Pumzika kwa amani baba yetu Rais Ali Hassan Mwinyi. Tutakukumbuka daima. Umeondoka bila deni kwetu. Tunamahukuru Mungu kwa zawadi ya maisha yako kwetu. Pumzika kwa amani.
@user-wt5nc9cn7t4 ай бұрын
Mungu awaondolee adhabu ya kaburi ishallah
@lyrics_forum4 ай бұрын
Huyu Alikuwa Kiongozi mzuri sana, Mkarimu, Mpole, Hana Makuu. Mungu Amsamehe Dhambi zake na Ampe Pumziko la Milele kwa Amani.
@diyembarak55064 ай бұрын
Amiin
@yahyagonga4 ай бұрын
Amiin
@user-rf5zf2xc9h4 ай бұрын
Ameen summa Ameen
@user-ds6me1eh7n4 ай бұрын
Amin ni kweli kabisa ni mzury aana❤❤
@kristopapaapaulo8114 ай бұрын
Huyu hakuwa na dhambi hata moja
@zainababdullsadik12474 ай бұрын
😭😭😭pumzikaa bb Allah apelekee safari yako iwee nyepesi ukabiziwee kitabu chako kwa mkono wakulia tunakupenda Allah kaupenda zaidi ameen
@zuberisalum20044 ай бұрын
Mzeee mwinyi akuwa mnafiki alimpenda sana magufur
@zulfawaithera54794 ай бұрын
Kweli kabisa dada nakuunga mkono nikiwa mkenya
@Diana-lf3nr4 ай бұрын
Kabisa kweli kabisa yaani
@edwardrigha67824 ай бұрын
Kuna tatizo kumpenda kiongozi jasiri na mzalendo kama JPM?
@meshackmanofgod81514 ай бұрын
si ndio alisema watuwema hawafi? kauli aliyomwambia rais samia? nawatu wakatafsiri kua inamaana alimuongelea magufuli au lkn yote kwayote mungu ampe rehemazake huko aendako ameen
@gracemtonga32634 ай бұрын
@@meshackmanofgod8151Yusuf makamba ndo aliropoka kwenye mkutano mkuu wa CCM, mpa Samia akamwombea radhi. Madaraka yanalevya plus roho mbaya.
@deniskimenyi8994 ай бұрын
Wewe ni hadhi nzuri ❤ Ruksa
@duncanasiligwa71814 ай бұрын
Lala salama mzee Mwinyi, na mzee Magufuli
@htx18734 ай бұрын
My favorite ❤2 Presidents ( MWINYI & MAGUFULI ) I have pure love for them R .I.P to them.
@wema36194 ай бұрын
Mimi Pia Ndio Wapendwa Wangu Hao 💔🕊️
@janethpallangyo38554 ай бұрын
@wema3619 Hata mimi❤😢😢
@ameenaameena4224 ай бұрын
Vizur vimeondoka
@hidayaswai31194 ай бұрын
2M
@adelinelyaruu30364 ай бұрын
Baba wa Taifa❤❤❤
@denismaringo27294 ай бұрын
"Maisha ni hadithi tu". RIP mzee wetu AHM "Ruksa". Truly he was a leader. Very humble. Pumzika pema peponi.
@adelinelyaruu30364 ай бұрын
Amina❤❤❤
@cloudinhoabdi8684 ай бұрын
They were happily talking about death and what even hurts me most is that both are now gone. May God protect our leaders and grant them long life. We Kenyans are with you during this difficult time
@mohamedabdul98954 ай бұрын
Thnx
@muhammadmuhammad50434 ай бұрын
Innalilahi Wainnaailehi Rajiounn Sote Tutarudi Kwa Allah Nikilamtu Atalipwa Alicho Kichuma... Subhallah Allah Tustiri Tujaaliye Tuwe Wenye Kujakuzungumziwa Vizuri Na Mazuri Yarabiy Yarabiy Yarabiy.. Subhallah Allah Akujaaliye Yarabiy...
@janviersentama24374 ай бұрын
Poleni ndugu watanzania. Tena pole sana kwa Mama Mwinyi na watoto.
@Fesary4 ай бұрын
Asante wewe wa nchi gan ?
@janviersentama24374 ай бұрын
Rwanda@@Fesary
@VenerandaKundi-ph4hg4 ай бұрын
Mwanga wa milele umamwangazie marehemu mzee mwinyi apumuzike kwa amani amina vita umevipga vizuri mwendo umeumaliza
@mwajumashaibuomary73634 ай бұрын
Asante sana ayo kwa kutupa ujumbe huu ,historia itabaki kuwa historia ,hakika Asante sana
@vincentchizua31964 ай бұрын
Pumzika kwa amani mzee wetu
@adelinelyaruu30364 ай бұрын
Amina❤❤❤
@rehemakitonge38334 ай бұрын
Amin Yarrab 😢
@ShabaniOnyango-gm3vz4 ай бұрын
Mzee umemaliza mwendo salama mungu amekupa neema ya kuishi miaka mingi hatuna Cha kukudai bwana ametoa na bwana ametwaaah
@halemmmbarak164 ай бұрын
Mzee Mwinyi na mm nakuusudu ww sana. Mungu akupe kauli thabit ,upokee kitabu chako kwa mkono wa kulia na ajalie kaburi lako liwe baridi kwako na akuruzuku pepo bila hisabu.
@paulinakiria79184 ай бұрын
Mungu akakupunguzie adhabu ya kaburi Mzee wetu Baba yetu kipenzi Cha watu
@trophywilson72114 ай бұрын
Bora yeye ameula hasa kuliko Magufuli
@user-vw5bn4pf4y4 ай бұрын
Hapa akili ndogo ndo ilipofikia
@jenyyusuph49734 ай бұрын
Huo ni kweli hata mm nafikilia kama magufuli angekua kastaafu angalau Hata miaka 10 ilivyo pita hii nchi ingekua ya kushangaza tungepiga hata sana
@jumas.sendekwa27884 ай бұрын
Mnampangia Mungu muda wa kumchukua kiumbe wake? @@jenyyusuph4973
@maftahmusa95134 ай бұрын
MUNGU NDIO MPANGAJI
@chomasongidion60474 ай бұрын
Alizurumiiwa Nafsi yake,ila wote tutakufa
@khamischigwado41734 ай бұрын
Two great legends...RIP
@abbymwessamachumu86264 ай бұрын
Tumewapoza Marais wetu wazuri Sana na wenye weledi.M/mungu awalaze mahali pema peponi 🤲🤲🤲 wazee wetu
@user-ft5rn4wo6x4 ай бұрын
Allah amrehemu mzee ruksa 🙏
@jaymwinyi69574 ай бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun poleni kwa msiba familia jamaa na marafiki na watanzania
@joashimbwelwa60304 ай бұрын
RIP To them, May Almighty God by his Mightier hand keeping their souls in a good place 🛐🛐🛐🧎🧎🧎🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-bq8ny7tt5z4 ай бұрын
Innalillah wa inailaih rajiun kazi ya Allah haina makosa.
@ramsojimmykelly33794 ай бұрын
Kazi ya allah aina makosa pumzika kwa amani mzee ruksa
@consolathambuya22394 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awape pumziko la milele msalimie sana mzalendo na mwanamwema wa kweli Magufuli tunamkumbuka sana 😢🙏
@musasudiyeya27254 ай бұрын
Rest in peace my brother in Islam Kaka Mkubwa Ali Hassan Mwinyi. Allahu maghfir lahu warahamuhu Wasikanahu fijana
@user-pu6pr5jt4n4 ай бұрын
😢😢😢😢😢MWINYI NA MAGUFUL. ALLAH AWAJALIE PEPO YA JUU INSHALLAH ❤❤
@user-uw1fs5mj9l4 ай бұрын
Napendaga Sana hayo maneno,,maisha ni hadidhi tuu,ingawa sio wote wanakuelewa
@laylayl51664 ай бұрын
Poleni Sana familia ya. Mzee. Mwinyi mwenyezi mungu amjaalie janaat firdaus iwe ndio makazi yako yaarab safari ya wotee hiyoo
@rasjamal98544 ай бұрын
R I P Both of you sleep tight in peace
@Waberoya4 ай бұрын
❤❤❤ you are the good person
@user-fb6ib6iq5n4 ай бұрын
Hekima ya Wazee,humbled Himself. R.I.P the race well done
@user-ef9xt3qy8f4 ай бұрын
Allah akujalie kaburi lako liwe miongoni mwa viwanja vya peponi
@azizimangara90244 ай бұрын
Amin amin
@mshengeli4 ай бұрын
aaamin
@babashuayb49264 ай бұрын
Rest in peace legends
@abdilahjuma24934 ай бұрын
ALLAH, akuzidishie amali mzee wetu, siku ya umlikhiyama uingie peponi
@ahmadmohd80774 ай бұрын
NAkupenda sana mzee na babu w2
@user-us3dr9ry6s4 ай бұрын
Babuu wa mababuu wewe ni jicho la wa tz binafsi nakupend tunkupenda. Great egmaree nenda karuandalie makao. Rais wetu tunajua we ni mhusudu wetu. Nakupenda baba Mwinyi nakupenda ❤
@abdullahibaris71824 ай бұрын
INNA NILLAH WA INA ILEYHI RAJAIOON ALLAH hu AKBAR io ni dalili ya muumin ki imani pia ha nayo ALLAH RAHMA ❤
@boimanda824 ай бұрын
R.i.p.mzee wetu ruksa😢
@richardzakaria86694 ай бұрын
Ujumbe uliosheheni mwongozo mzima wa maisha ya mwanadamu Punzika salama baba yetu Ali Hassan Mwinyi Mungu akupunzishe Salama
@Aida-qh3jq4 ай бұрын
Inalilah wainalilah rajighun poleni sana ndugu zangu mwenyez mungu ampe kauli dhabiti
@rugendorunene5454 ай бұрын
One of the best... Alikuwa Raisi wa awamu ya Pili, ila Raisi mzuri jameni kwa watanzania!
@user-ny1wh3ue8n4 ай бұрын
Daima tutaku kumbuka babu yetu mungu kaku penda zaidi🎉
@user-xf9ns8rl1n4 ай бұрын
I always admired you Mr President. RIP 🙏🏿
@sekelamwangomo54584 ай бұрын
Humble man ever❤
@kasaki_Selemani4 ай бұрын
Huu hapa wimbo Maalm wa kumuenzi mzee wetu Mwinyi
@victoriakiwanuka54284 ай бұрын
Rest In Peace President Mwinyi and Magufuri 🙏🙏
@mwajohari43854 ай бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun ,,Allah akupe qauli hhaabity,, Masha Allah,,maneno ya hekma japo na uzee wake, mimejifunza kitu
@marychilunda3774 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Baba yetu. Kweli maisha yetu ni hadithi tu
@dr.erickjmazyala89054 ай бұрын
Wow! Rest in eternal peace our retired president ! We'll truly miss you dad😭! I thank God for your life 🙏!
@abrahammnjama79624 ай бұрын
Rambirambi zangu Kwa mama wa taifa mhe Samia,mama mwinyi na familia yote ya mheshimiwa raisi hayati mwinyi.tunawaombea mungu awavute machozi.🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
@mgonasipapune13834 ай бұрын
Rest in peace Mzee wetu
@fatimasaid57954 ай бұрын
Condoléances et toute la famille
@mohamedabdallah99184 ай бұрын
Maneno kuntu Mzee wa Rukhsa Allah akupunguzie adhabu ya kabri na akusamehe makosa yako dua.
@PeterObiri-wj1iz4 ай бұрын
Nyakati ni za mwisho na zilianza kitambo, Mzee matendo yako mazuri au mabaya ndio yatakufuata katika ile siku ya ufufuo . You played your role sasa ngojea taji
@SuddyAlly4 ай бұрын
Puzika kwa amani mzee wetu mbele yako nyumaa yetu 😢😢😢
@abasingaruka18724 ай бұрын
Asnte, Mzee kwa hotuba yako mambo mengi tuliyaona kwa wale walioona, Mungu akuweke pema uungane na wenzako waliotangulia, Amina
@alfoncemanda7444 ай бұрын
Maneno ya hekima
@lingsonKasomwa-ho1tf4 ай бұрын
Pole sana familia na taifa tunahuzunika pamoja nanyi. Mzee wetu pumzika kwa amani tutakutana ahera Mungu atakapopenda.
@epifaniamilinga28484 ай бұрын
Mnyenyekevu,mpenda Kiswahili,mchekeshani.hana uroho was madaraka
@fatumasophu58554 ай бұрын
Wote hao marehemu inallilah waina ilayhi rajeeun ya Allah tujalie mwisho mwema
@user-oy6qp7rp5m4 ай бұрын
Innalillah wainnailah rajiun. Pumzika kwa aman mungu akuepushe na adhabu za kabur
@zerochanneltanzania37974 ай бұрын
This is pure heaven. Seen it witnessed it.
@joshuason5574 ай бұрын
Kweli maisha ni hadithi tuuu ,,acha Sasa tukuwe hadithi nzuli 👏🙏RIP Mzee Hassan
@alfinmbilinyi59854 ай бұрын
Pole sana Tanzania kwa msiba mzito nakumbuka mzee Mwinyi kule songea nilimpenda sana jinsi alivyokuwa akiongea.Full respect mzee mwinyi hatuta kusahau RIP Mwamba wa Tanzania.
@fadhilmshamba30774 ай бұрын
Mungu awape subira wafiwa na Tanzania kwa ujumla wetu. INNALILAHI WAINA ILAYHIM RAJIUUNA.
@user-dq3ik8gv7g4 ай бұрын
Rest in peace mzee wetu. 🇰🇪
@pauleranga26214 ай бұрын
Alitutoa kwenye ukale wa kugambania bidhaa madukani. Mwenyezi Mungu amsafishie njia ya kwenda Mbinguni.
😢😢😢 Allah akupunguzie adhabu ya kaburi na akupe pumziko la amani
@aliymajala56784 ай бұрын
R.i.p mzee wetu pumzika kwa aman mzee ruksa sote njia yetu moja 😥😢😥🇹🇿🇹🇿🙏
@mesaidikazungu42994 ай бұрын
Innalilahi Waina ilayhi rajiun😢😢
@MegaKarume4 ай бұрын
Pumzika kwa amani Mzee Ruksa 😢😢😢
@user-ro7xj7yy4z4 ай бұрын
Poleni WaTanzania Wenzangu Wote Mungu Awape Nguvu 6l
@johnkredo4 ай бұрын
Pumzika kwa Amani mzee wetu...
@mjukuuhotelitv77364 ай бұрын
Daaah uliongea point sana mzee wetu mpumzike kwa aman jmn mungu awapunguzie adhabu ya Kaburi Magufuli & Mwinyi😢😢😢
@abdifaraji28834 ай бұрын
Umemsahau kumwombea Nyerere
@amourmtungo6234 ай бұрын
Wote hawa wamekuwa hadithi nzuri kusema la haki. Mungu aiweke roho yake pema peponi amin 🤲
@hizzersamwel28384 ай бұрын
Kwani Skauti ni nini mbona hawa wakubwa wanaipenda sana
@julianapeter98934 ай бұрын
jamani mbona sierewi mbona viongozi wote wenye ekima wanakufa mungu tusadie
@user-vo8jg1hc3y4 ай бұрын
Asante baba kwa ujumbe mzuri hakika tutakukumbuka upumzike kwa amani
@BahatiSunga-yk9qf4 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Baba
@user-ot5oh3hm8v4 ай бұрын
Habari 🤚ndugu na wa dada wenzangu wa nchi ya Tanzania 🤝 Hongera kwa rais mwinyi 🙋ukitenda mema kuna baraka za Mungu 🌱🇰🇪
@mohamedabdul98954 ай бұрын
Shukrn ndugu tupo pamoja
@rashidhtibangayukatibangayuka4 ай бұрын
Allahummaghafilau Warhammer wa afuanihu waskunhu filjanna
@user-gp5nr2bs7v4 ай бұрын
Mungu,ailaze,roho,ya,raise,wetu,Mahal,pema,pepon
@user-mg9fg6vc9w4 ай бұрын
Aisee! Wakweli wapo wallah Tena Allah Ampe Mwisho Mwema huko aendako🤲🏿
@LilianNyakato-hp6wx4 ай бұрын
😢😢😢😢
@user-ik5pw9ju8h4 ай бұрын
R.i.p president Ally Hassan Mwinyi ❤❤
@annefridakisesa49104 ай бұрын
We asked you to grace the opening of Angaza, to add your strong voice as we struggled to combat HIV and AIDS. Ukaja, ukasema nasi, ukawa mfano. Kwa ujio Wako vijana wakaja kupima, kuchenki hali zao na kupata taarifa sahihi. Upumzike kwa amani. Go in peace, Mheshimiwa raid mstaafu, Ali Hassan Mwinyi. 🙏🌹
@doiabel37934 ай бұрын
Pumzika kwa Aman mhe Rais msitaafu Ali Hassan mwinyi
@rasjamal98544 ай бұрын
❤
@HanschenAdvisory4 ай бұрын
Good hear Forever❤
@sammymudambo92184 ай бұрын
Magufuli was the greatest president in entire Africa .I really miss magufuli.
@mwajumashaibuomary73634 ай бұрын
Mungu awape pumziko jema ,magufuli na mwinyi
@lameckmnanka93304 ай бұрын
Baba pumzika kwa Aman Rahis wetu Ali Hassan mwinyi mungu akutunze uendako
@Waberoya4 ай бұрын
RIP Mwinyi, greetings to JPM
@FleurieNahimana-zh2se4 ай бұрын
😘
@jitambitv43964 ай бұрын
R.I.P Mzee wetu japo mabaya uliyafanya kipindi chako But Mungu ni mwema