Malalamiko ya Halima Mdee kuhusu uchaguzi

  Рет қаралды 408,859

DW Kiswahili

DW Kiswahili

3 жыл бұрын

Mgombea ubunge katika jimbo la Kawe, kwa tiketi ya chama cha upinzani CHADEMA Halima Mdee, amelalamikia udanganyifu katika kupiga kura ambapo anasema alishuhudia mwenyewe udanganyifu huo. Hata hivyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Tanzania Jaji Semistocles Kaijage amesema mbele ya waandishi wa habari kuwa taarifa za kukamatwa kwa kura feki ni uzushi na siyo za kweli. Kurunzi 28.10.2020

Пікірлер: 1 100
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 3 жыл бұрын
Nimesomea saikologia. Maneno yote uliyoongea ni uongo mtupu. Mungu akusaidie na kukuponya. Uache huo uongo. Maana hata usoni unaonekana unatengeneza maneno.
@Pihansmo1129
@Pihansmo1129 3 жыл бұрын
Nimesomea saikologia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 3 жыл бұрын
😄😄😄😄👍
@kingsanya6860
@kingsanya6860 3 жыл бұрын
vp uyo mchungj wak mungu wake nae kubal wiz ni mungu yup
@JohnPaul-wc4lh
@JohnPaul-wc4lh 3 жыл бұрын
Mwanzoni kabisa kameza hadi mate pia nikiashirio anatunga maneno😂😂😂. Speaking without any evidence doesn't bring any sense by the way.
@fabianomswima
@fabianomswima 3 жыл бұрын
Umesomea wapi 😅😅😅
@Wastara001
@Wastara001 3 жыл бұрын
Jimboni kwangu? Limekuwa lako?
@gwanman1858
@gwanman1858 3 жыл бұрын
Watu humu ni ushabiki tu wala hamjali kinachoendelea nchi nzima, mnadhani mna mkomoa mgombea, kura ni kwa ajiri ya kizazi kijacho, watoto wenu, haki kwanza bila haki ata ukifurahia haupati chochote! Kuweni wa kweli mioyoni mwenyewe acheni kashfa na maneno ya kejeli wakati watu wanapigania mambo ya maana!
@vikitu4793
@vikitu4793 3 жыл бұрын
Mmh! Mlituambia kitawaka. Sasa huu upole wa hivi umetokea wapi? 😂😂😂
@richardluoga6246
@richardluoga6246 3 жыл бұрын
hongera dada tujenge nchi hii ni yetu sote, busara zinahitajika pia nashukuru kwa kuwa msikivu japo mimi c muumini wa chama chako umenielewa ushauri wangu pia liziki haiji kwa njia moja tu mungu huwa na sababu zake sisi ni wanadamu tu hatuna uwezo wa kutambua siri za mungu.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 жыл бұрын
Umeshindwa we nenda zako Gwajima oyeee
@nishasalim2880
@nishasalim2880 3 жыл бұрын
Oyeee! Halima akarushe mdomo wake mrefu mbele ya safari. Ccm oyeee! President Magufuli oyeee! 🇹🇿✔👍
@nishasalim2880
@nishasalim2880 3 жыл бұрын
Mawani kama bundi.🤪😂🤣
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 жыл бұрын
@@nishasalim2880 Na kweli utadhani mganga wa kienyeji
@mussasaidy5553
@mussasaidy5553 3 жыл бұрын
nyerere alitunyima elimu ili awapate wapumbavu wa kuiona ccm ni kama mungu
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Subiria mbunge wako gwajima atajenga kanisa la pili badala ya kuleta maendeleo jimboni
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 3 жыл бұрын
Mlevi we umeshalewa uko njwiiii!. Tafuta jembe ukalime..Huna chako hapo kazi tu!.
@joycejumanne4737
@joycejumanne4737 3 жыл бұрын
Huyu halima mdee na mkubali Sana big up halima .......🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@perpetualjohn9233
@perpetualjohn9233 3 жыл бұрын
Duuh kazi kweli kweli yaani ,Mungu idumishe Amani ya Taifa letu mimi naamini Mungu Kuna jambo utafanya siku moja na litashangaza kwa kuwa wewe Mungu ni Mungu wa wanyonge na hupendi kujiaibisha haki kwako ndiyo sehemu yake Kuna siku itafahamika !!!!
@mpelajohn2681
@mpelajohn2681 3 жыл бұрын
CHADEMA huwa mnalalamika tu bila action mnatupotezea muda tu mimi kuanzia leo CCM damu damu wala sitabadilika tena.
@sameeraabdallah1560
@sameeraabdallah1560 3 жыл бұрын
Gwajima oyeeeeeeeeeeee we ni jirani yangu lkn sjakupigia barabara mbaya mbweni miaka 15 tulikupa ujatufanyia chochote licha kutwa mahakamani tumekuchoka bi kidude pumzika sasa mambo ni kwa Askof Gwajima tu 😀😀😀 Nashkuru sijakosea kukuchagua
@nyandwifidele8528
@nyandwifidele8528 3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu.Sasa hivi songa mbele,tugange yaliyopo Na yajayo.. Wewe bado kijana, fikiria maisha mengine siyo lazima uwe mwanasiasa.Hasira ni hasara
@wilfredmlaki822
@wilfredmlaki822 3 жыл бұрын
Halima shukuru mungu kwa kila Jambo! Huo Ni mpango wa mungu ukose ubunge ili angalau upate mume Na kuijaza dunia.Umeishi ukiwa nugahembe kwa muda mrefu sana Ni wakatii wako wa kuolewa sasa Na kuzaa watoto! Usagaji sio maisha.Umewasaga wengi sana inatosha.
@arnoldjacob9338
@arnoldjacob9338 3 жыл бұрын
Mh.Halima, umri wako umesonga tena sana; hupaswi kuwa mwongo tena!! wewe kweli ambaye huogopi chochote kweli umeona mabegi ukaweza kutulia bila kuchukua hatua yoyote hata pcha kama uthibitisho?? pili wewe ni mgombea haki ya kumwita polisi unayo wewe kama mgombea; ukashindwa kumwita polisi alieko hapo kituoni nae athibitishe?? Acha izo,tunakujua wewe ungeyaona hayo unayoyasema ungepga nduru,ungelia tena kwa sauti ya juu na hapo ucngeondoka hivyo acha uongo
@paulinazacharia8474
@paulinazacharia8474 3 жыл бұрын
Mhu hujaona video Instagram kawaita polisi wa hicho kituo wasimamizi na wapiga kura waliokuepo,walichofanya n kuzichoma Moto hzo kura,, hapo ND alipokosea, alipoteza ushahidi
@vivianinnocent4106
@vivianinnocent4106 3 жыл бұрын
Punguza uchama shoga ww polisi watasaidia nn wakat wao wenyw wamewekwa wazilinde hizo kura za wizi
@simonmanyelezi628
@simonmanyelezi628 3 жыл бұрын
@@paulinazacharia8474 Hawezi kukosea ,ni muhuni tu ,mwanasheria gani anakosea kosa Dogo kama hilo,Ndo ujue ulikuwa ni mpango wake na kafanya vile makusudi wala sio makusudi ili kutimiza udharimu wake.Kwani kama mawakala hawakuwepo wananchi walikuwa wapi?,ambao wanaoonyeshwa masanduku na baada ya hapo yanafungwa na siri mbele yao,then yanakuwa teyari kwaajili ya kutumbukiza kura..
@tesha3606
@tesha3606 3 жыл бұрын
@@paulinazacharia8474 Ujamuelewa Dada angu hapo wewe unavyosikia Hapo una mwalimu 😂😂😂 Hizo picha za Instagram ni za mabegi😂😂 au ni kibegi
@paulinazacharia8474
@paulinazacharia8474 3 жыл бұрын
@@tesha3606 lakin liwe begi moja au mawili havitakiwi
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
Muongo wewe mbona masaki hujaja na km unaweza kutembelea vituo mbona ilivyokua Mbunge hujawahi kututembelea mitaani kwetu km ningetaka mabadiliko Bora kuchagua chama kingine sio wewe fyuuuu
@saadarashid8174
@saadarashid8174 3 жыл бұрын
Kweli kabisa achie ngazi ccm babalaooo
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
@@saadarashid8174 Bora hata angeshinda cuf ama hata asie na jina
@musadavid9938
@musadavid9938 3 жыл бұрын
Anayosema mzee ni sawa kabisaa maana Mimi pia kabla ya uchaguz nilikua safar moja ya kurud Tz na baroz furan tuliongea mengi na kusema kwa Ss hakutakuja kua na upinzani bungeni hata mmoja na ikitokea basi huyo mbunge au kiongoz wa upinzan hua haipond serikal kiukwel maongez yetu halikua marefu sana na kwakua nilikua nabisha aliweza kusisitiza kwamba kama ntabisha sana namba Yake ya simu nichukue hili baada ya uchaguz nimjulie hali na kumpa mrejesho wa matokeo ya uchaguz yatakua sio vile alivyoniambia
@maktabayahabari
@maktabayahabari 3 жыл бұрын
"0:55" I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z* I can finally enjoy life thanks අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්‍රමයක
@jullykebeni6438
@jullykebeni6438 3 жыл бұрын
Roho inakuuma kutorudi bungeni
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 3 жыл бұрын
It's a new beginning mama! unaongelea mambo ya zamani!
@annawilliam9276
@annawilliam9276 3 жыл бұрын
Pole Sana. Naamini ipo siku mungu atafungua njia usikate tamaa kila kita pita na maisha yataenderea
@rahmakishiwa1528
@rahmakishiwa1528 3 жыл бұрын
huna hoja wew kibib huna jipyaa kaaa pemben acha kusmhilisha mungu kwa usanii wako huo huna hoja mishindwa mnaanza porojo chadema tunawajua kwa porojo bhana achen hamsitustuwi
@geofreymatengo9746
@geofreymatengo9746 3 жыл бұрын
HE rahma ninavyokujua na ,aisha yako magumu unaongea kwa watu hivyo
@fatumangatele6864
@fatumangatele6864 3 жыл бұрын
Afu anaongea kihuni
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Ngoja siku yata kukuta ndio utajua
@yohanabundala9162
@yohanabundala9162 3 жыл бұрын
Unadharau we Rahma, pia hayajakukuta2 kwa hiyo anachokiongea Mdee anajiongelesha2!? Ni haki yake lazima aongee
@rahmakishiwa1528
@rahmakishiwa1528 3 жыл бұрын
@@yohanabundala9162 huyo anatetea ugali wake kaongoza miaka 10 kawe kafanya nin sasa cha maana😀😀
@lailaselmin9590
@lailaselmin9590 3 жыл бұрын
Sasa izo kula kwann ujazipiga picha kwaushaidi ili sisi wananchi tuamini naomba fanya mpango utuonyeshe hayo bag yalio jaa kula ili tuamini maana uwongo uezidi
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 3 жыл бұрын
Hata me sijamuelewa
@ombenkallenge1924
@ombenkallenge1924 3 жыл бұрын
MUNGU hawezi akakuteuwa wewe kuwa kiongozi .❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎
@ombenkallenge1924
@ombenkallenge1924 3 жыл бұрын
Yaani wanasaikologia hatuchelewi kutambua uongo .. "" namshukru mungu Ali aliniwe wee" angalia action on face ni uongo mtupu😂😂
@fatmambarouk8107
@fatmambarouk8107 3 жыл бұрын
Huu sio uongo video mm mnayo wala sijaifuta
@richiemlonga1962
@richiemlonga1962 3 жыл бұрын
Niukweli vidio zimeonexha kabixa zipo vidio
@dullahdullah5499
@dullahdullah5499 3 жыл бұрын
Pole sana sister tunakuelewa
@pambaquick8177
@pambaquick8177 3 жыл бұрын
Nimeiona hiyo prophetic bango of Love mkononi🤝🤝 ya Chief Prophet
@charlesmpemba9387
@charlesmpemba9387 3 жыл бұрын
Ushahidi uko wapi.? Tushawazoea na kutunga story nyie.mgekuwa mmepigwa hata picha tunavyowajua nyie.achauongo.katafute kazi nyingine mama tumekuchoka wakazi wa kawe
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 жыл бұрын
Etii!! Huyu Halima aziachie kura feki kasha shindwa huyu Dada moja maelezo ukiyachanganua hayaendanani kabisa
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 3 жыл бұрын
@jenny Yusufu wewe mwenyeji wa Kawe gani?
@mamafaiza2651
@mamafaiza2651 3 жыл бұрын
Nyie makuma ushahidi upo wakutoshaaa
@michaelmwangoka6793
@michaelmwangoka6793 3 жыл бұрын
Kura zilikuepo zmechomwa moto
@rudypaul7862
@rudypaul7862 3 жыл бұрын
@@michaelmwangoka6793 na kwann zichomwe badala ya kuchukuliwa kama ushahid?
@abdullaalwikabil3371
@abdullaalwikabil3371 3 жыл бұрын
Hatari tupu kwanini hataki kuondoka madarakani
@sturbontv2515
@sturbontv2515 3 жыл бұрын
Hatari fire
@adenwarsame7357
@adenwarsame7357 3 жыл бұрын
Shoga la ccm abdulla kauze mkundu
@saidikasawale5138
@saidikasawale5138 3 жыл бұрын
Njaa kali
@saidikasawale5138
@saidikasawale5138 3 жыл бұрын
@@adenwarsame7357 njoo utolewe malinda
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 3 жыл бұрын
Nduguu madaraka rahaaaaa😁😁😁😁😁
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 3 жыл бұрын
Dahhh poleni Sana ,, pole mdehee
@alfredaloyce6835
@alfredaloyce6835 3 жыл бұрын
Sauti ya zege nakubari alakati zako
@b.warron4631
@b.warron4631 3 жыл бұрын
Bana subiri utapata viti maalum Kwa mbowe
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 жыл бұрын
🙄🙄🙄
@nyandwifidele8528
@nyandwifidele8528 3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@vibetz9991
@vibetz9991 3 жыл бұрын
Anavosema jimboni kwake Ana maanisha nn.....kwani ana jimbo huyu asa ivi!!??😁😁😆😆😅atuache kwanza uyu bibi
@ayubujackson6994
@ayubujackson6994 3 жыл бұрын
Pole Mama, 2mia pesa vzr Ushafeli
@kennethmwalukama2009
@kennethmwalukama2009 3 жыл бұрын
Hahahaa, upako,upako wa Mungu. Siku zote watanzania hatupigani vita kwa nguvu zetu , Bali Mungu anatupigania. Wachache msio amini mnapona kwa imani ya walio na imani. Mungu bariki uchaguzi Mungu ibariki Tanzania.
@ains1122
@ains1122 3 жыл бұрын
Huu uongo unafikunavyomjua halima mdee angekuwa ametulia hivi kama Kweli kashika kura, mmnnhh
@albertofilipe1116
@albertofilipe1116 3 жыл бұрын
Yani ulishindwa hata kutoa😋😋 vídeo fupi hata kituo kimoja?
@devothadonaldsimbi3499
@devothadonaldsimbi3499 3 жыл бұрын
Umenichekesha kwa usemi wako Hilo nalo neno
@josephferdinandy9823
@josephferdinandy9823 3 жыл бұрын
Video mbona tunazo sisi wewe unaishi tanzania ya wapi?🤣🤣🤣
@innocentmlangu3347
@innocentmlangu3347 3 жыл бұрын
Unaishi jehanamu nini mbona video zipo kibao za makura feki hasa za jimbo la kawe zinaonekana social media kweli wee ndezi
@onamasaki1211
@onamasaki1211 3 жыл бұрын
@@josephferdinandy9823 nasi tuzione basi
@maktabayahabari
@maktabayahabari 3 жыл бұрын
"0:55" I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z* I can finally enjoy life thanks අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්‍රමයක
@joymsupagladysijeya8384
@joymsupagladysijeya8384 3 жыл бұрын
Nakupenda bure kamam ume vaa gold zina onyesha
@aloycemasele7236
@aloycemasele7236 3 жыл бұрын
Mmh, yaan sijawahi kukuelewa, mumeo ana kazi sana
@aminamwimbe7485
@aminamwimbe7485 3 жыл бұрын
Mimi bado sijaelewa, mmekamata mabegi ya kura halafu yanachomwa moto, mmeharibu evidence.
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 3 жыл бұрын
Ajabu😂😂😂😂😂😂😂😂
@jamalbites5639
@jamalbites5639 3 жыл бұрын
zipo hawakuchoma
@joycejumanne4737
@joycejumanne4737 3 жыл бұрын
Umesikia vibaya wajachoma
@fatumangatele6864
@fatumangatele6864 3 жыл бұрын
Zipo wapi ili zipelekwe kufanyiwa uchunguzi kama ni karatasi kutoka tume Kisheria alikua anatakiwa kua na kibari maalumu cha search warrant NA KAMA WALISHIKA HIZO KURA KWANINI WALIZITEKETEZA KWA MOTO? TAFADHALI WATANZANIA MSIFUATE MIKUMBO
@elliottrahema
@elliottrahema 3 жыл бұрын
Hawana lolote huyu bibi kidude kweli akamate mtu kitu cha kwanza ni video na picha zingesambaa. Mitaani in second halima nice try we are not buying
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Mama kazi yako imekwisha wewe kasubili matokeo, kulalamika ndiyo zako 🤨🤨🤨
@ozzyjama145
@ozzyjama145 3 жыл бұрын
Pole sana aiseee
@husnashabani7495
@husnashabani7495 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ndiye mjuzi hakuna anayemuweza binadam ila mungu peke yake
@muzneali387
@muzneali387 3 жыл бұрын
Huna mpya Dada
@tonacreativestudio1905
@tonacreativestudio1905 3 жыл бұрын
Kwa ulimwengu huu unaongeaa maneno tuu, duuuh afu mbunge uliekula kodi zet miaka yote hiyoo duuuh
@jokeableking7039
@jokeableking7039 3 жыл бұрын
Umeona eee walizoea hawa wacha upepo wa kisulisuli uwasugue pa1na Yule wa mbeya mjini😅😅😅
@maktabayahabari
@maktabayahabari 3 жыл бұрын
"0:55" I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z* I can finally enjoy life thanks අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්‍රමයක
@tpdancersvevo9203
@tpdancersvevo9203 3 жыл бұрын
Oiii
@kosespaulo7337
@kosespaulo7337 3 жыл бұрын
Muulize mwenzi Es braya
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 3 жыл бұрын
Pole sana dada sasa kwakatiba hii dada yetu nn kifanyike
@eliassospeter
@eliassospeter 3 жыл бұрын
Hivi wale watu wa kupima mkojo ili ku-observe kama mtu anatumia madawa siku hizi wako wapi? "Chukueni Sample hapa"
@nasmabanda6340
@nasmabanda6340 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 3 жыл бұрын
sample itachanganywa na ya kwako
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
😃😃😃
@rukkysayid6613
@rukkysayid6613 3 жыл бұрын
Kabisaa maana kulalamika kwake ndiyo anaona maendeleo ya wananchi UMESHINDWAA kubali matokeo
@yusuphpaulwaryoba8316
@yusuphpaulwaryoba8316 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 жыл бұрын
Alafu mi uyu dada ata simuelewi.mapovu yanamtoka kwa uroho wa madaraka.kawe umefanya nini kikubwa? Ndugu zangu msisubutu kupotoshwa na awa wapenda madaraka✌🏼🇹🇿.
@joaquimmasengwa1283
@joaquimmasengwa1283 3 жыл бұрын
Umekosa sifa zote nzuri....... ulizo nazo zote ni mbaya, hufai asubuhi, mchana, jioni wala usiku.
@siporaleonard6532
@siporaleonard6532 3 жыл бұрын
Pole sana,ngoja tuwaone this time wakiwa wenyewe bungeni,tupate experience mpya..hakuna marefu yasiyo na ncha,tuombe uzima,kwani tutaendelea kushuhudia maajabu mengi
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Mazingaombwe ya kutosha bunge safari hii
@goodlucky8532
@goodlucky8532 3 жыл бұрын
Tuonesheni evidence 😀😂😂😂 kila mwananchi ckuiz ana smart phone wangepiga picha huo uongo kubali kushindwa muhuni wetu kiroho safi
@franciscogeorge6172
@franciscogeorge6172 3 жыл бұрын
Haukuwa na vpn ww ndo hujui kinahoendelea
@dukakuu7225
@dukakuu7225 3 жыл бұрын
nunua kitu chako chochote www.dukakuu.com alafu njoo mnishukuru badae kwa huu ushauri
@isaacshauri4828
@isaacshauri4828 3 жыл бұрын
Hayo mazungumzo, dah! We ni kinongozi kweli? Bora umeshindwa
@gracegrace3530
@gracegrace3530 3 жыл бұрын
Hadi nimeshangaa eti nikamkuta amesiz ,chadema bangi tu
@anifermhando4847
@anifermhando4847 3 жыл бұрын
Kwendaaa kalime bunge co kwenu
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 3 жыл бұрын
Nakupenda. May
@ihanomadili
@ihanomadili 3 жыл бұрын
Wanasiasa mnachumia matumbo yenu tu, wewe na wananchi nyote mna simu za kupiga picha, mbona hatuoni kidhibiti?kwenye mabomu ya machozi mbona huwa mnatuonyesha?mnatuchosha sasa.
@musasaid964
@musasaid964 3 жыл бұрын
Nakuunga mwili mzima sio mkono tuu uyudemu boya
@avinkaijunga3954
@avinkaijunga3954 3 жыл бұрын
Hivi hufahamu kuwa ni kosa kupiga picha kwenye chumba cha kupigia kura au unajitoa ufahamu tu wewe
@mrh2812
@mrh2812 3 жыл бұрын
yan kabisaaaaaaaa wanazingua sana hawaaa
@chiantyezra16
@chiantyezra16 3 жыл бұрын
Hilo neno nalo kweli 😂 😂 😂 😂, waongo hawa
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 жыл бұрын
Etiii
@mbithejustus246
@mbithejustus246 3 жыл бұрын
Toa evidence, ya mabagi hayo, wapi picha
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 3 жыл бұрын
HUYU NI WA KUPUUZWA TU KELELE ZA NINI SI UNA USHAHIDI KAFUNGUE KESI MAHAKAMANI. NYIE CHADEMA KWA SERIKALI HII YA MAGUFULI KUSHINDWA KWENU NI HALALI . HATA KURA MLIZOPATA LABDA MLIPEWA NA MAFISADI NA FAMILIA ZENU. HATUWAPENDI KABISA HAMNA MNACHOKIFANYA ZAIDI YA UPUUZI TU UONGO , UZUSHI NA MAKELELE! KWA UJUMLA HAMNA JIPYA TENA MMEBAKI VITUKO . CHAMA KIZUMA CHALI ?? MJUE WATANZANIA SIO WAJINGA TENA HAWASHABIKII UKANDA WANATAKA MAENDRLEO. OVYO LABISA NYIE.
@ismailyramadhani6074
@ismailyramadhani6074 3 жыл бұрын
Kwani hamjaona
@silvestermfipa4133
@silvestermfipa4133 3 жыл бұрын
Pole sana Dada tupo pamoja
@praisesamson8298
@praisesamson8298 3 жыл бұрын
Ajafanyiwa Halima dhuruma tumefanyiwa sie wananchi na wana wa wajukuu zetu Mungu atulipe c kesho sasa
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 3 жыл бұрын
Mhuu kumekuchaaaa
@catherinechifebe5800
@catherinechifebe5800 3 жыл бұрын
kwanini jimbo lako.../MWONGO WEWE...MUNGU ANAKUONA..
@kingsanya6860
@kingsanya6860 3 жыл бұрын
vp ccm mungu awaoni ndo mahn wana burz watu
@catherinechifebe5800
@catherinechifebe5800 3 жыл бұрын
@@kingsanya6860 Mjipange....Muache fujo na hila...imalisheni chama chenu....watu hawawaamini..kama nyie wenyewe mnanyimana haki ndani ya chama...mtampaje haki mtanzania,,jipangeni,,jamii haiwaamini ila wapenda fujo na vituko peke yao
@omariabduly858
@omariabduly858 3 жыл бұрын
Ccm wanaonwa na mamako
@loyleskar759
@loyleskar759 3 жыл бұрын
Daaaaaaaaaah muongo kinyama
@MYLIFE-ez7dh
@MYLIFE-ez7dh 3 жыл бұрын
YESU anawapenda sanaa karibu kwa YESU
@keflenlugwila9594
@keflenlugwila9594 3 жыл бұрын
Nakupenda xanaaa
@kingsolomon0
@kingsolomon0 3 жыл бұрын
Wa Tanzania mpo . Kenya tunawapenda sana 😂😂😂😂😂
@jonathankyandojr8345
@jonathankyandojr8345 3 жыл бұрын
Tuombeeni kwa Mungu
@JKQGAME
@JKQGAME 3 жыл бұрын
Sawa Jack king
@kingsolomon0
@kingsolomon0 3 жыл бұрын
@@JKQGAME , kwani mambo yako vipi , tulisikia kuna kimbunga cha Tundu Lisu ???
@JKQGAME
@JKQGAME 3 жыл бұрын
@@kingsolomon0 kweli cjui isitoshe nikaa mbali kidogo na mjini Jack
@donprince9752
@donprince9752 3 жыл бұрын
Tupo vp kwenu uko hali vp
@bahatitendega8836
@bahatitendega8836 3 жыл бұрын
Poleni Sana makamanda wetu tunapitia kipindi kigumu sana
@bigvision9909
@bigvision9909 3 жыл бұрын
Dada tuko pamoja Tutaandamana kuidai nnchi yetu dhidi ya mkoloni mweusi....tutawalinda viongozi wetu
@jcrackcrack1669
@jcrackcrack1669 3 жыл бұрын
Evidence iko wp?
@mazruitz5737
@mazruitz5737 3 жыл бұрын
Gwaji Boy amekemea mapepo yote...
@paulmadeba9224
@paulmadeba9224 3 жыл бұрын
MH! Wanasiasa mnajua kujitekenya
@emanuelshijangassa4761
@emanuelshijangassa4761 3 жыл бұрын
Kweli Jaman
@oscarafricasafaris7934
@oscarafricasafaris7934 3 жыл бұрын
Hahahahahaha yani chadema mkute kura feki mtulie nyie au wengine acheni kutuchocha hamna jipya hamtakaa amini mtakachokisikia
@joojombi2341
@joojombi2341 3 жыл бұрын
Inshallah ushindwe rikodi yako mbaya sana wee
@meme123naser6
@meme123naser6 3 жыл бұрын
Unakamata begi unamuacha mbeba begi kweli hii inaingia akilin
@Lahyzeecrucial
@Lahyzeecrucial 3 жыл бұрын
@@meme123naser6 Hhhhhhhhh
@simbomart6186
@simbomart6186 3 жыл бұрын
Pole sana
@dominickallute3169
@dominickallute3169 3 жыл бұрын
MWACHIE GWAJIMA MAMA. WEWE NI MLALAMISHI MNO, WATU WANAONA.
@glorioustitus4043
@glorioustitus4043 3 жыл бұрын
Peleka uozo huko huna lolote mwendawazimu mkubwa tafuta bwana uoelewe akili ikuwe sawa si uzithibitishe hizo kura nyooooo!!!
@sulelubwaza9335
@sulelubwaza9335 3 жыл бұрын
Wewe ndo kuma kuma la mamako
@EyeseesPictures
@EyeseesPictures 3 жыл бұрын
Matusi na Dharau sio Mpango wadau tunachoreshana huko kwa Wajerumani ... Mwisho wataona waliwahi kutuachia UHURU watarudi tena ... Hahahaha 🤣🤣🤣
@simonmanyelezi628
@simonmanyelezi628 3 жыл бұрын
@@sulelubwaza9335 wewe lazima utakuwa mchadema.
@salminisalehe9417
@salminisalehe9417 3 жыл бұрын
@@sulelubwaza9335 Punguza Matusi Kidogo Hayatakusaidia Zaidi Ya Kuwa Mjinga
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 3 жыл бұрын
Hahhahahahahahhahahaha
@mitanotena5149
@mitanotena5149 3 жыл бұрын
Mbona mhuni mhuni hivi!! Sijawahi kumsikiliza ila leo nimegundua huyu sio ni drug inamdrive mmoja wa genge la wapiga nyagi
@nyandwifidele8528
@nyandwifidele8528 3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@omarbabile5308
@omarbabile5308 3 жыл бұрын
Sisi tunataka amani ujinga wenu pelekeni mbele sisi sio wa ivyo nyinyi kwani we lazima uwe mbunge tatizo wapinzani amko Sirius kuchukua nchi
@mazruitz5737
@mazruitz5737 3 жыл бұрын
Usiaminishe Umma maovu yko, Hakuna kitu kama icho ktk kituo cha Jangwani
@beatrice3671
@beatrice3671 3 жыл бұрын
Hivi kwanini hawa jamaa huwa hawakubali kushindwaa?.. Hahahaa
@festofredrick1090
@festofredrick1090 3 жыл бұрын
pole sana mungu u pamoja nawe ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@kiulungmsomali8445
@kiulungmsomali8445 3 жыл бұрын
Uchaguzi ili uwe flesh lazma mdeee uwe mbunge?/au mbowe ,zitto ,lema wawe wabunge? Au sugu nk?/mmekaaa bungeni miaka mingi sana kazi yenu ni kukashifu government tu I'll mujulikane ,,hiii safi kabisa yaan good
@irenejohn8194
@irenejohn8194 3 жыл бұрын
Huyu nae ni mvuta bangi tu ona minywele yake 😉😉😉😉safari hii mpaka urudi kwenu kijijini mbwa wewe
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Mshenzi uyuu saaana mwezetu wanasutana wenyewe kwa wenyewe
@richardluoga6246
@richardluoga6246 3 жыл бұрын
Halima ubunge sio ajira ya kudumu kuwa lazima ufike miaka 60 au ustaafu kwa hiari miaka 55 ila maamuzi ya wananchi. Nachokushauri ziba mdomo upate heshima na tunza peshen uendeshe maisha kwa mtindo mwingine siasa hizo acha sifa
@tellyandrew7030
@tellyandrew7030 3 жыл бұрын
Tatizo hamkuwapa Mawakala wenu barua za kuwatambulisha kwa Wasimamizi wa uchaguzi. Wataruhusiwaje kuingia bila barua kutoka kwenye Vyama vyao?
@sumayahfathi9413
@sumayahfathi9413 3 жыл бұрын
Dah! Pole dada Bunge lqsafari hii kutakuwa hapa kazi tu, kapumzike kwa Amani hakuna tena kelele na ubishi, Safi sana tuwaache ccm wagombane wenyewe kwa wenyewe,
@gwakisamwakabulutu4247
@gwakisamwakabulutu4247 3 жыл бұрын
Wagombane au wajitajilishe vizuri na ufasadi wao kama zamani
@khalfaniramadhani4742
@khalfaniramadhani4742 3 жыл бұрын
Ongera dada salima kwa kazi uliyoifanya ya ujasiri nakubali kwamba wao baadhi ya wanawake wanazo akili zidi ya baadhi ya wanaume,wewe unatosha kwa ujasiri kitendo ambacho umetoka kuonesha ulimwengu ndiyo mana jeshi la polisi linafanya mizengwe ya kuzingira nyumba yako ili kuadaa ulimwengu kutaka kuficha wizi wa kura uliogunduliwa nawe asante ALLAH akubariki.
@maxjofrey70
@maxjofrey70 3 жыл бұрын
😂😂😂😂 wa Tanzania awapangiwi now wa najua kitu kizuri na kibaya so pambana na haliyako.
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 3 жыл бұрын
Halima imeishaa hiyo karudie kazi yako ya zamani na esta bulaya ya kusagana
@mahabsaid5324
@mahabsaid5324 3 жыл бұрын
Madam Halima uko sawa kwa haki n uhuru wako kujieleza.
@emmanuelkonki59
@emmanuelkonki59 3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu we all need right ninazishangaaga sana comments za watu wenye akili timamu zinapo sapoti wizi wa kura kumbuka mgombea mmoja anapohujumiwa wanaoumia ni pamoja na waliomchagua. NEC please tendeni haki. haki hudumu for all Tanzanians.
@cashmoneytz2759
@cashmoneytz2759 3 жыл бұрын
Hamna Uhuru tz wizi mtupu
@joycedinden530
@joycedinden530 3 жыл бұрын
Hapo jiulize huko wamekuaje wengine
@emmanuelkonki59
@emmanuelkonki59 3 жыл бұрын
@@joycedinden530 arusha saa 1 tu washazirusha juu hamna uhuru wala haki
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Tatizo la waTZ hawajui kutofautisha sasa nini kosa la mh Halima?? Huyu dada ni Suoer Woman na ni mkweli na wanamjua hilo halipingwi
@emmanuelkonki59
@emmanuelkonki59 3 жыл бұрын
@@margarethsaramaki3966 perfect watu wanashabikia immoralities its too shame. mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. halima is strong and trustfull.
@lucksoncharles5321
@lucksoncharles5321 3 жыл бұрын
Kampeni noma kumbe mweusiii hivi! ..njoo kanda ya ziwa upate mme
@mgallason...5686
@mgallason...5686 3 жыл бұрын
Kwani we halima umeshawahi fanya tathmini ya jimboni mwako kuwa ni wangapi wanakuhitaji na wasiokuhitaji, katika utafiti wangu binafsi niliofanya watu hawakupendi ukiacha wachache wanaokuvimbisha bichwa. Cheefuuuu!
@evamvungi4860
@evamvungi4860 3 жыл бұрын
Asiekubali kushindwa c mshindani
@mwesblind8990
@mwesblind8990 3 жыл бұрын
Mikocheni mawakala wa wake walikuwepo wa tatu mimi nimepigia hapo mpaka wengine wanatoka na kurudi sasa hapo unadanganya nn
@josephdogan7650
@josephdogan7650 3 жыл бұрын
Wewe no mtu mzima hembu. Jaribu. Kutumia uwezo wako was kufikili vzr ingalao ujitofautishe na mtoto mdogo. Labda kidogo nikusaidie kufikili kidogo.halima anaongelea mbinu za wizi wa kura uliotokea mahsla pengi Tanzania na hspa anasisitiza Hindi eixi was kura ulivyofanyika ktk maeneo mengi ya Jimbo la kawe.si lazima mbinu iliyotumika mikocheni itumike Kila mahali.kwa mfsno unajuaje mawakal walifika saa ngapi vituoni?unanua kuwa mawaksla wengi walitolewa.vituoni ,ili wizi ufanyike?unajua kuwa Kuna sehemu mawajsla walufukyzwa.?HV unsjua kuwa mpaka maaskali walikywa wana mabegi ya kura. Yani kuwatetea Hawa watu walioshinda kwa hila ni jujivunjia heshima na kuhalilisha utu wako.hv unajua madhala ya kuwa na uchaguz wa kijinga kiasi hiki kwa maisha yako ya kesho.
@mwesblind8990
@mwesblind8990 3 жыл бұрын
@@josephdogan7650 nisikilize meakala walifika mapema sanaaa walikuwa 2 kwa kituo kimoja wa chadema pia katibu wa kata wa chadema nayeye alikuja sisi ty.eingia wakala tumemkuta sasa nawashangaaaaaa
@justinmutabazi7353
@justinmutabazi7353 3 жыл бұрын
Hhhhhh ila wwe kweri kirasiku shida shida tu? Amini kuwa umeshindwa acha kuchafuwa Wenzako Dada,
@salmaabdulla7797
@salmaabdulla7797 3 жыл бұрын
Nani achafuliwe YAANI WATU WANACHEKESHA YAANI UWE JAMBAZI AU MWIZI HALAFU ETI WATU WANYAMAZE . KAZI YA UCHEKESHAJI HAPA SI SEHEMU YAKE
@maujikoblogspotcom
@maujikoblogspotcom 3 жыл бұрын
Unashabikia upumbafu ambao hata mungu haukubari. Shenzi kabsa. Nyie ndio mnao vunja amaini hii aratibutaratibu kwa ushabiki wa kijinga. Ukweli unaonekana na bado mnashabikia. Ugaidi ndio unaanziaga hapo.
@omariabduly858
@omariabduly858 3 жыл бұрын
Unasikia kwa matako au masikio
@blackmamba7553
@blackmamba7553 3 жыл бұрын
Nice story
@Mokiwa
@Mokiwa 3 жыл бұрын
Ulikuta kura feki na hukuita waandishi kwa ninavyokufahamu??? Acheni kutufanya watanzania hatuna ubongo wa kufikiri. Nawasihi wapenda amani kuwapuuza vikali watu wa namna hii. Amen
@salimliemba3458
@salimliemba3458 3 жыл бұрын
Huna chako mama nenda mahakamani basi ushaisoma namba
@saidabdul3695
@saidabdul3695 3 жыл бұрын
kuma la mamaako wewe choko tulia
@salimliemba3458
@salimliemba3458 3 жыл бұрын
@@saidabdul3695 ya mama ako ipe Jina we mama tu
@saidabdul3695
@saidabdul3695 3 жыл бұрын
@@salimliemba3458 kisimi cha bibiyako kimatoa shahawa watu wana hasira wewe unaleta uchoko
@salimliemba3458
@salimliemba3458 3 жыл бұрын
@@saidabdul3695 pole yenu gwajima kashafanya yake haya kateni rufaa
@nyandwifidele8528
@nyandwifidele8528 3 жыл бұрын
@@saidabdul3695 una hasira ya kua shoga,, hujachelewa nenda ubelgiji na shoga mwenzio akakutafutie wanaume..
@georgenyalulu4550
@georgenyalulu4550 3 жыл бұрын
Huyu kasha data! Gwajiboy oyeeeeeeeeee
@lemalyolemkamba8759
@lemalyolemkamba8759 3 жыл бұрын
Mtoto mzuri wanakunyanyadha CCM ila mwachie tu mwenyezi mungu na ubabe wao isyo kua na mwelekeo
@capastapeter2173
@capastapeter2173 3 жыл бұрын
Ushakula sana hujatosheka tu
@jokeableking7039
@jokeableking7039 3 жыл бұрын
Halima mdee naye alikuwa Mbunge wa wapi maana huyu ni Raia tu kama mm tu Aje tu nimuoe mm😅😅😅
@badriaahmed4373
@badriaahmed4373 3 жыл бұрын
hahahaaaaa
@lulurubby2235
@lulurubby2235 3 жыл бұрын
Umedataaaa bungeni zerooooo
@gwanman1858
@gwanman1858 3 жыл бұрын
Yani hauoni chochote kinachoendelea hiyo roho gani?
@lulurubby2235
@lulurubby2235 3 жыл бұрын
@@gwanman1858 halima huyu ni gangster, tyshamzie akapumzike in peace..labda atapata jibu la jinsia yake ni ipi msagaji au wa kawaida
@kingsanya6860
@kingsanya6860 3 жыл бұрын
uyo gwajim ndo zimo au wewe kondoo wake nini
@lulurubby2235
@lulurubby2235 3 жыл бұрын
@@kingsanya6860 utajua kesho kama anazo au hana
@samwelimoto9503
@samwelimoto9503 3 жыл бұрын
Kalime mihogo
@nishasalim2880
@nishasalim2880 3 жыл бұрын
Halima umeshindwa uchaguzi.End off.
@kingwattanlibz9391
@kingwattanlibz9391 3 жыл бұрын
so mnasherehekea muongozwe na gwanjima mwenye kuonyesha chuki dhidi ya waisilamu na hata wakristo wasio dhehebu lake?
@laliapamba4187
@laliapamba4187 3 жыл бұрын
@@kingwattanlibz9391 Wewe usituletee uchonganishi wa Dini lol
@pilimwalimu1805
@pilimwalimu1805 3 жыл бұрын
Sio ameshindwa uchaguzi hem kua naadabu jap kidoogo halima amepokonywa haki ya ushindi wakeee
@pilimwalimu1805
@pilimwalimu1805 3 жыл бұрын
Nawaliomo madarakani woote kuanzia chini hadi juu inaelekea wametoka ktk maisha dhalili ndio maana hawataki kuacha madarakaa
@masundelwa
@masundelwa 3 жыл бұрын
Finally I opened my KZbin 😄
@dukakuu7225
@dukakuu7225 3 жыл бұрын
nunua kitu chako chochote www.dukakuu.com alafu njoo mnishukuru badae kwa huu ushauri
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu hajahafilika na kinachoendelea nchini tunamuomba wape azabu kali wote waluohusika kuuvuruga uchaguzi kuazia Rais na tume yake pamoja na hao wenye kujitoa kiherehere.
@bulldogcushuk
@bulldogcushuk 3 жыл бұрын
Wewe Halima mungu anakuona unajua ulichokifanya huna lolote kila siku hamuishi kutafuta shari, yataja wapata mnayoyatafuta muogopeni mungu kha!
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 159 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 77 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 6 МЛН
MDUDE AMTAJA MBOWE - "AMELALA NA MKEWE, NIMETEKWA KISIASA"
13:59
Global TV Online
Рет қаралды 159 М.
J.D. Vance addresses RNC crowd: FULL SPEECH
36:00
FOX 4 Dallas-Fort Worth
Рет қаралды 1,8 МЛН
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47