Asante sana mtu wa Mungu mtu wa watu Mzalendo Mwabukusi.Mimi nakuelewa sana ndugu, Nakuombea siku zote kila hatua uendayo! Tuendelee kupambana kwa umoja na kutakucha, Watanzania tuamke tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tumkatae shetani ccm na vibaraka wake wote uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais! Msiwapigie kura hawa ccm genge la wezi, majambazi, mafisadi, majizi, majangiri ya rasilimali za Tanganyika.
@ramsohk5 ай бұрын
Mh shimiwa mwabukusi kweli we una hekma kwa kuijali adhana mungu akurehem
@BonaBonala-bp5qm5 ай бұрын
Nimefurai Sana mwambukusi kuunga juhudi za Mungu na za tundu lissu ubarikiwe mwambukusi njoo cdm
@NeemaMerinyoАй бұрын
Mungu akupe maisha marefu wewe ni mbeba maono wa watanzania
@TanganyikaChakupewa2 ай бұрын
Mwakabusi mungu akulinde sanaaa ❤❤
@othmarluwawilo83085 ай бұрын
Tunataka viongozi wa aina yenu. ❤ you!
@abdalahgunda13195 ай бұрын
Matiriol voice lndipendet privet advocate mwabukusi voice without fear open Tanzania maindset enough tanzania people understand him vary clear team work together with tundundulisu who engineering underground rengforce unity together as the tem work
@evelynmwaimu-vd9jo5 ай бұрын
Perfect chemistry
@rashiditembo15745 ай бұрын
Mwenyezi mungu akulipe mwambukusi
@admaumsengi42305 ай бұрын
Uko saw kamanda respect
@philemonmshomi44845 ай бұрын
Piga kazi MWABUKUSI advocate iko siku majizi yataelewa tumeonewa saana
@EdwinCharles-o8f5 ай бұрын
😮upo sawa
@StevenMtambo5 ай бұрын
Mh,,kaka,mkubwa mwabukusi nakuomba ,nakuomba,nakuomba sana uwe ni mmoja Wana wa chdema kwani nafasi yako naona kama utafiti sana ndani ya chama please kaka mkubwa mwabukusi nakuomba nakuomba nakuomba najua liko kusudi Kwa wewe nisamehe kwahilo kaka
@AndrewYohana-bq8sj5 ай бұрын
kiukweli Chadema wako very open.waambieni ukweli watawala wetu, wanajisahau sana.vyakula vipojuu wao wanajisifia kujenga shule wakati waalimu hakuna.
@GiftBatista-u9l5 ай бұрын
Agree you too
@prospermalala66365 ай бұрын
IQ kubwa ulizonazo kichwani mwako MH Boniface mwambukusi wakili msomi umekuwa mwanga unaomulika maisha ya watanganyika waliowengi, wameanza kuona mwanga huko tuendako Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha jamiii iliyopo mbele yako 🌹🌹🌹🌹🌹🙏🙏🙏
@ahmedalbalooshi85185 ай бұрын
Mwakabusi uko vizuri
@HaulSidney5 ай бұрын
Facts
@SundaySteven-bz4yq5 ай бұрын
Asante sana mwabukusi tunakuomba Kwa mahubili Yako hata ambae Hana maono ame elimika tungeomba uje Kagera ndipo Kuna wanainchi wenye miti kwenye masikio Kila uchaguzi wanachagua hao wezi wa lasilimali za watanganyika
@JacksonFrances5 ай бұрын
Wakili Kama Wakili Mwabukusi Upo Sahihi Kabisa Tifa Letu Linahitaji Mabadiliko Yenye Maamuzi Magumu. Upande Wa Pili Wanaitafuna Nchi Wakiwa na Furaha Tele"
@fredrickwiliam61765 ай бұрын
Mwabukusi na lissu , vijana wa singida tuko pamoja na nyiee
@PoulFred5 ай бұрын
Daa madini ya huyu mwamba ni hatari sana
@AdamMkunga5 ай бұрын
Huu ndio uthubutu unaotakiwa ili kuipeleka Tanzania kwenye UHURU NA MAENDELEO YA KWELI
Naona afande anatamani kunyosha mkono lakini bhuuu!!!!
@godfreyfrancis10135 ай бұрын
❤ M4C
@PaulTajiri-i6b5 ай бұрын
Umekosea njia ccm itakuwa Hadi dacika ya mwisho kwanza wewe Fanya kampeni enye busara Fanya kampeni enye hakuna matusi
@yassinnabwera42735 ай бұрын
Kilicho na mwanzo lazima kiwe na mwisho,hata JKNyerere alisema;CCM sio mama yake anaweza kuiacha,sasa endelea kuamini hicho unachokiamini.
@FridayMwassa5 ай бұрын
Mbona mimi sijasikia tusi lolote
@Felix-e6t4m5 ай бұрын
asante sana mwabukusi tunataka watanganyika wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tusidanganywe na wanasiasa na CCM ya Samia na wajomba zake waarabu awa niwezi wa nchi yetu wenu ni simba sauti ya wanyonge tushikane mikono tukatae ukoloni
@albertkamala68435 ай бұрын
MBEBA MAONO..SINGIDA WAMEKUELEWA KAMA WALIVYOKUELEWA KWINGINE NA WANANCHI WATAKAVYOZIDI KUKUELEWA!
@mohamedismail13765 ай бұрын
Kama humuelewi nenda shele tena
@YusufSwaibu5 ай бұрын
Acha ubwege mchungaji unawadanganya watu wasio kuwa na elimu juu ya bandali elimisha kuuza na kutoza uongo na unafiki wako toa neno kujita mchungaji unatia aibu wachungaji wanao hubiri neno la mungu ww mhuni tu
@erickmsigala1385 ай бұрын
Wewe una elimu gani? Zaidi ya kinyesi kukaa kwenye ubongo