TUNDU LISSU, MWABUKUSI WATEMA CHECHE SINGIDA "RAIS SAMIA ONDOA PICHA ZETU KWENYE MABANGO"

  Рет қаралды 27,172

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 42
@dullahkalanjedullahkalanje1422
@dullahkalanjedullahkalanje1422 9 ай бұрын
mwamba Mungu akulinde sana
@DoctorRengeda
@DoctorRengeda 9 ай бұрын
Mungu saidia hawa wanyonge haturudi nyuma✌️✌️✌️🇹🇿✍️
@magesamarembo
@magesamarembo 9 ай бұрын
Hongera mwamba
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 6 ай бұрын
Samia ataondolowa kwa katiba hii hii.tuchape kazi na kuomba MUNGU
@zamukahemele1505
@zamukahemele1505 8 ай бұрын
Mwabukusi mungu akupe umri mrefu
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 9 ай бұрын
Kifupi katiba ni ya msingi sana sababu viongozi wanahujumu sana lakini hakuna hatua inachukuliwa juu yao
@Madizizi
@Madizizi 9 ай бұрын
Mimi kumchagua kiongozi siangalii chama na angalia kiongozi bora lakini tundulisu hafai kuwa raisi milele
@Snoker101
@Snoker101 9 ай бұрын
Toa sababu
@SephaniaMsigwa
@SephaniaMsigwa 8 ай бұрын
Si akiri huna
@Madizizi
@Madizizi 8 ай бұрын
@@SephaniaMsigwa Asante
@BonifaceHassan-j5m
@BonifaceHassan-j5m 9 ай бұрын
Hakuna chama cha wapinzani, bali chama cha wakosoaji pale panapo potosha!
@FridayMwassa
@FridayMwassa 8 ай бұрын
Ili wawe wapinzani walitakiwa wafanye nini
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh 8 ай бұрын
Tunataka katibà mpya
@bongo39
@bongo39 7 ай бұрын
Haya hapo ni singida nyumbani kwao huyo tundu hamna hata watu
@nunikayuni6394
@nunikayuni6394 9 ай бұрын
Katiba mpya nisasa
@HumphreykirutuKirutu
@HumphreykirutuKirutu 9 ай бұрын
Ahsante wasafi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 9 ай бұрын
Walio anzisha democracy Leo yanawatokea puani, democracy is there to preserve not to exercise, Nchi haiwezi kuwa na maendeleo huku kila mwananchi anaweza kuamua tu kesho tunaandamana, Nchi zote zinazofanya vizuri kwasasa hazina huu upuuzi, wengi wa wapinzani ni wasanii tu ni aibu kubwa kuwaachia Nchi Hawa, watu waliojaa ukanda , udini na kugawa watu na mitafaruku, hawa hawafai hata kuwa mabalozi au wenyekiti wa Mtaa
@FridayMwassa
@FridayMwassa 8 ай бұрын
Hii nchi ni ya watanzania siyo mali ya mtu
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 6 ай бұрын
Ni ya MUNGU​@@FridayMwassa
@AthumanRashid-er2sj
@AthumanRashid-er2sj 9 ай бұрын
😢😢😢😢
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 9 ай бұрын
Sasa katiba mpya si muandike kwani mnashindwa?
@geey7893
@geey7893 9 ай бұрын
Tuliwaambia ile ndoa yenu na Bi Zuhura haifiki popote. Kiko wapiiiii??? Mtauwana kumamazenu😂
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 9 ай бұрын
Wajifia mnyampaa wa irisia,Lissu, mnyampaa wa Haki Tz Tozo petroleum hazishuki matbab juu
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 9 ай бұрын
Bila katiba haki hakuna vat Tozo petroleum sukar matbab juu maisha magumu tunadaiwa ni songesha huku jamaa,
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 9 ай бұрын
🤔 pole pole mvuto unapotea,,
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 9 ай бұрын
UROHO WA MADARAKA TU HATA KUTAWALA NCHI UAMUWEZI
@helenakamenya8680
@helenakamenya8680 9 ай бұрын
Wewe choko la Samia tulia mgongwe vizuri
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 9 ай бұрын
@@helenakamenya8680 WEWE ni kichaa tu kama HAO WENZAKO,NCHI hii haiwezi kuongozwa na WAHUNI tu walioshindwa kukiongoza kigenge Chao cha WAHUNI....Mh.Samia MITANO Tena...nyie MNAISHIA kuzurura MTAANI tu na maandamano yenu ya kibwege
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 9 ай бұрын
@@helenakamenya8680 CHAMA CHA UPINZANI NI ACT WAZALENDO TU,CHADEMA MAIGIZO TU
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 9 ай бұрын
@@helenakamenya8680 CHADEMA WAFUASI wake wote ni VIAZI tu,YAANI hata HATA UWEZO WA KUHOJI KWAMBA inakuwaje Chama kinaongozwa na MWENYEKITI mmoja Kwa MIAKA 20 HAMNA MMEBAKI kuburuzwa kama mabehewa ya Treni!!!!
@andrewmbwiga1389
@andrewmbwiga1389 9 ай бұрын
Reporter mnafiki eti kile wanachosema ugum wa maisha cjuii yeye haoni
@dullahkalanjedullahkalanje1422
@dullahkalanjedullahkalanje1422 9 ай бұрын
nchi ngumu ihi wajinga ndio watachukia ila wenye akili tunawasikiliza sana
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 8 ай бұрын
Wamama wanaburuzwa tu
@DanielKapaya-y7m
@DanielKapaya-y7m 9 ай бұрын
✌️✌️✌️
@ericinnocent-c9e
@ericinnocent-c9e 9 ай бұрын
Siipendi chadema!ccm!act wazalendo,vyama vyote ivi nivyakisanii wezi wanapewa pesa nakutusaliti upinzani wa kwel upo zanzibar na awezi kutokea mpinzani kama seif hamad sharif ccm wez,zito mwizi na tapel fisadi na mbowe mshenz anahongwa hela ma kutusaliti watu hao niwana maigizo tu.
@daiqmull7474
@daiqmull7474 9 ай бұрын
Sehfu Akuwa moinzani alikuwa anawazingua wananchi wa Zanzibar mpinzan hakubari cheo hewa kisicho maamuzi yeyote
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 9 ай бұрын
M4C
@NDEWARA
@NDEWARA 9 ай бұрын
Huyu ni dikteta mkubwa sana. Anaamini yeye pekee ndiye anajua wengine wote ni wajinga😢
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 9 ай бұрын
HAMNA JIPYA NYIE NJAA TU INAWATESA
@helenakamenya8680
@helenakamenya8680 9 ай бұрын
Njaa anayo anayekugonga wewe choko
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 9 ай бұрын
@@helenakamenya8680 WEWE KIAZI TU KAMA VIAZI WENZAKO HAO!!?
@masanjamasaga5498
@masanjamasaga5498 9 ай бұрын
🇹🇿
Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano  yasiyokuwepo"
32:08
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Mahojiano kamili na Balozi Masilingi na Mbunge Tundu Lissu
8:42
VOA Swahili
Рет қаралды 472 М.
CHADEMA WAWAALIKA CCM KWENYE MAANDAMANO SINGIDA
4:37
Wasafi Media
Рет қаралды 3,5 М.
MOTO WA TUNDU LISSU SINGIDA KASKAZINI JIMBO LA NYALANDU
13:05
Chadema Media TV
Рет қаралды 5 М.
WATU 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA KWA MAUAJI KATAVI
4:19
Wasafi Media
Рет қаралды 1,9 М.
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН