Рет қаралды 133
WATU WASIOFAHAMIKA WAGHUSHI SAHIHI ya SHEIKH SWEID - ''NI KITENDO KIBAYA SANA - MUNGU ATAWALAANI''
Mratibu wa Mufti mkoa wa Dar es salaam Sheikh Sweid Said Sweid amekanusha tuhuma zinazomkabili za kumkashifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Sheikh Sweid Said Sweid amesema kuwa yeye hausiki juu ya tuhuma zinazomkabili na hajui kinachoendelea kupitia mitandao ya kijamii kulingana na barua inayosambaa ikimuonyesha yeye kumkashifu Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx