WANAUME LALENI NA KANGA WANAWAKE TUSIANDAMANE

  Рет қаралды 14,813

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

5 ай бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 45
@zainabnoor2278
@zainabnoor2278 5 ай бұрын
Shukran kwa kutuletea somo mwenye madini yake MashaAllah...Allah awahifandi
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 5 ай бұрын
Asante Madam kwa Darsa Nzuri Tunapata kujua yaliyojificha Naangalia kutoka Oman
@user-bt8bk7pm6e
@user-bt8bk7pm6e 5 ай бұрын
Somo pambe na nusu Mashallah Allah awabariki
@RahmaRashid-lc6nw
@RahmaRashid-lc6nw 5 ай бұрын
Mashallah Mashallah somo bado uko mdogo lkn una madini unaokoa ndoa za wengi mafunzo yamejaa staha nakusikiliza kutoka Uk
@soamShs-cp4dl
@soamShs-cp4dl 5 ай бұрын
Msikilize vizur sababu sababu waume zenu wakija Tanzania mara nyingi wanaowa unachezea mambo ya kanga haha
@RahmaRashid-lc6nw
@RahmaRashid-lc6nw 5 ай бұрын
Ndo weye nn umeiba mume wa watu hahahhaha
@muhammadMwinyikombo
@muhammadMwinyikombo 4 ай бұрын
Kwakweli ilmu ni faradh ❤
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 5 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah
@awadhmchaki6567
@awadhmchaki6567 4 күн бұрын
Mcheni mola wenu mwanaume haifai kuvaa kanga anajifananisha na mwanamke dini imekataza
@saidhamad7504
@saidhamad7504 5 ай бұрын
A: Unajua ukiwa somo unakutana na vitu vingi B: Bila shaka!
@atfatabdul5414
@atfatabdul5414 5 ай бұрын
Masha Allah ❤❤❤
@danielshauri6390
@danielshauri6390 5 ай бұрын
Asante sana dada
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer 5 ай бұрын
Najoto hili ni bora uvae kanga
@generosennko8343
@generosennko8343 5 ай бұрын
Asante sana. Kipindi safi sana. Natamani kanga. Ila sijui ntazipataje
@zainabuali9915
@zainabuali9915 5 ай бұрын
Mtafute somo kwa no iliyopo japo kweny kioo utapat kanga pambe tu
@aishabarua6857
@aishabarua6857 5 ай бұрын
Shukuran daa Hatia,kwa mafunzo ya kanga
@abuufarheenfarid9320
@abuufarheenfarid9320 5 ай бұрын
Sio kisiwa ni visits vya Zanzibar (Unguja na Pemba)
@danielshauri6390
@danielshauri6390 5 ай бұрын
Nimepata somo kubwa sana , maana halisi ya khanga
@AshaMakame-dc4nz
@AshaMakame-dc4nz 3 ай бұрын
Madam, kanga ya shingo hata kwa mwanamke alieolewa, has Kwa mwanamke mwenye kibuno
@abuufarheenfarid9320
@abuufarheenfarid9320 5 ай бұрын
Visiwa
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb 5 ай бұрын
makosa jamani kusema maneno hayo kila mzanzibar anajua
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb 5 ай бұрын
aibu jamani umwambia mwanamm e maneno huyo makosa jamani hiyo ni siri yako na mumeo tu
@zainabuali9915
@zainabuali9915 5 ай бұрын
Yaan raha sana😂😂😂😂😂😂😂
@user-ej9sn1qq1p
@user-ej9sn1qq1p 5 ай бұрын
Somo inamalezi ndani yake.
@al-hidayahonlinetv3447
@al-hidayahonlinetv3447 5 ай бұрын
Khanga imaongeza nguvu😂 we mwana utazifanya ziadimike😅
@AttiyaHassan_somomtoto
@AttiyaHassan_somomtoto 5 ай бұрын
Haziwezi kuadimika 😂
@wardawarda6535
@wardawarda6535 5 ай бұрын
Nitavaa kanga iloandikwa *ukisusa wenzio wala*😂😂😂😂
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 5 ай бұрын
🤣🤣🤣
@ttss3712
@ttss3712 5 ай бұрын
😂😂😂😂Jmni mbn kumtishia mwenzio😂😂
@zainabuali9915
@zainabuali9915 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@maryammaryam7773
@maryammaryam7773 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-gz5qu5qy1y
@user-gz5qu5qy1y 5 ай бұрын
Hahahaha jamaani hadimpunguze uwazii wengine wanao tazama ni watoto
@AttiyaHassan_somomtoto
@AttiyaHassan_somomtoto 5 ай бұрын
Mtoto kafika youtube? 😂
@bintiyusuf9
@bintiyusuf9 5 ай бұрын
Dada attiya naomba no yako please
@kulthum8335
@kulthum8335 5 ай бұрын
Mashallah ​@@AttiyaHassan_somomtoto
@user-gz5qu5qy1y
@user-gz5qu5qy1y 5 ай бұрын
@@AttiyaHassan_somomtoto hahahahkqhq watoto wengine wa kimaumbile yaani bachela na bachelati wakiskia hivo mnawatia mawazo hawana wa kuwavalia hahah 😆 😂
@AttiyaHassan_somomtoto
@AttiyaHassan_somomtoto 5 ай бұрын
@@user-gz5qu5qy1y basi wana hashuo kutaka mambo si saizi yao muhim walengwa ujumbe uwafikie
@NOORMOHAMED-sg9lo
@NOORMOHAMED-sg9lo 5 ай бұрын
Mmekosa adabu . Washenzi mlokosa haya. Mbwa kasoro mikia nyie . Mambo hayo yana wenyewe wala wasingejianika hapo kuongea . Mambo ya wakubwa yana ngariba. Mmekaa hamna tafauti na mashoga ama malaya wa kizungu kuongea uouuzi hawana sehemu wala mafundisho kutoka kwa waalimu. Nyie mkifanyiwa kazi na kama nyie basi hatuna haja ya ushenzi na ubaradhuli wenu.
@Allybinamour
@Allybinamour 5 ай бұрын
subhanallah, ni vizuri ungewaambia kwa lugha nzur kuliko kuwamalizia matusi kama ivo,kumbuka hawa ni binaadamu si wakamilifu. kama kila anaekosea anatukanwa uislamu usingepata mtu.
@AttiyaHassan_somomtoto
@AttiyaHassan_somomtoto 5 ай бұрын
Kwa kosa gani haswa kwenye hiyo mada ilojadiliwa? Allah amsameh yy na sisi​@@Allybinamour
HUU NDIO WIVU UNAOWEZA KUJENGA MAPENZI KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
20:36
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 7 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 87 МЛН
HII NDIO DAWA YA MWANAUME MWENYE GUBU (HUBBUL HALAL)
23:22
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 7 М.
NIPE NIKUPE, RAHA TUPEANE
18:01
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
KIDANI EP 47:-SIRI YA KUISHI NA MKE MWENZA MWENYE HEKAHEKA
56:31
Kidani Show
Рет қаралды 15 М.
HILI NDIO LILILOWAFELISHA WENGI KATIKA NDOA ZAO
35:26
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 8 М.
USITEGEMEE KUPATA MAPENZI KWA MWANAMKE BILA KUYATENGENEZA
22:47
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 6 М.
HII NDIO HISTORIA YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
7:12
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 23 М.
NDOA NI YA WATU WAWILI: KIPINDI HUBBUL HALAL
18:31
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 17 М.