WANANCHI KITONGOJI CHA OLEMOOTI WAMUOMBA MWENYEKITI KUTATUA BAADHI YA KERO KABLA YA UCHAGUZI.

  Рет қаралды 443

OLDONYO MEDIA

OLDONYO MEDIA

11 күн бұрын

Mwenyekiti wa Kijiji cha Loiborsoit A ameendelea na ziara ya kitongoji kwa kitongoji katika kijiji cha loiborsoit A, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
Akizungumza katika kitongoji cha lemooti Mwenyekiti huyo Lengai Saalash Amesema lengo la ziara hiyo ni kuyatathimini , kuyaeleza, kubainisha miradi yote iliyotekelezwa ndani ya uongozi wake kwa miaka 5 katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu.
Pamoja na hayo mh Lengai amepata nafasi ya kusikiliza kero mbalimbali kutoka kwa wananchi wa kitongoji hicho ikiwemo kero ya barabara, umeme, maji, pamoja na kuomba kupatiwa suluhu ya mgogoro baina yao na mwekezaji aliyepo katika eneo hilo, Ambapo Majibu ya kero hizo zilijibiwa na mwenyekiti huyo papo hapo.

Пікірлер
Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia
25:57
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 82 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Raila, Kalonzo present as President Ruto signs IEBC Bill into law
40:07
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 30 М.
Jambo la kihistoria Lafanyika kwa Wanawake wa Kimaasai
5:18
Moving Media
Рет қаралды 1,6 М.
ILARETOK TEAM AGUSTINO LAIZER LAUNCHING 4 - WAMWAGA PESA
7:44
Mtazame Kristo Tv
Рет қаралды 4 М.
Malalamiko ya Halima Mdee kuhusu uchaguzi
2:07
DW Kiswahili
Рет қаралды 408 М.
PVV-minister Faber sloopt Rutte volledig
50:08
Maarten van Rossem - De Podcast
Рет қаралды 64 М.
Luciana Mollel Graduation ceremony, Engarenaibor
35:06
Maasai Channel
Рет қаралды 986
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41