Watoto Jela

  Рет қаралды 188,896

KTN News Kenya

KTN News Kenya

Күн бұрын

Katika makala maalum tunaingia katika gereza la wanawake la Langata ambapo tunadhihirisha maisha ya watoto waliozaliwa baada ya mama zao kupewa vifungo vya zaidi ya miaka kumi, je maisha kwa watoto hawa huwa vipi ikizingatiwa kuwa wao hujipata katika mazingira hayo pasipokupenda
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on www.ktnkenya.tv

Пікірлер: 86
@godifreypaul9409
@godifreypaul9409 4 жыл бұрын
Uhuru,Uhuru Uhuru,hao watoto kuna siku Mungu atasikia kilio chao,mmeshindwa kutafuta njia mbadala,kuwafanyisha hao wamama kazi za jamii,kama kulima,kumwagilia huku wakirudi nyumbani kulea hao watoto.Laana inasababishwa na kitu kidogo sana.
@richardmathenge555
@richardmathenge555 7 ай бұрын
Wezi.watarajiwa
@jaladollar7745
@jaladollar7745 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema ipo siku atasikia kilio cha hawa wakina mama pamoja na watoto hawa,kiukweli jamani nataka niwaambieni kitu jela siyo kuzuri na anaefanya mpaka unaenda jela huyo siyo binadamu ni mnyama tumuombeni mungu atunusuru na maisha haya ya magereza...Aamiin
@janifferasidanto9901
@janifferasidanto9901 4 жыл бұрын
Wah mungu awasaidie nawatoto wao
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 жыл бұрын
Dear Lord Jesus Christ help me to make the right decisions in life so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
@dorice123jalango4
@dorice123jalango4 8 жыл бұрын
mungu asaidie hawa watoi aki
@elizabethnjambi636
@elizabethnjambi636 6 жыл бұрын
Its sad kua mtoto atazaliwa na akae jela but most of the tym the best place to be especially for children under five yrs is with the mother Thanks God to whoever came with that great thought of a day care so that atleast the children can still c there mothers in the evening cause if there is a problem the mother will know
@annn318
@annn318 11 жыл бұрын
Thanks KTN for updating us.
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 жыл бұрын
Dear Lord Jesus Christ help me to be an all-rounded responsible person in life so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
@stellahnjagi6544
@stellahnjagi6544 7 жыл бұрын
Haki ni uchungu sana...I just wish the president can free them...Mungu awafariji
@zipporahmwaura3598
@zipporahmwaura3598 4 жыл бұрын
Watoto wakae na mama said they will get the best care. Mambo ya relatives kado
@josephinewere4007
@josephinewere4007 4 жыл бұрын
Aki poleni sana MUNGU awatie nguvu
@sikuzanibusanya6423
@sikuzanibusanya6423 5 жыл бұрын
Jamani hao wtt kweli imeniuma sana duuuuu😭😭😢😢
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 4 жыл бұрын
Kenya! Watoeni wamama hao wapeni kifungo cha nje. Vipi mnatesa watoto hawajakosea.
@maggiechepkorir7565
@maggiechepkorir7565 4 жыл бұрын
Kwani! Uhuru Kenya akuna.kama munafunga ata watoto? Poleni!
@moemusa0014
@moemusa0014 7 жыл бұрын
they look happy that's my happiness
@miriamnyamus5138
@miriamnyamus5138 7 жыл бұрын
haki si hao wanawake wamefungwa juu ya tumakosa twa ujinga na watoi wanateseka
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 7 жыл бұрын
poleni mungu awa fariji
@mohamedomarhasan5377
@mohamedomarhasan5377 6 жыл бұрын
Serikali ilikuwa infikirie mtoto hana kosa jela za America au Europe kwa kuwa wanajua sheria vizuri Mimi niliona mwanamke amefungwa miaka mingi kwa kuua na kuuza madawa ya kulevya na alipofungwa jela alikuwa na mimba ndogo baada ya miezi 9 akazaa watoto 2 aliknayi wiki 2 kisheria mtoto hawezi kukaa jela ni kinyume ya sheria basi mama na baba ya Yule msichana walikuja jela na kuchukua watoto wote 2 na kama hawakuja hao wazazi wake watoto wangepelekwa ustawi wa jamii serikali inawatunza kwa kila kitu mpaka shule yaani kila kitu
@OmanOman-gp7xm
@OmanOman-gp7xm 4 жыл бұрын
Nalay kenya muwe munangalia makosa km mwanamke ajaua bc nivzr wapewe kifungo chanje tu kwayule mjamzito au mwenye
@aishaomari1881
@aishaomari1881 6 жыл бұрын
Kenya kenya mungu anawaona
@wambuidaina7791
@wambuidaina7791 7 жыл бұрын
poleni sana
@officialcarolyne2985
@officialcarolyne2985 6 жыл бұрын
Oh so sad may the lord make they ways out for this Alle women 🚺 hier
@salamakadzo240
@salamakadzo240 8 жыл бұрын
yaani serikali mna roho mbaya yaani mtoto azaliwe afungwe akulie jela kueni na roho jameni achieni hao wamama
@mohamedomarhasan5377
@mohamedomarhasan5377 6 жыл бұрын
Salama Kadzo Sio Kuacha hao wamama isipokua watoto hawana makosa na kisheria serikali ilikuwa inatakiwa wachukue hao watoto na kuwapeleka kwa ndugu wa huyo mwanamke au wapelekwe ustawi wa jamii
@sarahogama9540
@sarahogama9540 4 жыл бұрын
Mm hadi nalia jamani eeee Mungu wangu jamani
@Trecynjeri
@Trecynjeri 4 ай бұрын
So sad😢
@sadiaabed6687
@sadiaabed6687 5 жыл бұрын
Jamani siwatolewe hao wa mama
@virginiamuthoni6726
@virginiamuthoni6726 2 жыл бұрын
I think kids should not be in such environment.They should be given to their relatives or to children home
@bishopfestobenjamin6118
@bishopfestobenjamin6118 6 жыл бұрын
Watoto wanazidi miaka mitano wachukuliwe na mume ,au Ndugu akae ulaiani
@bibimzee7880
@bibimzee7880 4 жыл бұрын
Watoto mwawapeta vipi jela
@georginaopati9587
@georginaopati9587 6 жыл бұрын
God is in control
@annanmaramba4472
@annanmaramba4472 4 жыл бұрын
Afadhali wakae uko... Wasitolewe relatives watawadhurumu.. Ama waache awa wamama watoke
@maggiechepkorir7565
@maggiechepkorir7565 4 жыл бұрын
Mujipee nguvu,
@annn318
@annn318 11 жыл бұрын
Waliopatwa na msimba tunawapa pole!
@iminzaiminza5813
@iminzaiminza5813 6 жыл бұрын
Yaaniii😵😵😵 hata nakosa la kusema😥😥😥😥😥
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 7 жыл бұрын
hawa watoto wamezoe maisha ya jela mna wachafua maroho wakitoka kwenda raiya watakua majambazi wa kubwa hawatajali kufungwa jela ndio watakuwa wabaya kabisa
@beatricenicholausiwasa7601
@beatricenicholausiwasa7601 7 жыл бұрын
kweli hao watoto wakitoka watakuwa majambazi
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 7 жыл бұрын
Beatrice Nicholaus I was a eeee wakua majambazi wakubwa ju watakua washa zoea maisha ya jela hawaoni shida
@munichkin
@munichkin 6 ай бұрын
Kenya jameni nafung ata watoto shame Kenya
@janifferasidanto9901
@janifferasidanto9901 4 жыл бұрын
Lakini mungu anasababu yenu kuwa jela sinalakuogeza
@fixershi6561
@fixershi6561 7 жыл бұрын
am hapi for taking gud care of kids in fact thy luk healthy n jovial
@hellenatieno8987
@hellenatieno8987 8 жыл бұрын
Mungu yuko nanyi
@hamdsw696
@hamdsw696 7 жыл бұрын
Hellen Atieno wakiweka watoto huko lini kenya itakuwa haina climinals nimbaya kabisha yani tu seme ata mtoto ni mfungwa kwahivyo hao wamama wamemariza kifungo juu ni wawiri kwa wawiri to the lagester
@shirowdestinys5775
@shirowdestinys5775 5 жыл бұрын
So sad , wakenya hawana huruma
@agnesnaipante7874
@agnesnaipante7874 4 жыл бұрын
Maria Monday episodes
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 4 жыл бұрын
Omani siku yoyote unayotaka kurudi unarudi hulazimishwi kukaa
@zuwenaabdillahzanzibar5670
@zuwenaabdillahzanzibar5670 6 жыл бұрын
mi bora huko jela mwenyewe namuona nitanenepa mimi niko Oman wanangu siwaoni ila kwa imo sina raha kwa kweli najikaza tu ndo natafuta
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 4 жыл бұрын
Nljuwa nmm tu naishi ya kuliya klasku nawawazz wanangu muda wote nashinda kwenye imo ewe mola wetu tusaidiye 😭
@amiryally660
@amiryally660 4 жыл бұрын
Kwani tatizo nini kwanini msirudi?
@mrsochu-hv7bm
@mrsochu-hv7bm 4 жыл бұрын
@@amiryally660 bado tunatafuta
@amiryally660
@amiryally660 4 жыл бұрын
@@mrsochu-hv7bm mnatafuta nini uku mnateseka au sijaelewa?
@mrsochu-hv7bm
@mrsochu-hv7bm 4 жыл бұрын
@@amiryally660 tuna tafuta maisha kaka
@margaretakinyi1101
@margaretakinyi1101 7 жыл бұрын
hey dat bad to here
@queenmama2033
@queenmama2033 4 жыл бұрын
Too bad i think it'll be better if you free them jmn
@helenjonsob5718
@helenjonsob5718 4 жыл бұрын
Jaman 😢😢😢😢
@sherrifke2289
@sherrifke2289 4 жыл бұрын
Shada sio crime. Its God's creation... Kenya!!!
@niceabdi3250
@niceabdi3250 7 жыл бұрын
free them 😭
@dakaduku4610
@dakaduku4610 11 жыл бұрын
I think those children are safe with their mothers in prison.Atleast in there they are protected from perverts who roam around.
@JohnDoe19xx
@JohnDoe19xx 7 жыл бұрын
Daka Duku you are a piece of shit ... for what reason should those kids be in prisons they don't deserve that
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 4 жыл бұрын
Sasa unaifananisha omani na jela
@bakarisalim8978
@bakarisalim8978 4 жыл бұрын
NIKWELILABDA..DRMAKUFULITRANDIOMTINDOWAOHASAAIRPORT
@phillsnafuna5962
@phillsnafuna5962 4 жыл бұрын
so sad
@maryodanga140
@maryodanga140 5 жыл бұрын
Watoto wachukuliwe na relatives jameni
@fozyafozya4060
@fozyafozya4060 4 жыл бұрын
😭😭😭😭
@omyboy9584
@omyboy9584 6 жыл бұрын
This is not fair
@violetvayo8358
@violetvayo8358 5 жыл бұрын
Small kids ,God is with you
@lilianmariita9277
@lilianmariita9277 4 жыл бұрын
Kenya muko na sida plz fungulia hawa wako na watoi juu hawa watoi awesi pata elimu nzuri
@esthernzisa6284
@esthernzisa6284 4 жыл бұрын
Kama Kenya is free these children could Be free. These children must be looked out by government. If there is no government this is what you get. In short Kenya is not free. Men of Kenya stand and free your women and children. If you can't GOD will do and dont say that they don't respect you. It is you who didn't take your authority. If you are in control why are these children doing in prison. You have left your women alone and the children. Kwanini mnataka tiba ingine which dont cover women and their children. You think GOD dont see your failure.. Nyinyi tafuteni ukubwa wa watu falani wacha MUNGU atetee wanawake na watoto wao
@marymnyasa238
@marymnyasa238 4 жыл бұрын
Woiii😭😭😭
@asiakheir3846
@asiakheir3846 7 жыл бұрын
Kwani makosa gani walifanya,watoeni,mzigo unazidi.
@supumoto6819
@supumoto6819 6 жыл бұрын
MAMA pekupeku, DUA DUA NIMUHIMU
@mahsnirmohammed2493
@mahsnirmohammed2493 8 жыл бұрын
😭😭😭😭😭✍
@nancynaipanoi4866
@nancynaipanoi4866 4 жыл бұрын
Maskini hana mwenyewe aki serikali ya kenya ni bure na vile wako corruption.. Si kwanza mfunge wenye wamekula mali ya uma.. Achilieni hai wamama hawana makosa
@mohammedhussein6146
@mohammedhussein6146 4 жыл бұрын
I have nothing to say just pray for them
@idahakello389
@idahakello389 7 жыл бұрын
Wh president them?
@lynelee5846
@lynelee5846 4 жыл бұрын
Na jela watu hupaka make-up kumbe 🙄🙄🙄🤭
@supumoto6819
@supumoto6819 6 жыл бұрын
KUNGURU TENA
@millicentouma2324
@millicentouma2324 5 жыл бұрын
Oh how do they get pregnant in prison???🤔🤔🤔
@davidnjoroge800
@davidnjoroge800 5 жыл бұрын
Wengi wanakuja wakiwa expectant,and once they deliver sheria inasema akifikisha 4years family ya mamake wamkujie..
@luckystarokumu7756
@luckystarokumu7756 7 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
Kifo cha nyuki kinaacha maswali mengi Mombasa
5:15
KTN News Kenya
Рет қаралды 1,2 МЛН
Wafungwa wakongwe waomba serikali waachisha huru
4:42
KTN News Kenya
Рет қаралды 83 М.
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 110 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
Зу-зу Күлпаш 2. Бригадир.
43:03
ASTANATV Movie
Рет қаралды 684 М.
Masaka Kids Africana Dancing Tweyagale By Eddy Kenzo
3:34
Eddy Kenzo
Рет қаралды 147 МЛН
Kutana na Mama Mariam Nabatanzi  mwenye watoto 44
5:40
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 8 МЛН
Joka la ajabu linalovalia kipuli huko Kwale
3:38
KTN News Kenya
Рет қаралды 2,2 МЛН
Wafungwa wanawake wataka wapewe haki za kijamii
2:06
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 10 М.
#TBC:MAISHA YA WANAWAKE WAFUNGWA GEREZA KUU KINGOLWIRA
17:12
TBConline
Рет қаралды 14 М.
Martin Lewis Clashes With Lisa Nandy in Winter Fuel Payment Row
9:47
Good Morning Britain
Рет қаралды 644 М.
Mama aliyeishi bila makao kwa miaka 17 ajengewa nyumba ya kisasa
2:45
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 12 М.
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН