MBOSSO: MIMI NA MARTHA HATUKUWAHI KUGOMBANA/ FAMILIA YAKE INANITAMBUA KAMA BABA WA MTOTO WAKE #wasafi #refresh
Пікірлер: 421
@trizahwariara5974 жыл бұрын
The way mbosso is talking surely he is telling the truth and still he is hurt l wonder why martha family saying that he is not there son in law and they did have a kid with there daughter but sooner or later the truth will come out Wow my condolences may she Rest In Peace
@nellymatalanga50334 жыл бұрын
Since thy were both upcoming stars thy had to protect their kid.but wazazi saa zingine wana udhi looks like whn they had a relationship mbosso had nothing maskini. He decided to say mtoto hadharani saa hii ndio isije leta shida or those parents my refuse him access to his son .may matha rest in peace
@paulebby15524 жыл бұрын
Kinge kizingatiwe itifaki
@naimamwaibanje1564 жыл бұрын
Yes, it seems quite Mbosso, he's telling the truth, I don't know why Martha's sisters are rejecting him
@neemalyimo14194 жыл бұрын
Pole inauma Sana
@hopechidera4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akufariji na kukutia nguvu Mbosso,pumzika kwa amani Martha,Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe🙏🏽
@mustakimabdalah60684 жыл бұрын
mambo
@mustakimabdalah60684 жыл бұрын
mustakim
@digadigazungu18754 жыл бұрын
Pole mtu wangu mbosso
@stevewanga9574 жыл бұрын
Wale wajanja walielewa wako na mtoto... RIP
@Lizsimaloi4 жыл бұрын
Mbosso ..I love ur songs may God gv u strength..support ur son...he needs u ..God will open the way💔❣
@imbugwameltietaz83694 жыл бұрын
Pole sana mboso, I understand and feel you. Take heart Mr.
@tatubenedikto21373 жыл бұрын
Pole Sana mwambaa😭😭
@saulisichone73944 жыл бұрын
Pole Mdogo wangu
@zennakailo81064 жыл бұрын
Pole bro 😭😭😭😭 Daaaaa inauma Sana
@mauwapremice78504 жыл бұрын
Inna lillahi wainalillahi rajiun allah akuongoze katika safari yako yamilele marth daah 😰
@janewashe72764 жыл бұрын
Pole sana Mbosso hakuna kitu kinamshinda Mungu,mtt atakujua tu,Rip Martha
@dahbossqueentalkshow37784 жыл бұрын
Pole sana Mbosso R.i.p Martha
@judithmelvinealuchio89684 жыл бұрын
siwamajuwa alisema ukweli ya kwamba urafiki yao hakuna atakaye watenganisha kweli jamani walipendana sana mapenzi inasiri sana special Kwa wenye wanamipango za muhimu kuhusu maisha yao ya baadae special ndoa ila kifo hakibishi na hicho ndio pigo Kali pole sana mboso be strong may her soul rest in antarnal place 🙏
@ramadhanimam63234 жыл бұрын
Judithmelvine Aluchio
@fatimamamlo80414 жыл бұрын
Mie sawa alivofanyiwa mboss liwesomo kwawengine maana Hamisa mobeto alisema mtoto wa mond mukamuona hanaakili hawezi kula nakipofu kisa hakuficha siri mtazani mmejiumba wenyewe leo mnakua kigeugeu fyuuuu mkome siku nyingine .
@fisadikiwembe97874 жыл бұрын
نازوكيه وكذا ndio sawa sawa kbsaa
@remiomar71544 жыл бұрын
Tofauti ilikuwa dini alafu wazazi walimkataa mbosso kwakuwa alikuwa msanii ambaye anasimamiwa hawakujuwa kuwa mungu huweza kumbadilishia mwanadamu maisha sasa yota inagaa kikubwa tunao subiri kumuona mtoto hebu tujuane
@neemaa.mollel64864 жыл бұрын
Wazazi wa Martha hakunaga siri duniani jaman muachrni mtoto amjue baba yake na awe huru.pumzika kwa amani Martha kipenzi
@herifredrickson20404 жыл бұрын
Huyu dada simfaham vizuri ktk tasinia hyo ya uchekeshaji but r.i.p matha safari ni yetu sote.
@winnyandrea5554 жыл бұрын
Heri Fredrickson Mimi binafsi nimemjua kipitia KZbin apumzike kwa Amani
@aloycemasele72364 жыл бұрын
Kama kuna rfk hapendi kwenda kanisani block! Unaijua hiyo clip?
@georgesimomgeleka22084 жыл бұрын
Sio peke yako mboso Mimi nakuelewa
@royalprincess94354 жыл бұрын
No1
@zabronmbeni1864 жыл бұрын
jamani nimeelewa kuwa tofauti zao ilikuwa dini
@shamiramussin92544 жыл бұрын
Ulipoona na mimi nmeona hapo hapo Marthar nmuelewa sna alikubar kumficha mtoto ili asiulizwe bba yake nan! Hvyo alkubali kuifcha damu yake ili wanao muheshimu kiimani waendelee kumu heshimu
@peterkyese45164 жыл бұрын
@@shamiramussin9254 umeona eeeh dininndo ilikuwa utofaut mkubwa kwaooo Martha kwao walikuwa wakristo Sanaa yaani indeeply
@herikaniugu4 жыл бұрын
mkoloni katualibia, dini ni usenge sana
@mohamedizabura33214 жыл бұрын
Daaah mipia Dem wangu shida ilikua ni dini mwisho wasiku akaolewa ila moyoni mwake nipo Mimi daah😥r.i.p matha
@dullabritish32774 жыл бұрын
@@herikaniugu una maana gani kaka?
@mdmubrak81524 жыл бұрын
Polesan mboss unaonyesha kabisa unaumia sana
@mburababilon44354 жыл бұрын
Ooh mae nimoja ya haki ya binadamu
@mwanaharabu824 жыл бұрын
Pole Sana Mbosso
@mauwapremice78504 жыл бұрын
Poleni sana familia mbosso na mwanao ila inauma sana. masikini 😭
@saidmo83924 жыл бұрын
Kauli ya urafiki wetu hautoisha unamanisha hata wakigombana kuna kitu kinawaunganisha je ni kitu gani hicho akili kichwani mwako
@prettypretty97454 жыл бұрын
Hata mie nimeelewa
@nvmby4 жыл бұрын
Pole sana mbosso kwa mahumivu makali
@Kijana-wa-Tanzania4 жыл бұрын
No. 2
@michaelkessy57404 жыл бұрын
Inavyo onekana ni kwamba... Alimpa mimba wakati mbosso maisha yake yalikuwa sio mazuri ndugu wakaamua kumtenga Mbosso KWANZIA hapo..... Ndio maana ikawa ni siri
@lydiaakimana79884 жыл бұрын
michael kessy ni kweli kabisa na unaona alivyokuwa anaongea kwenye hiyo interview walikuwa wanampango mkubwa kwenye maisha yao ya mbele
@visittanzania89984 жыл бұрын
Hapo ni dini tu bros
@bintykhana9244 жыл бұрын
Tatizo dini hapo wala sio uchumi cos mbosso alikuwa tayari yamoto band n by that time ilikuwa inahit
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
Hap sio Hel ni din
@fatmax87104 жыл бұрын
@@khadijakhadija6212 jamani dida ushaamka saivi Leo ijumaa ivo au ndio hapa kazi tu hakuna kulala
@lynnanderson60994 жыл бұрын
So sad...pole sana Mbosso...Martha, R. I. P.
@hamadisaid48024 жыл бұрын
Wanaosema mboso anatafuta kiki kwa lipi sasa na ashatisua...na the way mboso anaongea ni kweli maskini mtoto ndio ataumia sana
@irenempimbe25194 жыл бұрын
na atafte kiki atake nin Sasa da
@redscorpionboy21894 жыл бұрын
Mtoto wa uzinifu anafahari gani ati mtoto wetu !
@jordanjonas49214 жыл бұрын
Daaaah yan mboso kapoa duuuh pole
@delukemusic55394 жыл бұрын
Pole Sana Bwana mbosso Mungu akutie nguvu
@kondegangfans73684 жыл бұрын
Khan pole sana 🙏
@mariabahati12644 жыл бұрын
Pole Mboso twajua kua tofauti ni dini twakubali anyway yenyewe tunaweza kusema ni majaaliwa
@djmill_tz4 жыл бұрын
pole broo
@latfahaule1274 жыл бұрын
Duh hili nalo gumu pole sana mbosso namungu amlaze mahala pema peponi Dada yetu Kipenzi MARTHA
@margaretgona28364 жыл бұрын
Hata nikikuangalia mbosso unamajonzi sana wallah...ila yote ni mipango ya mungu.....mola akupe subra bro kipindi hichi kigumu.🙏
@sinyoritaqueen74354 жыл бұрын
Mbosso kweli pole unasema nauruma Sana 😥😥😥😥😭
@francismatuta19844 жыл бұрын
Mwenyewe kaongea kuwa urafiki wao hautoisha wala kukatika.....haya wew unayejiita pacha unabisha,lol
@mourinebey_kenya70274 жыл бұрын
Francis Matuta ndo hapo sasa lile dunde leusi limenisinya sana
@aminahema97144 жыл бұрын
@@mourinebey_kenya7027 🤣🤣🤣🤣🤣acha nicheke mm hta ckutaka kumuona
@sifunimsungu33703 жыл бұрын
Daaaa mbosso kwa ujumbe huo hadi machoz yamenitoka
@jumalove26314 жыл бұрын
Pole mboso khan
@KladesKladseee4 жыл бұрын
pole sana mbosso
@ibrahimkhamis79634 жыл бұрын
Wa elfu 90 leo
@andrewjuma68244 жыл бұрын
Mungu aiweke roho ya marehem mahali pema peponi Amen
@MA-kh2lr4 жыл бұрын
Mbosso alisema kuwa kulkua kuna maneno kws hyo family.. Ni kama hawakutaka Martha awe na Mbosso. Na Alivosema kuwa Martha alisema wasitangaze kama mtoto ni wake. Na hawa walikua pamoja muda wa nyuma. Ila sababu ya familia wakaamua kutengana vizuri lakini kichinichini wako pamoja na wanalea mtt wao vizuri. Ifanywe DNA tuuuu ukweli ujulikane. 😁
@rosechild50214 жыл бұрын
I can feel like mbosso is telling the truth and why would he lie?
@mohaz6124 жыл бұрын
Pole mbosso
@jemsisakala25424 жыл бұрын
Pole sana mboso
@khalfantvmansour87654 жыл бұрын
Rip😢
@siamejerry92394 жыл бұрын
My condolences mbosso
@marriammarango75324 жыл бұрын
Pole sanah bro
@brendaguez44864 жыл бұрын
mazto ayoo👐👐
@esterkimario11264 жыл бұрын
pole sana mbosso kuna familia za ivo hata kaka angu yalimkuta hayo had na wa leo mtt amjui baba ake
@OfficialChiver4 жыл бұрын
Pole Khan
@judymukui71714 жыл бұрын
Take heart mbosso, rip martha
@saidahj25434 жыл бұрын
Pole mbosso be strong
@KaguttaEdson4 жыл бұрын
Kiukweli hii tabia ya wazazi kufanya siri inatesa sana watoto, najua hili maana mtu wangu wa karibu liliwahi mtokea najua ubaya wake. Sijui kwanini wazazi wanahofu wakati washazaa tatizo la kutokukubali matokeo ndo hili. R.I.P Martha
@saitotisaitoti67344 жыл бұрын
Wengine wanaogopa wazazi wakali
@yustarmakwawa89234 жыл бұрын
Nikweli auwezi kuiaha kwakua wana mtoto
@aloycemasele72364 жыл бұрын
Mmh, sina la kusema, mm mmojawapo
@naimahhussein84304 жыл бұрын
Daaaah,,poleee san mboso rest in peace mather
@nereahwakesho32214 жыл бұрын
Mbosso jikaze wakikupa mtoto lea, wakikatalia achana nae watalea. Usivutane nao kabisa Achia Mungu,
@officialmalika15304 жыл бұрын
pole sana mboso naelewa utakuwa katika wakati mgumu
@alimashaban63184 жыл бұрын
mbosso mbosso mbosso unaniliza jamani,pole sana kwa kukubali kuificha siri ya mtoto hukujuwa angekutangulia mzazi mwenzako na kukuachia balaa😭😭😭pole sana MUNGU akuzidishie nguvu na ujasiri uweze kumpata mtoto wako😭
@selinacharles11194 жыл бұрын
Pole sana
@patriciamrigo8864 жыл бұрын
R I P, pole mboso inauma
@daprince20604 жыл бұрын
pole san mboss kwa pigo ulilo pata kwa sasa mzee
@tatoorashedi17873 жыл бұрын
Pole sana kijana wangu
@dalianakerefu4904 жыл бұрын
Pole mboso ndo ukubwa ndo Dunia ilivo mungu akupe hekma kama mtoto ni wako utampata tu mungu ananguvu kuliko mwana damu afanye wepesi katika hili yatapita tu
@robertmalasi2594 жыл бұрын
Daaa pole sana
@zabibunduwimana46124 жыл бұрын
Innalillah wa Innalillah wa Rajun pole sana kaka
@zahramauba48214 жыл бұрын
Mbosso mungu akupe nguvu na imani
@LUPPER.4 жыл бұрын
Mungu amlaze Martha mahali pema peponi.
@huguettenshid62302 жыл бұрын
Pole kwa familia la Martha
@anitaanita97344 жыл бұрын
Daah naiwe funzo kwa wengine yani inauma kweli pole sana kaka
@irenebeatus94814 жыл бұрын
Siri sio jambo zuri tunajifunza
@marinamooh40554 жыл бұрын
So Sad R.I.P Martha Mmmhh Mtihani Wallah
@abdallahaswillah52254 жыл бұрын
pole dogo Mungu akupe subira
@hayasaboyofficalmusic29024 жыл бұрын
Dah pole bro
@blaiseally63064 жыл бұрын
RIP Martha, and sorry mbosso
@rehemakatabi81374 жыл бұрын
Familia inataka heshima ya kanisa ili marehemu azikwe maana makanisa mengine yanawatenga waliozaa kabla ya ndoa...Eee Mungu mrehebu huyu bint
@ireneernest97294 жыл бұрын
Rehema Katabi kweli kabisa
@adolphinadaud474 жыл бұрын
Kweli kabisa dd
@juniorsmart24834 жыл бұрын
Wamtenge kama wao kinadani?hakuna kitu kama hicho mungu ndo huhukumu kwa vyote
@rehemakatabi81374 жыл бұрын
@@juniorsmart2483 ofcoz Mungu ndio mtoaji hukumu lkn wapo wanadam wamejipa mamlaka yaani mpk unashangaa
@LUPPER.4 жыл бұрын
Makanisa gani hayo? Nimekusikia Wewe kwanza... Pia Wewe dini gani?
@hamismkongwe17694 жыл бұрын
Huyo dada yake hayuko sawa ni kama amepoteza dira mboso mungu ampe pumziko la milele
@huddahmunny54824 жыл бұрын
Guys do you recall there was this time when mbosso showed up with two kids (boys) bt he didn't mentioned their mothers' name bt gave us a hint that one's mom was a Kenyan n the other was Tanzanian
@sheisgodorait57214 жыл бұрын
Pole mbosso uko katika wakati mgumu Kwa sasa
@saudrashid24764 жыл бұрын
😭😭😭😭😭🙏Inalilh wainalilah lajiuni
@samsonkegokora55234 жыл бұрын
I know of one thing in loved ones!!! That once in love it is very hard to disclose your privacy to everyone....... Ishanitokea... So kosa lao. Hii ni safari ya maisha.. Bwana mdogo pole sana. Najua wataongea mengi... Piga moyo konde
@mynahassan56374 жыл бұрын
Poleni Sana 🙏🙏 🙏
@MaureenChepkirui564 жыл бұрын
Rip
@manenoanthonymachaku6984 жыл бұрын
Jmn inamana wasifu wa Marehem hua unaandikwa uongo kweri,,mana wasifu unasema Matha ameacha wazazi na ndugu hakuwai kuzaaa,,,na ndugu wa marehem wanasema mdogo wao hakuwai kushika mimba wala kuzaaa hiii imekaaje??? mana yule Dada alikua msaniii bro ucje kua ulikua unatunza mtoto wa dadaake Matha ulikua unadandazwa ki bongobongo!!!
@emmanuelyjoseph29574 жыл бұрын
Daaah mboss usinifanyee nirie kisa maneno yakoo
@omaryhabibu87254 жыл бұрын
Kunamakabila Tanzania ya ajabu sana mbosso mdogowangu iyo famiria inamatatizo wanaweka zengwe mbaka kwa mtoto kama damu yako itakuja tuu sio wanavokutusi kwamba unatafuta kiki
@nancyruoruo10254 жыл бұрын
Nimelilia mtoto wa mbosso apate haki ya babake
@esterbegina10224 жыл бұрын
Pole mwaya
@bintykhana9244 жыл бұрын
Pole sana your voice tells your sorrow
@marrionwatima7974 жыл бұрын
He's hurting u can tell by the voice, GOD is there for u mbosso.
@salhatkarimu54344 жыл бұрын
Mimi najua hapo familia inapinga inatokana na dini tofauti ndo maana naomba dua kila siku nisiwe na mausiano ya dini tofauti mtihan sana
@angelalfred81284 жыл бұрын
Mmm mbosso awezi kutafuta Kiki kwa msiba huo niuongo ameumia anaonesha thahirii familia msifanyie hivyo
@listentoquranandmawaidhach49924 жыл бұрын
Innalillahi waina ileyhi rajiun pole sana Mbosso na familia ya Martha lala Salama Martha ulikuwa mcheshi
@agnesijohn30794 жыл бұрын
Mungu akutie. Moyo
@maryamm77654 жыл бұрын
Alafu dada zake wasema watafuta kiki dah
@sadruhsnowwhite46794 жыл бұрын
Mbosso hawezi kuonqopea media bwana mtot wamepata wazazi acheni ujinqa
@catherinejiji82384 жыл бұрын
hey am New here.... mimi mkenya... yale nitasema mungu amlaze mahali pema
@yusramohamed40944 жыл бұрын
May her soul Rest in peace
@bwerumaster66914 жыл бұрын
Interviewer next time kaa level moja na unayemhoji, professionally watazamaji hawatakiwi kuona tundu za pua!!
@mariamnamwa1884 жыл бұрын
Umeonae
@mropeclassic1664 жыл бұрын
Sasa mbona munafeli, Dada wa marehemu anasema hawamjui mbosso na hajazaa na mbosso 🤔🤔🤔
I don't know what to say coz this is all messed up. Mbosso says this Martha's family saying otherwise so does that mean she was using someone else's kids to exploit mbosso🤔🤔🤔🤔 happened alot in African society but can't judge true will always come out soon or later. RIP
@faizadulla86634 жыл бұрын
Sure it looks like that
@janenguru67234 жыл бұрын
Could be...I like your thinking. Mbosso really looks lost in this situation. Secrets are bad
@annitabobo54384 жыл бұрын
@@janenguru6723 Very bad!
@yusufismail31164 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@yusufismail31164 жыл бұрын
Try to describe it in Swahili language so that majority can understand your message " umegusa ukweli hasa ' hata mbosso mwenyew yuko gizani .
@idarousphotography33024 жыл бұрын
R.I.P MARTHA 😭😭😭
@lidialichad93944 жыл бұрын
R. I. p😭😭
@husseinhaidhurojr54694 жыл бұрын
Pole mbosso hizo ndio tofaut za dini uone hasara zake hata mm nishawahi sailitiwa kisa din nahaswa ukiwa Muslim tatizo hawa wenzetu wanavyotuchkulia take care hill funzo kwa wengi unanyimwa damu yako Leo hiv hivi halaf kwa uchagani.imekula kwakoooooo