No video

WASIA WA SHEIKH NASSOR BACHU ENZI YA UHAI WAKE KWA SHEIKH KISHK

  Рет қаралды 127,257

Kishki Online TV

Kishki Online TV

Күн бұрын

Khutba ya Ijumaa uliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Sunnah Kikwajuni Visiwani Zanzibar Tanzania Tarehe 10/06/ 2011 . Nasaha za Sheikh Bachu Baada ya khutba. ni nasaha gani fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.

Пікірлер: 253
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 3 жыл бұрын
Allah awajaalie waliokua katika huu smikitu wote waliotangulia mbele yahakk Awajaalie minalfaizin na sisi tuko nyuma yao atupe mwish mwema👐👐👐😭
@NoorAli-vj4gn
@NoorAli-vj4gn 3 жыл бұрын
Ameen thumma ameen
@rayaahamad5502
@rayaahamad5502 3 жыл бұрын
Aaaaamiiiin
@abuuamourmuhamed1934
@abuuamourmuhamed1934 Жыл бұрын
Aamin Aamin
@mohammedjumakhamis8151
@mohammedjumakhamis8151 3 жыл бұрын
Wallahi nilikosa bahati kubwa ya kuonana na shk Nassor Bachu ya!Allah tujaalie tuonane pamoja peponi
@abbubakarmfinanga57
@abbubakarmfinanga57 3 жыл бұрын
Amn amn
@halmatsembe3037
@halmatsembe3037 3 жыл бұрын
Alahuma aamiin
@sakinat2527
@sakinat2527 3 жыл бұрын
Amiin
@ibrahimabadi6498
@ibrahimabadi6498 Жыл бұрын
@@sakinat2527 assalam aleikum
@sakinat2527
@sakinat2527 Жыл бұрын
@@ibrahimabadi6498 wa alaykum salaam
@ismailm325
@ismailm325 3 жыл бұрын
Sheikh wangu bora kwa miaka yote Nassro Bachu, Allah amjaaalie malipo mema
@jamalathman6219
@jamalathman6219 3 жыл бұрын
Mashallah Allah atuzidishie furaha amrehemu sheikh nasoor bachu amlaze pema penye wema peponi
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 3 жыл бұрын
Ameen....
@hassanbaseme7579
@hassanbaseme7579 3 жыл бұрын
Amiiin
@Truthshallprevail1291
@Truthshallprevail1291 3 жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh Nassor Bachu. Allahumma Amin انا لله وانا اليه راجعون اللَّهُمَّ اغْفِرْ لَهُ ، وارْحمْهُ ، وعافِهِ ، واعْفُ عنْهُ ، وَأَكرِمْ نزُلَهُ ، وَوسِّعْ مُدْخَلَهُ واغْسِلْهُ بِالماءِ والثَّلْجِ والْبرَدِ ، ونَقِّه منَ الخَـطَايَا، كما نَقَّيْتَ الثَّوب الأبْيَضَ منَ الدَّنَس ، وَأَبْدِلْهُ دارا خيراً مِنْ دَارِه ، وَأَهْلاً خَيّراً منْ أهْلِهِ، وزَوْجاً خَيْراً منْ زَوْجِهِ ، وأدْخِلْه الجنَّةَ ، وَأَعِذْه منْ عَذَابِ القَبْرِ ، وَمِنْ عَذَابِ النَّار .. اللهم آمين يارب العالمين
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Ya Rabiii muweke Sheikh nasoor bachu katika pepo ya Firdausi nuzulah ya Allah msamehe Kwa yake mapungufu kwani hakuna Alo kamilika ispokuwa wewe amiin 🤲 ya Allah
@mussakarata6831
@mussakarata6831 2 жыл бұрын
😢😢😭wanllah sijapatapo kumsikiliza na kumuelewa shekh yeyote ispokua shekhe nasoro bachu Allah amlipe maripo makubwa mno juu ya mawaidha yake yanayoishi kiboko ya washirikina na wapenda vya kuzusha
@maimunahassan5047
@maimunahassan5047 3 жыл бұрын
MashaAllah,Allah amjaaliye sheikh Nurdin kishk maisha marefu na afya njema,Allah amrehemu sheikh Nassor bachu na amjaaliye Jannatul firdaus iwe makao yake
@hadijamushi8674
@hadijamushi8674 3 жыл бұрын
maashaAllah Mwenyezi Mungu amrehemu sheikh wetu sheikh NASSOR BACHU, NA awaongoze mashekhe wetu ,awape afya ili tuzidi kupate neema ya ilmu
@faizanassor6336
@faizanassor6336 3 жыл бұрын
Mashallah mashallah Allah barqi masheikh wetu allah awajaliye afya njema awaifadhi awape furaha ya dunia mpaka kesho akhera allahuma meen 🤲
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 3 жыл бұрын
Allahumma Amiin🙏
@issaramadhan4015
@issaramadhan4015 2 жыл бұрын
Allahummaghufirlahu warhamhu
@arifsaid8080
@arifsaid8080 3 жыл бұрын
INNALILLAHY wainna ilayhi raajiun. Ukiskiliza Daawaa ya Marhoum Sheikh Nassor utahis kua kama imerikodiwa masaa machache.. DUA YA MWENYE KUDHULUMIWA MALEZI YA WATOTO AHKAAM JANAIZ RIYAADH SWAALIHYN... Allah amjalie nuru ktk kbri yake.....
@mohammedmoshe6622
@mohammedmoshe6622 3 жыл бұрын
^INSHAALLAH^ ^ALLAH^{Subhaanahuu Wataala} AMREHEMU Sheikh Wetu, Na Ampe 'JANNATUL-FIRDAUS' AMEEN!!!!!
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 3 жыл бұрын
😭😭😭🤲 Allahumma Amiin🙏
@sakinat2527
@sakinat2527 3 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@abouswaleh7375
@abouswaleh7375 3 жыл бұрын
Amiiiiiiiiiiiiiiiiin
@NoorAli-vj4gn
@NoorAli-vj4gn 3 жыл бұрын
Ameen
@abouswaleh7375
@abouswaleh7375 3 жыл бұрын
NAMPENDA SAANA sheikh bachu😭😭😭😭😭😭😭😭... ALLAH amuonee HURUMA YEYE Na SISI viumbe dhaifu
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 3 жыл бұрын
Yaan mie kanibadilisha moja kwa moja Nasoro bachu hakika anafungu kubwa mno.
@ibnzabura4433
@ibnzabura4433 3 жыл бұрын
wallah moja ktk mashekhe walionitoa gizani na kunileta ktk nuru ni huyu kipenzi wa waislam si tu Tanzania au est Africa lakini arabuni na kwengine duniani ni sheikh nasro bacho Allah amrehemu na wanachuoni wengine wote wa dini hii tukufu.
@zezezeze8408
@zezezeze8408 3 жыл бұрын
Ameen ya Rabb l Alameen.......mm nampenda haswaaa maana nikiskia mawaidha yake najifunza mengi ....Allah ampe nuru kwenye qabri lake ....Ameen
@ahmadsaid5845
@ahmadsaid5845 3 жыл бұрын
Duh kumbe tupo wengi nassor bachu nampenda kuliko maelezo natamani ningalihudhuria darsa zake moja kwamoja...mana huyu jmaa aliiisimamia haki kisawasawa na anajua kufanya daawa..maashallah huyu jamaa ni jamaa aliejaaliwa b
@user-jw7dv8wp2w
@user-jw7dv8wp2w 3 жыл бұрын
Mashalla.shekh.nurdin.mungu.awape.mwishomwema
@saidikingazi1995
@saidikingazi1995 2 жыл бұрын
Allah nimlinzi mkubwa kwawaja wake na tunakuomba utujaalie kher nyinyi sisi pamoja na masheikh zetu, na vilevile umlehemu Sheikh wetu Nassoro Bachu, pamoja na marehemu wengine waliotangualia mbele za haq, Allahuma aamiin.
@aminaibrahim7175
@aminaibrahim7175 3 жыл бұрын
I love shekh nassor bachu, Allah amjaalie jannatul firdous
@abdulaboud3849
@abdulaboud3849 3 жыл бұрын
Kwani alikufa lini
@abubakarmeena6429
@abubakarmeena6429 3 жыл бұрын
Sheikh nassor bachu kafariki mwaka 2013
@halimaramadhan2975
@halimaramadhan2975 3 жыл бұрын
Allah amrehemu amjalie pepo firdous iwe makaaz yake yey Pamoja na masheik wote waliotangulia
@mohammedjumakhamis8151
@mohammedjumakhamis8151 3 жыл бұрын
Shk Nassor Bachu rahimahullah
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 3 жыл бұрын
Allah amrehem sheikh nasor bachu na waislam wote waliotangulia mbele za haki!...huu ni upendo wa juu xana
@abdulaboud3849
@abdulaboud3849 3 жыл бұрын
Alikufa lini
@user-iw8qg2kx7k
@user-iw8qg2kx7k 3 жыл бұрын
رحم الله شيخ ناصر باش وأسكنه فسيح جناته، وحفظ الله شيخ نور الدين كشك من كل شر الدنيا والآخرة.
@anasmalongo6449
@anasmalongo6449 3 жыл бұрын
امين
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Ameen
@mamymdogomamy3670
@mamymdogomamy3670 3 жыл бұрын
Innahillahih wainnalillah rajhun Allah amjalie makazi mema 🙏🙏
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n Жыл бұрын
Alhamndulillah waswalatu wassalam ghalaa sayyidina MUHAMMAD (s.a.w) waghalla alihi waswahabihii al iqram.......Yaa Rabbi mwenyeezi MUNGU wetu mtukufu uliyeumba mbingu na ardhi pmj na kila kilichomo, Ya RABBI nakuomba msamehe makosa yake sheikh NASSOR BACHU, umsamehe makosa yake, umtanulie kaburi lake, umueke jirani na kipenzi chetu MUHAMMAD (S.a.w) pamoja na wema waliotangulia, umvishe mavazi ya peponi na umjaalie pepo ya daraja la mwanzo kuwa ni makazi yake! kisha mjaalie na umlipe kheri sheikh NURDIN KISHKI pamoja na familia yake, umfanyie wepes ktk kila jambo lake, umzidishie subra pale anapokwazika au kuchoka, umjaalie kizazi chema, umpunguzie machofu na kila jema nlilosahau kulisema haa Rabby uwajaalie na utuongoze sote waislam kuyafanyia kazi wanayotukumbusha......uwarehemu maiti wetu wote waiotangulia na maiti wa kiislam, utusamehe makosa yetu ya vizazi vilivyopita tulivyopo na vitakavyotokana na sisi.......tujaalie kudumu ktk ibada sisi na vizazi vyetu......amin yarablghalamin....
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 3 жыл бұрын
😭😭😭Sheikh Bachu allah akupe kheri na baraka huko uliko nawapendeni saaaaaaaaana pamoja na al Akhi kishki MaashaaAllah Machozi yanitoka😭😭 nafuraha inaniongezeka saaaaana MaashaaAllah MaashaaAllah MaashaaAllah
@kulthumkadir2636
@kulthumkadir2636 2 жыл бұрын
Amin Allah ampe ma Kazi mema shehe wetu huko aliko nasoro bachu na shehe kish ampe afia njema na uwezo Zaid azid kutufuza
@greatiq7835
@greatiq7835 3 жыл бұрын
Sheikh Nassor Bachu.. Mzinduzi wa nyoyo za WAISLAM kuamkiana KIISLAM(Asalaam alaykum)! Allah ghfir lahu. Wa rhamhu. Wa skanhu fil Jannat. Amin!
@professerayyub4825
@professerayyub4825 3 жыл бұрын
Allah amjalie both masheikh wetu kishki na mkongwe sheikh wetu mwalimu mwetu sheikh fetheran nassor bachu.....walai I never us d to get tired of his daa'wah Allah hifdhak wote maa sheikh wetu inshaAllah 🙏♥️
@ahmadisaid9304
@ahmadisaid9304 2 жыл бұрын
Wallahi machozi yamenitoka Allah akupe nuru shekhe wangu sichoki kusikiliza maneno matamu kabisa ya shekhe wangu naona kama yuhai Allah akupe pepeo amin
@abdallahjuma4397
@abdallahjuma4397 3 жыл бұрын
Ni ngumu kwangu kupitisha siku bila kumsikiliza Alsheikh Nassoro Bachu, Allah amrehemu namuomba Allah anikutanishe naye peponi
@yahayaamiri1253
@yahayaamiri1253 3 жыл бұрын
AMIN, Naimani ALLAH atakapoijibu dua hii atanipa mithili ya wewe ulivyomwomba
@yahayaamiri1253
@yahayaamiri1253 3 жыл бұрын
AMIN, Naimani ALLAH atakapoijibu dua hii atanipa mithili ya wewe ulivyomwomba
@saumuseif9189
@saumuseif9189 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Allah amrehem shekhe nasoro Bach
@abouswaleh7375
@abouswaleh7375 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭NAMPENDA SAANA WALLAH😭😭😭
@IngabireAisha3813
@IngabireAisha3813 3 жыл бұрын
Allah marham kipenzi chawengi ninawapenda kwa ajili ya Allah namuomba Allah atukutanishe ndani yapepo tul Firidaus
@Fahad_alves1212
@Fahad_alves1212 2 ай бұрын
2008 hii siku nilisali nje kabisa msikitini Skh Nassor alikua tayar umeanza kuumwa hapa na alikua hapandi membar tena "ALLAHUMA IGHFIRLAHU WARHAMHU" 🙏
@ndalusanzekassim5902
@ndalusanzekassim5902 3 жыл бұрын
Mashallah! Mwenyezimungu amjalie kauli thabit shekh Nassoro Bachu yarab ameen
@Fahad_alves1212
@Fahad_alves1212 2 ай бұрын
Ila Shekh Nassor alikua anachukia sana haya mambo yakutukuzwa tukuzwa kama hivi anavofanyiwa sh Kishki Allah awahifadhi wote inshallah
@user-cq7vr1mo3o
@user-cq7vr1mo3o 3 жыл бұрын
Maasha'allaah Allaah amrehemu Sh Bacho
@faizahamim2799
@faizahamim2799 3 жыл бұрын
Manshallah ALLAH ampe shifaa sheikh nassor bachu amzidishiye afya na pia masheikh wetu nyoote ALLAH akujaaliyeni mwisho mwema insha ALLAH
@naimaally7072
@naimaally7072 3 жыл бұрын
Sheikh nassor bachu ni maruhum mda mrefu sana takriban miaka kumi au kumi na moja Allah amrahamu
@faizahamim2799
@faizahamim2799 3 жыл бұрын
@@naimaally7072 Kweli? ALLAH amrehem amfunguliye milango ya pepo firdaus insha ALLAH
@daatyabdul652
@daatyabdul652 3 жыл бұрын
waallah nampenda shekhe bachu Allah amsamehe na ampe pepo ya daraja ya juu
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Masikini bachu wallahi bachu hata hakuwa na mikogo kama mliyoendanayo nyie na paka leo hajapatikana wa kuvaa viatu vyake inshallah tunamuomba Allah atupatie mfano wake wallahi masheikh sasa hivi wengi wanapambana na dunia tu.
@Fahad_alves1212
@Fahad_alves1212 2 ай бұрын
Very true
@muddyyussuf
@muddyyussuf 3 жыл бұрын
Allah ampe pepo za darja ya juu Sheikh Nassor Bachu
@tundahatibu6738
@tundahatibu6738 3 жыл бұрын
Sheikh nasoro bacho mungu amrehem nampenda Sana kwa ajili ya Allah
@saumuseif9189
@saumuseif9189 3 жыл бұрын
Shekhewetu kishk Allah akupe umri mrefu
@alimsabah4921
@alimsabah4921 3 жыл бұрын
Mashalla ALLAH amrehem sheikh Nassor maalim daayy mkubwa Afrika Mashariki Sheikh Nurdiin umeshuka Sana kwwnye daawa jitahd urud Kama mwanzon
@ibnkhaldun1164
@ibnkhaldun1164 3 жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh Nassor Abdullah Bachoo. Kwa hakika nimestafeed vitu vingi Kwake.
@abdulaboud3849
@abdulaboud3849 3 жыл бұрын
Alikufa lini kwani
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 жыл бұрын
Inalillahi wainailahi rajuun shehe Nnasor Allah akujaalie pepo lnshallah umetuachia mawaiza yanatufundisha Allhamdulillah utazani upo Hai ❤️❤️❤️❤️😭😭😭😭
@BABYRAMAMINA-rj4vy
@BABYRAMAMINA-rj4vy Жыл бұрын
Mashaallah namuomba mungu ampe afuen ya haraka na kishk mungu amhidi na wototo wa kisilamu inshaallah
@aishafarah2456
@aishafarah2456 3 жыл бұрын
Allah amraham Sheikh wetu Nassor Bacho
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 3 жыл бұрын
Sas hiz video zilifutwa ee au zulikua hazijawekwa youtube Mashallah mwil unanisisimka watu wanavomfurahikia Sheikh nurdin kishk😍Nimefurah kumuon Sheikh Nassor bachu kipind amekuf mim nilikua nimdogo Mama ang alilia Sana alikua nimpenz wake Sana anamfatilia sana Sheikh Nassor Bachu Alhmdulillah Allah amlaze pema pamoja na wema😭😭😭😭😭👐
@canavarovaro9436
@canavarovaro9436 3 жыл бұрын
mungu amrehemu sheikh nassor bachu pamoja nasisi sote
@abdallahkhator4878
@abdallahkhator4878 3 жыл бұрын
Mbn munatusumbua shk bachu amefariki zamn na hii video inasiku tatu
@jumasaid1374
@jumasaid1374 3 жыл бұрын
Mi nilijua bado anaumwa kumbe aliisha farik duh sheikh buchu mwenyezi mungu amuangazie nuru
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 3 жыл бұрын
@@jumasaid1374 Ammin yarab😭😭😭👐Maziko yake uyo nayy alipata Watu Mashallah tulion CD yake
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 3 жыл бұрын
@@canavarovaro9436 Ammin yarab👐👐
@sabrinayounisaden7238
@sabrinayounisaden7238 3 жыл бұрын
May Allah Almaighty have mercy on his soul (shiekh naseer bachu) i was in Tanzania when he passed away .
@abouswaleh7375
@abouswaleh7375 3 жыл бұрын
When it was??
@abdulaboud3849
@abdulaboud3849 3 жыл бұрын
When did he passed
@saidihamadi6110
@saidihamadi6110 4 ай бұрын
M/Mungu amlipe malipe malipo mema, yani nampenda sana Sh Nasir bachu
@hilalakida7016
@hilalakida7016 3 жыл бұрын
Mashaallah shekh nasoro Allah akuifadhi inshaAllah aitie nuru kabri yake
@leilazulpha3205
@leilazulpha3205 3 жыл бұрын
Masha Allah tunakupenda sana sheikh wetu Allah akupe umri mrefu mwenye mafanikio uzidi kutuongaza
@bellbell9294
@bellbell9294 3 жыл бұрын
Maashaallah tabarakallah shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi wajaza kumullah khaira
@alikhamis6326
@alikhamis6326 2 жыл бұрын
Allah akurehemu shaykh nassor bachu wasia uliompa nordin kishk haufuata baada kwa sasa amekuwa Ansari sunn baada ya kuwa salafiyyah Allah amuongoze kama alivyokuwa nassor bachu mtu wa sunnah
@omanbarka2053
@omanbarka2053 3 жыл бұрын
Nasoro bachu Allah amrehemu napenda sana mawaidha yake
@Ali-gk5mv
@Ali-gk5mv 3 жыл бұрын
Innailahy wainna ilehy rajiuni,,Allah Awaeke Masheikh Wetu Wote waliotangulia Mbele ya haki pahali pema kwenye wema peponi
@rahmamakwisa4089
@rahmamakwisa4089 3 жыл бұрын
Kiukweli mmenichanganya muwe mnaandika kua ni ya mda gani... maaan ....nilikua najiuliza hy shekhe bachu ameisha fariki..... Allah amrehemu shekhe wetu........😢 Asanten mlio comment.....
@halimasaid4977
@halimasaid4977 3 жыл бұрын
Hata nimeshtuka et
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 3 жыл бұрын
Umma wakiisilamu Nafurahi saana nikiwaona mmeshikamana pamoja alafu nampongeza saaana mtangazaji wa sheikh kishki kumbe ukonae muda mrefu tangia Almarhuum Sheikh wetu Bachu Nae mungu amjaalie kwakuifanya kazi ya dini kwa muda mrefu na ajaalie tukiwa peponi InshaaAllah Awe ni mwenye kupendeza na mwenye milk ya vizuri vingi kuzid ss maamuma. Minanapenda woote jamani #_bi_idhnillah allah awakinge na hila za wanaafiqi wa ndani ya uisilamu na walionje ya uisilamu 🤲Allahumma Taqabbal duaaaa🙏
@aminaalli2287
@aminaalli2287 3 жыл бұрын
Namlenda sana shekh nasoor bachu..Allah umuondolee mchanga wa macho
@mariammuscat4300
@mariammuscat4300 3 жыл бұрын
Aaalllah huma amin
@SaniaNana-hn6dp
@SaniaNana-hn6dp Жыл бұрын
Allah atukutanishe nae sh.wetu nasoro bachu! kesho yaumulkiyama katika rehema zake pana.
@hatengekimanaajml7230
@hatengekimanaajml7230 3 жыл бұрын
Allah warehemu kwahurumawako masheikh walotanguliya beleyakhaki inshallah nasitukonyima
@shk.yussufsalafizanzibar5182
@shk.yussufsalafizanzibar5182 3 жыл бұрын
Masha Allah... huyu ni sheikh mkubwa sana huku kwetu zanzibar
@zulfasalum4627
@zulfasalum4627 3 жыл бұрын
Allah amrehem
@mename6020
@mename6020 3 жыл бұрын
MashaAllah Allah akuzidishie kheri nyngi kipenz cha Allah she Nurdinn...
@saadikibinjazaa1511
@saadikibinjazaa1511 3 жыл бұрын
Shekhe Nasoro Abdullah Bachu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Allah akusamehe makosa yako
@hassanbaseme7579
@hassanbaseme7579 3 жыл бұрын
Amiiin
@awadhhadi446
@awadhhadi446 3 жыл бұрын
Allah awasamehe mashekhe wetu waliotangulia mbele ya haki amin amin amin
@mussakisope7207
@mussakisope7207 5 ай бұрын
Mchango wa sheikh nassor bachu katika dini hii ya kiislam afrika mashariki Allah ampe qauli thabit na pepo ya firdausi kama mtume alivyosema ukimuombea dua ya pepo tafadhali muombee dua ya firdausi
@adilihassan8455
@adilihassan8455 2 жыл бұрын
Allah amueke firdaus ,na wote waliokua wanafunzi wake Allah awalipe firdaus n waislamu wooote waliomkubal mtume,Aamin
@user-vg6gp3bz1f
@user-vg6gp3bz1f 11 ай бұрын
Aaaamina ya rabby
@mariamkingazi6416
@mariamkingazi6416 3 жыл бұрын
Kwa hakika alikua chuma cha mawaidha. Kama mwenyewe shekh kishki. Allah amuhifidhi shekh bacho huko aliko. Na pia akuhifadhi shekh Kishk duniani na akhera
@mbwanabaruti7496
@mbwanabaruti7496 3 жыл бұрын
Allah amrehemu Shekhe Nassor Bachu .AllahAmjalie na mtia nguvu shekh Nurdin Kshki kataka kulingania Dini
@staffabasi5107
@staffabasi5107 2 жыл бұрын
Ckuhizi wamegeuka masheikh maandazi serikali imekuwa juu ya dini
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 жыл бұрын
BACHO MWANAZUONI..ALLAH KAMCHUKUA ....PEPONI KWA REHMA ZA ALLAH
@kassimugulumu5460
@kassimugulumu5460 3 жыл бұрын
Allah awahifadhi mashekhe wetu na c c pia.
@umyusuphumyusuph5706
@umyusuphumyusuph5706 3 жыл бұрын
Mungu mrehem sheheachu umraham nababa angu nawaislam wote waliotutangulia mbelel yahaki
@ashalaurent4722
@ashalaurent4722 3 жыл бұрын
Mungu ampe pepo ya firdau shek wetu nasoro bachu nakumbuka samawadha yake hasw yandoa
@mohdsultan130
@mohdsultan130 3 жыл бұрын
Allah atujaalie mwisho mwema sisi si chochote si lolote mbele yake allah subhaanahu wataala
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 3 жыл бұрын
Masha Allah machozi yananitoka kwa furaha Allah awafanyie wepesi kwalkila jambo ma sheikh wetu 🤲🤲❤❤
@ayshazambia6509
@ayshazambia6509 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah mungu awajalie upendo yote lnshaallah
@yoramabubakar8012
@yoramabubakar8012 2 жыл бұрын
Allah amumiminie kila la kheri kwe kaburi yaka shekh nasor bachu
@z.nalnabhani7194
@z.nalnabhani7194 3 жыл бұрын
Allah,atukutanishe peponi,pamoja na mtume wetu Muhammad s.a.w Aamiin
@halimaramadhan2975
@halimaramadhan2975 3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@zainabbaus8244
@zainabbaus8244 3 жыл бұрын
, Allah amrahamu ailaze roho yake mahala Pema peponi
@salumswaleh7058
@salumswaleh7058 3 жыл бұрын
Allah amjaalie makazi mema peponi amiin
@suleimankhatibjogoo7236
@suleimankhatibjogoo7236 3 жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh wetu SH NASSOR BACHU
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 3 жыл бұрын
Sheikh nassor bachu allah amhifadhi na amsamehe makosa yake
@mustayoo
@mustayoo 5 ай бұрын
Hadi leo hakuna anaemfika bachu..Allah alimpa kipawa sheikh nassor bachu.Allah amlipe pepo ya firdaus
@abouhafs2891
@abouhafs2891 3 жыл бұрын
Allah amrahamu shiekh Nassor Bachu....azidi kumkundulia kabri lake
@khamismachu9612
@khamismachu9612 3 жыл бұрын
Mashaallah yan Sauti ya sheikh Nassor Bachu inaingia moyon asa
@ramak.9587
@ramak.9587 3 жыл бұрын
Mapenzi kwa ajili ya Allah.....Maa shaa Allah
@nazarethally9509
@nazarethally9509 Жыл бұрын
Mwenyezimungu amrehemu shekh nasoro bachu
@abubakarmeena6429
@abubakarmeena6429 3 жыл бұрын
Sheikh nassor bachu ewe Allah mrehemu sheikh wetu nassor bachu
@mariammuscat4300
@mariammuscat4300 3 жыл бұрын
Nawewe aaalllah akuhifadhi namahasidi nur amin yarrab
@Mwadaba
@Mwadaba Жыл бұрын
Innalillah wainnaillah rajiun sheikh NASSOR BACHU
@rashidmusasaid7423
@rashidmusasaid7423 3 жыл бұрын
Allah amrehemu shekh Nassor bachu
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 2 жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yke Amin. Pepo ya firdous .
@fikraonlinetv.5022
@fikraonlinetv.5022 3 жыл бұрын
ALLAAH atuelimishe...aamiin.
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 3 жыл бұрын
اللهم رحم موتانا وموتى المسلمين
@abdulmajiddaahir
@abdulmajiddaahir 2 жыл бұрын
Mashaallaah
@user-rq4cj1ds6r
@user-rq4cj1ds6r 2 жыл бұрын
غفر الله له وأدخله فسيح جناته
@chidolakhatib7847
@chidolakhatib7847 3 жыл бұрын
Allah amfufue na walio wema Yaa Rabb.. Sheikh wetu Nassor Bachu
@assoumantuyishime6840
@assoumantuyishime6840 3 жыл бұрын
Ma sha allah nashukr Sana kumuona muze wetu sheikh nasoro bacu allah amupe shifa isha allah naomba number yake muze nasoro
@abdillahaliy8018
@abdillahaliy8018 3 жыл бұрын
Sheikh nassor ni marehem Allah amraham kashakufa kwa mda wa miaka haipungui 8
@khamissimai1477
@khamissimai1477 3 жыл бұрын
ss ww unaeomba namba yake c umeshaambiwa kuwa alishafariki? Hebu tumieni akili hii ni record ya zamani sn ila imeuplodiwa asaiv , walikuja sheikh kishk na timu yake nakumbuka alikuja mpk masjid sahaba akatoa mhadhara na marehemu alikuwepo pia
@youngbob9761
@youngbob9761 3 жыл бұрын
Allah amrehim sheikh Nassor Bachu.
@khamisjuma9050
@khamisjuma9050 3 жыл бұрын
Mungu amjalie kabur lake liwe ni la heri
@mariammuscat4300
@mariammuscat4300 3 жыл бұрын
Aaalllah waarehem wote walo tanguliya amin
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 жыл бұрын
Allah akuhifi nurdin wa waislam wote hapu kikwajuni🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@asiakinia9344
@asiakinia9344 3 жыл бұрын
Allah amrehemu shekhe wetu nassor bacho
@anitacizaa413
@anitacizaa413 3 жыл бұрын
ManshaAllah 🙏🙏🙏
@ibrahimmasoud8385
@ibrahimmasoud8385 3 жыл бұрын
Mwenyiz mungu amrehem shekhe nasoro bachu
LIVE
43:33
ZENJI ISLAMIC TV
Рет қаралды 27
SIFA ZA WACHAMUNGU  JEE NA WEWE UMO ? // SHEIKH OTHMAN MAALIM
53:20
arkas online tv
Рет қаралды 32 М.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 9 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 11 МЛН
SIRI YA SIKU YA MALIPO   AL MARHUM SHEIKH NASSOR BACHU
1:00:15
RVS Online Tv
Рет қаралды 8 М.
Muhammad Bachu AWALIZA WATU KUWAKUMBUSHA SHEIKH NASSOR BACHU MSKITINI KWAKE.
37:46
HAYA NDIYO ALIYOYASEMA SHEIKH KISHK KABLA YA RAIS MAGUFULI KUZIKWA
13:02
Kishki Online TV
Рет қаралды 887 М.
MUHADHARA MADA:SUNNA SIO KUWEKA NDEVU AU KUVAA KANZU FUPI AU KILEMBA:SH.MUHAMMAD BACHU
1:03:39
Masjid sunnah Islamic Zanzibar 2
Рет қаралды 4,1 М.
HAKI ZA MUME NA MKE 1 NASSOR BACHU
1:27:34
RAUDHWAH ISLAMIC CHANNEL
Рет қаралды 168 М.
Uchungu wa umauti
1:43:58
Kishki Online TV
Рет қаралды 1 МЛН
MATUKIO YA SIKU YA MALIPO 2/2 - SHEIKH NASSOR BACHU
1:28:41
MUZDALIFAH
Рет қаралды 292 М.