Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia

  Рет қаралды 32,324

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Ай бұрын

Spika w Bunge, Dk Tulia Ackson ameielekeza Serikali ikafanyie kazi madai ya mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka kwamba Serikali imepanga kuchukua vijiji 80 vya wafugaji wa Simajiro na vijiji vingine kadhaa vya wafugaji wa maeneo mingine kwa ajili ya hifadhi ya wanyamapori.
Hayo yametoke bungeni leo Jumatatu ya Juni 3, 2024 wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo Spika alitoa maelekezo hayo baada ya maelekezo yake ya kwanza ya kumtuma Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) anayeshughulikia Elimu, Zainabu Katimba kumtafuta Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota ili aeleze kama aliandika barua hiyo.
“Nimepokea barua hapa kutoka kwa mheshimiwa Ole Sendeka hii barua imeandikwa na mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota (amekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro toka Agosti 2021).
“Mheshimiwa Naibu Waziri wa Tamisemi huyu bado ni mkurugenzi wa Simanjiro (sauti zikasikika ndiyo). Mheshimiwa Naibu Waziri hebu nenda hapo nje mpigie simu kuhusu hii barua.
Barua imeandikwa kwa ofisa mtednaji Kijiji cha olcholoni tarehe 16 tathmini ya maeneo yenye wanyamapori katika mapori ya Simanjiro na Berela na Simanjiro Kitiangare. Mkurugenzi akaseme aliandika hiyo barua au hapana.”
Tazama zaidi.

Пікірлер: 48
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Ай бұрын
Naiomba sana Serikali yetu ifike wakati wabunge wakifika umri flani wastaafu Kwa MASLAHI ya taifa letu
@PartimayoNyoroi-om9hq
@PartimayoNyoroi-om9hq 17 күн бұрын
Good blessings you Dr TUlia na olesendeka mko sahihi sana
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Ай бұрын
Kwa hio tuseme waziri hawanui kazi zao kweli speaker uko sawa,endelea kuwaelimisha tu
@Olerumas
@Olerumas Ай бұрын
Spiker be blessed ww ni kiongozi nimependa sanaaa hoja zako
@shomari_Msumi
@shomari_Msumi Ай бұрын
Ole Sendeka👏👏
@YakoboMolell-t7w
@YakoboMolell-t7w 20 күн бұрын
Nakupenda Tanzania 🇹🇿 yangu ,uzalendo na uadilifu.
@josephmilandononi1096
@josephmilandononi1096 Ай бұрын
Safi Sana Mh Speaker Dr Tulia kweli wewe ni Rais wa Dunia.
@lomunyaklesikar
@lomunyaklesikar Ай бұрын
Kweli Baba mungu akupe ulimi Safi ile uteteye Sisi Wana simanyiro
@benny4345
@benny4345 Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza, nimependa Tulia alivyoshughulika na jambo hili. Wanarukaruka tu hawataki kukubali wala kukataa.
@MossesiMosessilaizerlaizer
@MossesiMosessilaizerlaizer Ай бұрын
Thank you mh ole sendeka ilove you mh
@SARAHKATAGIRA
@SARAHKATAGIRA Ай бұрын
Ni Bora ktk huo mkoa wampeleke makonda ndoo atamaliza utata
@mkondomkondo4721
@mkondomkondo4721 27 күн бұрын
Angalia wapiga debe wengine,umezeeka hujui unachokiongea,eti samia hafananishwi,hiloooooo...
@dassustephen731
@dassustephen731 Ай бұрын
Kama mawaziri wenyewe ndo hawa ukweli hatuna viongozi Tutaendelea kuwa omba omba milele.
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i Ай бұрын
Jenista ni mtu wa hovyo cjawai kuona
@StanleySewando-nb4xm
@StanleySewando-nb4xm Ай бұрын
Bado Tanzania tuko mbali sana hiyo taarifa Ina mwenye kiti aliyesimia timu na walilipwa posho Sasa bunge lilitakiwa kuagiza kamati iitwe iseme ilitumwa na nani
@Rokonga
@Rokonga Ай бұрын
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 Ай бұрын
Mh.Spika utapata kazi sana kwa maamzi uliyoanza kuyachukua ya kusimamia hoja za Wabunge .Mawaziri wako matapeli sana na ni waongo sana
@maasaiafricanguides5717
@maasaiafricanguides5717 Ай бұрын
😀😀😀😀
@KasangaKalanga-vo6od
@KasangaKalanga-vo6od Ай бұрын
Lipo bwana kaskazini ni mbaya Sana kwa mgogoro ya ardhi yote imekua pori tengefu
@HassanMkotya
@HassanMkotya Ай бұрын
Kuna mawaziri dhamana waliyonayo si haiba yao.
@yokoi3970
@yokoi3970 Ай бұрын
Huku makonda ana piga spana huku wengine wanafanya yao dah noma sana 😂😂😂😂😂
@OlaIseya
@OlaIseya Ай бұрын
Tendeni haki
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Ай бұрын
Kumbe ole sendeka nawe unapoint eeeeeh
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 Ай бұрын
semeni tu mnasubiri uchaguzi ipite 🤣🤣🤣 acheni kutuzungusha zungusha na vitambi vyenu
@user-zk9ox3di4b
@user-zk9ox3di4b Ай бұрын
asante sana kaka yetu olesendeka pole sana kwa shambulio la kutaka kuuawa je serekali inasemaje je nauliza. Wanyama wanapotuvamia mbona sisi wamasai atuwakamati lakini sisi ngombe zetu zinakamatwa na kuuzwa na je nauliza wabunge mkowapi mmelala usingizi tunataka katiba mpya nilazima watanganyika nilazima tujikomboe kwa asante sana wenu Simba sauti ya wanyonge tupewe haki
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 Ай бұрын
Hao Watu ni wajanja wajanja chenga ni nyimgi baadae litakwepo
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
​@@aloycemruma6552Hilo lilishapitishwa wanasubiri wakishapigiwa kura waliweke wazi na madharau kibao
@user-kv2cx8kx4j
@user-kv2cx8kx4j Ай бұрын
Baba waseme tu ukweli wanaficha siri kwanza mpaka wachaguliwe kwanza ndiyo watasema ukweli
@audifacejosephat7071
@audifacejosephat7071 Ай бұрын
Hawa mawaziri janjajanja nawasiwasi na elimu zao
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 Ай бұрын
Kime uka waparurana wenyewe. Kwa wenyewe
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 Ай бұрын
Huyu mama Jenister ndiyo waziri wa hovyo kuliko wote kwenye hili baraza
@dassustephen731
@dassustephen731 Ай бұрын
Kweli kabisa
@DanielLambalelo
@DanielLambalelo Ай бұрын
Serikali tatueni shda kwa wananch
@RichardMgweno
@RichardMgweno Ай бұрын
Tukuite chawa
@joelilukumay9137
@joelilukumay9137 Ай бұрын
Mh spika Tulia Ackson, nimekukubali kwa jinsi unavyoonyesha ushirikiano na mh Cristopher Ole sendeka ili kuwatetea wananchi wanyonge. Yawezekana kuna ujanja ujanja. Mh waziri atamke kua jambo hilo hamna ili kuondoa wasiwasi kwa wananchi. Mungu akubariki sana mh Tulia Ackson spika wa bunge. Hio ndio uongozi inayotakiwa.
@healingsschool4630
@healingsschool4630 Ай бұрын
Waarabu ni watu waajabu saana Wana mapesa isiyo na kazi . Soma historia kuna kipindi walinunua visiwa pamoja na kilomita kumi za Tanganyika toka baharini. Nakumbuka kabla ya 2010 kuna mmoja aliuziwa toka Kigamboni mpaka kimbiji akaweka mabango hakuna kilichoendele. Juzi nilishangaa hawa dpworld tuliambiwa wamechukua bandari zote kumbe wamekodishiwa gati 7 tu! na wao hawapo wameweka wahindi tu cio!
@daudimchileg307
@daudimchileg307 Ай бұрын
Kwanini mpo hivo nyie watanzania? Mlisena maguful ni Rais wa mfano kwa uongoz wake mzur, mlimsifia hadi saaana, leo samia ni bola kuliko marais wote waliopta. sasa nyie ni machawa zaid ya baba levo na mwijaku.
@hollymore4904
@hollymore4904 Ай бұрын
Shameful
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i Ай бұрын
Ccm ni wahuni kama wahuni wengine
@johnlaizer5925
@johnlaizer5925 Ай бұрын
Mungu wetu tulindie mtetezi wetu
@user-kv2cx8kx4j
@user-kv2cx8kx4j Ай бұрын
Ole sendeka aliwahi kusema hawaniwatapeli tu watu kuwanyang'anya watu maenewo yao hata raisi hausiki mimi naona hilo jambo lifutwe tu halipo kabisa niwajanjanja wanataka kutapeli watu maenewo yao
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Asikudanganye mtu hii imetoka juu hakuna linalopitishwa bila raisi kusaini wanasubiri wakishapigiwa kura kwanza ndio waliweke wazi
@1961nungwi
@1961nungwi Ай бұрын
Serikali imeikana, maana yake ni taarifa feki!
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Hii ipo subiri wakishapigiwa kura
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 Ай бұрын
Hizi pesa zinazopotea kuwalipa kijiji ni bora wajenge fance ya umeme kuzunguka hifadhi zetu na mtakuwa mmemaliza migogoro isiyokuwa na sababu,kwani hata hawa wabunge wengi wao wana yao nyuma yake.
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha Ай бұрын
Du kumbe umalaya wa kisiasa unarejea taratibu! Unamlinganisha rais wa kudra na waliopita? Wamasai wenzio wanafukuzwa wewe unasifia ujinga mtupu? Nilikuwa nakuheshimu sana Ole Sendeka sasa sikuheshimu tena.
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 Ай бұрын
Umeona kama uchawi hali hii instesa taifa kwani historia ya ofisi hawakabidhiani Mtu anaingia ofisini kwa mihemko
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 23 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 77 МЛН
Trump delivers 2024 Republican National Convention speech
1:35:24
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 23 МЛН