Ccm oyeeeee oyeeeee mapinduzi itikieni bc daimaaaaa 2020
@fatmaabdulla70805 жыл бұрын
Viongozi mutupende na siye maisha yenu yako poa tunajiajir munaturejesha nyuma tuzindukeni tufuateni amri za Alla . Sheria za binaadamu hazina huruma tukifuata sheria za Alla atatuneemesha
@masoudyrashidy90415 жыл бұрын
Tufanyeni lolote litakalo kua na liwe in sha Allah hawa washenzi sio watu wazuri hawafai 2020 in sha Allah Allah awadamirishe viongozi wa znz tumechoka nao
@mrfix65965 жыл бұрын
Masoudy Rashidy aamin
@sabraabdilnasir88265 жыл бұрын
Nikweli huyu jamaa anavosema kule mbali biashara imekuwa ngumu namuomba allah awafanyie wepesi
@aishakhamis29965 жыл бұрын
ameen inshawh...
@alikhamis60335 жыл бұрын
Allah atafanya wepesi wa maisha inshaAllah hapo zanziber
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
In shaa Allah hapewi taraka ntu hapo na nkewe Allah atajalia wepesi kwa kila jambo poleni kazaneni tu kupapatua. Mumewangu usiogope ukikosa rudi tu nyumbani sikuachi.
@Pedeshee015 жыл бұрын
Nikikosa nitakwambia Zayyati nimekosa na ndiyo maana nimekuchagua wewe 🙏🙏 unajua kupata na kukosa. Kuna wanawake wengine anaweza kukwambia Mwanaume gani umetoka asubuhi unarudi jioni unasema umekosa,unakosaje sasa si bora ungeniacha mimi mkeo nitoke nikatafute😁😁,Zayyati wewe upo 👌👌 Allah akupe imani hiyo
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
@@Pedeshee01 🙌Umeona eeeeeeeeeeeee omar mm na ww tena Omar lakini punguza michepùko😞🙆
@Pedeshee015 жыл бұрын
👏👏🙏🙏🙏 habibi nitabaki njia kuu michepuko siyo dili,
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
@@Pedeshee01 Sawa Omar taraka nitaweka mlangoni kwa debe la taka
@Pedeshee015 жыл бұрын
zayyati yusufu ❤️❤️❤️ mpendwa talaka uiandike wewe tu mi niiweke saini 😁😁
@bikomboali73425 жыл бұрын
na ikifika 2020 itilien CCM tena manake hamukom maish magumu
@mamyrylovemeagain24065 жыл бұрын
Siwaliambiwa watatengezewa km dubei dubei iyo
@mwanaidiramadhan39195 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@abuumansoural-amrik63175 жыл бұрын
viongozi wa Afrika ndo ao ao ata umtilie nani hatwendi kokote
@issaibrahim73255 жыл бұрын
@@abuumansoural-amrik6317 ila ndio tufanye changing tuone upande wa pili
@muslimusaidi61175 жыл бұрын
Wataisoma namba au tutaisoma namba kwa wote haya 2020 ipigieni tena ccm kura tuisome tena
@rahmahussein40195 жыл бұрын
Everything they are talking is absolutely true . Jamani serikali wasaideni Kwa hali yoyote hawa wafanya biashara ....kwani maisha ni magumu kwa hio nyie serikali lazima muwasaidie. kwani watapoweza kuuza samaki wao Kwa wingi , hapo ndio na wao wataweza kusaidia.. familiya zao majumbani . ..Kwa mara nyengine tena serikali saideni hawa watu.. coz they have been suffered enough....this is so sad...😢
@luqmanmwinyi79535 жыл бұрын
Absolutely 2👍.. Coz ya yote wao viongozi wakihitaji wanaletewa ama wanatumia magari ya serekali kuwafikisha kokote. Na kpata chchte wanacho hitaji Ila ya yote In shaa allah M/mungu yuko pamoja nasi
@luqmanmwinyi79535 жыл бұрын
Absolutely 2👍.. Coz ya yote wao viongozi wakihitaji wanaletewa ama wanatumia magari ya serekali kuwafikisha kokote. Na kpata chchte wanacho hitaji Ila ya yote In shaa allah M/mungu yuko pamoja nasi
@salmaelhinai8335 жыл бұрын
Allah atawafanyia wepesi
@emmanueliemmanueli76005 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atatoa njia inshallah
@intisaarsaid68585 жыл бұрын
Kweli mie nna mchuuzi kaniambia anaacha kazi hio kashindwa sarikani wafikirieni wenzenu
@truthspeaker20624 жыл бұрын
Subhanallah Wanatia huruma wananchi .
@MAPETEE4 жыл бұрын
Nakuoneeni huru wazee wangu Hio ndio serekali ya Zanzibar Ah haya tuu Yana mwisho hayo
@mwanaz31105 жыл бұрын
Kazi ya Jecha na Babu Ali hiyo 2015!!
@hatimmohamed42995 жыл бұрын
Ilani ya ccm ni kuwapa wananchi umasikini.
@muslimusaidi61175 жыл бұрын
Hahahaha eti picha ccm bwana mapinduzi kweli
@hasanially92945 жыл бұрын
Allah awafanyie wepesi
@abdallahmohammed10825 жыл бұрын
Hizo ndio faida za serikali yetu
@mwanaidiramadhan39195 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@merasanam43055 жыл бұрын
Ba storo hongera kwa point
@jumamkalamba4829 Жыл бұрын
Allah asema vipi tuwe pamoja na makafiri watakapo tutawala ua kutushinda nguvu hatoangalia mikataba Wala ahadi Sasa maneno ndio hayo halafu mnasema serekali yenu ikiwaniyenu tulieni mtulake halimtapishi
Habib wangu mi sikuachi❤️❤️❤️ mi na wewe full upendo nakupenda
@fatmamohamed10995 жыл бұрын
mung atawafanyia wepec
@mwanaidiramadhan39195 жыл бұрын
Aamin
@omarisuleiman26115 жыл бұрын
Ndo maendeleo yenyew hayo miak 56 tok tupate uhur baad ya mapnduz, CCM oyeeeeeeee!!!!!!
@faridaali68505 жыл бұрын
Hiyo ndio siri kali ya ccm wanaona kutuua kwa mazombi hatumalizi sasa watuue kwa njaa ALLAH atufanyie wepec
@boblee78985 жыл бұрын
Znz government like brother K (kukurpuka)
@MohammedAli-xf5qn4 жыл бұрын
Kura zenu wenyew izo zimekupeleken ngalawa ....... ccm oyeeeeeeeee
@allymtumwa31385 жыл бұрын
tutaisoma namba kwely kwely mwaka huu mwakani tutapiga tena kura kwa ccm
@suleimansaid7695 жыл бұрын
Narejea Tena kura kwa CCM hayo ndo maendleo mabadiliko lazima vijana uchagzi unakuja tusiache kujitokeza tutapojaaliwa kufka na kura kwa CCM
@ahmeidyoung24105 жыл бұрын
Duh hatar sana
@salehkhamis30634 жыл бұрын
Yajayo yanafrahishaa vuteni subra mambo yatabadilika kwa uongoz wa mwinyi mtetez wa wanyonge
@ukhtyalpha13445 жыл бұрын
Allah hafanyi wepesi bila kuufaanya bila kuufanya wenyewe msiipe kura ccm hawana khabari wala kheri na nyie wao wako kwa matumbo yao tuu hebu sikieni msiwape kura hao hata moja wacheni waizidi kuiba hawana kuwajengea lolote kazi zao kudanganya hamkomi tuu wacheni hao machogo waliojazwa kwa makusudi na wao pia Allah awageuzia someni Bismlilah Rahman Rahiym kwa wingi kwa nia ya kuondolewa watawala madhalim hao wezi wa haki zetu Wazanzibari jamani Watanzania kwa jumlaabadiliko ya fanyeni nyie wenyewe kwanza na hao wabara wenzao waliowaleta kwa makusudi wapigeni vita kwa dua visomo nyirad kwa kumuelekea Allah kwa yaqini maana na wao wanatumiliwa kutudhulumu tu haki zetu eee mpaka mkuu wa polisi kutoka bara serikali nzima mijitu yenye asili ya bara mnadhani kweli watatutakia kheri sie Wazanzibari pia na kumuuasi MMungu kwa ushirikina na maasi yote alotukataza na msidanganywe kwa kufanyiwa lolote lile na serikali iloekwa madarakani na Ccm na MMungu atawatia adabu hao kwa dhulma zao Allah Kareem hana haraka
@mwalimumbukuzi72735 жыл бұрын
hayo ni qadari? ama jaje! Allah awape subira
@hamishamis99055 жыл бұрын
Nakumbuka znz tuliambiwa itakuwa Dubai ndo hii au !!!!
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
sasa vipi wengine wasema samaki wanauzwa mpaka siku ya pili wengine wasema samaki hamna hawa wafanya biashara wafirikiwe sana vyuma vimebana kweli
@mamyrylovemeagain24065 жыл бұрын
Ejamani ngalawa ni pwani ya starehe2 sio biashara polen 2020 iyo wapeni tena kura
@alizahranmohd40955 жыл бұрын
saiv tumehamia mazizini wanunuzi
@rashidomar27715 жыл бұрын
Kwenye mfumo wa kiuchumi,,mmoja anapoumia mwengine huwa ni fursa,,sisi wenyeji wa huku tunaomba wasiondoshwe,,wabaki tu,,,na wakiondoshwa ,,basi uharibifu ma mazingira utathminiwe,,
@الزنجباريعلي-ب4ذ5 жыл бұрын
naalfumbili ishirini endeleeni ivo ivo kuwapigia kura wasipo wadidimiza kabsaa
@khamisame47325 жыл бұрын
Daa nikweli iyo bandar mbaa sana maana km utapeleka chombo chako nakm utavuma upepo unakiuwa chombo chako chot pigen vit iyo Bandar mbaa sana
@makamemufadhil6275 жыл бұрын
Musiishi kwa mazoea mbona maisha yamekaba sote tu
@lenniefei67105 жыл бұрын
Cha msingi watu watoke kwenye muungano......mutalalama hadi nyute ziwatoke!
@mtotomzuri88215 жыл бұрын
Eti kweli tumejipanga na mara hii wataisoma ebooooo bonge la song yaani noma ili song hem subiri nilirejee tena Eti tumejipanga na mara hii wataisoma hhhhhhhhhhhhh
@faridaali68505 жыл бұрын
Wakiona sehemu watu wanapata ricki wanapatafutia sababu zisizokua na mcngi kuwahamisha
@aishaomar43185 жыл бұрын
Hii seri kali inaamua tu hawamshaur mtu. Mambo yao hawafkirii wananchi.
@mrfix65965 жыл бұрын
Nimegundua kitu, hapa watu wametengwa,
@khajumkhamis79105 жыл бұрын
Haaa bahamadiii
@jumamkalamba4829 Жыл бұрын
S
@hajiabdalla57725 жыл бұрын
Labda hao wanawake wenyewe wawe matapeli au hajielewi . Kwani hapo mwanzo huko makwao waliluwa hawakosi chakula .watu hawana pesa. Hata mukiwapeleka darajani mambo ndio hayo hayo
@tonysolomon28415 жыл бұрын
Bora uowe mtoto wa kitajiri kuliko kuowa mtoto wa kimasikini kisha ukampa maisha wallahi akitulia ataanza kukuudhi tu
@ismailjuma36925 жыл бұрын
nishawahi kufika hapo ngalawa wiki chache nilipokua znz kweli samaki ghali bora ata mtangani kipindi cha kaskaz
@hassankombo83735 жыл бұрын
Tulieni kwanza tunatengeza barabara maendeleo ni kidogo kidogo halafu tu nakuja huko basi halafu ukisha lala mika sema mapinduziiiiiiiiiiiiii halafu sema daimaaaaaaaaaaaaaaaa
@khajumkhamis79105 жыл бұрын
Tutawaowaaaaa
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
Usimuowe mumewangu tu🙌
@khajumkhamis79105 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 mnh kwan mwanamme aowana??
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
@@khajumkhamis7910 siumesema 👆
@khajumkhamis79105 жыл бұрын
@@zayyatiyussuf9566 mhnnn
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
@@khajumkhamis7910 😴kazungumze na shemejio👆
@masoudyrashidy90415 жыл бұрын
Kazi zao ni dhulma tuu
@mwakahassan87425 жыл бұрын
Nyie mnaosema tusiwape ccm ata km hupigia wao ccm haiondk madarakani abadani na hio ikiondok mnahis ndio maish yatabadilika au? Kubwa kuwaombea viongoz tu wawe na iman na wanachi wao bs
@khajumkhamis79105 жыл бұрын
Hali tete kote
@fatumamasudi21535 жыл бұрын
Mitihani lkn Allah atafungua njia inshaAllah subra ndio muhimu