Mpina Luhaga ni shujaa wa Tanganyika iko siku anayoijua Mungu historia itajirudia katika hili.bravo Mh.Mpina aluta continua viva Tanganyika
@melkiorykweka4389 күн бұрын
Kaka hapo hakuna kamati hicho nikikundi cha wezi wamekaa kumlinda mwizi mwenzao
@jacobd.kasofu22049 күн бұрын
Wananchi Tunapaswa Kumuunga Mkono Mh.LUHAGA MPINA kwa Kuishinikiza Serikali na BUNGE kuwajibishwa. Ni Aibu kubwa SPIKA Kutetea UFISADI huo....WAJIUZULU tuuuuu.....Wasisubiri ya Kenya yaje hapa, Wawajibike na Kuchukuliwa Hatua Kali...Wizi upo Wazi kabisa
@walidmgonja36448 күн бұрын
Nenda mahakamani huku kwenye mitandao huwezipata ufumbuzi
@asteriashios18528 күн бұрын
Kabisa
@user-my7fj6wn7y9 күн бұрын
Hatuna bunge
@user-oy5dz5xl8s9 күн бұрын
Mpina sasa namshauri asimame nje ya mifumo ya ccm ili aweze kufuguka vizuri na wananchi waweze kumwelewa zaidi.
@mosesfrancois7529 күн бұрын
Nchi hii watu wamesoma sasa ,hii hoja ya Mpina ngojeni muone kama waziri na spika watabaki salama.
@user-rq4fq4pw4y9 күн бұрын
Kuna wabunge wengine kama msukuma walishajisahau sana na Spika anadhani ana akili kuliko wanawake wote, huyo spika bora Ndugai
@faustinebahenobi34128 күн бұрын
Kana dharau na kiburi ata mbowe aliwai kusema hivyo
@collincarlos74336 күн бұрын
Ktk hilo sakat la mpina msukuma alkuwa analipa kisasi...
@MichaelKilinga9 күн бұрын
AMINI MSIAMINI BASHE KATUPIGA
@jacobd.kasofu22049 күн бұрын
Tena Katupiga Sana Bilion 538 Ni Pesa Ndefu Kuliko EPA au Tegeta Escrow Account
@walidmgonja36448 күн бұрын
Mpeleke mahakamani
@user-eh5fw5gj4c9 күн бұрын
Waongo wameungana kumuadhibu mkweli
@user-rq4fq4pw4y9 күн бұрын
Thank you brother, Lunga mpina was correct so to speak.
@asteriashios18528 күн бұрын
Bunge limewakosea sana wananchi kwa kumwonea aliesema ikweli mbunge mpina yuko sahihi juu ya alolisema mwenye kosa ni mwigulu na bashe ndo walitakiwa kuadhibiwa spika nae haeleweki ccm kwa ujumla hakuna cha maana mnachokijadili hapo ndani uonevu mtupu mungu awalaani nyinyi wote mliomwonea msema kweli
@ostenmwakasita69609 күн бұрын
Safi sana wakili wewe na Mpina ni wazalendo wa Tanganyika ongeleni kwa kulipambania Taifa letu
@user-uo9tq8cc7q9 күн бұрын
Mheshimiwa sugu uchaguzi ujao tuondoleehuyomama hapo mbeya
@walidmgonja36448 күн бұрын
Hana ubavu huo hata kidogo
@bonnymakuke31538 күн бұрын
@@walidmgonja3644vuta subra labda aambe jimbo
@DrFatmaKhanPanAfrikan8 күн бұрын
MwenyeEnziMunguMlezi AtuSimamie katika mambo mbalimbali ikiwemo Bima ya Afya.
@DrFatmaKhanPanAfrikan8 күн бұрын
UBaarikiwe sana Wakili Mzalendo.
@michaelbachubira71979 күн бұрын
Mpina aliyajua yatakayotokea ndio maana akaitoa pabric so swali langu kwako mwanasheria kama ivi ndivo unaonaje tufungue kesi ktk maakama ya mafisad
@winniefridamutakyawa59439 күн бұрын
Mungu anawaona.
@foundationforcommunityhope73279 күн бұрын
Heeee kumbe duuu kazi kweli kweli Tz.
@ChristerKoku9 күн бұрын
Amina Mdee waliamua kuwaachia wenye ngoma yao waicheze wenyewe
@gasperaroni57519 күн бұрын
Yani hili bunge nimelichukia sana hata kulisikia wala kulitazama wasilirushe laivu iwe kama Magufuli alisema
@edwingideon36069 күн бұрын
Bashe angekua muungwana ange jiuzuru tu, asilichafue bunge na Serikali. Sasa hivi tumeona madhaifu ya spika kwa sababu ya Bashe. Bashe ana wasemea wananchi.
@devangandhl22559 күн бұрын
Anko sisi tuko nje haya mambo ya ndani vina mbwembwe zake
@TM-zs3rm9 күн бұрын
Ajiuzuru sasa na achukuliwe hatua kali na mwisho wa uhujumu uchumi na kulindana. Wananchi si vilaza kama mnavyowadarau. Na mmesahau ndo wao wanaowalipa mishahara yenu. Cheo ni dhamana sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi. Mmefanya ubinafsi.
@malugukushaha67649 күн бұрын
Viva mh.Mpina, wewe ni mzalendo sana.
@robertzingu98899 күн бұрын
Sasa hawa wabunge wa CCM wao wamepitia sheria zipi kiasi cha kuwaona Hussein Bashe (waziri wa kilimo), Mwigulu Nchemba (waziri wa fedha), Bodi ya Sukari na kampuni zisizostahili kisheria kuingiza sukari kuwa ni wasafi, si mafisadi na si wahujumu uchumi? Hili Bunge limewapa "go ahead" wahujumu uchumi badala ya kuchukua hatua. Bunge limemwadhibu asiye na hatia (Luhaga Mpina) na kuwaacha wenye hatia (Waziri Bashe, Mwigulu Nchemba, Bodi ya Sukari na zile kampuni hewa zilizopewa deal hili). Bunge limewakosea wananchi na halistahili kuwepo!!
@sebastiancmalisa40169 күн бұрын
wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki
@AthumanDauda4 күн бұрын
Inabidi wananchi tujitambue ktk haya madudu ya baadhi ya viongoz wadhirifu tuwakatae natuwanyanyapae kbsaa tuwatenge kabisaa rip john joseph magufur
@kagombaEnok9 күн бұрын
Kwa uonevu huu kwa Mpina ipo siku tutaingia barabarani kudai haki zetu kama wakenya
@Mima-cl2im9 күн бұрын
Tunataka katiba mpya ili watanzania waweze kusimama bila ya kute gemem chama. CCM kimekuwa ni chama cha kiditeta.
@gililwise4 күн бұрын
Mungu atawahukumu wanafiki
@KilonzoJohn-mg7cw9 күн бұрын
Ee mungu uko wapi juu ya watu hawa bwana shughulika na watbuge hawa wa mchongo wa mwendazake baba mungu muumba wa nchi utawalae dunia na mbinguni tusaidie juu ya watu hawa sisi wananchi hatuna bunduki Wala mabomu ila tunakutegemea wewe ulie tuumba na tuanaee kuabudu tusaidie juu ya watu hawa na chama Cha ccm na serekali yake baba tuokoee na watu hawa hatuna nguvu ya kumbambana na watu hawa imungu wetu tusaidie kama ulivyowakomboa Wana wa isiraeli mungu kama ulivyo mpiga opofu ffarao na watu wake juu ya waisiraeli nakuomba mungu ipige ccm na serekali na mfalme wao yaani raisi na mwenyekiti wao mungu awaondolee utawala wao ktk nchi na arizo ya Tanganyika ee mungu tusaidie mungu umwema na siku zote umwema amina
@fredrickmwakalinga63909 күн бұрын
Wabunge wa mchongo wamtimua mnoko wao msema kweli hii ndo bongo ya shamba la bibi
@DrFatmaKhanPanAfrikan8 күн бұрын
ZIMA HIZO KELELE KATIKA BACKGROUND
@user-ec8zv7lq8y9 күн бұрын
Duh! Iko kazi
@janiaoma70934 күн бұрын
Mwana sharia nduguyang mtanga mwezagu watu watakucheka mimi pia na mwana sheria umesoma vizuri. Sharia au ni mganga wa kieyeji unataka kutia aibu taluma ya. Wanadheria
@amanijoseph67647 күн бұрын
Kwa maelezo haya..waziri wa Kilimo anapaswa kujiuzulu mara moja kulinda hadhi ya bunge..lakini pia achukuliwe hatua
@severinimkini41169 күн бұрын
Ndg Msomi Wakili, hata Mimi binafsi ambaye sijui vizuri Sheri, ninakuomba kwa pamoja na WATAALAMU WA SHERIA kutoka TLS, fikeni mahala mkatetea mali za Umma zisichewe kizembe namna hiyo. Inakuwaje Waziri anakubali kuwapa (vibali/ ruhusa) watu au makampuni YASIYO kidhi vigezo kufanya kazi wasiyo na uwezo/ utaalamu nayo. ( Kwa mfano, kampuni ya kuuza simu, kampuni inayoshughulika na stationery, na bila kuwa nautaalsmu wa bidhaa ya Sukari. Sawa tukubali Mpina amezuiwa bungeni, lakini raia anaowatetea hatujaridhika. WANASHERIA TUSIDIENI UPUUZI HUU UFIKE MWISHO.
@makusaro22895 күн бұрын
Spika anastahili kujiuzulu na Msukuma pamoja na Kibajaji walitakiwa wasikanyage bungeni vikao 20.
@jacksonjudicate93889 күн бұрын
UHONDO TV PAMOJA NA WAKILI MSOMI, MUNGU AWAPE AFYA NJEMA, NA MAISHA MAREFU. MMBARIKIWE SANA KWA KUFUNGUA MACHO.
@MussaBundala-yg8nw9 күн бұрын
Kumbukeni maneno ya kinabii ya mh Lema, lakini pia kikundi Cha bunge na spika wao kujiamlia maamzi yasiyo na macho laana itawafuata
@walidmgonja36448 күн бұрын
Nabii Lema😅😅😅
@leonardramiye82079 күн бұрын
Sheria ya mtu kuwa mbunge iwe hivi, iwe ni lazima kila mbunge awe na diploma au phd
@DicksonNolelwaКүн бұрын
hio ndio maana halisi ya kazi iendelee .
@saburikilonzo25939 күн бұрын
Kama Kwa maelezo hayo ya mwanasheria ni kweli 1. Bashe Hana uhalali wa kuwa waziri, kiti hakimtoshi. 2. Bunge linauonevu mkubwa Sana Kwa wabunge wake 3, Kumbe ukweli ukiwekwa wazi wahusika wanaingia matatani 4. Hakuna haki kwa wangonge. 5. Inaondoa bunge kutoaminiwa na wananchi n Adhabu ya kutooa mbunge bungeni Kwa muda mrefu kinanyima haki ya wananchi Kwa mwakilishi wao
@gabapentin80709 күн бұрын
Hili bunge 🙌🏾
@user-tk4es1uw7e7 күн бұрын
Sukari kupand bei 5000 mpaka elf 6000 hakuna alitutetea
Badala ya kumfukuza Mpina bungeni wabunge walitakiwa wamshauri Rais awafukuze kazi mawaziri Bashe na Mwigulu na waziri wa viwanda na biashara na yule wa uwekezaji kisha washitakiwe kwa kutumia mamlaka na ofisi vibaya.
@AbdilahiMriri9 күн бұрын
Japo kukawa na kosa la kutokuwachukulia hatua yoyote hata kuandika tu japo maelezo Polisi na kujikomiti kuwa hawataridia kuadimisha Sukari tena
@ligwamikoba63368 күн бұрын
Mpina yupo sahihi,ila inaonekana hilodili lilikua na viongozi wakubwa hapa nchini ndiomaana alie na khaki kajikuta anatuhuma ya kujibu
@sittatungu53409 күн бұрын
Wanasheria wafungue kesi mahakamani dhidi ya Bashe, Mwigulu, na wengineo watakaoona wanastahili kushtakiwa kwenye jambo hili la wizi na uhujumu uchumi ili liwe fundisho watu wasiwe wanatengeneza matatizo na baadae kuyatatua kwa kujilimbikizia mali wao wenyewe na pia ilinde heshima ya MTU anayetetea taifa ambaye kwa suala hili ni Luhaga Mpina.
@cornelnshubile68199 күн бұрын
Halima Mdee, Ester Matiko na Bulaya, wabobezi mbona hawakuchangia katika sakata hili?
@user-rq4fq4pw4y9 күн бұрын
Kwa lile bunge MPINA ndo mbunge mtetezi wa wanyonge kwa 99%
@paschalpaul38629 күн бұрын
Mimi huwa sielewi wabunge maana mara wanasema nchi kama Malawi,kenya,Rwanda bei Ya sukari ni ndogo hafu hapo hapo wanasifu sukari ya bashe ya sh. Elfu nne yaani hapo ni uzwazwa wa wabunge
@user-ji8bw7jx6h8 күн бұрын
Kina umuhimu wa kulipeleka mbali suala hili . WANASHERIA UNGANENI, Fungua kesi , aibu kubwa kwa bunge hili.
@AmriManengelo-yz5pp9 күн бұрын
Unajua kwenye riporti zote sijasikia sukari ya export au hakuna
@elibarikimollel71499 күн бұрын
Serikali ya awamu ya 5 ilitunga sheria nzuri ya kuthibiti uagizaji holela wa sukari, Sasa tunaona mawaziri wa awamu hii ya 6 wakikusudia kufuta sheria hiyo ili kurejesha ule uholela wa awali,na bunge kushadadia kwa kumsulubu mbunge mpina kwa kutumia kanuni,na kuwalinda wahusika bila kuwaita bodi ya sukari kujieleza bungeni! Utaona jinsi gani serikali ya ccm inavyotofautiana kila awamu, huku mkuu wa nchi akiwa kimya mbali na wateule wake wanaochukua hatua ya kufuta sheria iliyotungwa bungeni na kuidhinishwa na mtangulizi.
@amossafari48389 күн бұрын
Nimekusikiliza vizuri wakili, ombi langu ikiwa maamuzi yameonuesha double standard kipi kifanyike kwa nyie wanasheria kumsaidia Mpina na jaamii kwa ujumla?
@wazirisaid83268 күн бұрын
Nawewe imelipwa ngapi?
@user-ef2ln1mx3s9 күн бұрын
Kwani wanashelia wa ccm na selikali ni wazoefu wa kushinwa kesi za wazungu mbona kila kesi wao ni kushindwa awajawai kupata atadroo au suruu unawasemaje
@AbdilahiMriri9 күн бұрын
Lkn kubwa zaidi ni kwamba watu wa Sukari walificha bidhaa hiyo na hapo tayari kulikuwa na haja ya kuhangaika kuagiza Sukari. Na hata walipopewa vibali hawakuingiza, hivyo ilikuwa ni halali kuagiza Sukari.
@VcentPaul8 күн бұрын
Ukombozi wetu wananchi ni kugoma kujiandisha kupiga kura , na mda wao wa kututawala ukiisha wananchi wataamua
@user-oo1vz3zi1t8 күн бұрын
Ukiwa mkweli unatengwa hata nakwenye Vikundi mbalimbali utaitwa Majina ya ajabu
@migerajacob5819 күн бұрын
Bunge / bashe/ mwigulu,, wapelekwe mahakama ya ICC,, Nchi inachezewa kama Haina wenyewe,,
@michaelbachubira71979 күн бұрын
Shéría walítúñga wao leó wanamrúkía mpiña ñí wabúmge awawa walítúñga shería ya kíkokótoóoo leo wanaisema serikali iwaonee uruma wafanyakazi ivi nani alipitisha iyo sheria asa awa wabumge wa ccm
@abrahmanabdallah84799 күн бұрын
😂😂😂 sasa sukari kilo elfu 10 kuvunja Sheri ikauzwa eflu 3 acheni kutete majambazi Bashee oyoo
@martinkisha63079 күн бұрын
Spika na waziri wa kilimo wajihuzuru wamepeleka kuongoza wizara hizo
@leonardramiye82079 күн бұрын
Endelea kuweka sawa wakili wetu tunakuelewa vema
@Mima-cl2im9 күн бұрын
Wanasheria. Wakuu wa dini, teteeni ukweli wa sheria, kabla mambo hayajafika mbali.
@godfreyntambi77639 күн бұрын
Bunge la chama kimoja CCM hawana shida na wananchi
@user-jl5un4wf3u8 күн бұрын
Nyuma yaBashe kuna maafisadi wengiwakieemo wafanyabiashara nahataserikali nawanasiasa wanakisingizio chaetikumudharau spika huku nje wananchi tunaishangaa serikali kushambulianakudhalilisha viongoziwawananchi kwakuwa wabunge niwawakilishi wawananchi.
@obadiajuma4369 күн бұрын
Kwatanzania kumkosoa mteule Wa raisi atakama amekosea nikosa
@ligwamikoba63368 күн бұрын
WANASHERIA WA NCHI HII NAWAOMBA MCHUKUE HATUA YA DHARULA KUMLINDA MH;LUHAGA MPINA
@LaureanKajugusi8 күн бұрын
Umeitendea haki taaluma yako lakini pia wananchi kwa ujumla wetu!!
@georgemajalu88239 күн бұрын
Kwel bongo hupaswi kuwa mtetez wa wanyonge 😢
@mpangalalisotha68089 күн бұрын
RIP Hon. Samwel Sita (standard and speed)
@ngambikomsu649 күн бұрын
Wanasheria wote njooni na uchambuzi , wa kisheria. Tukuimwacha Mpina agandamizwe sio sawa. Wekeni mambo hadharani. Mwanasheria hapa nchini sio spiker peke yake
@AmriManengelo-yz5pp9 күн бұрын
Kwanini m mnawatetea haya makapumi ya ndani na Kila mwaka tatizo linajirudia sana hapa mnatetea watanzania au wenyeviwanda 🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi ninamashaka Kuna watu wamekosa percent tu hapa🤣🤣🤣🤣👆
@tanzaniakwanza16999 күн бұрын
Mpina si uanzishe chama.
@pidibegashe7689 күн бұрын
Mpina ndio mbunge za mzalendo pekee waliyopo bungeni
@ibrahimfassa10759 күн бұрын
Jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa jiwe kuu la pembeni
@reonandmpangalushu34349 күн бұрын
Tangu jana nikasema wabunge wengi wapowapotuu bashe amefanya haya kwa ajili ya manufaa ya wachache akiwemo yy mwenyewe bei ya sukari kufika ilipo ni mpango wake bashe, mpina awawashia wabunge wenzake waone mbele lakin hawana macho ya kuona wanabaki kumlaumu
@ibrahimwarsame93098 күн бұрын
Duuu wabonge noma hamna kazi nyie huyu Wakili ni mzigo anatafuta kik hakuna jipya tafuteni kazi
@user-my7fj6wn7y9 күн бұрын
Ipo siku tumechoka hilo bunge nilakupiga moto
@user-uo9tq8cc7q9 күн бұрын
Kweli wabunge wetu hawajielewi haya msukuma mzee tabasamu mliyajua hayo?
@efraimjohn49568 күн бұрын
kuna uozo mkubwa, ilitakiwa hao mawaziri wajiuzuru
@PauloAlfayo-qi1gn9 күн бұрын
Ccm chama changu wanajilinda ila ss wtz ndio wajinga wanajifanya chadema wanalindana ila mpina na ndugai ,tumewaelelewa mungu awalinde,
Pamoja na hayo tunajua hao matajiri ndiyo wanafanya makusudi ili wananchi waendelee kununua sukari beimbaya na kujinufaisha wao.Bashe tetea wengi Mpina Yuko na matajiri.
@aloycesilwela34859 күн бұрын
Asa mbona huyo spika ni mwanasheria, mbona asisimamie Sheria inavyotaka, kwa maoni yangu hafai kuwa spika
@leokamil62849 күн бұрын
Yupo kushiba
@Mima-cl2im9 күн бұрын
Haku soma hata ushahidi wa Mpina. Hii imewauma sana watanzania
@josephmchila64679 күн бұрын
Aliyosoma@@Mima-cl2im
@faustinebahenobi34128 күн бұрын
Unacho takiwa ujue ukiwa ccm ata kama umesoma namnagan unatakiwa ujifanye amnazo penye nyeusi unatakiwa useme nyeupe ili kuwafuraisha wakubwa zako na hapo ndo tatzo letu watanzania katiba mpya ni sasa
@sashawambura8 күн бұрын
Wakili kanjanja...kweendraa
@faustinebahenobi34128 күн бұрын
Ww nawe mgonjwa waakili
@mwingwasolozi86519 күн бұрын
Hapa hoja ni Wananchi kupata sukari kwa dharula muondoa adha(shida) ya sukari.
@mariaanthoniangowi9376Күн бұрын
Wewe Misawa na bota hujielewi kama unazama au lá. Kama hujitambui ni Bora kukaa Kim ya suitor komenti minha wewe
@ibrahimfassa10759 күн бұрын
Mh rais hawa mawaziri wanakuhujumu , kuna umuhimu apo kuangalia na kuanza kuchukua mamuzi juu ya kauli ya mkuu wa majeshi kuwa kuna watu wapo kwenye mamuzi makubwa na sio wa tanzania chukua hatua haraka mh rais apo watu wameona n upigaji tu hat mpina wamgalagaze wee lakin watanzania tunajua ndo mtetezi wetu , wawajibishe hao wapiga dili hilo halifichiki mna ona sheria hizo kwanini bunge linalotunga sheria tena linasahau sheria zake lenyewe apo dili tu mh timua ote ao wanakuhujum tu
@donaldmaziku79159 күн бұрын
wanamkusanyia pesa ndio maana yuko kimya
@devangandhl22559 күн бұрын
Hivi unayoeleza spika ambaye ni msomi hajaona na wabunge walking mkono maamuzi ya kamati
@RamadhanKitama9 күн бұрын
Huyu spika wa genge baladhuli huyu hamjamjua rangi yake sawasawa, lait kama upinzani ungekuemo bungeni kama mwanzo ndo mngemjua mapemaaa! Yaan Anne Makinda alifaa sana. Huyu mama ana ndimi mbili kama nyoka. "Ndo imenyesha mmejua wapi panavuja, kabla hata ya msimu mwingine wa mvua" mmmmmh
@Mima-cl2im9 күн бұрын
Bunge la Kenya limechomwa moto kwa wabunge kupitisha sheria za kuwakandamiza wananchi. Na pia kushindwa kupigana na ufisadi. Viongozi wa Tanzania wana bahati kwa kuongoza watu watulivu na wengi hawajuwi haki zawo. Wabunge wajuwe, siku watanzania wakiamuka hawatakuwa na woga wa kukaa kimya. Wabunge wasiuchukuwe upole wa watanzania ni ujinga.
@jacobd.kasofu22049 күн бұрын
Tunapaswa Kuliwajibisha Bunge, Hakuna Utulivu Wakati Majizi yanajilimbikizia Mali na Kutesa Wananchi.
@NescharlesMalando-xm6lg9 күн бұрын
Muda utaongea tu!!sisi so wajinga kwa sasa!!
@user-wi2mv9hz3p9 күн бұрын
Mpina yuko aawa kabsa ni mtetezi wa wanyonge
@michaelbachubira71979 күн бұрын
Macho ya wabúmge wetú ayajaona shería yamemwóña mpíña
@leokamil62849 күн бұрын
Kwani hao wabunge wanajua sheria au wanajua kupiga meza na kujishibisha matumbo yao tu
@neisphormabula72869 күн бұрын
Bunge la ajabu sana hivi mbunge atoe wazo lipi kwenu aonekane ana uzalendo na nchi yake