Mungu saidia hawa wanyonge haturudi nyuma✌️✌️✌️🇹🇿✍️
@magesamarembo9 ай бұрын
Hongera mwamba
@cosmaswilliam38056 ай бұрын
Samia ataondolowa kwa katiba hii hii.tuchape kazi na kuomba MUNGU
@zamukahemele15058 ай бұрын
Mwabukusi mungu akupe umri mrefu
@paskaziasholla74719 ай бұрын
Kifupi katiba ni ya msingi sana sababu viongozi wanahujumu sana lakini hakuna hatua inachukuliwa juu yao
@Madizizi9 ай бұрын
Mimi kumchagua kiongozi siangalii chama na angalia kiongozi bora lakini tundulisu hafai kuwa raisi milele
@Snoker1019 ай бұрын
Toa sababu
@SephaniaMsigwa8 ай бұрын
Si akiri huna
@Madizizi8 ай бұрын
@@SephaniaMsigwa Asante
@BonifaceHassan-j5m9 ай бұрын
Hakuna chama cha wapinzani, bali chama cha wakosoaji pale panapo potosha!
@FridayMwassa8 ай бұрын
Ili wawe wapinzani walitakiwa wafanye nini
@JoyceKabula-in1sh8 ай бұрын
Tunataka katibà mpya
@bongo397 ай бұрын
Haya hapo ni singida nyumbani kwao huyo tundu hamna hata watu
@nunikayuni63949 ай бұрын
Katiba mpya nisasa
@HumphreykirutuKirutu9 ай бұрын
Ahsante wasafi
@ndukulusudikucho_9 ай бұрын
Walio anzisha democracy Leo yanawatokea puani, democracy is there to preserve not to exercise, Nchi haiwezi kuwa na maendeleo huku kila mwananchi anaweza kuamua tu kesho tunaandamana, Nchi zote zinazofanya vizuri kwasasa hazina huu upuuzi, wengi wa wapinzani ni wasanii tu ni aibu kubwa kuwaachia Nchi Hawa, watu waliojaa ukanda , udini na kugawa watu na mitafaruku, hawa hawafai hata kuwa mabalozi au wenyekiti wa Mtaa
@FridayMwassa8 ай бұрын
Hii nchi ni ya watanzania siyo mali ya mtu
@cosmaswilliam38056 ай бұрын
Ni ya MUNGU@@FridayMwassa
@AthumanRashid-er2sj9 ай бұрын
😢😢😢😢
@ibrahimgwasma2359 ай бұрын
Sasa katiba mpya si muandike kwani mnashindwa?
@geey78939 ай бұрын
Tuliwaambia ile ndoa yenu na Bi Zuhura haifiki popote. Kiko wapiiiii??? Mtauwana kumamazenu😂
@HamisMghuna-fj3vz9 ай бұрын
Wajifia mnyampaa wa irisia,Lissu, mnyampaa wa Haki Tz Tozo petroleum hazishuki matbab juu
@HamisMghuna-fj3vz9 ай бұрын
Bila katiba haki hakuna vat Tozo petroleum sukar matbab juu maisha magumu tunadaiwa ni songesha huku jamaa,
@ameirzapy13189 ай бұрын
🤔 pole pole mvuto unapotea,,
@TwahirBurhan9 ай бұрын
UROHO WA MADARAKA TU HATA KUTAWALA NCHI UAMUWEZI
@helenakamenya86809 ай бұрын
Wewe choko la Samia tulia mgongwe vizuri
@TwahirBurhan9 ай бұрын
@@helenakamenya8680 WEWE ni kichaa tu kama HAO WENZAKO,NCHI hii haiwezi kuongozwa na WAHUNI tu walioshindwa kukiongoza kigenge Chao cha WAHUNI....Mh.Samia MITANO Tena...nyie MNAISHIA kuzurura MTAANI tu na maandamano yenu ya kibwege
@TwahirBurhan9 ай бұрын
@@helenakamenya8680 CHAMA CHA UPINZANI NI ACT WAZALENDO TU,CHADEMA MAIGIZO TU
@TwahirBurhan9 ай бұрын
@@helenakamenya8680 CHADEMA WAFUASI wake wote ni VIAZI tu,YAANI hata HATA UWEZO WA KUHOJI KWAMBA inakuwaje Chama kinaongozwa na MWENYEKITI mmoja Kwa MIAKA 20 HAMNA MMEBAKI kuburuzwa kama mabehewa ya Treni!!!!
@andrewmbwiga13899 ай бұрын
Reporter mnafiki eti kile wanachosema ugum wa maisha cjuii yeye haoni
@dullahkalanjedullahkalanje14229 ай бұрын
nchi ngumu ihi wajinga ndio watachukia ila wenye akili tunawasikiliza sana
@mbikamtanganaki8 ай бұрын
Wamama wanaburuzwa tu
@DanielKapaya-y7m9 ай бұрын
✌️✌️✌️
@ericinnocent-c9e9 ай бұрын
Siipendi chadema!ccm!act wazalendo,vyama vyote ivi nivyakisanii wezi wanapewa pesa nakutusaliti upinzani wa kwel upo zanzibar na awezi kutokea mpinzani kama seif hamad sharif ccm wez,zito mwizi na tapel fisadi na mbowe mshenz anahongwa hela ma kutusaliti watu hao niwana maigizo tu.
@daiqmull74749 ай бұрын
Sehfu Akuwa moinzani alikuwa anawazingua wananchi wa Zanzibar mpinzan hakubari cheo hewa kisicho maamuzi yeyote
@jongosalehe10369 ай бұрын
M4C
@NDEWARA9 ай бұрын
Huyu ni dikteta mkubwa sana. Anaamini yeye pekee ndiye anajua wengine wote ni wajinga😢
@TwahirBurhan9 ай бұрын
HAMNA JIPYA NYIE NJAA TU INAWATESA
@helenakamenya86809 ай бұрын
Njaa anayo anayekugonga wewe choko
@TwahirBurhan9 ай бұрын
@@helenakamenya8680 WEWE KIAZI TU KAMA VIAZI WENZAKO HAO!!?