Simba kweli wametua mzigo kwani Chama kaisumbua Uongozi wa Simba kwa muda wa miaka 3 mfululizo. Halafu Chama ni wa kawaida tu. Uwanjani akikabwa tu na mtu, hatembei.
@mustaphawelder70223 ай бұрын
Duka nalo limehamia kwao
@JosephTibu3 ай бұрын
acha aende tu yeye na inonga ndo waliyouza mechi ile ya tano moja ,nandiyomana moo akasema hamtaki kwasababu umri ,nakingine yanga wanasajiri kwamihemko