Jazba mnamletea nani na mnaingia kwenye barabara ya nani?
@Sherrymwinyi2 күн бұрын
hatuna nizamu woga hata siku moja tumechoka
@HawaMkomweleКүн бұрын
Nilipoona kimya nilidhani wazee hampo kumbe mpo Asante sana wazee wa Simba mama nwanamichezo anapenda mochezo amesikia namatafanyia kazi
@NillanMjunga-fr5ze4 сағат бұрын
Mkihama tunawafata mkishuka daraja tunashuka
@WajumaMtunuКүн бұрын
Hakuna mpya kalale
@AshaChilumba-f1l2 күн бұрын
Amina ata aibu
@PhilipoFaustinКүн бұрын
Sema Kwer
@makamesaid9137Күн бұрын
Na hamjasema mpaka Msemeeeeee
@LucianaSintufyaКүн бұрын
Mama anakazi nyingi kipindi cha simba lakini kwa wazee wa yanga wakisema waende ikulu manakuwa hana kazinyingi na kila anahaki ktk nnchi hii yetu sote,
@MshamMsham-u3w2 күн бұрын
Cut
@paulmagese7900Күн бұрын
Nabado
@godfrey3926Күн бұрын
Tutatuma kesi yetu CAF na FIFA wachunguze..Na kama haya yataonekana basi Tanzania tufungiwe mpira wa kimataifa kama Kenya mpaka tunyooke
@GeraldMbega-v8fКүн бұрын
Mmevimbiwa nyinyi.
@GeraldMbega-v8fКүн бұрын
Nyinyi mmetumwa,
@ErickJohn-k5v2 күн бұрын
Mma anamambo mengi ya kufanya acheni ujinga msimwingize rais wangu kwenye ukolo uwo
@Nuru9568Күн бұрын
Msemaji wake😂
@bakanga141013 сағат бұрын
Ww una rais au kuna rais wa tz
@LucianaSintufyaКүн бұрын
Hata hao waliokutana usiku ni mambumbumbu pia wanatumia madalaka yao kupanga matokeo ya kibiashara ya mpira,
@FilimoniSilo53 минут бұрын
Mtazidi kulalamika lakini yanga wanazidi ku'ngaa na huku nyie mnahangaika na yannga badala ya kuweka timu yako kuwa bora
Kweli mashabiki wa simba ni mambumbumbu, acha kuwachafua wateule wa rais. Waambie uongozi wako wa club ya simba wasajiri wachezaji wenye viwango. Sio mnaokotaokota tu.
@bakanga141013 сағат бұрын
Kuna wateule au wez wa serikal
@SalvatoryMtunga2 күн бұрын
Kumbe kuna wazee wa aina hii wa ajabu hivyo?. Mama samia ana kazi nyingi sana za kusimamia nchi isonge mbele, aje ahangaike na masuala yasiyokuwa na maana hayo? Kama mpira umewashinda mwende mkatafute mambo mengine ya kufanya. Halafu acheni uchochezi na vitisho vyenu, kwani hii timu inaitwa malalamiko,maandamano na uelewa mdogo fc?. Ohhoo mtavisha sanda waamuzi, kwani jezi zenu hazina lebo ya sanda? Kwani nyie hamvai hizo sanda zenu?.
@Nuru9568Күн бұрын
Kila binadamu atavaa sanda
@LucianaSintufyaКүн бұрын
Mliovimbiwa nyie mpaka mnapakatwa na kayoko chupi zenu zina kinyesi