Waziri Magufuli achukua fomu kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM

  Рет қаралды 277,569

Grann Chaco

Grann Chaco

9 жыл бұрын

Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alisaini kitabu kabla ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM mkoani Dodoma. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Idara ya Oganizesheni, Dk. Mohamed Seif Khatibu ndiye aliyemkabidhi fomu Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli.
Safari ya chama cha mapinduzi ya kupata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao imeendelea kushika kasi baada ya makada sita wa chama hicho kuchukua fomu hii leo tarehe 04.06.2015 na kufanya jumla ya makada 11 wa chama hicho kujitokeza ndani ya siku mbili tangu zoezi hilo lifunguliwe rasmi june tatu mwaka huu.
Miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu hii leo ni pamoja na waziri mkuu mstaafu awamu ya tisa Mhe Edward Lowassa mbunge wa jimbo la Monduli ambaye amejinadi kuwa hana mpango wa kushindwa na amechoka na siasa za matusi na tuhuma na kudai kuwa hiyo sio demokrasia kwa viongozi wenye nia ya kweli ya kulikomboa taifa.
Mwingine ni aliyewahi kuwa waziri mkuu wa awamu ya nane Fredrick Sumaye ambaye amebainisha kuwa endapo atapata ridhaa ya chama hicho ya kuwania urais na kushinda atahakikisha anatokomeza kabisa tatizo sugu la rushwa kwa kuunda vyombo maalum ikiwemo mahakama ya wala rushwa huku akitumia rasilimali za asili zilizoko nchini kuinua uchumi wa watanzania.
Kada mwingine aliyejitokeza ni John Pombe Magufuli ambaye hivi sasa ni waziri wa ujenzi lakini pia amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya CCM kwa ufanisi wa hali ya juu ambaye yeye ametamba kipaumbele chake cha kwanza ni kutekeleza kwa vitendo ilani ya chama cha mapinduzi.
Makada wengine waliojitokeza ni makamu wa rais Dk Mohamed Gharib Bilal, balozi Ali Karume na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe Morogoro Amos Siyatenzi huku makada wengine zaidi wakitarajiwa kujitokeza katika muda ambao chama hicho kimeweka kuanzia june 3 mpaka jully 2.

Пікірлер: 144
@alexmakande7980
@alexmakande7980 4 жыл бұрын
imetimia miaka mitano tangu magufuli atangazae nia 05-june-2015 gonga like kama umekuja kuangalia hapa
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Kweli njia za Mungu kwa mwanadam hazitabiriki ofisini hapo walimchukulia poa Kuna muda walikuwa hawana time nae nao wandishi walimzarau Sana mpaka wakaangua kicheko mwacheni Mungu aitwe Mungu 🙏🙏🙏
@tanzaniakwanza9564
@tanzaniakwanza9564 7 жыл бұрын
Yaani mpaka bahadhi ya waandishi walicheka kwa jinsi ulivyoenda peke yako bila kujua kuwa ulikuwa na Mungu, sijui kwasasa waliocheka wanajionaje kama choo, kweli Imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasiyoonekana Ulienda na Mungu na bila ubishi Mungu akakupitisha pasipo makundi kweli ulifaa kuwa Raisi wa Tz naomba Mwenyezi Mungu aendelee kukupa pumnzi na nguvu Amen.
@simonlukiko2850
@simonlukiko2850 7 жыл бұрын
MWANA UMEONA EHEEEE DAH! MAGUFURI WE ACHA 2 YANI KWANZA INAONYESHA AKUTEGEMEA KABISA ATA WALIOKUWA NAE HAPO AWAONYESHI USONI ILA WALIKUA WAKIMCHEKA MOYONI KAMA MSINDIKIZAJI 2
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 6 жыл бұрын
my presidentttttttyy....... so proud of him, live long your excellence MAGUFULI.
@salvationsalvatory9097
@salvationsalvatory9097 4 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaaaa kweli aiseeeee
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 3 жыл бұрын
Magu wetu tutakukumbuka daima
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Hakika ni kwa msaada wa mungu tunayashinda ya dunia
@mukamambeba7966
@mukamambeba7966 8 ай бұрын
Yani nikiangalia hii crip imani yangu kwa Mungu inaongezeka 😢
@shylagwadebalima7572
@shylagwadebalima7572 5 жыл бұрын
Siku ya kubipu nakukataliako ilianzia hapa. mniombee kwa mwenyezi Mungu hajaisahau mpaka leo
@cheptoekbenniah4750
@cheptoekbenniah4750 3 жыл бұрын
This day was a blessing to Tanzania
@rutebukaanthony6299
@rutebukaanthony6299 3 жыл бұрын
Dr. Magufuli was a faithful, strong and most confidential leader early. Rest in peace our Tz's Dad...!!!
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
utaona hawampi attention mtu wa watu..yaani haraka haraka aende..akawa anaaga jmni muniombee kwa Mweneyzi Mungu ila watu wako haya afu muitikio usiona mshiko mwishowe akaingia kwa gari kwa kuharakishwa kisha watu wakawa wanachecheka sasa sijui leo hii wanasemaje? kweli Mungu ndokabeba siri ya mtu...sie tunaangalia kwa macho tuu bila kujua. Tuhurumie Mungu wetu
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 5 жыл бұрын
Kweli apangalo mungu binadamu awezi kupangua Mungu alikuandaaa Wew uwe mkombozi wa nchi yetu ya Tanzania Mungu akupe afya njema mh Rais
@wilkistajacob9516
@wilkistajacob9516 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba ❤️
@delaidelove8756
@delaidelove8756 3 жыл бұрын
R I P magufuli wangu nimelia nimelia San nilikupenda mno baba umeumaliza mwendo😪😭😭😭
@petersynto8634
@petersynto8634 4 жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu yaani nikiangalia hapa napata maswali mengi sana ambayo majibu yake ni Mungu ndio anayejua mwanzo na mwisho wa maisha yetu wanadam
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 жыл бұрын
Wote marehemu jamani,!,,ni khatibu na magufuli,,,MUNGU awarehemu!"amen.
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын
Khatibu nae amefariki,mungu awarehemu
@julianamasunga4147
@julianamasunga4147 6 жыл бұрын
mzee wamakinia asante kwa uongozi uliotukuka.... 😍
@peteryohana7710
@peteryohana7710 7 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@jimwageonline6760
@jimwageonline6760 4 жыл бұрын
Jembe langu sikufanya makosa kwa kura yangu
@kallamudaily73
@kallamudaily73 7 жыл бұрын
Sijui niseme nini, lkn nadhani huyu ni Rais na tangu mwanzo alikuwa naimani kuwa Mungu ndio muweza wayote na ndio maana muujiza ukatokea na kamati kuu ikamteuwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ccm. Mungu ampe maisha mrefu yenye hekma busara utii na uadilifu ili ameze kutuongoza watanzania bila kujali itikadi zetu
@mwamengele
@mwamengele 4 жыл бұрын
History was secretly in the making on this very day and moment
@edwinzakaria1284
@edwinzakaria1284 5 жыл бұрын
Walipanga michongo ila hawakuamini macho yao hakika mungu yupo!
@jamespallangyo2880
@jamespallangyo2880 4 жыл бұрын
Wa mwisho atakuwa wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho,mr present alikuwa wa mwisho kuchukuwa form lakin amekuwa wa kwanza,, Atimae mungu amemwinua mnyonge kutoka mavumbini,yeye aliangalia moyo wa magufuli tokea mwanzo nikulitaja jina la yesu,, mungu akutunze
@victormhagama8004
@victormhagama8004 4 жыл бұрын
Safari yenye Mungu mwanadamu huwezi kuibadili Hongera sana JPM mwanamapinduzi halisi
@salehabadsalehpur796
@salehabadsalehpur796 5 жыл бұрын
Jamani huyu dereva wake tangu alipokuwa Waziri yupo wapi? Muheshimiwa usimtupe umetoka nae mbali.
@rosekweka9544
@rosekweka9544 4 жыл бұрын
Na mungu alisikia akakupa nafasi hiyo ili utuokoe baba piga kazi
@condegsubscribes7911
@condegsubscribes7911 6 жыл бұрын
jamani tuishi kwa kuwaiga waliotangulia huyu baba hakuna ambaye angeamini kama angepita kwani alijiona wa kawaida mnoo ila tu kichwani alimbeba mungu naye akamjibu mungu azidi kukupa afya na hekma kweli tutakupenda daima
@gizakazeno1688
@gizakazeno1688 4 жыл бұрын
Sure
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
@@gizakazeno1688 kweli kabisa
@rutebukaanthony6299
@rutebukaanthony6299 3 жыл бұрын
Exactly
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Hakika inauma hakika hakuna mfano. Eh moyo wangu tulia usilie kwani ndivyo dunia ilivyo
@onesmoakwilini6254
@onesmoakwilini6254 4 жыл бұрын
SAFARI ILIANZIA HAPA..
@eliyahango3737
@eliyahango3737 4 жыл бұрын
Mipango ya Mungu ya ajabu sana
@ulrickmsemwa1692
@ulrickmsemwa1692 6 жыл бұрын
kiongozi anaonekana tu kwa kutembea kwake,vaa yake,ongea yake, unajua kuwa huyu ndiye mteule wa mungu.
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 3 жыл бұрын
Daah udongo unameza sana. Leo hii hawa wawili wote hatunao. Mpumzike kwa amani wazee wetu
@nabakitz83
@nabakitz83 8 жыл бұрын
Who is like MAGUFULI!
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 жыл бұрын
Ni jembeeee
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 5 жыл бұрын
HONESTLY NO ONE, WE MUST GIVE CREDIT WHERE IT IS,
@55goodmen
@55goodmen 4 жыл бұрын
Magufuli a napita tu... Hakuna mtu anaweza kukingana na HEKIMA zako... 99% winner again
@zrazanzibarrespectiveacade9056
@zrazanzibarrespectiveacade9056 4 жыл бұрын
No one like him
@delinadoublea4679
@delinadoublea4679 4 жыл бұрын
Nakupenda sana rais wangu mwenyezi mungu akupe umri mrefu na hekima teleee
@delinadoublea4679
@delinadoublea4679 4 жыл бұрын
Nampenda,huyu baba yan mungu ashindwi chochote
@boniphacelusato
@boniphacelusato Жыл бұрын
Kifo cha Magufuli kiliacha kovu kwenye moyo wangu. Nilimpenda kupitiliza.
@josephsaghana1056
@josephsaghana1056 4 жыл бұрын
Mzee hakutaka wapambe nao wanaimba wimbo mmoja maendeleo safi sana.
@thomaselibarick8058
@thomaselibarick8058 4 жыл бұрын
mungu alituandalia jembe
@kalolokisweswe195
@kalolokisweswe195 9 жыл бұрын
huyu mh ndiye anafaa
@ericstephenm.844
@ericstephenm.844 5 жыл бұрын
Hatimaye amefaa. Uliona vema.
@J4UPro
@J4UPro 4 жыл бұрын
Ulitabiri vyema
@franshyera8970
@franshyera8970 4 жыл бұрын
Kaka hongera ulitabili vema God bless u
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
👏👏👏
@manyweletheboss6053
@manyweletheboss6053 7 жыл бұрын
mshua peni iligoma ikataka ya chamaaaaaa ongeraaaa
@zuwenapeter218
@zuwenapeter218 9 жыл бұрын
god bless our country's
@MiwagoTz
@MiwagoTz 4 жыл бұрын
Daima Mungu mbele Tanzania tutafikia malengo
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja Ай бұрын
Mungu wangu hatujui mbele kuna nn tusaidie
@shaabannyuge6857
@shaabannyuge6857 5 жыл бұрын
Kweli alipangalo mola mja hawez pangua Dah!!
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 5 жыл бұрын
Wanafurahi au wanamcheka
@davidamos9048
@davidamos9048 4 жыл бұрын
Never give up
@ommimg2467
@ommimg2467 3 жыл бұрын
Miongoni mwa watu nimeshindwa kabisa kuwasahu huyu nae yupo😭. watz ni waoga kuhoji juu ya kifo cha huyu mkuu ila Mungu hana mipaka atafanya na Kuna kizaz kipo kitakachosimama kufichua Siri zote✊
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 Жыл бұрын
Kwakweli
@yussuphmartini1796
@yussuphmartini1796 3 жыл бұрын
RIP MY HERO💥😭
@wisdomuta1039
@wisdomuta1039 4 жыл бұрын
Pombe Magufuli Joseph (Dr.)
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
Mwisho alivyoondoka kasindikizwa na vicheko vya kejeli na hao waliocheka ndo wanaomlamba miguu asaiv kwa kumuimbia mapambio ya kumsifu..Bora mi nliempigia kura baada ya Bwana yule kuja kutuvurugia ukawa
@marcomuhoja5981
@marcomuhoja5981 4 жыл бұрын
Ndiyo bg na nchi uliipata na umewanyoosha mpaka wamekuwa wadogo Kama piliton Mara ya Kwanza c walikuona simple
@kigomampyatv9209
@kigomampyatv9209 4 жыл бұрын
Form .. Safari
@danielwapenanke4354
@danielwapenanke4354 5 жыл бұрын
Hv alikuwa peke yake mungu akupe ujasili kuiongoza nchi hii
@alfredjustinian9753
@alfredjustinian9753 3 жыл бұрын
Daah nmekumbuka mbali saana
@peterphilimonkamzola6244
@peterphilimonkamzola6244 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@danielmathias160
@danielmathias160 3 жыл бұрын
RIP MR Magufuli
@dr.arthurnkalango3540
@dr.arthurnkalango3540 4 жыл бұрын
JPM is very humble! Tujifunze kwake
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 жыл бұрын
Very humble
@janjawild2241
@janjawild2241 4 жыл бұрын
Wewe ndie Rais wangu miaka yote akika amtegemeae Mungu angushwi baraka ziwe kwako Rais wng Jonh Pombe Makufuri
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Huyu jamaa alikuwa muoga sana maana hata kiti alikuwa anakikataa ah aha pia pen nayo alikataa khatari
@fadhilamaleva691
@fadhilamaleva691 5 жыл бұрын
magufuli anajiamini sana ivi nan aliedhani agepita kwenye kula za maoni mungu ana maksud yak
@user-ys3gt8lp5h
@user-ys3gt8lp5h 3 ай бұрын
2024 who still watching
@emanuelgaddafi7651
@emanuelgaddafi7651 5 жыл бұрын
My president I proud of u
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 4 ай бұрын
Mwenye kuitazama tena 2024😢
@akhousesolutionsltd9433
@akhousesolutionsltd9433 8 жыл бұрын
ccm naipenda
@yusufhussein6990
@yusufhussein6990 8 жыл бұрын
final he did it
@kileohemed4417
@kileohemed4417 6 жыл бұрын
Yusuf Hussein Yeees he did it
@kileohemed4417
@kileohemed4417 6 жыл бұрын
✌ yeees he did it 😀
@jackisonijackisoni6715
@jackisonijackisoni6715 5 жыл бұрын
Anajiamini Kinoma
@dynamicplatform2102
@dynamicplatform2102 5 ай бұрын
Kuna wasenge mwisho walimcheka sanaaa
@innocentmakundi2690
@innocentmakundi2690 4 жыл бұрын
Naona Upo na wazehe kidogo hapo
@zuwenapeter218
@zuwenapeter218 9 жыл бұрын
god bless our country
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 4 жыл бұрын
Kumbe mr.pombe yupo kama mr.lugola ni mwendo wa kutembea na katba ya ccm
@mukamambeba7966
@mukamambeba7966 8 ай бұрын
Jamani Mungu huyu ..
@bakarihermund7449
@bakarihermund7449 4 жыл бұрын
Mpka nimeona huruma aisee ...peke yake Nadhan kuna la kujifunza hapa
@emmanuelpaschalselya9587
@emmanuelpaschalselya9587 4 жыл бұрын
inaumiza
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 27 күн бұрын
Mzee tutakukumbuka milele
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Lalala Magu umelala Tanzania tuna kuliliyaaaaa Ebu funguwa machoooooooo Utuone babaaaaaa Song by Peter Msechu
@titonkwabi7430
@titonkwabi7430 Жыл бұрын
Ni mara chache sana kumpata Rais mwadilifu,mcha Mungu,mtetezi wa wanyonge na mchapa kazi kama JPM.Katuachia kitu cha kujifunza watanzania,kuwa urais siyo fimbo ya kuumizia wananchi.Tutake tusitake wengi tutamkumbuka daima,ila wezi na wafujaji wa mali za uma watamchukia daima.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Dah! Dunia tunapita,,,,wote ni marehemu
@dyzoomgonja9892
@dyzoomgonja9892 4 жыл бұрын
Kumbe tulianzia hapa
@dorcasrenatus9960
@dorcasrenatus9960 3 жыл бұрын
😭😭😭😭
@theophilojohn7331
@theophilojohn7331 Жыл бұрын
Kilakitu kinamwanzo wa safariyake na mwishowake jaman
@mahirwilliam5109
@mahirwilliam5109 4 жыл бұрын
Chuma kikichukua fomu
@allyshafi4391
@allyshafi4391 Жыл бұрын
Dah kwakweli Dunia kweli haimtaki mtu ila sie ndo tunaitaka Dunia, wote wawli now ni marehemu mh Moh'd Seifu khatibu pamoja na Dr John Magufuli Mungu awasamehe makosa yao wapumzike kwa Amani waliko
@jumbekassim8958
@jumbekassim8958 4 жыл бұрын
Baadhi ya watu walikua wakimcheka at ni nani ?? Ni pombe magufuli kwekwekwe.
@danieldonati5972
@danieldonati5972 8 жыл бұрын
Alikuwa mnyenyekevu tangu hapo
@halidkuchile4132
@halidkuchile4132 5 жыл бұрын
ddd
@gideonkalumbu5220
@gideonkalumbu5220 4 жыл бұрын
Ni mwaka ambao, kamwe,sitosahau.
@mussaulaya3926
@mussaulaya3926 3 жыл бұрын
Hakuna anaeijua kesho yake
@husseinntarugera3930
@husseinntarugera3930 2 жыл бұрын
Dah Leo hatupo nae tena
@felicianmabepe3958
@felicianmabepe3958 3 жыл бұрын
kama nasikia vicheko vya kejeli hapo mwishoni,, kweli usilolijua ni kama usiku wa giza
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
umeonaee yaani jmni watu mmmh kweli Mungu tuu Ajuae kesho ya mtu..Mungu Alitulia na Akamuinua mtumishi wake..sasa sijui hao waliochecka kwa kejeli walisemaje baada ya huyu mtu kuwa President..au?
@zozohmeed5546
@zozohmeed5546 4 жыл бұрын
Mzee baba tuko nyuma yako tunakuombea
@okate98
@okate98 9 жыл бұрын
Mimi nimeona ni Kitabu cha wageni (au watia Nia ya Urais) kwa hiyo hakuna ubaya
@tanzaniakwanza9564
@tanzaniakwanza9564 7 жыл бұрын
kwa sasa wajisikiaje baada ya kuona kashinda na hakwenda kama mgeni ?? mbona huja delete comment yako??
@johnsimon4931
@johnsimon4931 7 жыл бұрын
Sonjohn W. Joram hahaaaaaa
@barackramathan4871
@barackramathan4871 4 жыл бұрын
dume la kisukuma we ndo rais tz
@faustinekulwa2596
@faustinekulwa2596 Жыл бұрын
Jamani baba yetu rudi basi tumekumisss
@teulechristopher1845
@teulechristopher1845 Жыл бұрын
Huyu jamaaa aliweka kitu hawez kasaulika
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 5 жыл бұрын
Vema sn
@luchanoarkanjelo4115
@luchanoarkanjelo4115 Жыл бұрын
Baba John maguful rest in peace
@jeshilamtu863
@jeshilamtu863 4 жыл бұрын
Rais anaonekanaga tuu
@smolletmwakamele4275
@smolletmwakamele4275 3 жыл бұрын
Inaonekana walimchekaa kwaa zarauuuu sanàaa
@zachariangocho4287
@zachariangocho4287 9 жыл бұрын
Makubwa
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 4 жыл бұрын
Natamani na ningeweza itokee hivi kuwa HAKUTAKUWA na mgombea mwingine wa nafasi ya Uraisi atakayechukuwa fomu ya kugombea 2020 hadi 2025 isipokuwa JPM mwenyewe kwani ANATOSHA. Tumlipe nini kwa haya aliyotufanyia WATANZANIA ???? Malipo ni haya, wana CCM tusimpinge. Aachwe asimame mwenyewe.
@johnkirambata9003
@johnkirambata9003 5 жыл бұрын
ivi huyu jamaa aliyekuwa anamcheka Magu hapo pembeni yupo kweli kwenye uongozi mpaka sasa
@primecaptain8628
@primecaptain8628 5 жыл бұрын
Natamani nimjue nikamuulize alipata nini.
@emmanuelpaschalselya9587
@emmanuelpaschalselya9587 4 жыл бұрын
sidhani
@husseinntarugera3930
@husseinntarugera3930 2 жыл бұрын
Kwel rais magufuri aliamumin sana muumba
@tresorbyamugu5934
@tresorbyamugu5934 9 жыл бұрын
Mwenye uweza ni mungu pekee .atusaidie .ONA ribya ,misiri, kongo,naijeria, somalia ,burundi nk .wenye pesa watapaa .msikini sijui?olewao wenye mimba na wanyonyeshao .siasa tuachie wana siasa .
@kassimulugajo6512
@kassimulugajo6512 4 жыл бұрын
tumechoka kuisoma namba mzee tusamehe si makosa yetu kukuchagua
@man.lule.585
@man.lule.585 4 жыл бұрын
Kassimu Lugajo Acha umbea Man, we ulichagua mafuriko ya Ukawa ndo laana zinakutesa mpka 2020. Na ikifika uchaguzi wa 2020 ukakosea tena utapagawa na utakuwa chizi.
@J4UPro
@J4UPro 4 жыл бұрын
Kassimu Lugajo Acha uongo, fanya kazi mwanaume kulialia ni dhambi.
@kassimulugajo6512
@kassimulugajo6512 4 жыл бұрын
ila uzuri wa bahati kama ni namba tunaisoma wote
@ajuxman9382
@ajuxman9382 6 жыл бұрын
Hapo mkimya hajaanza jeuri zake kuonesha makucha yake
@fredyhatari2572
@fredyhatari2572 6 жыл бұрын
Wakati wa kuchukua fomu za kugombea urais Magufuli alimpongeza rais Kikwete kwa kutekeleza ilani uavuchaguzi kwa umakini Mkubwa, lakini leo anamkosoa, ccm kuna unafiki ulioshiba.
Makala ya siku tano za kwanza kwa Rais Dkt John Pombe Magufuli Ikulu
26:22
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 16 МЛН
makabidhiano ya ofisi kati ya Rais Magufuli na JK Novemba 12,2015
6:39
MAGUFULI: Msinichagulie shikamoo Zanzibar, nitapata shida...
10:38
Mtanzania Digital
Рет қаралды 10 М.
Yaliyopamba kampeni za Dkt John  Magufuli katika Safari ya Ikulu
12:33
MUHIDIN MICHUZI
Рет қаралды 310 М.
Dkt  Magufuli Ala Kiapo Rasmi
8:36
SIMU. Tv
Рет қаралды 19 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 583 М.
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН