''WANASEMA NAJENGA KWETU NI WIVU TU, NA BADO ETI SABABU MIMI NI MAKAMU WA RAIS''

  Рет қаралды 10,295

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 27
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Mimi Si Mwenyeji Wa Kigoma ila Nakupenda sana Kigoma Ardhi yake ni Nzuri na wenyeji wake ni wakarimu
@bellam.vyampi5528
@bellam.vyampi5528 11 ай бұрын
Hataa wakisema hakuna shidaa,,kwanii wao kwao sipalijengwa na sisi situlisubili,,cha msingii wakandalasii waachee mwendo wa kobe kwenye miradi ya selikarii kwanii wanatukwamishaa raia.🙏🙏🙏
@zombazezu
@zombazezu Жыл бұрын
Kigoma ni mji wa kimkakati kuna Bandari inaunganisha nchi za Congo, Zambia na Burundi ni lazima Kigoma iendelee .
@bellam.vyampi5528
@bellam.vyampi5528 11 ай бұрын
Kwenyee uwanja wa ndege,,selikarii ongezenii juhudii maanaa imekuwa ni gharama kubwa kutumia huu usafirii ambapo hata uwanja kuwa mdogo ni chanzo cha naauli kuwa juu sanaa.
@GSELgodoni
@GSELgodoni Жыл бұрын
Kazi iendelee.
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Жыл бұрын
Asante mzee wetu
@ATHANASLUKEHA-ui7pq
@ATHANASLUKEHA-ui7pq 10 ай бұрын
Tunaishukuru Sana serikali pia uchapakazi wako.Lakini tumieni pia sekta binafsi kwenye mega projects zingine(miradi mikubwa).Maana Kigoma tuna changamoto nyingi,tupo nyuma Sana.
@fadhilisulugutu
@fadhilisulugutu 10 ай бұрын
Kweli Mzee wa kazi
@abdallahomary515
@abdallahomary515 Жыл бұрын
Piga kazi baba jenga kwenu baba huu ni wakati wenu kigoma pia ni Tanzania, pambana mkuu uking'okatu apo hawata kukumbuka tena uko
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Kigoma kwetu
@francismadoshi8529
@francismadoshi8529 Жыл бұрын
Waha ni wengi kuliko wachagha,laikini mama wa sensa sababu ni mchagga ametangaza kuwa wachgga ni wengi kuliko waha! Kwa nini?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 11 ай бұрын
Hata mwendazake alijenga kwao,,,,
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 10 ай бұрын
Chapa kazi makamu wetu wa raisi.hao wanaosema hivyo mbona kwao barabara nzuri za lami zipo.?mtandao wa barabara ni mpango wa nchi nzima.waache wapige kelele tu.
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 10 ай бұрын
Mkuu kandamiza kiha mgabho
@zahakiosward1575
@zahakiosward1575 Жыл бұрын
Jenga kabisa hata mwenda wazimu hupeleka makopo kwake wee Acha waseme.
@ummya3996
@ummya3996 Жыл бұрын
Mbona marais wote wanajenga makwao walipozaliwa.ijenge kigoma kwani ilisahaulika
@francismadoshi8529
@francismadoshi8529 Жыл бұрын
Waha ni wengi kupita wachagga bwana!
@greaterjustin2231
@greaterjustin2231 Жыл бұрын
Hata hivyo kigoma iko nyuma sana kwa maendeleo mfano chato ni wilaya tu lkn barabara za mtaan zina rami kuliko kigoma ten kabla hata hawajapata Rais wakiwa na waziri, kwenye kipindi chake ajitaidi afanye mengi ikiwemo vyuo viwepo vingi mkoani kigoma
@edwardgwaspika4943
@edwardgwaspika4943 Жыл бұрын
Napita Tu.
@SebastianVicent-pl7yx
@SebastianVicent-pl7yx Жыл бұрын
Mbona hii Barabara ya kasulu manyovu wakandalasi wameacha mlima mharulo vibaya magari yanashidwa kupanda tunawaomba towniload waje walekebishe
@kalolinadaudi4038
@kalolinadaudi4038 Жыл бұрын
Jenga Kaka tunajivunia uwepo wako ,tulisahaulika Sana, Tena hakikisha mpaka vichochoro vina lami
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 6 ай бұрын
😂😂😂
@rovisonmashaija3198
@rovisonmashaija3198 Жыл бұрын
Hakuna anaye kuonea wivu ww Jenga ty ukipata chance itumie vzr cio unaondoka unakosa la kukumbukwa
@nuhuremezo-gl1lu
@nuhuremezo-gl1lu Жыл бұрын
wakwache mheshimia watu wenyeloombaa
@shefujosee617
@shefujosee617 Жыл бұрын
Nyumbani kwanza,kigoma sio kwetu ila wewe jenga tu ukitaka ata bahari ihamishie ukouko
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Жыл бұрын
Jenga mbna makufuli alijenga chato na mwanza akuna mtu aliyopiga kelele
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 164 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 25 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Full Video: HARMONIZE Alivyomchezesha MAGUFULI, KIKWETE na MKAPA Leo..
5:21
RAILA ATAIBIWA AU- AFANYA HANDSHAKE || OMOSH JAKA BABA 1 HOUR
11:20
Eroo Mtetezi
Рет қаралды 1,3 М.