasana hilo kama mkenya
@JuliusSenyael-ej6hgАй бұрын
Mnatuchanganya nyie
@kikongajoel2693Ай бұрын
Ruto 😂😂😂
@SuleimanSalim-ql3nyАй бұрын
Mnh tz tuwe makini na kenya
@user-ui5zo9re8bАй бұрын
Nawakongomani
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
SuleimaniSalim:Tz ndio wakamilifu duniani?acha zarau usione ndio mmefika sana dunia duara
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
@@user-ui5zo9re8bukisema unawajuwa watu wenu😂ndio wazuri utashangaa ukiwa peke yako kuna mengi usiyoyajuwa kuhusu ndugu zako
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Unadhania samia akiitwa hataenda ,mbona juzi kaenda kwa mfaransa juzi na mfaransa ana kataliwa sana Africa ya magharibi.
@SuleimanSalim-ql3nyАй бұрын
@@africanmandetraveler2847 Mnh ett nin!? Hv umesahau mama ametokea ktk mikono ya R I P nani vlee nadhani unamjuwa cz ata mabeberu waliisoma no.enzi za uhai wake hivyo ninaima mama hawezi kutuangusha istoshe anafahamu
@user-yp9el7xp8g29 күн бұрын
Vitu mtu anakata taxe adi watu wa KZbin
@user-zm8nq6xv8oАй бұрын
Ujinga mtupu
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
Wee mwandishi Acha unoko mbona raisi wetu samia suruhusu anasafili saana tofauti na magufuri Hujawai sema au unaogopa kufa yenu yawashinda KAZI umbea tuu 😔😞😔
@edisonbayona-rz9edАй бұрын
Ruto malekani wakikusifia ujuee wewe ni shonga
@chikusangalala7759Ай бұрын
Ujinga huwo bora wangejenga shure au kupunguza codi kwa wananchi