Wananchi wa Wilaya ya Kisarawe wameongea kuhusu uteuzi uliofanywa na Rais Magufuli kwa Jokate Mwegelo kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo.
Пікірлер: 97
@abayokalikawe5396 жыл бұрын
These ladies in Kisarawe are so encouraging !! I am so feeling that motherhood sense in them ! Congratulations Hon. Jokate . You have inspired many youths through social networks , much better now that even those in interior corners of Kisarawe will appreciate you . Keep up the good work madam .
@richtanzania21396 жыл бұрын
Dadaaaa joklate
@jenyyusuph49736 жыл бұрын
kazi kazi mungu atujalie heri mahtaji yetu yafanikiswe kwauweza wake mungu amina
@neemayamwenyezihawaafetlis17826 жыл бұрын
😆😆😆😆Bibi Angu Jaman jokeleti alitaka kusema chocolate 🍫 ❤
@hassanovajunior69726 жыл бұрын
Neema ya Mwenyezi Hawaafetlishz wee nae
@neemayamwenyezihawaafetlis17826 жыл бұрын
Hassanova junior Nini Na weweeeeeeh
@lukaninamutakeakazijemanaj31365 жыл бұрын
Neema ya Mwenyezi Hawaafetlishz mungu akuwezeshe dada
@hassanovajunior69726 жыл бұрын
Wee dada nakukubali sana asee bonge la presenter kip it up 👏👏👏
@samwelrwiza5276 жыл бұрын
Karibu kisalawe jokate... Tatizo letu 1.maji 2.barabara 3.usalama kwa maana ya vituo vya polisi. 4. Mahakama z mwanzo ziongezwe 5. Hamasa ya kielimu kwa wananchi pamoja na utoahji elimu bora na uboreshaji wa elimu kwa wana kisalawe. Pigania hayo zungumzia hayo na mengineyo Yale utakayoyaona na Mungu akusaidie. Kumbuka jamii ya watu wa kisalawe ni Wapole wakarimu wanapenda wageni na wanaridhika upesi. Chagua kuwa bora ili uwe bora. Nakutakia majukumu mema..
@omanioman89526 жыл бұрын
Nimechekaa 😁😁😁kwa sauti muacheni bibi yangu musimcheke ni utuuzima
@madamfatmamsindi20596 жыл бұрын
Jokate yupo vizuri, ana akili na ametulia na anaweza kuongoza.APEWE USHIRIKIANO. MHE RAIS AMEFANYA VIZURI SANA KUMTEUA JOKATE,AMETHAMINI VIJANA, HONGERA MHE. RAIS I SALUTE YOU
@fredkulaya63816 жыл бұрын
woow nimependezwaa nawe Super lady Jokatee hongera kwa Muheshimiwa wetu JPM
@suhailaomari24936 жыл бұрын
Nakupenda sana mdogo joket mungu akufanyie wepesi kwenye kazi zako nipate kazi Hata ya kufagia da Subby Hapa
@Rahmamatengo61146 жыл бұрын
Mungu amsimamie katika kazi Yake Inshaa allah
@najma32686 жыл бұрын
Hongera sana da Joketi Mwegwlo
@bobofashion31486 жыл бұрын
Hongera jokreti wetu
@emmanuelhaule10236 жыл бұрын
Mtangazaji ninakupa hongera, upo vizuri.
@binaberthakasembo98596 жыл бұрын
Emmanuel Haule asante kwa kutazama
@edinaagustino37176 жыл бұрын
mungu akutangulie mheshimiwa joketi ktk utendaji kazi wako.
@emmanuelfario98976 жыл бұрын
love u jokate hongera saana kipenz
@garoedod62726 жыл бұрын
Nakupenda sana bina kasembo
@zuweinaalhabsya87736 жыл бұрын
Asanteni Sana kwa kumpokea joklet jamani
@salimmapunda73936 жыл бұрын
JOKLETII DUH
@twilumbakabelege34266 жыл бұрын
kweli daudi alikuwa mchunga kondoo, mungu akamwinua kuwa mfalme
@asiazuberi97226 жыл бұрын
Jina la joketi litawapa tabu sna watu wakisarawe😂
@njolenjole6666 жыл бұрын
mwee..!! bibi angu hilo jina la joketi litampa tabu sana itabidi alitamke tu ivo ivo chocolate 👊😂😂
Et mchapakazi sijui hiyo kazi aliwahi kuichapa wapi
@elizabethzabron84896 жыл бұрын
Iyo miwani VP mtangazaji
@modestaabeli33896 жыл бұрын
Jokate nakutakia kazi jema na mungu akutangulie ktk kazi yako amen
@fdhg476 жыл бұрын
nisawa kabisa
@fugakwamalengo7076 жыл бұрын
Jokreti hahahaha
@godwinmariki28126 жыл бұрын
Mimi naitwa Godwin Mariki Mwenyekiti wa kitongoji cha Madukani, Kiluvya- katika mji mdogo wa Kisarawe, Tumepokea taarifa ya uteuzi wa Mkuu wa Wilaya kwa heshima kubwa. Joketi ni Binti Jasiri zao la chama cha mapinduzi mchapa kazi na kwa kisarawe hii ataimudu kabisa . kariiiiiibuuuu Mh Joket Mkuu wetu wa Wilaya.
@careenjonasy62236 жыл бұрын
alikiba umepokeaje hiyoooo
@patsonjackson81146 жыл бұрын
Duuu had joklet
@minaside67176 жыл бұрын
😂😂
@darasahuru45326 жыл бұрын
nice joket
@zuweinaalhabsya87736 жыл бұрын
Jamani siishi Tanzanian nauliza tu hii kisarawe ipo sehemu ya wapi Tanzanian.?
@bekamwikola20276 жыл бұрын
All the best DC joket
@leticiamafuru60726 жыл бұрын
Kibaha pwan
@racheldauson61296 жыл бұрын
Alhabsiya Zuweina kibiti
@aishawoooiii27775 жыл бұрын
Pwani
@happymwaseba94936 жыл бұрын
Jockret
@sheillahchisika84146 жыл бұрын
😂😂😂😂 jokoleti
@aminaridhione4456 жыл бұрын
ha ha ha jokleti
@robertmatonya18516 жыл бұрын
kwa hlo mm sijafurahishwa
@rahmamteri55926 жыл бұрын
Haaaaaaa jokeleti
@oscarmatheo6626 жыл бұрын
kuna kitu apa ankoo mag
@khalidunited59786 жыл бұрын
chokreti au jokeleti
@stevewagospel24146 жыл бұрын
mwe jocret mmmh
@josephtimothmbulu86776 жыл бұрын
Ati kisarawe ina miaka mia lakini hata maji hamna, mnawezaje kupata maendeleo ikiwa "NGOSWE PENZI INAWEZA BAKIA KAMA KITOVU CHA UZEMBE, TANZANIA NCHI YENYE WATU WA AJABU SANA.