Aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, amesema alijulishwa na watu waliotumwa kumuuwa kwamba akimbie kabla hawajamtia mikononi.
Пікірлер: 380
@MagdarenaLunyalula8 ай бұрын
Mungusimama mtetee mtumishi wako tunamkabizi mkononi mwako ee mungu kusudi lako litimie kwa daudi wako
@rayaalhabsi17253 жыл бұрын
Maskini hana raha wa swahili wana sema uki ng'atwa na nyoka mara moja basi uki guswa na jani hurusha mguu. Mwenye Enzi Mungu atu hifadhi wote na aihifadhi nchi yetu na nchi zote duniani allahumma ameen yaarab
@matukiotvonline63663 жыл бұрын
Wamekuzulumu Kisha wanakutishia maisha inatia huruma😭😭😭😭
@willbroadbernard7843 жыл бұрын
..kwa wale wakristo au hata sio wakristo lakini wameisoma bibilia watakumbuka kuwa mfalme Saul alipogundua kuwa Mungu ameamua kuutwa ufalme wake na kumpa Daudi alifanya kila namna kutaka kumuua Daudi, lakini Jonathan mtoto wa Sauli alivyokuwa anampenda Daudi, alimtahadharisha kuwa akimbie maana alipata uhakika, Sauli baba yake amekusudia kumuua, Daudi alikimbia lakini baadae Mungu alimpa Daudi umfalme wa Israel ....kama una hekima tafakari yanayojiri katika maisha Lisu.........Mungu akishaamua binadamu hawezi kuzuia.....mimi natafakari tu....Nikijua Mungu ni wa maajabu hufanya mambo yake kinyume kabisa na matarajio ya kibinadamu
@bintsalimalbimany53403 жыл бұрын
Wanaonyesha wazi kua hawataki CCM KUWE na mfumo wa vyama vingi Sasa wanajihangaisha magharama kisha ndio kama hivyo hawatak kushindwa🙄Manak sion sabab yakuwakamata viongozi wa wapinzani🙄🙄🙄😩Allah yuko pamoja na wewe mh.Lissu👐👐👐Baada ya risas walizompiga bado hawajatosheka hasbunallah waniimalwakil😩😩😩😩😩😢😢😢😢😢
@userAysha3 жыл бұрын
Wallahi ndo utajuwa kwamba magufuli ana roho mbaya sana hivi binaadamu gani hamuogopi mungu yeye anajifanyia tu eti sababi ni rais unauwa halafu wanatokea watu wana muunga mkono kwa kujipendekeza tu huku wana hali ngumu ya maisha kamtia ulemavu mtoto wa mwenzie anaona haijatosha kujitafutia mikosi tu
@bintsalimalbimany53403 жыл бұрын
@@khadijahassan3778 Hajatete ushoga wachen kumzulia bora nimuombee dua Yye Allah amuongoze lkn Huyo maguful mumpendae kawaweka ndan masheikh wetu mpk leo Hawana kosa ata moja Lissu alisema akipata uraisi atawatoa Masheikh sasa nitampenda nan kati ya hao??
@userAysha3 жыл бұрын
@@khadijahassan3778 na yeye ndo rais saivi mbona hajawatowa au unataka kikwete ndo awatowe
@aminahhamed7473 жыл бұрын
Mungu atawashinda
@ben255tza43 жыл бұрын
Amechanganyikiwa huy
@esthernyerere32073 жыл бұрын
Pole sana mh lissu
@wilbertmanjonda58353 жыл бұрын
Mungu akutangulie
@admaumsengi42303 жыл бұрын
Watashindwa kwa uwezo wa mungu
@ramadhanimputa40343 жыл бұрын
hata. kama. Aliomtishia. hawezi. kukamatwa. maana. hawa. wasio julikana. ila kwa mwenyezi mungu iko siku atawazalilisha tu wasio julikana
@userAysha3 жыл бұрын
Inshaallah
@userAysha3 жыл бұрын
@@khadijahassan3778 kuna faida yeyote uloipata tokea ccm iongoze tz mbona ni mashaka tu kila siku watu wameuliwa znz na tz mumekaa mnafurahia
@amatsandhu57083 жыл бұрын
Risasi tu
@afizuboy34333 жыл бұрын
We lisuwe kumbe ushakimbia sasa ulivyotaka tuandamane.ulitaka sisi utuwache tunauwana wewe na familiayako ujeluman.
@userAysha3 жыл бұрын
Hakutaka muandamane kwa manufaa yake ana huruma na watanzania ndio maanaanawapigania haki nchi inayumba watu hawapati matibabu watu wanaishi kwenye maisha ya umaskini acheni kushabikia mtu anae waharibia maisha hapo wewe mwenyewe ukienda hospital pengine hupewi dawa sababu huna pesa acheni kuingizwa chuki na ccm haisaidii kitu hivi nchi zinazo andamana huwa zinataka nini zinataha haki uhuru na maisha bora usifikiri wanakwenda barabarani eti kwa manufaa ya mtu
Raila odinga likimbia nchi miaka mingi moi alimtesa sana na yeye ndie sababu Kenya wamebadilisha katiba yao lissu tuko nyuma yako magufuli nimuuwaji makonda amenyamaza ndio anaeongoza mipango ya kumuuwa lissu na ndie alietekeleza amri ya magufuli lissu apigwe risasi
@elishalyaka56004 жыл бұрын
Kumbe wajinga mko wengi unaeza tuambia magufuli kauwa nani,wewe si mzalendo na lisu wako huyu,
@userAysha4 жыл бұрын
kabisa unataka kumuuwa mtu eti kwa sababu anakukosowa ukweli unauma eeh walimpiga risasi kwa uwezo wa mungu hajafa bado yupo hai ila mungu anaona kila kitu
@userAysha4 жыл бұрын
@Thomas Patrick mwambie haya kumkuta yeye au familia yake ndo maana anazungumza ujinga
@shadagadagga99224 жыл бұрын
@@userAysha Sku zote msba uskie kwa mwenzio2 cku akifa mamaako ndo utajua kumbe msiba unamaumiv gan. Fact madam bora umemjibu eti ukikosolewa ndo uadui wewe kingoz gan usiokosolewa kwa hiyo unataka upongezwe2 kila sku duuh wew mungu hapa ndo nakumbuka kauli za bwege bungeni wtu wa chama fulan waliokuwa wakiambiwa wao kila kitu ndio mmeshiba eeh mnanjaa eeh ovyotupu tubadilike.Na ndo tunaenda kuyaona hayo ya bungen hapa kiukwel kuna kuna watu wanalazmisha kuwa vingoz kumbe wao ni watendaji2 wew kiongoz gan usiokosolewa duuh sasa hii ajabu basi!!!!!!!!
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
@@shadagadagga9922 mnazaniya mnamchafuwa magufuli kumbe mnamfagiliyatu mtazuwa mpaka mvuwenanguo lakini magufuli atabakiya kuwa safiii kabisaa unatafutiyanjia yakutokea unaona haya mambo uliyo wahidi mabwanazako hayakuwa unatafuta wakumtwika utajituwa mwenyewe mwanaizaya wewe utafutwewewe.kwakipiulichokuwanachoo. zaidi yanuksitu ndiozimekujaa nendaaa shogaamkubwawewe
@dammyboy52823 жыл бұрын
Tafadhali pia naomba u view hapa👇👇 kzbin.info/www/bejne/h4rGZJWqgrWgla8
@tabusalum13183 жыл бұрын
Umbea wakuue we we kwanini
@johnmbatta98723 жыл бұрын
Mbowe alikosea sana kukupa wewe ugombee u rais. Angegombea yeye hata wabunge tungepata wengi tu.
@rukiasalum6313 жыл бұрын
Swadaktaa kakaangu maneno yako nayaunga mkono kwa asilimia 100
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
@@rukiasalum631 Mbowe ameharibu Chama kabisa
@stellahally41723 жыл бұрын
mbowe mama ako
@rukiasalum6313 жыл бұрын
Hahahahaaa mtihani kwa kweli nnavojua mm mbowe ni jina la mwanaume shababi sasa ukisema "mbowe mamaako"hueleweki umekusudia nn hahahahaa nadhani hata huelewi km mbowe ni jina la mtu inaonesha hupo Tanzania na wala huelewi lolote unarukia comment tu mhm kazi kwelkweli
@effarymponzi25654 жыл бұрын
Lissu anavyoongea ni kama amekubali matokeo na anaonesha nia yake ya kuishi ubelgiji Sasa swali wale vijana alowahalibia maisha yao kwankuwafanyisha makosa je nao anaondoka nao ubelgiji kwa usalama zaidi? Ama maisha ya lisu ni yamaana sana kuliko ya hao vijana waliopo vizuizini na wemgine kupoteza maisha kutokana na makosa yake wakati wa kampeni?
@jamilambarouk47463 жыл бұрын
Anatafta njia ya kuwatelekeza ili wamuone Hana hatia akaendlee na maisha yke hku wao wakiteseka na Watu wakiendlea kulaum serikal
@ahmadmasunda98923 жыл бұрын
KAMA UMEAMUA KURUDI KWENU RUDI KISTAARABU TUAGE KISHA UONDOKE KWANI KIKINUKA HATA WEWE FURSA YA KUJA TENA KUGOMBEA URAIS HAUTAIPATA FURSA YA WEWE KUJA KUZURU MAKABURI YA WAPENDWA WAKO HAUTOIPATA KWAHIYO ONDOKA KWA AMANI ILI KESHO URUDI KWA AMANI
@mwitboy78603 жыл бұрын
Weyaaaaaa
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Mi nafurahi kuona mhe rais kamnyamazia kimyaaa naomba upige kazi wala usisumbuke kumjibu
@frankluhu53223 жыл бұрын
uyu mzee kachanganyikiwa sas wamuue kwa nin alichonacho 🤣🤣uyu mzee mwizi2
@@justinmkumbwa2330 yan mzee msiseme ki2 kwasababu watu mnaowapenda wamesema iv kama ingekua kwel wanatak kumuua wangeshindwa ki2 gan kumuua yan uyo n kam sisimizi2 na swala la serikali kutuma watu sio kwel kwamaan asingekua hai uyo
@swamweliteobady44963 жыл бұрын
Kwani alipigwa lisasi kwa nn
@frankluhu53223 жыл бұрын
@@swamweliteobady4496 kwa ujinga wake aliinao wa kuwapotosha wajinga wenzie
@MustaphaSeleman-z7cАй бұрын
Alikuibia mkundu wako
@z.nalnabhani71943 жыл бұрын
Lisu ni msomi pekee Tanzania,ndoo maana anatafutwa kwa uddi na uvumba,hili taifa mwisho litakuwa la kina fulanituu
@mohamedturanardan88713 жыл бұрын
@@khadijahassan3778 Khadija muislamu gani wewe? lisu kawashinda hata hao bakwata kwa kuwatetea waislamu wenzako, halafu wewe muislamu gani?
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
Haya mambo ya kumwita mtu muuwaji kwa msukumo wa hisia bila ushahidi ni chukizo mbele za Mungu. Mkiulizwa leteni ushahidi mnaanza kusema Lissu ndiyo alisema au kiongozi fulani, ushahidi wa kusikia na wa kuona ni tofauti sababu si kila linalosemwa ni sahihi ndiyo maana Mch Msigwa aliwahi kuomba radhi hadharani kuwa alimsingizia mzee Kinana mambo ya uongo baada ya kushindwa kutoa ushahidi mahakamani juu ya shutuma alizomshutumu.
@ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын
Lakini maagizo ya kumuondoa duniani yalitolewa zamani na ndio maana akapigwa risasi
@userAysha3 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 umeona eeh wabongo wengine vipofu kabisa wanajifanya hawajuwi kilichotokea na nani alisababisha mpaka mtu ya mkute
@aishasaid67494 жыл бұрын
Mtihani
@ramadhanikibenga63173 жыл бұрын
Uongo mwingine jamani hahahaha dah kama ingekuwa Luna wanaotaka kukuuwa wangekudhuru kipindi cha kampeni maana ndio ulikuwa unachanganyika na watu ACHA UONGO JIENDEE ZAKO BELGIUM
@ihanomadili3 жыл бұрын
Lissu ni mwongo na mchonganyishi tu, watu wa usalama msidanganyike nae, anatupaka matope nchi yetu tu, au la anatengeneza ukimbizi kwa baadhi ya watu.
@nzitogondwe99763 жыл бұрын
Si alisema agopi kufa imekueje tena
@swaxunity29853 жыл бұрын
Anaogopa kuaga huyooooo hiyo ni mbnu tu yakusepa
@aliissahongerababanazenjit68243 жыл бұрын
Hayo ni maneno ya mkosaji na kama ametumwa asingekwambia kitu na safari yako ya ubelgiji tuliijuwa tangu mapema kama utarudi
@amatsandhu57083 жыл бұрын
Beberuuuu huyo.
@basilmhagama31803 жыл бұрын
Acha kutuchafulia Tanzania yetu. Wakuuwe kwa kipi hasa.
@hamisirajabumichenje67253 жыл бұрын
Kwani lisasi zilikua za nini
@johannesmaloda82093 жыл бұрын
Tundu lissu ni mtu aliye laaniwa....katia mikosi chama cha chadema toka wabunge 64 kabaki mbunge mmoja,wazaz wake walizaa hasara tu,n mgombea aliyeshindwa kuliko mgombea yyt wa urais chadema
@hildamhina84143 жыл бұрын
Nikuuliz nawew umelaaniw na nani?? Bas wamelaaniwa hao wasio julikan huyu sio mtot hat pia nimakos gan hayo hat mtu atakiwe kuwaa??
@johannesmaloda82093 жыл бұрын
@@hildamhina8414 hakuna mwengine alie laaniwa ila n hili tu litahira Tundu sjw la wp,nalichukia
@mohamediabdallah63373 жыл бұрын
Huyu ni mnafiki alikusudia urais tu
@husseinkarim67453 жыл бұрын
Kwenye mkutano alisema kuwa haogopi kufa au asingerudi tz. Kama kukuuwa wangoje ushindwe uchaguzi? Wangekupiga huko huko kwenye mikutano ya nchi mzima. Hao wajerumani ni kama wewe hawapendi maendeleo yetu. Wanataka tuwe ombaomba tu. Watanzania ni watu wadogo huwezi kushindana na Germany Kinyume ukweli wa mwenye nyumba hushndani na uwongo wa mpita njia.
@timbukwa97713 жыл бұрын
Ndo hicho nachoshangaa???wasimuue wakati wa kampeni au kabla ya kampeni waje wamuue sasa hivi. Hata alipopigwa risasi wakati ule nna imani kama kweli serikali ilihusika asingekuwa mzima sasa hivi!!!kuna watu wanashabaha za kulenga hata sisimizi.
@makobamasawemangu4122 Жыл бұрын
Wew wala hata hujuwi taratbu za kugombea kwa kifupi tu mtu anaegombea Urais uwa anasheria zake zinazomribda wala huwezi kumuua katikati ya uchaguzi
@elliottrahema3 жыл бұрын
Nani katumwa muongo huyu amechoshwa na dona la siginda Tanzania kila number iko registered put the number out huyo mtu tumujue nice try hutaka upate uraisi tumeshakujua mbinu zako wewe na hao wahuni wezanko
@kaniogachief61513 жыл бұрын
Hizo sinema huyo kashindwa kushindwa mumuitwe Tanzania hakuna anae mtaka huyo hiyo sinema yanu
@BigBoss-jk6fk4 жыл бұрын
C = CHAMA C = CHA M = MAJAMBAZI + mauwaji majinga mazulma mateja mazombi madui makafiri matapeli mahanisi mijizi mafisadi
@muhidinihassani5203 жыл бұрын
Chanzo cha matatizo ccm (ccm).hiki chama hakifai kuwepo tena tz 🐍
@jamilambarouk47463 жыл бұрын
hujamaliza
@juliascherehani23303 жыл бұрын
muongo hv kweli mtu aje akupige Alf akuambie eti tunataka kukuua
@joojombi23413 жыл бұрын
Poles sana wee wazazi wako hujui tabu gani wamepata kukulea na kksomesha tatizo hujiheshimu na huna malezi bora na yenye maadili
@ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын
@@juliascherehani2330 katika kikundi cha watu,inawezekana mmoja akafanya imani ya kutaka kunusuru badala ya kudhuru.Sio ajabu kwa hilo,roho ziko tofauti
@HassanHassan-si2rt4 жыл бұрын
All the way from Japan Sepa mwanangu maisha sio bongo tu Mm nishasepa kitambo tu baada ya kuona nchi ishakuwa ya kitumwa.
@TM.Sullusi4 жыл бұрын
Hahahaahaha,
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
Hatuwahitaji watukama nyie huku tz mtatuletea kimaviburee
@jabiraxmed78983 жыл бұрын
Mimi nilisema muda mrefu sana nakwenda kama mtalii tu nilijua yote haya yatatokea
@eleonorajohn74803 жыл бұрын
Ule Ujasiriamali wa kuwapeleka watoto wa wenzio kwenye maandamano umeishia wapi?
@amourmtungo6233 жыл бұрын
Mzalendo hujui maana ya maandamano wala demokrasia inaonyesha hivyo
@elishalyaka56004 жыл бұрын
Ama kweli wewe ni bingwa wakuunda maneno,muongo mkubwa wewe
@jamilambarouk47463 жыл бұрын
Linajihurumisha aaaa wapi imepita iyoo
@ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын
Ulitaka apigwe na kuuwawa ndio usadiki?
@elishalyaka56003 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 ndio tunawauliza mtuambia aliuwa nani,nasi tujue lakini sio kumwita muuaji nahamtuambii aliuwa nani
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын
Waongo unawajua' wanawauwa wasio hatia na yote yako wazi' wakiulizwa wanakataa' wanawapiga wanatesa wanawaibia'baadae wanakataa eti wanashughulikia lkn tunasema hasbiya Allah wanighma lwakil ' Allah hatowaacha madhalim atawashuhulikia vizur sana wasiringie pumzi
@duhhammad72303 жыл бұрын
sasa ya ikweli ni yepi hebu tueleze
@aminattai26764 жыл бұрын
Sijawahi kuona maishani mwangu kuona mtu ambae ni mkimbizi na yupo mbioni kuukana uraia wake lakini mtu uyo huyo anataka awe raisi kwa nchi anayoikana,nyie watanzania munaoshabikia watu bila kuchunguza undani wao mumeona kinachoendelea apo?nchi ilikuwa inawekwa rehani kura kwa lisu kula kwa wazungu.
@maiyaal7inai2603 жыл бұрын
Ccm ndio waliweka nchi rehani kwa wazungu kwa miaka nani aligundua huu wizi kama si Lissu msiongee ushabiki na sasa deni limezidi miaka 5 na dikteta anasema tunajenga kwa pesa zetu za ndani ziko wapi bado waTz mtakua wajinga na uchumi uko wastani wakati watu mlo mmoja kwa tsbu watu wanakufs majumbani wanakosa matibabu tunamuona zahir akiomba msaada kwa wenye saratani waafia majumbani hawadumu gharama za matibabu iko serikali ya wanyonge
@bonzo30473 жыл бұрын
Unashikiwa akili na wasenge na hujui siasa, uhamishoni hata Oscar kambona aliwahi kuish,mbona huzungumzii kuhusu kupigwa risasi nyie ndo mnaohalalisha haramu kumamae zebu kumamako
@jamilambarouk47463 жыл бұрын
Ameshindwa kwa uwezo wa mungu naakwende zake uko
@bonnyngowo75673 жыл бұрын
Valdes Adamkus alikuwa raia wa Marekani mwenye asili ya Lithuania na baadaye akawa rais wa Lithuania katikati ya miaka ya2000.Hata Tundu Lissu inawezekana.Unasoma magazeti ya udaku halafu una-comment 🤣🤣🤣
@ElizaBeth-rc7yf3 жыл бұрын
Kweli Kabisa
@jamilambarouk47463 жыл бұрын
Fisadi kwel Ww nenda t usitafte sabab mbinu zko zmeshindwa kajipange upya
@thomasluhumbika96063 жыл бұрын
Huyu nyumbu tu. Unavyowata watoto wa wenzio waandamane ulikuwa unafikiri nn
@amourmtungo6233 жыл бұрын
Amka Tanzania inaelekea kubaya kidemokrasia Mzalendo karibuni utajua umuhimu wa vyama vingi. Mpaka sasa pengine huna internet kwenye simu yako lakini bado unahisi uongozi uliopo madarakani ni uongozi bora hujatembea Mzalendo. Tembea dunia uone
@khamishemedsaid21343 жыл бұрын
Muungo ulitafuta njiya ya kwenda kwenu ubeligiji
@hamoudahmed73283 жыл бұрын
Usiseme uongo shogaas
@kipigapasilisungu25813 жыл бұрын
.
@elishalyaka56004 жыл бұрын
Wewe ulikuwa umekuja kutuchafulia na ukakwama rudi tu uberigiji Tanzania sio yavile ulikuwa unafikili mzee
@jamilambarouk47463 жыл бұрын
Ndo anatafta iyo sabb ya kurudi Uko kwa mabwana zake fisadi mkubwa
@mateikihoi81253 жыл бұрын
Anawweweseka
@antonyvallerian17183 жыл бұрын
Haya maneno hayana ukwel....why anaongea uongo
@sarobarzani27903 жыл бұрын
Kwendraaaaaaa
@eleonorajohn74803 жыл бұрын
Ulichosahau utandawazi hiyo simu wakii track wataona hiyo namba iliyotumika kukupigia kukupa vitisho itajulikana tu kuwa ni ya nani hata mki edit itajulikana tu.!!!
@amourmtungo6233 жыл бұрын
Watanzania wengi kama wamezaliwa ndani ya boksi. Wanaona dunia nzima ni kama boksi hawajatoka ndani ya boksi kuingia ndani ya kontena kuona duinia ni kubwa Zaidi ya boksi.
@@ahmadmasunda9892 Mzalendo wewe bado huijui Tanzania lakini kuishi kwingi ni kuona mengi tulia tu. Kuwa mtu mzuri kuwapenda Watanzania wote lakini nchi yetu iko katika mtihani.
@revocatusedward57393 жыл бұрын
RUDI KWENU
@UnknownAlly2543 жыл бұрын
Huyu anatafuta njia ya kuenda ubelgiji bila aibu...Polepole kasema haya
@obedkiswaga27903 жыл бұрын
Kabisaa aisee huyu jamaa ndiyo inathibitika kuwa alitumwa, kwanini akimbilie ubalozini wakati wenzie wapo kwenye majumba yao. Hapo anatafuta loophole ya kuchomoka na kwenda nje ya nchi, anajijua makosa yake
@henryndosi11143 жыл бұрын
Tundu lisu hajapona kichaa ni tapeli hana lolote
@rukiasalum6313 жыл бұрын
Kumbe ww ndo mtalii?mnamuita Mwinyi mtalii wakati ni mzaliwa nyinyi ndo watalii hamjielewi
@lulurubby22353 жыл бұрын
Ha ha mbowe anajuta kukusimqmisha wewe kuwa mgombea umeiua chadema...pepo mchafu wewe...vitisho unapewa na wana chadema wenzio...mchafua nchi wewe
@magrethjohn85763 жыл бұрын
Yaani Mbowe anajuta!hili libaba kila siku linakuja na uongo mpya!uzuri ni kwamba wamekutana na chuma anapiga kazi hana muda na maneni yao.
@lulurubby22353 жыл бұрын
@@magrethjohn8576 alafu yeye anakipaka anakimbilia ubalozini ..huyu chadema watamla mpaka mifupa....magu anawaangalia kwenye luninga
@bonnyngowo75673 жыл бұрын
Unajitoa ufahamu Lulu kwa wizi ule daaa unafahamu nani muuaji
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
@@bonnyngowo7567 bila shaka ni wewe
@georgemahona34203 жыл бұрын
Anaweweseka mbwa huyu
@ngumalimau54273 жыл бұрын
Lissu ameanza kusema uongo kwa kuwa umeshindwa ili dunia ilaumu Tanzania...Wacha porojo na kulaumu Serikali ya Tanzania...Vyombo vya dolla wanaujuzi wa kujua nani amekupigia na kufatilia maongezi mbone uchuzi huo hufutii utaratibu wake?
@dawoodothman86813 жыл бұрын
Hamna kitu janja ya nyani
@dwasimasunga5073 жыл бұрын
Kipindi cha kampeni ulikuwa salama naulikuwa unafurahia na.kampeni saizi umeona Hamna usalama...????
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
Lisu wewe una Pepo baya ulirudi kufanya nini Tanzania kama si ushetani huo??
@himlayzer35433 жыл бұрын
Anataka kukimbia kesi uyo ajabu iyo mugombea urais alitaka kua uraisi reo hii anajificha kwa mabarozi wa nchi zisizo kua zake roo Bala hilo uzushi tu wangapi waligombea na wa kashidwa hawakuuliwa yee Ana nini analake jambo linalo mpereka huko
@johnmbatta98723 жыл бұрын
Muongo namba moja. Wadanganye wajinga wenzako.
@userAysha3 жыл бұрын
We mwenyewe mjinga usojielewa hiv ingelikuwa ni babako au kakako ungesema hayo
@adammsigwa12763 жыл бұрын
Acha uwongo ww mbona ukifanya kapeni hukutishiwa baada ya kushidwa unatafuta sababu ya kutoroka kweli ww nimutumwa wa wazungu
@ramadhanmgaya19843 жыл бұрын
Urongo mtupu,
@asteriamtui2193 жыл бұрын
U
@vikitu47933 жыл бұрын
Honeymoon ya miezi 3 imeisha. Umejitengenezea kesi 5. Zijibu kabla ya kuondoka. Si ulisema wewe unaijua sheria? Tuonyeshe mwanawane
@eliyahango42783 жыл бұрын
Muongo mkubwa wewe, kaa huko milele ili watu wakae kwa amani
@userAysha3 жыл бұрын
Hiyo amani iko wapi tz watu wanauliwa bila sababu wanatekwa hawarudi munaishi kwa kumuogopa mtu ambae ni binadamu kama wewe
@elishalyaka56004 жыл бұрын
Mzee acha kudanganya watu,we fungasha vilago rudi uberigiji mipango ovu uliyokuwa umekuja nayo imekwama mzee usidanganye dunia eti unahofia usalama bure kabisa
@hassansamata59953 жыл бұрын
We unatafuta njia ya kutoroka nchini..nenda kwa mashoga waliokutuma
@faridsalim90823 жыл бұрын
😂🤣😂 Huyu jamani yuko na mbwembwe dah! Haya wanachadema mchangieni mwenzenu akate nauli arudi nyumbani kwao alikozaliwa 😂.
@sarobarzani27903 жыл бұрын
Mmbwaa www
@presseg.63623 жыл бұрын
Yaani Lissu we ni mbumbula kweli, hivi MTU mzima unakuwa mwongooo mpaka aibuu!!! Shwai we, nani ahangaike na kenge Kama wewe!!?
@aliabeid62263 жыл бұрын
Alipokuja Tz si alisema haogopi kufa sasa imekuaje huyu mtu ni mnafik kweli Huyu jamaa kuliko huyo shetani mwenyewe
@rukiasalum6313 жыл бұрын
Akuuwe nani ww uzushi tu nenda uko tokea hapo mwanzo ushakata tiketi ya kwenda ubelgiji uzushi tu naona kama taahira huna akili timamu
@zahormazrui31173 жыл бұрын
Kwani hapo mwanzo alikoswa kuuliwa na nani mpaka ishindikane hivi sasa
@presseg.63623 жыл бұрын
Hili libaba liongo sijawahi ona!!
@ramilialiy37253 жыл бұрын
@@zahormazrui3117 bora umuulize anajitowa fahamu
@ramilialiy37253 жыл бұрын
Magufuli aka jiwe
@leonardmadelemo91043 жыл бұрын
We bint hayajakukuta unaongea upuuz..
@abcdabcd16053 жыл бұрын
YAANI HAYA YOTE NI KUDAI JAMBO LA HALALI.... Magu anajifanya km hajui kumbe hizi zote ni njama zake tu
@sarobarzani27903 жыл бұрын
Mkundu unamuwasha
@shafimaingu43563 жыл бұрын
LIONGO HILI LIBABA
@sarobarzani27903 жыл бұрын
Ubelgiji.kafirwa
@qala86953 жыл бұрын
Hahahahaaa lisu anawaacha mkono wenziwe awazunguka kwa usanii ili asepe kirasi.wajinga ndio watoamini hio kesi ya kuiiripua ubelgiji maana tareh ya tiket imefika.duh mliambiwa hamkuamini sasa huyoooo.wapumbavu sasa mtatoa macho
@backeryavan32543 жыл бұрын
Huyu jamaa mjinga sana kwakweli analeta taharuki tu cz tumewazoea cdm wote waongo sana and sahau kuja kuwa rais wa tz umedhihilisha ww nikibaraka why usiende balozi za south Africa zimbambwe nk umekimbilia kwa bwana zako
@jamilambarouk47463 жыл бұрын
Hana ata aibu loo!
@richardpastor52863 жыл бұрын
Bora uuliwe wewe nimchonganishi tena mharifu n
@mchinamweusi65633 жыл бұрын
We sema unataka tu ukajifiche ubeligiji kwasababu ya aibu mbwa wewe
@abuyunusmohamed69614 жыл бұрын
wewe mtangazaji mbona unauliza swali la kipuuzi sana.akiondoka unamuuliza utakuja tena kugombea urais?kwa akili zako ndogo bado miaka 5 ijayo unamuuliza leo?
@joojombi23414 жыл бұрын
Muongo mkubwa huyo fatani mkubwa huyo
@jamilambarouk47463 жыл бұрын
Huyu wakuuliwa kweli asa wala siwakuachwa naona hawafanyi kweli t
@patrickmagoti73613 жыл бұрын
Subiri umalize kesi zako kwanza
@joojombi23413 жыл бұрын
@@patrickmagoti7361 Bora umwambie
@salumungonyani24413 жыл бұрын
Wewe fala ondoka sio mtanzania haiwezekani mtu atumwe kuku ua halafu akuambie ukimbie muongo sana wewe
@salumungonyani24413 жыл бұрын
Wewe fala ondoka sio mtanzania haiwezekani mtu atumwe kuku ua halafu akuambie ukimbie muongo sana wewe