Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 45
@zainabnoor22785 ай бұрын
Shukran kwa kutuletea somo mwenye madini yake MashaAllah...Allah awahifandi
@maryamabdullah91695 ай бұрын
Asante Madam kwa Darsa Nzuri Tunapata kujua yaliyojificha Naangalia kutoka Oman
@user-bt8bk7pm6e5 ай бұрын
Somo pambe na nusu Mashallah Allah awabariki
@RahmaRashid-lc6nw5 ай бұрын
Mashallah Mashallah somo bado uko mdogo lkn una madini unaokoa ndoa za wengi mafunzo yamejaa staha nakusikiliza kutoka Uk
@soamShs-cp4dl5 ай бұрын
Msikilize vizur sababu sababu waume zenu wakija Tanzania mara nyingi wanaowa unachezea mambo ya kanga haha
@RahmaRashid-lc6nw5 ай бұрын
Ndo weye nn umeiba mume wa watu hahahhaha
@muhammadMwinyikombo4 ай бұрын
Kwakweli ilmu ni faradh ❤
@asmaafamau83075 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah
@awadhmchaki65674 күн бұрын
Mcheni mola wenu mwanaume haifai kuvaa kanga anajifananisha na mwanamke dini imekataza
@saidhamad75045 ай бұрын
A: Unajua ukiwa somo unakutana na vitu vingi B: Bila shaka!
@atfatabdul54145 ай бұрын
Masha Allah ❤❤❤
@danielshauri63905 ай бұрын
Asante sana dada
@TheFire_Gamer5 ай бұрын
Najoto hili ni bora uvae kanga
@generosennko83435 ай бұрын
Asante sana. Kipindi safi sana. Natamani kanga. Ila sijui ntazipataje
@zainabuali99155 ай бұрын
Mtafute somo kwa no iliyopo japo kweny kioo utapat kanga pambe tu
@aishabarua68575 ай бұрын
Shukuran daa Hatia,kwa mafunzo ya kanga
@abuufarheenfarid93205 ай бұрын
Sio kisiwa ni visits vya Zanzibar (Unguja na Pemba)
@danielshauri63905 ай бұрын
Nimepata somo kubwa sana , maana halisi ya khanga
@AshaMakame-dc4nz3 ай бұрын
Madam, kanga ya shingo hata kwa mwanamke alieolewa, has Kwa mwanamke mwenye kibuno
@abuufarheenfarid93205 ай бұрын
Visiwa
@AaAa-vm8bb5 ай бұрын
makosa jamani kusema maneno hayo kila mzanzibar anajua
@AaAa-vm8bb5 ай бұрын
aibu jamani umwambia mwanamm e maneno huyo makosa jamani hiyo ni siri yako na mumeo tu
@zainabuali99155 ай бұрын
Yaan raha sana😂😂😂😂😂😂😂
@user-ej9sn1qq1p5 ай бұрын
Somo inamalezi ndani yake.
@al-hidayahonlinetv34475 ай бұрын
Khanga imaongeza nguvu😂 we mwana utazifanya ziadimike😅
Hahahaha jamaani hadimpunguze uwazii wengine wanao tazama ni watoto
@AttiyaHassan_somomtoto5 ай бұрын
Mtoto kafika youtube? 😂
@bintiyusuf95 ай бұрын
Dada attiya naomba no yako please
@kulthum83355 ай бұрын
Mashallah @@AttiyaHassan_somomtoto
@user-gz5qu5qy1y5 ай бұрын
@@AttiyaHassan_somomtoto hahahahkqhq watoto wengine wa kimaumbile yaani bachela na bachelati wakiskia hivo mnawatia mawazo hawana wa kuwavalia hahah 😆 😂
@AttiyaHassan_somomtoto5 ай бұрын
@@user-gz5qu5qy1y basi wana hashuo kutaka mambo si saizi yao muhim walengwa ujumbe uwafikie
@NOORMOHAMED-sg9lo5 ай бұрын
Mmekosa adabu . Washenzi mlokosa haya. Mbwa kasoro mikia nyie . Mambo hayo yana wenyewe wala wasingejianika hapo kuongea . Mambo ya wakubwa yana ngariba. Mmekaa hamna tafauti na mashoga ama malaya wa kizungu kuongea uouuzi hawana sehemu wala mafundisho kutoka kwa waalimu. Nyie mkifanyiwa kazi na kama nyie basi hatuna haja ya ushenzi na ubaradhuli wenu.
@Allybinamour5 ай бұрын
subhanallah, ni vizuri ungewaambia kwa lugha nzur kuliko kuwamalizia matusi kama ivo,kumbuka hawa ni binaadamu si wakamilifu. kama kila anaekosea anatukanwa uislamu usingepata mtu.
@AttiyaHassan_somomtoto5 ай бұрын
Kwa kosa gani haswa kwenye hiyo mada ilojadiliwa? Allah amsameh yy na sisi@@Allybinamour