Рет қаралды 278,693
"Tusinunue Ndege Kama Tunanunua Machungwa" - HECHE
Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, akichangia hoja inayohusu bajeti ya wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano iliyopo chini ya Waziri wake, Profesa Makame Mbarawa.
Mbunge Heche amesema hakuna mtu anapinga serikali kununua ndege au kufufua shirika la ndege la ATCL, isipokuwa ununuzi wa ndege hizo unatakiwa ufuate utaratibu na sio kununua kama vile yananunuliwa machungwa.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .