Ila TRA pia wananyanyasa sana w/biashara..mpaka wengine kukimbia nchi na wengijne kujiua..TRA wanakuja na vitisho vingi mnoo..wekeni system ambayo software yake inasoma TRA- Yusufu you need to come up with a strategy and employ Software graduates watengeneze hii system so you dnt have to run up and down with files to do your collections..Tanzania has to wake up!!
@richkaja33173 ай бұрын
Mama ongea kwa ukali acha hurumaa huruma sio malezi
@dillonfoya3 ай бұрын
Unafanyaje Kazi TRA alafu unaonekana huna uzito kweli umesema fedha zinakusanywa lakini mifuko ni mingi serikali inaambulia kiduchu
@showshowtv18543 ай бұрын
Nenda kafanye kazi yussuf
@richkaja33173 ай бұрын
Samia ugejua mapema wabongo tugekua bali sanaa
@geoufo28583 ай бұрын
Kauli kama hiz ndo tunaitaj Kwa raisi
@FredrickCharles-bc4fo3 ай бұрын
Nilikua simwelewi ila hapa magufuri kamuacha mtu wa maana mungu akupe miaka mingi mama
@EmmanuelChrispin-bo5xh3 ай бұрын
Kichwa chahabari tu kinatufanya tusiendelee kungalia habariyenyewe kwn si ameokolewa asidate