No video

Nondo za Wakili Madeleka Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa

  Рет қаралды 16,003

WAKILI TV

WAKILI TV

Күн бұрын

#ijuesheria

Пікірлер: 87
@joelmwaitege2121
@joelmwaitege2121 Ай бұрын
Nimekuelewa vizuri sana.. Ubarikiwe sana mheshimiwa.
@johnanilongo4183
@johnanilongo4183 Ай бұрын
0:02
@user-gy4vk1hh3x
@user-gy4vk1hh3x Ай бұрын
Mungu akulinde Wakili umenifanya nisiwe mwoga Kwa kweri. Viongozi machawa ndio wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 Ай бұрын
Nakuelewa sana Peter your the best one,taifa la Tanzanian linahitaji watu kama hawa.
@JosefuSwai
@JosefuSwai Ай бұрын
Nakukubali sanasana afande mwanasheria wakili masomi
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 28 күн бұрын
Kaka kunywasoda safi nalipa mimi nakukubali sana
@moyokajange1699
@moyokajange1699 Ай бұрын
Wewe mtumishi wa mungu kazi unayo ifanya ni ya kitume Bwana yesu akulinde akuingezee siku zakuishi ubarikiwe sana.
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Notisi of apili zinatutesa sana unaka myaka makalane jamani watafute kazi nyingine ndio wanachafua mahakama jamani wajaji wamesoma sana makonda jeli silaa Wana amuka siku moja majaji wanaoshindwa nini
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Ай бұрын
Hongera sana kaka Madeleka.Watanzania wanahitajisana vipindi kama hivi angalau kila wiki,
@robertmapinda1866
@robertmapinda1866 Ай бұрын
Wakili madeleka nakukubali sana katika utendaji wako Mungu akuongezee hekima na busara,usimamie haki
@tumsifumartine612
@tumsifumartine612 Ай бұрын
Kuna watu wazuri sana kama Madereka Mungu akulinde wakili Madereka
@MuhojaMalicho
@MuhojaMalicho Ай бұрын
❤❤❤❤ mm nikwelewa sana ila nakuomba ungane na lisu
@user-eo4bl3do8k
@user-eo4bl3do8k Ай бұрын
Tafadhali sana wakili MADELEKA usikubali kununuliwa na wale wasiotaka mabadiliko ya nchi yetu ,,kwasababu ccm hawataki kuyasikia hayo unayoyasema
@asibwenemwaipopo4863
@asibwenemwaipopo4863 Ай бұрын
Asante kwa kuwaelimisha Watanganyika. Mungu akubariki, akulinde na kukupa maisha marefu.
@PatricePatrice-ue4yl
@PatricePatrice-ue4yl Ай бұрын
MADELEKE is big advocaten her from AMSTERDAM NEDERLAND she want to kuongea na WEWE
@augustinomsuya9310
@augustinomsuya9310 Ай бұрын
Mungu aendelee kukulinda
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Ай бұрын
Hawa hawana mungu hawa ni sehemu ya wauaji maana huwa wanawatetea mpaka wauaji hawana lolote
@abdulmajidmageja6562
@abdulmajidmageja6562 Ай бұрын
Wakili dunia zote zinazo sitahiki zikufikie amina rabilaalah mina
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Ай бұрын
Hakuna cha amani na usalama wakati tunaishi kama wanyama pori
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 Ай бұрын
Peter Madeleka huwa unanikosha sana , mwanangu mmojawapo nitahakikisha anasoma sheria.
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Amen mungu akubaliki sana
@user-uh3eg5cj2r
@user-uh3eg5cj2r Ай бұрын
Peter MUNGU AKUJALIE AFYA NJEMA TU!
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 Ай бұрын
Nimekukubali wewe ni mpigania haki. Mungu akuinue zaidi
@exseviangaeje1158
@exseviangaeje1158 Ай бұрын
Madeleka ni azina ya nchi tuwaombee sana kwa Mungu mtu kama UYU mtu wa kutaka haki ni wa kumwombea sana
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 Ай бұрын
Duuuu kazi kweli kweli.asante
@waziradam2794
@waziradam2794 Ай бұрын
Wee Madeleka ni kiboko. Pokea 🎉🎉 yako.
@gustavrwekaza802
@gustavrwekaza802 Ай бұрын
🎉libarikiwe tumbo lililokuzaa, ziwa ulilonyonya na kiuno ulimotoka
@hamissomary6869
@hamissomary6869 Ай бұрын
Safi sanaa kaka
@NdebileMathias
@NdebileMathias Ай бұрын
Good message for our country
@ClementLushino
@ClementLushino Ай бұрын
Biblia inasema tunapata wapi watu kama awa wenye kusimamia kweli, MUNGU akubariki sana na akuongeze ujasili.
@kasumalnews4580
@kasumalnews4580 Ай бұрын
Awesome
@DavidDanken-uf7kp
@DavidDanken-uf7kp Ай бұрын
Mendez madereka ,nakutaman kaka.moja kati ya watanzania walio soma wakaelewa ❤
@SarahAlphonce-q4e
@SarahAlphonce-q4e Ай бұрын
Mungu akubariki wewe nimtetezi wa wanyonge
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Kwahiyo kazi baba mama waliyofanya nizawadi za watoto wao
@JoshuaStanley-qu3im
@JoshuaStanley-qu3im Ай бұрын
Uko vizur mwamba
@farajansekela5763
@farajansekela5763 Ай бұрын
Mmmh!!!!! Akili kubwa Sana Kakangu
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 17 күн бұрын
Polisi bado wale wale hajui kama kuna maungo maungo ya KATIBA. CCM ndiyo kabisa hawana habari wanaona Hatamu yao bado kabisa.
@user-mh2fw4ze8m
@user-mh2fw4ze8m Ай бұрын
Da sina hamu kabisa na ujumbe huo wakili madeleka
@Uhuru1234
@Uhuru1234 Ай бұрын
Hakika ww mungu akubariki sana
@peterkitima4383
@peterkitima4383 Ай бұрын
Madeleka ubarikiwe saana nduguuu
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Jamani Madereka,akupe ulinzi mungu baba.ni huruma na upendo.utu.mungu atakulipa.
@hamissomary6869
@hamissomary6869 Ай бұрын
Nakkubali kaka
@user-vg4ph5zx8h
@user-vg4ph5zx8h Ай бұрын
This guy he so genius
@PatricePatrice-ue4yl
@PatricePatrice-ue4yl Ай бұрын
UAGOPENINI KAKA TUTAKUFAWOTE WAZALENDO
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 17 күн бұрын
Hata sisi tulikuwa wadogo. Hapa hakuna amani hata kidogo sasa hivi kuna uchawa tu wala hakunaAmani.
@KelvinBamuhiga
@KelvinBamuhiga Ай бұрын
Mungu akulonde madeleka🎉
@AtuganyiraKabigumila-rz7ou
@AtuganyiraKabigumila-rz7ou Ай бұрын
Uje utukomboe madereka jaman naomba hata uwe kaka yangu wa mfano nakupenda Bure baba
@rasnchimbi
@rasnchimbi Ай бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@samwelmohonge4573
@samwelmohonge4573 23 күн бұрын
tupo tayari kuiandika katiba mpya
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Tanzania hamuna mawakili ni waganga njaa wapo ishalla lugemeleza mwabukusi madeleka lisu antipasi lisu
@user-uh3eg5cj2r
@user-uh3eg5cj2r Ай бұрын
Bado Kuna vichwa kama kibatara, Bob wangwe, nk!
@abdallahnkrumah6237
@abdallahnkrumah6237 Ай бұрын
Msomi Madeleka wewe ni AKILI KUBWA hata wasioelewa wanakuelewa vizuri sana. Japo wachache hawataki kukuelewa Kwa sababu za wivu tu Kwa uwezo Mkubwa ulionao.
@JosefuSwai
@JosefuSwai Ай бұрын
Baba unasitahili mauwa yako
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Kwa kweli lakini watu wamewekwa chini ya CCM. Watanganyika wanafanyiwa vibaya sana lakini hata nadhani serikali, mahakama, na CCM ndiyo wamekuja kuharibu Time kwa sababu Rostam kwani aliposema kuwa kuwa mahakama ya kungonjea ku maagizo kutoka juu. Kwa nini mahakimu walijifanya kulalamika kwani siyo kweli? Mahakimu waliolalamika waliokuwa wanalalamika walikuwa uchawa au kweli? Jamani sisi tulikwisha kaa inje ya Tanganyika huwa tunaona kama serikali ya kujifanya ya kitoto. Yaani watoto wanapo jifanya kupika kupika unaweza kuona wazi kuwa ni watoto. Serikali ya CCM inafanya kuwa kila kitu kana kwamba wanajifanya. Ni kwa sababu ni CCM hata watu professional wanakuwa wachawa tu. Sasa hii ni serikali gani?
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Shetani anafanya mabaya zaidi hata kuliko shetani. Kesi hata direct tunahangaika nazo miaka na miaka mingi kila siku kwa sababu ya utawala wa CCM ambayo hauna hata uelewa wa kutawala bali wanacho jua ni kupigiwa makofi, kupokea uchawa na sifa za uongo mtupu.
@jumannekamota4870
@jumannekamota4870 Ай бұрын
Yani saizi ukiwa na kesi usiombe polic awe na ukaribu na hakimu au wakili wamahakama ya karibu na kituo yani uwe nahaki usiwe na haki ndani utaenda
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Tuache uoga tufanye maandamano tuwaondowe vibaya kwenye wamefanikiwa
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
👍👊✌️.
@johnmathew9854
@johnmathew9854 Ай бұрын
Bado tunawatu wanaakili mmno!!!!!!!
@brigethsauzand3926
@brigethsauzand3926 Ай бұрын
Mungu Wa Mbinguni akujaalie na TLS nzima mtendee wananchi haki
@charlesmapunda2002
@charlesmapunda2002 Ай бұрын
Unajua mpaka basi
@christophermalango1433
@christophermalango1433 Ай бұрын
Hongera sana Madereka
@BernadethaCharles-sv3oy
@BernadethaCharles-sv3oy Ай бұрын
Kumbe una uelewa mdogo wa kisheria? Mbona hatari sana sasa. Kumbe unatupotosha!
@FridayMwassa
@FridayMwassa 8 күн бұрын
Baba yako ametuibia sana ndiyo maana unahofu ugali wako utachukuliwa,
@Kwarasi
@Kwarasi Ай бұрын
Hekooooo
@pastorypetro6861
@pastorypetro6861 Ай бұрын
Bro kweli unajielewa
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Umemtaja Biswalo bado Anna Makaka.
@peterantony5890
@peterantony5890 Ай бұрын
Peter Madeleka naPeter Kibatala ni miongoni mwa mawakili bora na watetezi wa haki za binadamu.
@PatricePatrice-ue4yl
@PatricePatrice-ue4yl Ай бұрын
Aya mauupuuzi kamalile CHALAMILA ajafikaatalasaba yani stupide sijawai kuuona MATAKUYAKE
@FridayMwassa
@FridayMwassa 8 күн бұрын
Ngumbalo mbona umeandika utumbo
@brigethsauzand3926
@brigethsauzand3926 Ай бұрын
Namba Yako tunazipataje kaka
@user-ii7yw9ng5d
@user-ii7yw9ng5d Ай бұрын
Madeleka,libarikiwe ziwa ulilonyonya,darasa lako limenibariki!
@januarysila1569
@januarysila1569 Ай бұрын
chuma hicho
@FADHILICHIKOLO-pb8iy
@FADHILICHIKOLO-pb8iy Ай бұрын
Wewe ndiye wakili Bora Sana kwa sasa
@hamissomary6869
@hamissomary6869 Ай бұрын
Tunataka katiba mpyaa"
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Ай бұрын
Muda wa kupata KATIBA mpya ni sasa
@jeremiahmwasanu8157
@jeremiahmwasanu8157 Ай бұрын
Ihubiriwe haki popote ulipo pasi kuangalia nani anafanyiwa uonevu.
@user-cp8df8ik5h
@user-cp8df8ik5h Ай бұрын
Dah, hii nchi, kuvuanguo!!?
@eliaschipanda2006
@eliaschipanda2006 Ай бұрын
Madeleka, we ni kiboko.
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Tufanye anzisheni
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Ай бұрын
Tuanzishe wao wafanye ya kitaaluma.
@alexlazoro3530
@alexlazoro3530 Ай бұрын
CCM imesha penyeza watu wao humo ndani ya T L S
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Wengi wanakataa vyeo.
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Ай бұрын
Hiyo ya kuwavua watu nguo na kuwaingiza vidole sehemu za siri hata mimi siikubali. Kuna haja ya maandamano kupinga hilo ili serikali inunue vifaa vya uchunguzi kuliko kuwatia watu vidole sehemu za siri
@ebenezernnko8251
@ebenezernnko8251 Ай бұрын
Tumpate wapi mtu kama huyu
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 17 МЛН
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Роман Magic
Рет қаралды 45 МЛН
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 59 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 168 МЛН
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027
18:09
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 29 М.
Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'
19:11
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 17 МЛН