Sio china tuu hadi India now wana scan kwa malipo kwa asilimia kubwa pia
@GodfreyRichard-v4f14 күн бұрын
Baba 😂😂😂😂😂
@kwisa489914 күн бұрын
zile camera hata ukiwa unaumwa zina sense
@mndambokilavo250214 күн бұрын
TRA, TRA,TRA!!!
@MasudiJuma-rs4gj13 күн бұрын
Uyu jamaa bn
@msemasungura565114 күн бұрын
Iran ipo hiyo hata muuza mchicha anatumia card
@abeidmrengaofficial17925 күн бұрын
Ebwana vipi ndugu uko Iran ? Nampango wa kwenda Iran soon
@salumabdallah299014 күн бұрын
masaa 14 wasafi wana vewes 6000
@user-mn6oy9qp3uКүн бұрын
6 c cc O 9 x xr😢the x gv
@kambamazig0202414 күн бұрын
Wewe mshamba kweli, we chat ni tofauti na Ali Baba! Ni matajiri wawili tofauti!
@vanemmy604314 күн бұрын
Sawa wewe sio mshamba😮
@peacejunne503711 күн бұрын
Mshamba ni wewe unaedis vitu ambavyo vipo nje ya mada, coz hajazungumzia wamiliki
@FahadAbubakari14 күн бұрын
Watz wengi ni vibaka na watu wenye tamaa hakuna sehemu watz wameenda hawajaharibu , Kuna aidea kua watz wanaamini kua wao wajanja mnoo kumbe ni washamba kwelikweli , ni waona mbele ila sio waona mbali wanaharaka mnoo nakuhisi wao watu wamadili
@davidanselmo404111 күн бұрын
Nikweli kaka especially watoto wa pwani me nipo South ovyo sana siwezi kujitamburisha natokea Tanzania 😅
@FahadAbubakari10 күн бұрын
@@davidanselmo4041 we unaendaje nchi ya mtu na ukahisi unaweza kua mjanja angalia tz wageni mfano wahindi au waarabu wao wamekua wapole na kukomaa na biashara na kua matajiri mbongo akienda kwa watu anakua kibaka na ushamba mwiingi wa matukio yakifala bado mnoo watz
@MrNdanguza10 күн бұрын
@@davidanselmo4041nipo capetown baby ukitambulika kama wewe ni bongo man unaonekana muhuni, muuza madawa.
@musiccaentertainment100k811 күн бұрын
Tanzania hawajasoma so wakienda nje ya nchi ni ukora tu kwa sababu hawana elimu ya kuingia kwa viwanda .. somemi Tanzania muache ujinga