Wajnga kama mm hatutomuelewa tutamtus na kukomet ujinga ushangaee mh LISU mungu yuko naww❤❤❤🎉
@bockerNyarusahi16 күн бұрын
Ujinga ni tatizo la hii Nchi mkuu
@ShewaiKiondoАй бұрын
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu rizki nyingi afya nyema ili uzidi kuwatetea wanyonge
@simonshija2476Ай бұрын
kusema mtu anatimu ndo kutetea!
@jesaminzo18 күн бұрын
@@simonshija2476 huwezi mwelewa Tundu Lissu kwa sababu ubongo wako umechanganyikana na wadudu aina ya chawa
@EzekielMatimbwiАй бұрын
Wananchi wa nchi hii nisawa na mpira mbovu, utakakopgiwa ndiko utakakoelekea
@Paulkessy-j8n7 күн бұрын
Umeongea ukweli raisi wangu wa siku zote
@nuruworldinsight295716 сағат бұрын
Ndo maana hii mizigo mikubwa ya KODI na TOZO wanayotubebesha kila uchawo haiwezi kupungua na kuisha , kwa huu ubadhirifu wa kutisha 😢😢
@FaustineJololo22 күн бұрын
Wanichi wa tanzania hatutakua waelewa hata tusome kumaliza madrassa na vyuo vyote yani nibora liende naserekal yetu hatuk kubadirka tutanyoka 😅😅😅😂
@SureJR-yd3zmАй бұрын
Hapo umeongea vizuri mzee
@nuruworldinsight295715 сағат бұрын
Huyo Mwingulu alitumbuliwa na Mwendazake kwa mambo hayo hayo ya mpira na ushabiki wake ulopitiliza kwa Yanga. Kwanza akamuonya ,chagua moja kati ya mawili ! Aidha chagua ushabiki wako wa mpira Au fanya kazi ya serikali kwa kuwatumikia wananchi Akaendelea kushupaza shingo ... 😅😅😅
@KassimSalim-fi1me23 күн бұрын
Wanaibua vipaji kipindi cha nyuma timu ilikuwa simba na yanga tu saiv mpira umekuwa asantn viongz wetu
@robertlary6007Ай бұрын
Mhe. Lissu 😄😄😄 Wenzako wanamiliki team za mpira ili vijana wapate ajira kupitia talents walizobarikiwa na Mungu, Kazi Iendelee 🇹🇿 #NasimamanaSamia
@AlbertLemauАй бұрын
Hzo Hela za kumilik team wanazitoa wapi , ukilinganisha na mishahara wanao lipwa Serikalini ??? Njoo Kwa hoja amby haitakuaibisha
@DeograsiadNsembeleАй бұрын
Ilike your presentation
@user-bx3kl4hn6j25 күн бұрын
Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@lucasdominick32562 күн бұрын
kweli
@masoudalriyamy629824 күн бұрын
Maneno hayo wanasiasa yanakuhusuni maneno mazito hayo maneno hayo ambizaneni mkaa pamoja msioneane haya
@user-qd7pn2bt7iАй бұрын
Wanyiramba tubadilikeni hawa CCM kero tupu
@PatsonMbughАй бұрын
Osptl biashala zaudi
@masoudalriyamy629824 күн бұрын
Dhambi mwanasiasa kumiliki timu wakati wa mwalimu alikua mwanasiasa hata biashara haruhusiwi kutokana na kuogopa wasitumie wadhifa wao kwa mali za uma
@NtanduNjiku-ck4kwАй бұрын
Watanzania wanechoka ccm,leteni Sera zinazomgusa mwananchi dola mnaipata bila shida,fenyeni tafiti za kisiasa na mwelekeo wa upepo wa kisiasa,punguzeni matusi wapeni nafasi wanchi kusema wale wanayohitaji hakika mtaibuka kidedea
@salumsaid7301Ай бұрын
Amechemmmmmkaaaaaa kwakweli
@nunumrisho654822 күн бұрын
Na Bashingwa nae anaandaa Tim ya mpira
@ShundeBajuta-xn6yp26 күн бұрын
Kazi wameisahau bali wanajaribu kufanya udanganyifu
@JeradiMwalingoАй бұрын
Mpaka mama nae ana timu jaribu kuitafuta itaipata
@MrishoMzelela-xb9bbАй бұрын
Yanga sc
@clemencemkondya8561Ай бұрын
Acha porojo na kusema wenzako .Hizo ndiyo Sera za kutaka nchi .Wewe ultimate kuwa mbunge miaka kumi ulifanya nini?Tundulisu kila
@charlesmsengi332Ай бұрын
Facts
@mohamedkidamiharo4887Ай бұрын
Kwa hilo la mwigulu daa nauli zilipandishwa mama yupo nje pesa zinalipa wachezaji
@nuruworldinsight295716 сағат бұрын
Ndiyo maana yake
@Reynoldsmgaya29 күн бұрын
Hii nchi ina mambo yake tuuh tuyaache
@user-bx3kl4hn6j25 күн бұрын
Ni ufisadi2 uliopo ndani ya ccm
@justinjasson707029 күн бұрын
Kumiliki timu ya mpira sio dhambi, umekosa hoja
@paulombay6884Ай бұрын
Watanzania wanapenda mpira ko kura zipo hapo mzee
@MartinGao-pq3edАй бұрын
Huyu mtu Hana jipya staafu siasa uheshimike
@user-wh9zj7kf7hАй бұрын
Kwani shida nini tunahitaji sokaikue
@user-pk4qq6kn9c23 күн бұрын
Hakuna sera hapo ni ujinga tu
@Man_of_valorАй бұрын
Where are the policies?
@suleymanmrutu9498Ай бұрын
Wewe hunahoja bn achakuingilia mpira kamahujui watu wamepata ajira na niwengisana nahapa ndiotunapandisha sokaletu hayo mengine nimawazoyakotu achawatu wampira wafanyemambo yampira wewe kwenyempira haupo ndiomana unatafuta kiki kupitia mpira
@ce-08Ай бұрын
Shida sio watu kupata ajira watu pesa wametoa wapi za kununua timu ya mpira watu wanaficha hela walizoiba huko
@ramadhankhamis886Ай бұрын
Mwisho utakodi watu wa kukusikiliza
@JumaKiyogomoАй бұрын
Ongea sera
@user-eg9jq5ny3n10 күн бұрын
Mzee chizi huyu
@user-jx3yi9ci7gАй бұрын
Kuna ubaya gani kumiliki team?hapo umechemka
@NtanduNjiku-ck4kwАй бұрын
Pambana lisu
@alisuleiman303Ай бұрын
Hapo unachemka ujue ulitaka wafanyeje kwa jamii
@RehemaSalum-vp6rf25 күн бұрын
Uyo mama enu kazi yake kuzulula tu ... Ajali lolote
@alyakida526213 күн бұрын
Ww uliekuwa huzururi umo ndani tu hutoki toka ulipozaliwa unajali familia yako ?
@ChristerKokuАй бұрын
Tuelimishe,ni makosa viongozi kumiliki timu za mpira?
@mohamedkidamiharo4887Ай бұрын
Mwigulu alipokua wazili awamu ya tano ikapanda singida alipotolewa ikashuka alipolidishwa ikawa big star sasa kanunua ihefu
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Haihitaji Elimu ya chuo kikuu, mtu wa kawaida huwezi kumiliki timu ni gharama sana inahitaji fedha ya kutosha. Usajiri tu ni hatari ndugu, Ihefu wapo mapro wengi kwa mwezi sio chini ya Miloni 100 na zaidi.
@jessalmas2122Ай бұрын
hawa jamaa wanatuibia pesa zetu hawafai kuiongoza nchi yetu ccm niwezi yani ccm ni kama familia ya panya
@NtanduNjiku-ck4kwАй бұрын
Usichukie mwigulu kumiliki timu,kaka pambania hoja za msingi ,Kama maji ,vyuo singida hakuna hata chuo kikuu singida vyuo vya Kati hakuna,viwanda,
@user-bx3kl4hn6j25 күн бұрын
Ameuliz2 anabiashara gani mpka aweze kumiliki tim ilo ndio swali lake km unalo mjibu
@nuruworldinsight295716 сағат бұрын
We mpuuzi MWENYE ufinyu wa fikra Hujui kumiliki kwao timu ndio sabab ya wewe kukamuliwa Kwa KODI na TOZO kuongezewa kila wanapojisikia ! Kusoma hujui je hata picha huoni ?
oja ya msingi pesa wa mezitoa wapi ya kumiliki timu viongozi wa sele kali au auja muwe lewa miliki timu kama una weza mmiliki kocha uchebe uwone zinduka wewe
@nuruworldinsight295715 сағат бұрын
@@user-md7sd3hk6l Vilaza kama hawa ndo wamejaa KIBAO hawana wanalolijua juu ya mustakabali wao wa maisha Afu wengi wao ndo walalaHoi, yaani wana tuchelewesha kinoma ! Hajui kama yeye mpiga Kura ana haki ZAKE za msingi inabidi azipate kupitia viongozi hawo wa serikali ndio maana kipindi cha uchaguzi anafuatwa kuombwa kura akiahidiwa aahadi KIBAO atafanyiwa. Lkn baada ya kuwapa Kura yake AHADI hizo zinaota mbawa anachoambulia ni ONGEZEKO la TOZO na KODI kila uchao !!!
@sebastianbenedict3090Ай бұрын
huna hoja mpira ni burudani tu
@emmanuelkamoli8215Ай бұрын
Huelewi
@georgesteven518521 күн бұрын
Akili kisoda ww
@user-uo2wh3rk3j17 күн бұрын
Tumbon kaweka nin
@nuruworldinsight295716 сағат бұрын
Kama lile aliloweka babako , kamulize babako akikujibu 😂😂😂
@alfanmussa3041Ай бұрын
Akuna kitukibaya kama kufiliska kifikra
@ThobiasAlex-ez6fjАй бұрын
Watanzania wengi bongo zetu zimeharibika,sasa unataka sera gani?
@samwelsimon7392Ай бұрын
@@ThobiasAlex-ez6fjubelgiji ndio chaguo lake
@AmmyMakita-bt4ipАй бұрын
Kwakwel anapatia hela wap jaman
@SaidAdam-xw3jhАй бұрын
Hapo umechemka
@KassimSalim-fi1me23 күн бұрын
Wee umekaa mbunge singida miaka ata kisima tu hukuchimba kazi yako ilikuwa kukosoa
@mbikamtanganakiАй бұрын
Na wewe una miliki Nini , wakala wa mashoga au unafikir ujulikan