#ZaNdaaani

  Рет қаралды 299,295

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 112
@johnndabazi2469
@johnndabazi2469 Жыл бұрын
Umetisha sana mzee wa za ndanii kabsaaa
@godfreyndulu1764
@godfreyndulu1764 Жыл бұрын
Namkubali sana mzee wa kudere 🙌🏾🙌🏾
@donmoofmmawaidhaaudio4508
@donmoofmmawaidhaaudio4508 Жыл бұрын
Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍 kzbin.info/www/bejne/oZbInHelqcxnq68
@MawazoMawazo-jp5ci
@MawazoMawazo-jp5ci 7 ай бұрын
​@@donmoofmmawaidhaaudio4508l
@nuranzubail8134
@nuranzubail8134 Жыл бұрын
ila akpan hajapewa milioni 200 , sio wa milioni 200 , coastal union wamepewa milioni 100 na akpan amepewa 50M kama signing fees
@godfreywebiro4058
@godfreywebiro4058 Жыл бұрын
Yanga wapo vizuri kwenye usajiri kwakuwa msajili mkuu na mwenye maamuzi ya mwisho ya usajili anaujua mpira vzuri na yupo smart kwenye kila sajili na anaenda kwa target kwamba anasajili kwakuangalia nini anataka Ukija simba wanaosajili ni watu zaid ya wanne au yeyote mwenye uwezo wakusajili anajisajilia tu coz muda ujao mchezaji aliemleta ataweza kupanda dau na akauzwa bei kubwa na kurudisha faida ya aliemsajili Yule dada hana anachojua kuhusu mpira yeye yupo vizuri kwenye management & organisation na sio mpira kiujumla ndo mana sajiri za simba nizakufuata mkumbo na zisizo na tija hapo mbeleni Kiukweli simba saizi wanadevela sana ukiangalia sajili za mihemko, jezi kusuasua, kuanza msimu japo wameshinda lakini unaona kabisa hakuna future nzuri. vyote hivyo ni kutokana na kukosa kiongozi mwenye vision mwenye anaujua mpira na ubora wa uongozi, kiongozi asieyumbishwa na kiongozi mwenye final say Hersi miaka 4 amekuwa yanga lakini unaona kabisa improvement ya mipango yao hadi sasa kakabidhiwa rungu kwa 100% lakini kwa simba unaona kabisa wana drop dah🥲
@laqboe8067
@laqboe8067 Жыл бұрын
Bigilimana 😅😂🤣
@herbertbathlomeo4650
@herbertbathlomeo4650 Жыл бұрын
Kwani nani anasajili pale Yanga?
@kelvingeorge8679
@kelvingeorge8679 Жыл бұрын
Unavoongea utadhan kuna kitu unatoa tofauti kumbe ni ushabiki tena yanga kwa kusajili makapi ndo hawajambo kabisa timu unbeaten msimu mzima usajili wote ule unataka kubadilisha nn yan naona momo anaongea mapoint ila ww unataka kubishana na wapinzan ndo shida iliyopo haya kaa na hayo unayoona n miyeyusho ach inyeshe tuone panapovuja
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 Жыл бұрын
Asante sana momo
@daudsimon5417
@daudsimon5417 Жыл бұрын
Wa kudere na kuelewa sana
@othmanjkamhanda4208
@othmanjkamhanda4208 Жыл бұрын
Safi kabisa
@frankfelix3876
@frankfelix3876 Жыл бұрын
Nikweli kabisa simba inahitaji washambuliaji wapya wenye manufaa makubwa sio kuleana wakati simba inahitaji mafanikio makubwa
@burudanitiv324
@burudanitiv324 Жыл бұрын
Broo umeongea point sanaa ndio maana soka letyu tuna feri sana duhhhhh
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Жыл бұрын
Kweli nimeona hayo sawa
@slumujaibu7205
@slumujaibu7205 Жыл бұрын
Daaaah jomba uyu mtata sana sijuh taarifa anapata wapi
@saidijafari2812
@saidijafari2812 Жыл бұрын
Mi ni Simba ila ungozi wa yanga kwenye usajili upo vizur kwel yani hawataki pesa yao ipotee kilamchezaji wanamsajil wanahakikisha atafiti wapo tayar kutoa pesa nyingi ili tu wapate mchezaji wa uhakika kuliko wamajaribio .sio kama wanashindana bali wana uchungu na pesa yao ya usajili
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 Жыл бұрын
Kwani umetumwa au umeagizwa? Nenda hukohuko Kwa utopolo
@faumahona5769
@faumahona5769 Жыл бұрын
Unaliwa mkundu ww
@amanijtz4831
@amanijtz4831 Жыл бұрын
Nakubali
@saidijafari2812
@saidijafari2812 Жыл бұрын
@@mwikamwika4851 Kwan timu ya baba yako ulivyoambiwa , Kuna sehem viongozi wanazingua wanachofanya nisawa na kusema nabana baajeti sinunui chakula mchana leo nitakula andaz mwisho wasiku mpaka jion unaona gharama uliotumia imevuka hata ile ya kununua chakula ndio wanachofanya viongozi wetu . Unamkosa Adebayo kwasababu ya RS Berkane sawa unamkosa mchezaji uliemtaka kwasababu ya yanga ! Huu si upuuzi wakati sisi tulitakiwa tuoneshe umwamba tulitakiwa tukafumue kikosi pale pale tukamchukua mayele kesi ingekua ishaisha saa hizi .huoni warabu wanachofanya ukiimalika wakiona unawasumbua wanachukua wachezaji wenu wazur bc .
@saidijafari2812
@saidijafari2812 Жыл бұрын
Sasa wewe Kama hujui mpira pesa zinaingiaje bora unyamaze tu naona hata hujui umuhimu wa mashabiki cjui we mwanachama upo upo tu!
@rashidikawanga2941
@rashidikawanga2941 Жыл бұрын
Imeisha hiyo sema kocha kenge sana 😢
@islamibrahim4525
@islamibrahim4525 Жыл бұрын
Ni ya kweli kabisa
@FRANSKALITUSI4937
@FRANSKALITUSI4937 Жыл бұрын
Nakubr Sana
@joejux1380
@joejux1380 Жыл бұрын
Shida kusajili bila kuwepo kocha sasa kocha akija anaona hawaingii kwenye mifumo yake sasa hata kama ww ndo kocha utafanyaje unadhani😂
@flova7022
@flova7022 Жыл бұрын
Shida ni kwamba tunasajili bila ma kocha
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Loooh kumbe nawao wanatoaga Mali kauli wanavojigamba basii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@watch5380
@watch5380 Жыл бұрын
Momo nomaaa
@TravellersTv1
@TravellersTv1 Жыл бұрын
🔥
@mecksonjoseph2522
@mecksonjoseph2522 Жыл бұрын
Ukweli ndio huo.. Basi wata umia kuambiwa ukweli
@mohamedsalum3112
@mohamedsalum3112 Жыл бұрын
anaongea sanaa , ila kama yanaingia akilini hasa hasa hii point ya mwisho
@allychautundu6729
@allychautundu6729 Жыл бұрын
sahihi asee
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
Umetisha momo mm kama msemaji wa wana thimbaaaa nashindwa ata kutoa maamuzi nawangalia tu watu wanavyopiga pesa sina nguvu ndio maana hata sauti yangu haitoki vizuri bajeti ya mshahara wangu tu watu wanakula asilimia zangu leo nimeona bora niseme ukwel nipo tayari kujutoa kwenye usemaje mwezangu manara kule anakula Bata tu.
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Sasa shidann pole maana unapoteza hata Nuru vumilia yatakuwa Sawa tuu
@daffangov6074
@daffangov6074 Жыл бұрын
Nakuelewa sn mze
@lamecanton7523
@lamecanton7523 Жыл бұрын
Hapa anamzungunzia kocha zoran kipindi kile anapewa mkataba alitoa masharti na alisema wazi boco, chama, phili, onyango alisema kabisa hawa siyo
@plumbingandtilesservce5271
@plumbingandtilesservce5271 Жыл бұрын
Kwel izo zandani kaka
@festovenas502
@festovenas502 Жыл бұрын
Nime kuelewa mzee wa kudere viongoz wa Simba waaache ushamba
@maigathomas2353
@maigathomas2353 Жыл бұрын
Mbona mzungu hawezi
@yohanalukindo3737
@yohanalukindo3737 Жыл бұрын
Kocha anataka alete wazungu wengine nini
@zuli.comedy.
@zuli.comedy. Жыл бұрын
Topsella tv
@kemmyelisha695
@kemmyelisha695 Жыл бұрын
Ukweli mtupu wanasimba tuamke 😭 hadi Yanga watatupita
@bakarpaul5046
@bakarpaul5046 Жыл бұрын
Wawapite mara ngapi
@athumanjafar2776
@athumanjafar2776 Жыл бұрын
Aa nimekuelewa sana umeongea sana wakudele
@yusuphjilala846
@yusuphjilala846 Жыл бұрын
Weweeeee
@issamsangi1887
@issamsangi1887 Жыл бұрын
Ila nimekuelewa broo
@yoanadaudi4907
@yoanadaudi4907 Жыл бұрын
Mzee wa kuderee unajua
@jacksonmofulu9336
@jacksonmofulu9336 Жыл бұрын
Simba tunapigwa sana
@omarymlawa5221
@omarymlawa5221 Жыл бұрын
Uyoo muongo sana tu
@titobernard383
@titobernard383 Жыл бұрын
🤣🤣 🗣️ zaaandaaaaniii !!!!😂
@ChikwendeNde
@ChikwendeNde 2 ай бұрын
Simba iyooo
@HafidhJuma-fg2nu
@HafidhJuma-fg2nu 5 ай бұрын
Dah
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Жыл бұрын
Ukweli mtupu
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын
Simba inahujumiwa na viongozi wake nishasema zamani sana
@yusuphjilala846
@yusuphjilala846 Жыл бұрын
Kiongo hichooooo
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Momo watakuteka ooooooh
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Жыл бұрын
Kocha ana akili sana huwezi ukampa masharti ya nusu fainali shirikisho halafu wachezaji utumbo
@edwarddavid8076
@edwarddavid8076 Жыл бұрын
Sio shirikisho club bingwa
@edgarayubu2077
@edgarayubu2077 Жыл бұрын
Naitwa edger natokea mbeya grean city bana timu yangu ya simba atup raha kama turivo zoea yan kwa kipind hk tunapata shida t
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 Жыл бұрын
Momo, Momo uongezewe ulinzi
@othmanjkamhanda4208
@othmanjkamhanda4208 Жыл бұрын
Mzee wa kudere wachane
@gaudinamosnchobe4909
@gaudinamosnchobe4909 Жыл бұрын
Nakuunga mkono momo
@raphaelkyando1094
@raphaelkyando1094 Жыл бұрын
Tatizo ni hansipope kufa
@godfreybitakama9845
@godfreybitakama9845 Жыл бұрын
Kama nimekuelewa
@MrInno-fk8th
@MrInno-fk8th Жыл бұрын
hahahaha huyu mkuda kwel yan
@assadyabdull5146
@assadyabdull5146 Жыл бұрын
Poit muhimu ni ya mwisho
@raro5506
@raro5506 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkataba wa ZORAN kama wa pikipiki....😢🤣🤣
@ezzepuritykamwene2121
@ezzepuritykamwene2121 Жыл бұрын
Hahahaha umenichekesha Ila we yangaaa
@florianscarion5085
@florianscarion5085 Жыл бұрын
Huyu taarifa zake huwa ni za uongo, yani kinachomjia kichwani analileta kwenye radio, huyu si ndo alitwambia Sakho Hana mkataba na Simba.
@decomarcos7458
@decomarcos7458 Жыл бұрын
Imeisha iyo momo
@pesangwasalim5258
@pesangwasalim5258 Жыл бұрын
Mm
@edwardkongo1599
@edwardkongo1599 Жыл бұрын
K kubwa wote hao
@saidijafari2812
@saidijafari2812 Жыл бұрын
Viongoz bure kabisa hawa
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Kudere leo umeongea point kidogo biashara za watu wajinga SN sio kwa NN wanakuwepo Simba pale
@donmoofmmawaidhaaudio4508
@donmoofmmawaidhaaudio4508 Жыл бұрын
Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍 kzbin.info/www/bejne/oZbInHelqcxnq68
@handgodmunuo6602
@handgodmunuo6602 Жыл бұрын
Vp
@saidijafari2812
@saidijafari2812 Жыл бұрын
Yani viongozi kujikubali saana Kama wanafanya kwa weled Ila huo weled hauna uhalisia , imagine unamuacha AZIZ ki mchezaji abaejituma ambae unajua kabisa Kama atafiti kwenye eti unamuacha sababu kataka pesa nyingi halafu unamsajir mchezaji kwa pesa nyingi Kisha hamumtumii hiyo pesa c bora mungeongezea kidogo tu na nyengine ingebaki mukamchukua azizi ki
@husseinmasangya1272
@husseinmasangya1272 Жыл бұрын
Momo 😂😂😂😂
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Hahahahaaaaaaa
@costantinopaul4887
@costantinopaul4887 Жыл бұрын
Kocha wa simba hatufai haendan na las na uzito wa lig yetu tunaomba uchebe waturudishie klabuni
@salim02tv24
@salim02tv24 Жыл бұрын
Si mlisemaaa bonge la kochaa
@titobernard383
@titobernard383 Жыл бұрын
Si tuliambiwa ni kocha wa vikombe huyu au tumepigwa hapa ?
@magneticofficialtz
@magneticofficialtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/iKPXlGd4hJKFiqM mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa chupi
@fressoj-mova5686
@fressoj-mova5686 Жыл бұрын
Akpan
@hdmsasa3355
@hdmsasa3355 Жыл бұрын
Gusa maandish ya blue ukatazame Video nilivyomfunika DOGO BALAA kzbin.info/www/bejne/kInSh42rj6uAr5o
@damarygaratulu9135
@damarygaratulu9135 Жыл бұрын
Huyu nae porojo tu mdomo du kama herufi za mwisho za jina lake
@lightnessabdallah5507
@lightnessabdallah5507 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 umejua kunifurahisha km eruf za mwisho
@pastorpaulokasanga799
@pastorpaulokasanga799 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Sasa Endeleen kusema porojo ila mtayakumbukaaneno yake
@ibrahmmgaya312
@ibrahmmgaya312 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chollejr_
@chollejr_ Жыл бұрын
Ila ila jamaaa .😂😂😂😂
@jonathansirkintungi3440
@jonathansirkintungi3440 Жыл бұрын
Wapigaji wapo Kwa boss wako gsm Kwa mo hayo hayapo. Sasa tuone Kama utadhubutu kumsema utakosa bahasha kenge wewe usituletee vurugu msimbazi.
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Tulia ww mkiambiwa ukweli mnanunaa umeona Yanga asahv Wana sajili kihoreraa kama zaman? Mtaumbuka mwaka huu
@jacksonnchimbi1966
@jacksonnchimbi1966 Жыл бұрын
GSM alikuwa anapigwa zamani sasahivi kazi za usajili zinafanywa na rais enginer hersi said habahatishi anawapandia mwenyewe usibishe watu wanapiga mpunga sana hapo simba wameanzisha kamtindo hako wanamleta mchezaji hata wa majaribio baadae anasepa wewe unafikiri ghalama za kuwaleta nani anahusika yaani Barbra sikuhizi kanenepa sio miss tena anapiga mpunga na ahmedy Ally wake sikuhizi kanenepa hela za michango pia
@ayoubmbwambo9604
@ayoubmbwambo9604 Жыл бұрын
Hhhhhhhhhhh
@azizihfarijala5307
@azizihfarijala5307 5 ай бұрын
huyi hana jipya muongo kweli
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 Жыл бұрын
Mambo yake kama joti!!!
small vs big hoop #tiktok
00:12
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 24 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 17 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 7 МЛН
Super gymnastics 😍🫣
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 108 МЛН
ПРОДУМАЛ ТАКТИКУ
0:16
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 12 МЛН
UFC 303: Алекс Перейра - Слова после боя
3:50
У Роналду младшего тяжёлая жизнь 😓
0:31
КИК Шорт!
Рет қаралды 2 МЛН