KIREDIO ALIVYOWAIBUKIA STUDIO COUPLE YA MEET US, TAZAMA TIMBWILI LILILOTOKEA

  Рет қаралды 245,379

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 684
@shuweikharashid4175
@shuweikharashid4175 7 ай бұрын
Huyu demu atakuja kupigwa na kitu kizito sana emu km umepigwa na kitu kizito gonga like hp
@oscarhumphrey7692
@oscarhumphrey7692 7 ай бұрын
Ata Kuja kwetu sisi mafisi
@user-kl9xp2el3z
@user-kl9xp2el3z 7 ай бұрын
Tena mimi nilipigwa chakutosha😂
@SalvinJastin
@SalvinJastin 7 ай бұрын
Jaman jamanii wanaumee
@Vision2012Tv
@Vision2012Tv 5 ай бұрын
Achana nae uyu haelewi
@user-mc3qu2sz4j
@user-mc3qu2sz4j 4 ай бұрын
Kitamurambaaa😂
@CarthyGod
@CarthyGod Ай бұрын
Single mother wote gonga like apa jmn man mmh tuna tetewa mno jmn
@myTanzanianplate
@myTanzanianplate 7 ай бұрын
Kiredio wewe ni wetu na tupo pamoja...fanya kazi yakoo❤❤
@msagatijulius
@msagatijulius 7 ай бұрын
Tuko nae mpaka wamvunje kiuno 😅😅😅...
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 7 ай бұрын
​@@msagatijulius😅😅
@user-mc3qu2sz4j
@user-mc3qu2sz4j 4 ай бұрын
Kabisa 👍👍👍👍
@fawzalbusayid7232
@fawzalbusayid7232 Ай бұрын
@@msagatijulius😂😂😂😂halaaa
@yohanamussa4134
@yohanamussa4134 7 ай бұрын
Wanalazimidha interview kujisafisha. Kiredio fanya kazi yako
@NuruNgolle
@NuruNgolle Ай бұрын
Mimi nimpe mme wangu 💯 siwezi ng,o ukisali ktk roho na kweli Mungu anatuonyesha live kwahiyo maumivu tunayajua lakini tunamshukuru Mungu kwakutuonyesha so kama usali utakutwa na kitu kizito alafu unapanik heri tunaojionea tunajua jinsi yakubeba maumivu ndoa iendelee ndugu amua kumwamini mwanaume utajinyonga ndugu acha hawa wanaume waendelee. Mungu anatutetea sana wanawake tukitulia ndie anabeba maumivu yetu
@MwajumaSeif-ry1kt
@MwajumaSeif-ry1kt 6 ай бұрын
Ni kweli uyo mkaka ni Muong kiredio yupo perfect
@jastinlazaro2840
@jastinlazaro2840 5 ай бұрын
Una uhakika😂😂😂 yan wabongo bn
@MphilipinoFilmsTv-bs4mw
@MphilipinoFilmsTv-bs4mw Ай бұрын
ILO dada ni jinga Sanaa aiseee,, shenziiii sana
@user-ef8jh7ql7z
@user-ef8jh7ql7z 7 ай бұрын
Kiredio n wetuu......pambana brooo tunakukubalii sana
@RosemaryEdward-yw9tv
@RosemaryEdward-yw9tv 7 ай бұрын
Huyu dada awajui wanaume vizuri jamani mh namuonea sana huruma mwanaume wake mwenyewe macho juu juu.
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 7 ай бұрын
😂😂😂😂bora angelala nyumbniiiii.........maaan hawajui kbsa
@user-sd8cq3ds7n
@user-sd8cq3ds7n 7 ай бұрын
Kuweni makini na wanaume weupe😂
@nehemia397
@nehemia397 4 ай бұрын
​@@user-sd8cq3ds7ntumefanyaje mkuu
@atienograce7564
@atienograce7564 7 ай бұрын
Hata ndoa badoooo mambo yameshakuwa moto!! Tutafika kweli?...🤠
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 7 ай бұрын
Huyu dada mpuuzi sana, Unatia huruma mwanaume unaweza lala nae ukamka nae na bd akakusaliti fatilia
@user-us1ne8hu1l
@user-us1ne8hu1l 7 ай бұрын
Tatizo hamna mwanaume ambye acheat lkn akikuhexhm nakukutunza xhukuru mungu
@gastonamnon7005
@gastonamnon7005 7 ай бұрын
Jidanganyee 😅😅😅😅 Wanaume sisi tunafanana 😂😂😂
@LuluMtalika
@LuluMtalika 4 ай бұрын
Kabisa yan
@Irene-bt6tv
@Irene-bt6tv 3 ай бұрын
Hawa viumbe hawaaminiki kbsaaa wapuuzi woteee🙌🙌🙌🙌
@shedy_marie
@shedy_marie 2 ай бұрын
Iyo mambo ukiyawaza huez olewa dear mengine Bora uko na aman
@SobiTz
@SobiTz 7 ай бұрын
Kiredio tuko pamoja naww 😅✌️
@nedcopascal4640
@nedcopascal4640 6 ай бұрын
Tunasubiri tupo pamoja 😂😂😂
@MarthaJoseph-pp6ir
@MarthaJoseph-pp6ir 7 ай бұрын
The guy anaonekana kabixa Yuko na fear kweny muonekano wake hayuko stable nimuongoo masikin we dada 😭😭💔 utakuja kumia vibaya
@user-qh8kl9mu5w
@user-qh8kl9mu5w 7 ай бұрын
Dada anajikuta kakolea, bt nimemsoma huyo dada sio mjinga😢😅😅
@hoglamumbee344
@hoglamumbee344 5 ай бұрын
His body and facial language speaks alot
@eddyeddy2907
@eddyeddy2907 7 ай бұрын
Namba uliyoisevu unaweza kuiblock then utaikuta very simple. Ila huyu Dada inaonekana ni mgeni kwenye mahusiano.
@JemimaMdota
@JemimaMdota 5 ай бұрын
Wanaume hoyeeeeeee🙌🙌🙌🙌🙌 nawasalie mie huwa najua kitu kimoja chamsingi heshima na kutoa rahana
@dayvanny_graphics2172
@dayvanny_graphics2172 7 ай бұрын
Pole sana mbwa wewe😃😃we wanaume hautujui vizuri
@ShelynevaMsigwa
@ShelynevaMsigwa 7 ай бұрын
😅😅😅😅
@paulmutailuka2417
@paulmutailuka2417 7 ай бұрын
Huyu jamaa aise anamna kuna jambo linaendelea kwakweli ktk mahusiano yake.
@armanichicandow1225
@armanichicandow1225 7 ай бұрын
Huyu demu ndo amependa, na hana pa kwenda akiachika. 😀😀😀 mwanamke anateseka sana huyu
@shedy_marie
@shedy_marie 2 ай бұрын
Nawapenda km couple goal mmeamua kuweka online bas mm nan nipinge god bless you 🎉❤
@getruda-oy8mo
@getruda-oy8mo 3 ай бұрын
Humu nimempenda mama Dida nimesema mamaa bicoz miminimtoto kwake japo hajanizaa but hua akusemaa kitu jua nikweel💯👁️
@ONJAHWorldwide
@ONJAHWorldwide 7 ай бұрын
Kiredio Ana UMAMA SANA... what's so great kupambana kutenganisha penzi la mtu. You just advice and let them to decide
@majaliwamajaliwa4407
@majaliwamajaliwa4407 7 ай бұрын
Pia block list unaweza kumtoa mtu asie jua kutoa anipigie nimpe maelekezo kiredio yupo sawa
@owdenisaga4361
@owdenisaga4361 7 ай бұрын
Utamtoa mtu number itarudi but kwenye iOS hata uki unblock number bado inabaki kwenye block list
@hadijaabdallah8614
@hadijaabdallah8614 7 ай бұрын
Futa halafu nenda kwenye block list utaikuta ipo imetulia😂
@marthababere2444
@marthababere2444 6 ай бұрын
Huyu dada Ana wazazi🙄🙌, wanajiskiajeee..! Huyu kaka amelipa mahari, amemuoaa? 💔 Woiiii
@DianaRichard-bu9tz
@DianaRichard-bu9tz Ай бұрын
Kiredio utafute baunsa maana natamani niendelee kukuona ukiwa powa siku zote 😂😂😂😂maana wasije kukupiga siku moja nitaumia sana 😅
@donathasimon9292
@donathasimon9292 7 ай бұрын
Kiredio Songa mbele achana nanhao watu Upendo unanguvu sanaaaa hawawezi kukuelewa leo
@SarahShalua-ij8qg
@SarahShalua-ij8qg 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂kiredio ndugu yangu we noma yan ona sura yake haina nuru ni kweri kabisa huyo dada hana ile nuru kabisa yan ila huyu dada atakuja kulia kweri
@mussaayubu1167
@mussaayubu1167 7 ай бұрын
Niko pamoja na hawa wachumba kwann kuwafuatilia kiasi hiki Kwan shida nn alafu kiredio ni mwanaume kwann anamuandama mwanaume mwenzetu kiasi hiki hapa nahisi kuna kitu tofauti na haya tunayoambiwa
@Raj-gs2oj
@Raj-gs2oj 7 ай бұрын
Wanaytak c wametka waixhi kisanii
@NuhHamisy
@NuhHamisy 7 ай бұрын
Daaaah jamaaaaa katupigaaa 😅😅😅😅😅 kiredio watete tyuh wanawake
@user-sx5ep3cz9g
@user-sx5ep3cz9g 7 ай бұрын
Jaman dida nampenda uyu dada hatak unafki
@marthabuhele8429
@marthabuhele8429 4 ай бұрын
Pole Dada wadada tunatakiwa kupenda mwisho asilimia 50,80 zote hizo za nn utalia mumy na aibu juuuuuu
@aishanjovu3127
@aishanjovu3127 4 ай бұрын
We nd mm
@zaharasanga7110
@zaharasanga7110 16 күн бұрын
We nae mbn 50 nazo nyingii🤣🤣🤣20 zinatosha
@godfreyvicent5241
@godfreyvicent5241 16 күн бұрын
Kupenda inakuwa ni automatic huwezi kufosi kutompenda mtu yaani kupenda Huwa automatic
@magdalenabenedict2089
@magdalenabenedict2089 7 ай бұрын
Uyu dada atapigwa na kitu kizito the guy hayuko real
@ikundamallya6866
@ikundamallya6866 7 ай бұрын
Alf huyu dada anaonekana hana raha
@victoriaanthony717
@victoriaanthony717 Ай бұрын
Kwa nn mnamuamini Sana kiredio nnyie mbona hamjitambui sas kaambiwa haonyeshe chati alizokuwa anawasiliana nae na kumwambia hayo mambo mbona anasema Hana hiv unajua kabisa unaenda kuvuruga penzi la watu Kwa nn asingeenda na ushaidi uliokamilika nyie vp kuweni makini na ilo na wanaotumia izo cm wanasema Brock haifutiki sas Kwa nn haikuonekana sas kiredio anasema amtumie nauli uyo mwanamke aje he mtakuwa na uwakika gani akija kana kwamba kiredio hajampanga mtakuwa na uwakika huo Ila nikumbuke kwamba maisha ya sas hiv maadui wengi kuliko wànaokupenda Kwa upande wangu naona kabisa kiredio kachemka ilitakiwa aonyeshe ushaidi wa sms au rekodi ya uyo mdada nyie vp bwn acheni mapenzi ya watu yaendelee
@nuratynurdin-vd7zw
@nuratynurdin-vd7zw 7 ай бұрын
Dada kaza wew ni mti wenye matunda lazima upigwe mawe japo wanasema hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja wasikuvurugie furaha yako kipenzi nawapenda sana inshaallah mwenyezi mungu awape maisha marefu na yenye furaha endelevu
@elizamlewi389
@elizamlewi389 7 ай бұрын
Ai laik that dear ❤😂
@sarafinahprince4265
@sarafinahprince4265 Ай бұрын
Kiredio na Mr UK fanyeni kazi bana tunawapenda
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 7 ай бұрын
Mwanangu bado haujaishi usiwaamini sana wanaume hata baba zako wametutenda sana cendi mwanangu usiwaamini utajajuta
@EVERINAAHUNGU-cv3dq
@EVERINAAHUNGU-cv3dq 7 ай бұрын
Jmn mam unaongea Kwak uchungu
@pikolaizaog7303
@pikolaizaog7303 7 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂"lazima hili penzi liharibike huyu anamdanganya huyu dada" kiredio😂😂😂
@pulikisia7963
@pulikisia7963 20 күн бұрын
Alitaka hili penzi livunjike😂😂
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 7 ай бұрын
Huyu dada anajikaza tu lkn usikute hana amani ya moyo 😂😂 na pia blacklist unaweza kuifuta usikute jamaa alifuta tu kule
@RachelJulius-fh9nl
@RachelJulius-fh9nl 7 ай бұрын
Jmn kiredio waachani watu wa watu....kama wanadanganyana watajua wenyewe
@JudithAdonis
@JudithAdonis 7 ай бұрын
Yaan, cjui huyo kiredio anapata nn......maana amekazana
@bhokesaid3264
@bhokesaid3264 7 ай бұрын
Siku ile aligoma leo kishaweka mazingira sawa anakubari kirahisi...rahim kicheche na anaonekana tu Katika mazingira ya kawaida dada ana kazi ya ziada na anajua hilo
@NapeDkilia
@NapeDkilia Ай бұрын
Block list unaweza ukairudisha kwenye contact alafu ukaifuta vzr tu
@beatuskamanyisa7611
@beatuskamanyisa7611 3 ай бұрын
Huyu dada apewe ulinzi😂😂😂
@ceciliamsesa179
@ceciliamsesa179 7 ай бұрын
Simsimamii yeyote but huyo Rahim mshamba , blacklist namb inafutwa vzuri tu . Na huy dada mwanaume so wa kumwamin kias icho apo anakuona kajinga flani tu 🤣🤣
@ashaahmad720
@ashaahmad720 7 ай бұрын
subir kimlambe hakijamramba bado
@ceciliamsesa179
@ceciliamsesa179 7 ай бұрын
@@ashaahmad720 Yetu macho🤣🤣
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 7 ай бұрын
Mimi na block kila siku na ukianblock unaifuta vizuri
@ceciliamsesa179
@ceciliamsesa179 7 ай бұрын
@@paskaziasholla7471 Yaa ndo ivo
@DickPoul-re3lr
@DickPoul-re3lr 7 ай бұрын
Kiredio nitakutengenezea sanamu no one can do what u can do na kama akitokeaa kuna vitu vidogo vidgo ata kosaaaa upewe maua yakoooooooo
@user-vk1xj2nl1j
@user-vk1xj2nl1j 7 ай бұрын
Dida uyo mwanaume kabla ajawa na usiano na huyo dada akuwahi kuwa na husiano nyuma ?asijifanye mwaminifu huyo tunawajuwa sana wanaume ndani nje
@user-oc2jm7pd3n
@user-oc2jm7pd3n 7 ай бұрын
Asa kiredio mpumbavu kwer asa anapenda mausiano yavunjike ndiyo nin ata mungu apendi kutenganisha bari kupatanisha uyo kiredio mpumbavu afai anatakiwa apigwe
@user-iq7gq7mn7u
@user-iq7gq7mn7u 7 ай бұрын
Kaniboa sana
@user-yi1qp6qu4n
@user-yi1qp6qu4n 9 күн бұрын
Mjinga sana kiredio fala huyu
@DavidMollel-yi8ml
@DavidMollel-yi8ml 11 күн бұрын
Jamaa wa meet us safi
@aminaabdalla-uo9zq
@aminaabdalla-uo9zq 4 ай бұрын
Wanaume weupe suukari ya warembo uyo broh uyoo ahh mchumba t uy dad unashare😂😂 mwanmme ili atulie atakiw akufee apo nd atatulia akiwa hai sahau😂😂 dydy
@magdalenabenedict2089
@magdalenabenedict2089 7 ай бұрын
Huyu jamaa amepanick thats means ni kweli alichofanya
@samaloyce6982
@samaloyce6982 7 ай бұрын
kupanic sio kipimo cha kusema hlo jambo n kweli, hali hyo hutokea katika jambo lolote usilolitarajia
@victoriaanthony717
@victoriaanthony717 Ай бұрын
hata wew mtu akija Kwa niaba ya kukuaribia furaha yako utaniacha salama mbona mnaona mtu alifanyiwa unyama mnachukulia poa ila mkifanyiwa nyie ndio mpanik km mm uyo kiredio cmpendi kwakuwa anajifanya kuwachalenge watu je yeye katulia achit mnamuamini km ni mungu bwn
@victoriaanthony717
@victoriaanthony717 Ай бұрын
​@@samaloyce6982ni Bora ulivyomjibu alafu wanamuamini Sana uyo kiredio mm cmuelew hata kidogo kwan yeye achit mpaka awafanyie wenzie ivyo mwenye akili ataelewa lkn wenzangu na mie wenye mihemko na mapenzi wanamuelewa vby ila mm cmuelew hata
@angelketya
@angelketya 7 ай бұрын
Mdada ataumia vibaya mno 😢😢 Yaani alivyosema mtoto tutalea hiyo anaumia sana
@LuluMtalika
@LuluMtalika 4 ай бұрын
Tena snaa anumia wanaume hawaaminiki kabisa yan kipenzi
@Lee-ng5wh
@Lee-ng5wh Ай бұрын
Bomu litalipuka soon
@jacquelinegg327
@jacquelinegg327 7 ай бұрын
Pole dada Candy,,,,nipo nimekaa pale nasubiri majibu ila weka akiba ya Maneno usijimalize hao ni wanaume dont forgot
@HafidhaAmiri-td8su
@HafidhaAmiri-td8su 7 ай бұрын
Tena mwanaume ni muislamu na yeye ni mkrosto😂😂😂😂😂FEAR MEN💔😂😂
@user-dt7mt6yf9g
@user-dt7mt6yf9g 7 ай бұрын
Nakasubr katakavyokuw kanalia😢😢
@diva_20162
@diva_20162 4 ай бұрын
😂😂😂dida hakwepeshi uwiiii😊😊 ila huyo dada atakuja kupigwa na kitu kizito 😂😂😂
@rukiammanyi-qm9iz
@rukiammanyi-qm9iz 7 ай бұрын
Sasa kama.hamjui Irene sku ile ya challenge kwa nn akimbie kuonyesha ile blocklist yake kama sio kweli
@AnnoyedLimePie-lc5sw
@AnnoyedLimePie-lc5sw Ай бұрын
Nawajua hakina rahimu vizuri co watu wazuria
@user-if8oh2rm3p
@user-if8oh2rm3p 7 ай бұрын
Dida mm mpk chooni nilikuwa napelekwa na nachambwa😅😅😅😅lkn mama uyo dada aweke akiba ya maneno
@MgeniOmmy
@MgeniOmmy 7 ай бұрын
😂😂😂
@user-se9xi3kp4f
@user-se9xi3kp4f 7 ай бұрын
Hawa ndo wale wanajifanya kwenye social media Wana enjoy lakini ukija kwenye real life inaonekana kabisa huyu dada anajifanya ana amani lakini hana amani
@NeemaAbdul
@NeemaAbdul Ай бұрын
Kabisa anaonyesha nje ndani anajitetea tu hapo
@claudiangowi9628
@claudiangowi9628 7 ай бұрын
Huyu dada anafikiri wanaume ni watu wazuri, atajutaaa baadae 😢😢
@vumi8371
@vumi8371 6 ай бұрын
Jamani 😂😂😂😂😂
@BlandinaDavid-k1x
@BlandinaDavid-k1x 9 күн бұрын
Kiredio fanya kwel
@user-nz7ln2yw4i
@user-nz7ln2yw4i 7 ай бұрын
Uyu dada atalia vibaya mnooooo😂😂😂😂😂😂😂😂
@jacquelinegg327
@jacquelinegg327 7 ай бұрын
Dadeki
@aishanjovu3127
@aishanjovu3127 4 ай бұрын
Anajiendekeza😂
@estermwakatundu3028
@estermwakatundu3028 Ай бұрын
Huu mwanzo Tu atalia zaidi
@pulikisia7963
@pulikisia7963 7 ай бұрын
Ila kiujumla watu wanapenda mahusiano ya watu yavunjike.Watu hawapendi watu wakipendana.Kama huyo dada amemridhia huyo kaka pamoja na infidelity zake ni sawa tu.
@Dareaziz
@Dareaziz 7 ай бұрын
Kiredio Hana lengo baya
@LuluMtalika
@LuluMtalika 4 ай бұрын
Kabisa yan
@HappyMkami
@HappyMkami Ай бұрын
Ila kiredio uvuja mahusiano yawatu sanaa
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 7 ай бұрын
Amna mapenzi hapo,
@SuzanaSanga-hi6ss
@SuzanaSanga-hi6ss 3 ай бұрын
Yaan nataman siku nije nijue ukwel zaid ya huyo 🍭🍭🍭🍭🍭🍭🍭
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 7 ай бұрын
Mimi cha kuwashauri mtafuteni big man stivo mwenye KZbin channel inaitwa comrade flavor….anauwezo wa kurudisha txt zilizofutwa
@sarahkimaro75
@sarahkimaro75 7 ай бұрын
Kabisa yule ni hatari😊
@mohdloushmoney9994
@mohdloushmoney9994 7 ай бұрын
Duuhhh
@user-li4ii9tn1l
@user-li4ii9tn1l 7 ай бұрын
Dada usimwamini mwanaume hivyo dear kubari nitumia nafasi yako kipenz kijanja anaweza tamani njee
@user-yi1qp6qu4n
@user-yi1qp6qu4n 10 күн бұрын
Huyu kiredio kumbe fala sasa maneno yote yanini lengo mahusiano ya watu yavunjike mjinga sana
@user-zq8tu4ed1c
@user-zq8tu4ed1c 6 ай бұрын
Mwenye maneno mengi siku zote ni muongo🙌
@MustymediaTv
@MustymediaTv 7 ай бұрын
Dawa ya kiredio ni kula demu wake yule mwenye shepu
@MushagalushaMigabo
@MushagalushaMigabo 7 ай бұрын
Haaaaa
@rayahamisi118
@rayahamisi118 7 ай бұрын
Wanaume waooo😊
@hidayaMlowe-rk1kn
@hidayaMlowe-rk1kn 3 ай бұрын
Huyu candy inaonekana yeye Ndio kapenda na hanauhuru wa kufganya vitu maana adi kuongea anazuiwa ila litakuja kumkita jambo kunakitu hakiki saw ahapa
@WinfridaJohn-rm6gc
@WinfridaJohn-rm6gc 7 ай бұрын
Yaani kiredio kakasirika kabisa
@catherinedeogratiusmgumba6183
@catherinedeogratiusmgumba6183 7 ай бұрын
Rahimu kujisifia sifia ndo zake😂😂pole sana candy
@nanaritho6850
@nanaritho6850 7 ай бұрын
Yaaanni kiradio kajidhalilisha vibaya sana
@user-iq7gq7mn7u
@user-iq7gq7mn7u 7 ай бұрын
Ndyo
@ONJAHWorldwide
@ONJAHWorldwide 7 ай бұрын
Saaaaana.. kazi za kike anafanya yeye
@sarahsalum9963
@sarahsalum9963 7 ай бұрын
Uyo raheem tapeli
@user-og8ks4px1k
@user-og8ks4px1k 7 ай бұрын
HASWA
@aminaabdalla-uo9zq
@aminaabdalla-uo9zq 4 ай бұрын
Sannaaa😂
@user-ir1cw9ev3v
@user-ir1cw9ev3v 3 ай бұрын
Baunsa mwenyewe juma 😂😂😂😂😂 nyieeee
@majaliwamajaliwa4407
@majaliwamajaliwa4407 7 ай бұрын
Kiredio yupo Sawa siku ya kwanza ulikimbia
@elsabio11
@elsabio11 7 ай бұрын
Sawa alikimbia yeye kiredio kwanini haoneshi hizo chat za DM
@vumiliamatchu370
@vumiliamatchu370 7 ай бұрын
Uyo dada ni mjinga kweli
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 7 ай бұрын
Tena hajitambui hata kdg mwanaume maneno meng anamzidi uyo katoa iyo number kwenye block kaifuta
@vumiliamatchu370
@vumiliamatchu370 7 ай бұрын
@@dorcaskidoti249 yaaani kimesha nikera icho ki binty aiseeee 🤣🤣🤣kina mwamini mwanaume 🤣🤣🤣mwanaume ni waku mwamini kweli ?🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️
@sarahadolf9722
@sarahadolf9722 7 ай бұрын
Ata asipo mwamini afanye nn au kuna wanaume waminifu kumzid au
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 7 ай бұрын
​@@vumiliamatchu370lafa uyu😂😂😂
@SaidyHamza-it1tg
@SaidyHamza-it1tg 7 ай бұрын
Mwana umme anamuaa mwana umme mweziee duuh
@JerusaMkuyu-pw1zo
@JerusaMkuyu-pw1zo 3 ай бұрын
Kiredio tunakupenda baba wweeeeeeeee
@user-km6eh2tf9c
@user-km6eh2tf9c Ай бұрын
Huyu kaka huyo irene anamjua
@nuratynurdin-vd7zw
@nuratynurdin-vd7zw 7 ай бұрын
Kwenden huko jamn msiingilie mapenzi ya watu achen waachane wenyewe ila sio kwa maneno yenu😏😏
@AnnaMollel-w6m
@AnnaMollel-w6m Ай бұрын
Me ninavyoona uyu dem anapgwa sana matukio ila ataki kuweka wazi apo kwny kipindi
@Babafesto
@Babafesto 14 күн бұрын
Mwanamke anakubali kisa pesa chizi uyoooooooo😂😂😂 dada chiziiiiioooiooioii😅😅😅
@favouredlizzy3124
@favouredlizzy3124 7 ай бұрын
Huyu rahim anaongea sana ni tapeli huyu na candy atalia mnooooooo tuko hapa 😅😅😅😅😅😅😅
@nyakimimbiyalimba2705
@nyakimimbiyalimba2705 7 ай бұрын
Mimi bwana angu nilikua nafanya nae kazi muda wote tupo wote sijui ata ali cheat saangapi nyie nakuja kushtuka mtoto ana miaka3 uyu Dada mbona kama kapenda sana
@pendombinga3584
@pendombinga3584 7 ай бұрын
Jman mwanaume kucheat ni kawada sna kwan shida hk wp wazee wt walikuwa wanawanawake nje ya ndoa zao lkn muhimu upendo ma heshima tu jmn waache mahusiano y wtu
@stellahsimon4460
@stellahsimon4460 7 ай бұрын
Kbsss
@hamidawamba
@hamidawamba 7 ай бұрын
@@pendombinga3584kusema kucheat ni kawaid ndio kunawafanya wacheat
@user-xt9kh3sp2o
@user-xt9kh3sp2o 7 ай бұрын
Binadamu hatupend furaha ya binadam wenzetu ndo tatizo watu wengi wanayoyapitia wao na wenzao wapitie ndo wanavyotaka
@edyboychamiliion1360
@edyboychamiliion1360 7 ай бұрын
Uyo juma anaweza kuamua ngumi mtu mwenyeye mavi yake hawezi kuyazuia😂😂😂
@himidiwekabuje8402
@himidiwekabuje8402 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@sharifachriss1561
@sharifachriss1561 Ай бұрын
Wanaume weupe Hawa mhuuuu
@user-jo6fv1nc8b
@user-jo6fv1nc8b 6 ай бұрын
Raheem just agree kuwa unae ustake kukataa kubali candy ni muelewa mtoto ni baraka usimkatae
@MphilipinoFilmsTv-bs4mw
@MphilipinoFilmsTv-bs4mw Ай бұрын
kiredio asemage uongo alafu MTU kama ataki kuelewa huna aja ya kuendelea kumuelewesha,,liache ILO jana MKE na ujinga wake
@JulyBaynet
@JulyBaynet 16 күн бұрын
Kiredio fanya kazi yako
@rahultz_
@rahultz_ 7 ай бұрын
😂😂😂😂kama kuna mtoto anakuja tutampokea😂😂😂kuna kitu nishashtuka
@muh4225
@muh4225 7 ай бұрын
Atalia vibaya huyu dada
@FadeelaSharjah
@FadeelaSharjah 2 ай бұрын
Huyu dada huyu dada tumpe mda kidogo
@marrystellagoodluck4268
@marrystellagoodluck4268 7 ай бұрын
Mmmh huyu kaka muongo Ana tetemeka na pressure juu
@MercyMariki
@MercyMariki 7 ай бұрын
Dida nakupenda bureeeeee ❤❤❤
@BradyHarry-qm5xg
@BradyHarry-qm5xg 7 ай бұрын
😃
@hadharaally6523
@hadharaally6523 7 ай бұрын
Kiredio mbabaishaji ata kma kachiti sio ttz mapungufu pia candy unachotkiw n kuangalia akiw anaplay part yk vzr t bs inatsha dunia hii mam hhhh injoy candy n akija mtot ata km wetu atalea mwenyewe n balaa lake hhhhh
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 7 ай бұрын
NJAU unafurahisha sanaaaa, et hili penzi lazima livunjike😂😂😂😂
@user-nv1yy4nk3m
@user-nv1yy4nk3m 5 ай бұрын
Jmn achana na mahusiano ya watu jmn khaa ata Kam mwanaume anamwanamke mwngne n kawaida kubadrsha mboga kikubwa office ipo kwa candy bx
@zayvanclassic7960
@zayvanclassic7960 7 ай бұрын
Mambo niyapendayo 😅😅😅😅😅nyiee simuamin mtt w mama mkwe😂😂😂😂😂
@ManenoAnthonyMachaku-dt4jm
@ManenoAnthonyMachaku-dt4jm 7 ай бұрын
Kiredio analiwa na mapopo huyu 😂😂😂 Yan anataka akampange huyo Ireen kwa maslah yakaz yake ,,,Asiharibu penz lawatu.
@MahreenhassaniMwinjo
@MahreenhassaniMwinjo Ай бұрын
Kiredio tafuta Ushahidi baaan😢😢
SIRI YA HUBA  { 13 }
18:30
Rk Movies
Рет қаралды 222 М.
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 5 МЛН
МЕБЕЛЬ ВЫДАСТ СОТРУДНИКАМ ПОЛИЦИИ ТАБЕЛЬНУЮ МЕБЕЛЬ
00:20
У ГОРДЕЯ ПОЖАР в ОФИСЕ!
01:01
Дима Гордей
Рет қаралды 6 МЛН
KIREDIO ALIVYO WACHAMBA MEET US, HAWANA PESA, MAISHA YAO MAGUMU
14:02
IRENE NI NANI?? MKE AMTUKANA MUME WAKE, UMEBADILIKA SANA
9:28
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 218 М.
SHEMEJI NA NEYLA
10:25
Mr Uky
Рет қаралды 107 М.
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 159 М.
GIGY MONEY NA DIVA WARUSHIANA MANENO MAKALI STUDIO, UGOMVI MKUBWA...
7:29
NINA WANAUME WAWILI, NANI ATANITAJA??
5:08
KIREDIO
Рет қаралды 80 М.
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 5 МЛН