Asili ya viongozi wetu ni chini huko kuzimu na kuzimu huwa haishibi mapato!kama asili yao ingukua juu mawinguni huko mvua itokapo na mapato yangekua mengi!!! Tumuombe Mungu abadili asili ya viongozi wetu tutapona!!
@rastheunique2 күн бұрын
Na utekelezaji wa Mwenye Enzi Mungu juu ya maneno ya mtumishi wake na uwe haraka 😭😭😭
@user-vr8vv5gm4sКүн бұрын
Mungu atusaidie
@Leeeeeeee-962 күн бұрын
mtumidhi sisi tuko pamoja na wewe mungu akutunze na azidi kukuinua 🎉🎉🎉
@migerajacob5812 күн бұрын
Mwigulu bongox2 ndogo,,hakustahi kuwa hata naibu waziri,,
@NdelemaPosta-bi5zc2 күн бұрын
Yaan kazi sana kasomea kuiba na uchawi ndio pingo za mawazili wa Tz ila muda ukifika tutaelewana tu maana miladi Yao tunaijua na mabass Yao yanajulikana
@georgempogomi73292 күн бұрын
Mwigulu ni jambazi la Taifa viongozi wetu wanaongozwa na uchawi,uganga na wizi na uchawa wa mama hawana huruma hata siku Moja nawashangaa wanawaombea wabarikiwe waombeeni waache wizi na dhuluma nyinyi mitume na manabii
@salmajafari6838Күн бұрын
Tunaruhusiwa pia kuwaombe wafe kabisa
@user-iy8mq9ii8tКүн бұрын
Kwani Jpm kipindi alipokuwwpo alisemaje kuhusu mwingul?
@eliasamsonofficialtz66002 күн бұрын
Tatizo la nchi yetu watumishi wa Mungu ni waoga kukemea viongoz wa serikali,maana wao ndio wangekemea uovu unao endelea ktk Taifa letu na wange sikilizwa sana,ila sasa mmmh😭😭
@sylvestercameo6263Күн бұрын
Usiwasingizie viongozi wa dini au watumishi wa Mungu, tatizo ni letu wenyewe tunaoshindwa kutambua haki zetu kwa kupigania Katiba mpya na utawala wa sheria. Hivi waziri mmoja anayelalamikiwa na wananchi walio wengi inashindikana nini kubadilishwa naamlaka ya uteuzi? Sasa kätika Hali hiyo watumishi wa Mungu wafanyeje, wakamng'oe ofisini?
@user-dy5fn6qj1q13 сағат бұрын
Tatizo sio mawziri tatizo. Wabunge wetu tuombe mungu awajalie hekima busara uchaji kipawa waflme oneni ajira hakuna kopeni. Mkishakopa wekezen kwenye viwanda vingi viwanda vitoe vitu vya kitengeneza hizo reli madawa nguo vfaa vya kuchimba madini :N;K tuliowasomesha wapate ajira hukoooo tunasomesha wengi wametundika. Mavyeti ukutani mainjinia madocta waalimu wapooo tuuuuu tatizo wabunge wetu kuto kujitambua tulizaliwa watupu na tunazikwa watupu mali ni rasimali watu wakitumika kwa haki stapokea na wala sitatoa rushwa ni adui wa haki nitajielimisha kwa uwezo wangu kwa manufa ya uma taifa. Langu binadamu wote ni sawa na Afrika wote ni ndugu asanteee mkuuuu tupo safarini tuu Duniani tunapita tuu safarini
@user-ig6pg6oz9iКүн бұрын
Mungu ibariki tanzania kwa kutupa upofu kenya madume
@MeridaChawe-kd9isКүн бұрын
Ubarikiwe mtumishi, unafungua wengi kifkira.
@salummohamed26892 күн бұрын
Huyu mama amesemwa sana, kujitathini kunamhusu!
@corrolesscpsКүн бұрын
Magufuri alimtoa Huyu Mama kamrudisha tena
@natafutamatatizo43822 күн бұрын
MWIGULU NI MLEMAVU WA AKILI JAMANI. HUYU HANA MBINU ZA UCHUMI KAZI YAKE NI TOZO TU
@DaurdCharlesКүн бұрын
Inauma sana kama kiongozi anashindwa kuwa nahuruma nawatu wake sasaivi mitaani wamachinga wote mitaji imeisha kwaajiri ya vitu kupanda bei tutaishije Bora watuuwe2 viongozi wote wametutenga hawana huruma hata tone mafuta yakula yamepanda bei sabuni zimepanda bei Kila k2 ovyo kabisa watu tunateseka madeni yamejaa mitaani Iko siku mungu atawaacha pia napenyewe
@asteriashios1852Күн бұрын
Yaani mwigulu hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi hiyo secter haimfai kabisa kana hekima busara Hana kabisa alafu ni jambazi no Moja sijui kwanini anapigiwa kelele alafu rais Samia amemwacha kuwa waziri wa fedha
@pirminmatumizi5464Күн бұрын
Ndege wafananao huruka pamoja.
@user-jl5uh1xq9fКүн бұрын
Walizi wa fedha hi nchi ni ya watanzaia wote.wote tunaitaji maisha mazuri.kwaiyo kuwa makini na unacho kiongoza
@user-iy8mq9ii8tКүн бұрын
Usipoipenda haki utakuwa chukizo mbele za Mungu na utadidimiza taifa.Mungu habadilishi misimamo yake hata usipoikubali.viongozi iweni na hofu ya Mungu mtatenda vyema na kuwahurmia wengine na kodi iwe ndogo iwe rafiki na mlipaji isimuumize.
@musajoseph78962 күн бұрын
Dawa ni kuyatiya moto majumba Yao, biashara zao na magali yao
@pirminmatumizi5464Күн бұрын
Kama Kenya
@UswegeJohn-ov3ym2 күн бұрын
Mwigulu ni tatizo kubwa sana kwa Taifa lletu.Wizi wake umevuka mpaka.
@leokamil62842 күн бұрын
Hongera Mchungaji Mungu akulinde na mabaya nchi hii haitaki watu kama wewe
@karimmveyange2802 күн бұрын
SAWA MWALIMU,MUNGU YUPO,WATU WAKICHAGUA SHETANI AWE NDIYE KIONGOZI,MACHUNGU WATAKULA
@kazinaimwishehe-ec3xu2 күн бұрын
Kazi ipo maisha ya viongozi si sawa na raia wao maisha mazuri mishahara mizuri nyumba nzur magari mazur posho nzur
@SANGOSAIDY2 күн бұрын
Upo sahihi sana mwiguru hafai hatakidogo ila sikumoja watatambua
@SalimKombo-xo4pqКүн бұрын
Sawa sawa kaka maneno yako ni ya kweli
@yahayaramadhani64182 күн бұрын
Ukweli mwigulu hafai Hata Kwa kuumangia nikatiri sana, nahiyo nafasi aliyonayo nihuruma ya mama tu.
@clarencehilary5588Күн бұрын
Hongera yako chura kumbe tuna kiongozi chura
@user-jl5un4wf3u2 күн бұрын
Kwahiyo huyomwigulutangu lini awena akili au elimu kuliko watanzania wanaomuona ni boyalinaloelea bilamerikubu...
@salummohamed26892 күн бұрын
Mwigulu anajitosa mwenyewe anataka kutufanya sisi ni familia yake
@joycmsokile92202 күн бұрын
Mwigulu hafai
@user-jx5ze9wz8eКүн бұрын
Mungu akubariki san baba
@MauBondeКүн бұрын
Huyu jamaa kaniudhi kuhusu kauli ya mikopo ,huwezi kuwa tajiri wakati matajiri duniani wanakopesha watu,pumba ndani ya bunge tukufu.......
@hassanmitayo1875Күн бұрын
Ukitaka kujua kama watanzania ni vigeugeu wao na dini zao chunguza miamala yao ya kibenki na kwenye simu na kila mmoja atoe maelezo ya fedha alizonazo na Dini nazo zitoe maelezo ya kipato, utagundua kuwa wezi wanalalamika kuwa mlinzi hafanyi kazi vizuri
@gowekogoweko5803Күн бұрын
WELL SAID MCHUNGAJI
@yordanyona1234Күн бұрын
Hiyo kampuni ya Easter Ina Tirion 4 serikali inashindwa kumake kupitia mirad mbalimbali
@user-qm2ve7tx3s2 күн бұрын
Nchi hii inahitaji lakupata viongozi wanao simamia lasilimali kwa kujitowa sio hawa wanao ogopa kuwa na maadui wakati maadui haohao ndio wanao pokonya lasilimali za nchi
@charlesrweyemamu83522 күн бұрын
Madini yanatusaidiaje jamani. Si tuuze tanzanite tujenge miradi!
@SANGOSAIDY2 күн бұрын
Hiyo PhD ya mwiguru ni PhD uchura sio PhD yafaida kwataifa bali kwa familia yake tu
@kwasmokweka9598Күн бұрын
Eee MUNGU wetu, toa watumishi wako wanaokuogopa, wanaotaka haki, uwasimamishe wakutetee, na watee watu wako.Ukiwaruhusu 100 tuu wanatosha kudhiirisha ukuu wako.
@johnmalembo64642 күн бұрын
Pointing kubwa ni kweli ....kama watu wanataka ubaya wao wapatie...kwa sababu ndiyo wanaoutaka wao.....wape watu kile wanataka..
@chrismassawe2939Күн бұрын
Mtumishi cha kufanya ni Toba ili matengenezo yatokee lakini ukiwa mlalamikaji hamna namna Mungu atakusaidia MUNGU anaweza lakini tumwendee yeye sio kulalamika wakati tepewa mamlaka nanYesu ya kufunga na kufungua😊
@janengaga29282 күн бұрын
Tuombee sana nchi yetu Tanzania.Mungu ibariki Tanzania.
@joycmsokile92202 күн бұрын
Ni bahati mbaya Sana kuwa na waziri wa fedha mfanya biashara
@stephenndagalla81832 күн бұрын
Tena biashara zake zinazotokana na nafasi yake ya Uwaziri. Ni UFISADI MTUPU.
@NedjadistКүн бұрын
Si mfanyi biashara. Kapandia tu kwa vile alijikuta ana mihela mingi ya wizi na hana pa kuzipeleka. Leo akiachishwa kazi vyote vitaporomoka. Mfanyibiashara ni yule anayetafuta mtaji kwa njia ngumu lakini halali.
@yordanyona1234Күн бұрын
Mwalimu mzuri sana ...KIkubwa Mungu atusaidie
@lameckbalekere1962Күн бұрын
Kama mzuri mpe mkeo amshugulikie
@NicksonAlphacapitalGroupКүн бұрын
Ni kweli ni hatariiiiiii sana kuwa mpiga deal wizara ya fedha
@lameckbalekere1962Күн бұрын
Mwigulu siyo muzalendo anahalibu uchumi wetu
@kaaakwakutuliaa5179Күн бұрын
mtumishi piga kelele tutakuunga mkono
@PcgtMsalato16 сағат бұрын
Kuna haja ya kubadili Kiongozi 2025
@fabianmainchanyangachika5017Күн бұрын
Ndio maana uncle magu alimpiga chini Kila sehemu
@angelsgabriely3575Күн бұрын
Huyu ni mpga dili tu chumia tumbo lake,.Mwigulu-Chemba cha Choo,..mchumia tumbo,..hufai kuwa wazri wa fedha
@AbrahamMjema-di1li2 күн бұрын
Ni kweli hii hali inayoendelea kati ya wafanyabiashara na serikali itaumiza wananchi
@NicksonAlphacapitalGroupКүн бұрын
Huyu mama nae alitakuwa kuwa msimamiaji wa mamlaka zinazohusika na uaandaji wa walimbwende ndo KAZI angeiweza. .
@oscarwasenga1333Күн бұрын
We unajua sana
@desiderihugo570413 сағат бұрын
Huyu chura kiziwi hatafika juu aache kujifariji hatafika juu kwa jinsi hii atadondoka tuu . Asikilize wananchi
@RICHARDMADEBE11 сағат бұрын
Watzania tuache kulalamika tuchukuwe hatua kama Kenya hapo watatuelewa watatoa kikokotoo watatoa tozo nk vinginevyo tumeumia
@victorrobert779720 сағат бұрын
Akili zao ni tozo tu
@TitoRufizi-xb2ub2 күн бұрын
Nakuelewa sana mtumishi ila Mungu atatenda tu
@user-xx8fb4ed5u2 күн бұрын
Mwizi huyo
@joycmsokile92202 күн бұрын
Mwigulu ni muongo
@user-oy2gp3nq4jКүн бұрын
Mzee wa mabasi ya Ester hana huruma
@NanaMaembeКүн бұрын
MAMA NDO ANAMPA KIBURI..... KWA SABABU KUNA KITU AMBACHO WANAFURAISHANA WAO WAWILI KWA FAIDA ZAO WAWILI....... WANAWASAAU WANAINCH WALIYOWAWEKA PALE JUU.
@mwambaimara1950Күн бұрын
Kama hivyo ndivyo tozo zinatekeleza miradi, je mwigulu mikopo mnayokopa ni za nini?? MNATUTESA SANA RAIA, hadi kujifananisha na CHURA!! kweli inatisha!!
@coolsinare88242 күн бұрын
tatizo la Tanzania ni giza nene..viongozi hawajui hatari yakuongoza watu..dhamana utayoipasa uilipe wewe na jamaa yako..ni hatari sana kuwa kiongozi kwa sababu unamulikwa kwa karibu sana na utalipwa
@exseviangaeje1158Күн бұрын
Yeye kasema ni chura asikii ya mtu hawa ndio wafalme atuna cha kuwafanya tupige magoti tuombe
@kwasmokweka9598Күн бұрын
Msomee na Isaya 10:1-5.
@camilomassao8971Күн бұрын
Mwigulu hakustahili kuwa waziri wa fedha,
@saaduneКүн бұрын
Point❤
@user-oh8vr7uu9kКүн бұрын
Mshahara ulioutaja ni wamwalimu anayekaribia kustafu hii ni shida
@kiliantereba6502Күн бұрын
Uko sahihi kiongozi
@AbdulazizMohammed-wi8qzКүн бұрын
Kwani huyu anampa nini mama kwanin hamtumbui maana jamaa hata maneno yake hayana maana yoyote hafai kuwa waziri
@AlphaxardMRusweka-jr1wi4 сағат бұрын
Huyu ndo anataka twende Gurundi ? Aangalie kauli zake,asije kuwa anajitabiria yeye ndo akaenda Burundi
@victorkisenha5933Күн бұрын
NANI ANAMKINGIA KIFUA, MAANA MENGI YALITAJWA,FISADI KTK STGR
@jumanyassy8062Күн бұрын
Je wazokopa zinaenda wapi Kama Kodi zinaenda kwenye miradi Mkubwa!!?
@StevenMtamboКүн бұрын
Tz tupate watumishi kama huyu mtumishi tutafika kaanani
@ezrommkambati1554Күн бұрын
Atapotezwa sasa na machawa hujui
@PcgtMsalato16 сағат бұрын
Chura aondoshwe 2025. Tunaongozwaje na Chura ?
@user-jl5un4wf3u2 күн бұрын
Wenye akili nchihii hufedheheshwa nakudhalilishwa kinyume chake ni wenye hekima kama mwigulu anayetusi hatawananchi.
@christinenyagiro6662Күн бұрын
Sasa kiongozi akisema ameziba sikio sasa watu wamueleze nani? Kwa nini uendelee kuongoza wakati hutaki kuwasikiliza hao watu kweli ni sawa? Mwalimu huyo akitaka kuwa chura wanafunzi wataenda wapi? Basi raisi tuwekee mtu wa kueleza shida zetu ambaye siyo chura ili watu wamkimbilie kueleza matatizo yao.
@MichaelKilingaКүн бұрын
TUKO NA WEWE MPAKA UTAKAPO FUNGIWA KANISA 😂
@user-bf7sr1cv1g2 күн бұрын
Haya
@mindicarrashid31312 күн бұрын
Wakanda,dola yamangi meza, ndio tatizo
@Leeeeeeee-962 күн бұрын
nchemba ana scrow tablet ya kodi ya wananchi amna shida kuleni nchi bwana
@joycmsokile92202 күн бұрын
Alitoa ahadi ya kujengwa kwa Barabara ya Tabora hadi Mbeya yaani mpaka Leo hamna utekelezaji
@gowekogoweko5803Күн бұрын
ISIKILIZE SAUTI YA WATU
@GeofreyMwandanji-ot2lfКүн бұрын
Siomda Kenya itahamia apa wanatuona mazuzu
@camilomassao8971Күн бұрын
Kusikiliza ni muhimu
@joellongidare8280Күн бұрын
Uyu ndie anasambambisha vtu kumbanda kila siku
@NanaMaembeКүн бұрын
ATA CIRLY RAMAPHOSA ALIJIFANYA CHURA NA YEYE...... SASA HIVI KIMEMKUTA MPAKA AKAIBA KULA ZA VYAMA VINGINE...... SASA ANATAKA KUUNDA SERIKARI YA MSETO NA MAKABURU....... LAKINI NDANI YA CHAMA CHAKE WANAKATAA WANATAKA HASIUNGANE NA MAKABURU NA AUNGANE NA VYAMA VYA WATU WEUSI NA SIYO CHAMA CHA MAKABURU.
@pidiusDominick-qi7nlКүн бұрын
Wewe ndio unalea majambazi hao
@enockmwantyala281Күн бұрын
Kumbe kumbe kumbe
@shaimamabrouk99372 күн бұрын
ipo siku amabayo Haina jina Watanzania watachoka na hawata, ogopa Tena ndipo atajua kumbe uziwi wake kuto kuwapa sikio Watanzania Sasa atazibuka hapo watapo amua kufanya watakayo yafanya soon as possible Tumechoka sanaa
@saivellybrutally2994Күн бұрын
Hatuna umoja sisi tukubali ni wapumbavu TU
@christinenyagiro6662Күн бұрын
Kumbe ndiyo sababu unajiita chura. Basi endelea kuwa chura ili ujaze warabu kila kona lakini ukitoka Uraisi utajichimbia chini kwenye mashimo kama chura? Wewe utakuja kuishi na hawa masikini. Watakuwa wanakugasi kuomba hata chakula utakuwa unawapa makombo yanayo baki unapo maliza wewe kula. Utakuwa unafurahi watu kuingia au kuzunguka mpaka malangoni kuomba je itakufurahisha?
@hildandumbalo58272 күн бұрын
Kenya wameiona wanajisahau viongozi
@user-hq5qx1hu2xКүн бұрын
Shule gani amesoma, chura chura
@ezekielmabwai482Күн бұрын
Mwigulu atakuwa Mshirikina? Na akili zake za MATOPE, bado Lina survive tu, analaumiwa kila mahali. Mama bado anamtetea Duh?!! Na wewe mama niña mashaka na wewe! Kwa sababu ni Kama hutumii bongo yako. Kwa kuwa sasa wewe ni CHURA DUH?? HUTASIKIA!
@hassanmitayo1875Күн бұрын
Wanaofisadi ni waumini wa dini hizi hizi na viongozi wa dini mpo, huoni mmefeli, serikali haina dini halafu unaisomea Biblia itakuaminije?,
@leokamil62842 күн бұрын
Wanaona sio viongozi ni watawala wa mazuzu
@King_Of_Everything2 күн бұрын
👊👍✌️.
@juliuskitaluka1206Күн бұрын
Chura kiziwi
@kaaakwakutuliaa5179Күн бұрын
watanzania amkeni mwiguru hafai
@salummohamed26892 күн бұрын
Jamani heeee!
@charlesrweyemamu83522 күн бұрын
Maelezo ni matamu, lakini tutofautishe vat na income tax, vat ni kwenye bidhaa siyo kwenye mishahara