🤣🤣🤣🤣 very interested but badala ya wapinzani tukabatizwa wote kwa moto🤣🤣🤣🤣
@kayalaonlinetv2 жыл бұрын
Atwabatiza kwa moto
@henokoriziki97044 жыл бұрын
Mzee makamba hongera sana baba Wa hekima big up walisishe wanao waongea pointi mwanzo mwisho
@timboxlee919 Жыл бұрын
Huyu si mtanzania mzarendo ni bonge la nafiki,Rip JPM
@johnkahekwa89624 жыл бұрын
Loh! Ndugu zetu was Tz, munaiva kisiasa kweli. Muendeleye nakutaja jina la Mungu katika siasa yenu na bila ubaguzi wa dini. Sijawahi kusikiya Islam anahusiyana vizuri na mkristo. Hongera kubwa na mubarikiwe sana. Mimi toka Bukavu, D. R. Congo
@anordnyika10673 жыл бұрын
PP₩]PpppppPPPPpappppĺl
@zennokimaro43244 жыл бұрын
Kiukweli huyu Mzee Makamba Mungu azidi kukutetea, una Hekima kubwa sana mzee wetu
@AhmetMtonga Жыл бұрын
Kilasiku wewe kwenyeutubayako umesoma kwa waluteti tumechoka
@victorialubwaza1583 Жыл бұрын
Usiwaguse masihi wa Bwana ukiwagusa umeguaa mboni ya jicho la Mungu
@josephnchunga30195 жыл бұрын
Huyu Mzee amekomaa kisiasa yuko vizuri sana
@fraviansweetberty88192 жыл бұрын
Sasa Kama mlitaka apamban na mafisad Magufur kwann mlimuhuwa Mungu ana wasubili kwa amu
makamba unanivutia kuingia kwenye siasa,nakupenda sana mzeee wangu makamba
@maryzahabu74455 жыл бұрын
Benson Jumapili .
@nicokabonge1975 жыл бұрын
Hadi raha ...kumsikiliza Mzee makamba
@jumanneally24324 жыл бұрын
Asante makamba
@bagayajimloja36103 жыл бұрын
Mungu amrehem jpm
@johnbernad68064 жыл бұрын
Maneno mazito yenye hekima na busala
@kabogeof95974 жыл бұрын
Maneno yanadumu ba hayabadiliki ila alieyasema anabadilika
@epifaniamilinga28483 жыл бұрын
Vita vya Gwajima na kikwete muda mrefu.pia Gwajima alianza kumtetea Magufuli muda mrefu.na Magufuli alijua sifa hizi zina sababu.iliJanuary Makamba awe waziri mkuu.
@beckasalum26202 жыл бұрын
Ndio maana mm nasemaga gwajima mnafki Sana Ila tripu hii kanyoshwa na mama
@kingwatabata42303 жыл бұрын
Kama umesikia kimemo cha makamba kimekataliwa tuonane😂
@abdallahrunwa18864 жыл бұрын
Hapo sasa ndipo unadhibitika usemi anaopenda kusema mheshimiwa rais Magufuri kuwa msema kweli ni mpenzi wa Mungu mzee umeudhihilishia umma wakitanzania kuwa wewe humumnyi mdomo huo ndiyo mzee wewe ndiyo jembe la CCM nakwaminia sana majipu sugu hayahitaji kupasuliwa kwa ngazi ni makavu hivyo hivyo kwani chama chetu bado kina misingi imara wala visitokee vibaraka kujikweza eti wanaipenda CCM hao ni wanafiki wakuwa wepesi wakutanguliza kauli zao mbaya baadae wanasahau kauli zao nimefurahi sana hotuba zako mzee mwenzangu ni zautu uzima hazna unafiki ndani yake inabaki aibu kwa yule kwa kusema kwake hakuweka pazia...!usemi wa wahenga usitukane wakunga uzazi ungalipo...!
@generosemwashambwa82854 жыл бұрын
Yaani fasihi yako ipo njema ingawaje hiyo hotuba naona itaelewka kwa kwa kundi dogo sana lkn big up babake
@greatiq82345 жыл бұрын
Siku ukikosea moja tu, jibaba anakumwaga kaa uharo!
@shammoha52975 жыл бұрын
Nice speech. Mheshimiwa Yusuf Makamba Mola akubariki😘😍👍
@azizawadh59734 жыл бұрын
Mzee Makamba ulitoa neno lakini kuna waliokuchukia hapo walikua wskijichekesha tu sasa unayaona binadamu wabaya sana
@atugonzalugemalila51425 жыл бұрын
Asiyatie kichwani mwake maneno yenu maana mlitufikisha pabaya
@mohamedkigwehe35613 жыл бұрын
Luwasa sijui kama anasikilizaga hii kumbe nifisadi/ngwajima naye nimuongo duh? Chama hicho kinasema leo hii wapo tena ccm.
@greatiq82345 жыл бұрын
"Juhudi zetu hapa hatumpigi mtu kamba. Na mwisho tuna malizia kwa salam za Makamba! Baba yetu Makamba.....
@fransicsamson1066 жыл бұрын
Wagombea mbona walikuwa wengi?Sasa Leo lnageuka alijitokeza mmoja eti nitume Mimi umegeuza maandiko mzee.swali hilo ktk Bblia liliulizwa hawakujitokeza zaid ya mmoja.kama ndvo kwa CCM walijitokeza weeengi kupitia mchakato na akabak mmoja Nitofaut na jins umekalili kwenye Bbilia Umeonopa
@yasinkihupi95834 жыл бұрын
Hukumuelewa. Mheshimiwa alikataa kuwa mwenyekiti wa ccm. Walitumia hekima kumuomba. Sababu tamaduni ya ccm ni kuwa raisi ndio anabeba dhamana ya uenyekiti wa chama. Ila yeye alishinda uraisi ila walipotaka wamkabidhi uenyekiti wa chama alikataa. Sababu ukiwa raisi na mwenyekiti wa chama unajifunga kuna baadhi ya mambo huwez fanya kwa ajili ya kurinda heshima na hadhi ya chama katika jamii
@erodeshayo86722 жыл бұрын
Unaakili sana mzee maneno yako ni zaidi ya chochote nakupenda Sana mzee wang
@halimajamaniamekuwamndeme96174 жыл бұрын
Nampenda sana makamba,
@kundaelisengasu49724 жыл бұрын
Nakukubali mtumishi makamba
@marthamungure17773 жыл бұрын
Alikosea kumgeuka Lowasa
@madehasamwel85193 жыл бұрын
Watanzania ni wanafiki xana xana,,.ya leo yanafurahixh xna
@florianmombo28678 жыл бұрын
asante sana simu tv mnatusaidia sana sisi watanzania tuliopo nnje ya Tanzania.
@jabirmawazo96806 жыл бұрын
Baba tupo vizuri tunamiliki sim siku hizi na ......... sifa ya muongo mwenye shibe ni kunywea maji. Sawa mzee
@jabirmawazo96806 жыл бұрын
Mwenye shibe hunywea maji
@rahmazahor43333 жыл бұрын
Nina huko Leo gwajuma huko mbungeni CCM...
@maxcharles54363 жыл бұрын
ccm ya unafiki mbona gwajima yupo. bungen
@aginiweyessayakyando98555 жыл бұрын
Duuh....!!!! Kweli kwa upinzani huu ni ubatizo wa moto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joashnyabange88307 жыл бұрын
safi sana baba
@hekimafungo53033 жыл бұрын
Leo gwajima anaonekana ni mzuri
@mkalikwanza25364 жыл бұрын
Napenda Sana speech za huyu mzee
@tereseamasawe81114 жыл бұрын
MAKAMBA HII KAULI ILIKUWA NI YA KIFISADI TU. ULIKUWA UNAJIPENDEKEZA KWA RAIS ILI UPATE KULA VYA BURE. LAKINI MAGU ALLIGUNDUA HILO .MSIMAMO WA MAGU UKAWA NI KUTUMBUA TU MPAKA WEWE MAKAMBA UKAAMUA KUSUSA NA KIKAO DODOMA MWAKA HUU 2020.
@KUTOKA-ep2fk3 жыл бұрын
Mzee ni mhubiri ni kiplan
@habibumdetele65304 жыл бұрын
Hapa ndipo tunajifunza uwezo wa kufikiri ulivyofifishwa na elimu yetu.Leo ccm na gwajima tena kampeni manager makamba hahaha...
@nicotitus29874 жыл бұрын
Mzee makamba ishi miaka miambili katika jina layesu aameni
@amonamiri44873 жыл бұрын
Mnafiki tu huyu
@arlecoboazsote50563 жыл бұрын
Kweli kifo hakina huruma.
@palmalazulazul49393 жыл бұрын
huyu mzee daah nimechelewa kumjua na kumfuatilia ila nimegundua ana hekma sana
@machaggechacha34223 жыл бұрын
Muuaji huyo. Kafiri mkubwa.
@amonamiri44873 жыл бұрын
Kweli kabisa mbwa huyu mkubwa
@dominickmihayo57643 жыл бұрын
Nimekumic sana mzee wangu
@fatmaali20504 жыл бұрын
Kwa hiyo na ccm yatoa utume na kazi yake ni ya mungu
@vanessagoodluck71766 жыл бұрын
Ubatizo wa moto sasa unatupata wote manaa jua linawaka mpaka vyumbani
@abuusufian65064 жыл бұрын
Kabisa
@trophainamagogwa95905 жыл бұрын
Makamba aise angekuwa bado Kijana angegombea Uraisi na Angeshinda
@elizabethludovick90754 жыл бұрын
Tuna.Wazee.wenye.busara.sina.shaka
@hidayaswai31194 жыл бұрын
Duuuh mzee makamba. Umenikosha mnoooo. Namuombea Mungu hekima zako na zaidi
@hidayaswai31194 жыл бұрын
Namuomba
@ibramollel41964 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mzee basi amezeeka mungu ampe Afya njema
@oswardukulule16384 жыл бұрын
Mzee makamba tunakushukuru kwa ushauri wako lakini pia tutakumiss sana
@yahayaolomi10573 жыл бұрын
Mzee makamba bhana
@kassimmohammed49495 жыл бұрын
Majanga tuuu yumo akufuru
@priscambwambo10304 жыл бұрын
Babu kulikoni??
@reginaldtemu63054 жыл бұрын
Huyu anayesemwa ni gwajima yupi?
@joelmisholi49584 жыл бұрын
Dr Magufuli una majembe Baba MUNGU Akusaidie TUPO Baba!
@jumahaonga48034 жыл бұрын
Oil
@jumahaonga48034 жыл бұрын
Looking at Malawi
@onesmokamili29684 жыл бұрын
Gwajima mgombea ubunge kawe
@felixkamkala33036 жыл бұрын
Ubatizo wa Wa moto sasa wanaupata mzee baba nishida Mjini!!
@danielmwaipyana45014 жыл бұрын
Huyu mzee anaunabii ndani yake sema hajijui tuu
@marthamungure17773 жыл бұрын
Askofu acha uongo
@pascalmerkior41195 жыл бұрын
Sasaivi upo kitaa unalia na ccm imekutupa
@bujiiclassic19644 жыл бұрын
Safi xana Mzee makamba
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Haaaaaaaaaa Haleluya tena safi sana
@jensenyluponelo54255 жыл бұрын
Pamoja sana kiongozi makamba
@hassansaid51663 жыл бұрын
Mzee upo sahihi
@jimushijoseph24085 жыл бұрын
Usimguse masihi wa. Bwana.Usimtukane mkuu wa watu.
@gracewiliam88724 жыл бұрын
Ok mkuu nakuelewa
@halimajamaniamekuwamndeme96174 жыл бұрын
Maneno mazuri sana, ya Mh makamba,
@elishawema77254 жыл бұрын
Haleluyaaa
@lucasjacob97334 жыл бұрын
Sasa hivi. Mzee kwisha ulimfagilia mwisho wake Sasa hivi kimya jamaa hashauriki
@shwaibumsuya67314 жыл бұрын
Safi sana mzee makamba
@hamoudsaid55823 жыл бұрын
Mnafiki uyu mzee
@asmamaarifa26493 жыл бұрын
Pumbavu sana,
@amonamiri44873 жыл бұрын
Muuaji mkubwa
@ezramakina80306 жыл бұрын
Nafurahia sana hotuba zako mh
@hellenmgonja51654 жыл бұрын
Sema ucogope sema
@frankkaiza36584 жыл бұрын
Anayo kazi mchumia tumbo gwajima kondoo awawezi iyo mchumia tumbo tutajua mengi mzee makamba ubalikiwe cn na mungu!!!!!
@SamwelJoseph-yk3cw2 ай бұрын
Hujui unachoongea
@trophainamagogwa95905 жыл бұрын
Makamba Kwa kweli unafaa saana kwani unasema ukweli
@macktoshnyabicha27794 жыл бұрын
Aliona mbali. Jpm amebatiisa kwa moto. Mimi no mkenya nampenda sana.
@kulwasalum35974 жыл бұрын
Nafasi za uongozi za ukuu wa wilaya , ukijipendekeza kwa Rais unapata. !!! Duuuuh .... !!!!!
@tinamzava8344 жыл бұрын
Yan mnahangaika kipind hii du polen
@ezkielyohana49645 жыл бұрын
😂😂makamba hatare Sana.
@trophainamagogwa95905 жыл бұрын
Gwajima nje nje na Makamba
@aminamakacha62584 жыл бұрын
Sikwa madongo ayo nimekupenda bure. Makamba
@ibramollel41964 жыл бұрын
Hayo sio madogo niukweli
@robertjunior99164 жыл бұрын
Makamba kapigwa kamba kimya 😂😂😂😂😂
@azizawadh59734 жыл бұрын
Mfumo uliopo sio rafiki
@cypmkutubi31095 жыл бұрын
Kumbe Gwajima alianza uwongo kitambo sana.
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
aisee huyu baba kaisoma bible kisawasawa kwa kweli anayajua maandiko hatariii
@zennokimaro43244 жыл бұрын
Kabisa anafaa kuwa mwalimu wa bible study.
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
@@zennokimaro4324 hahaaa ivi eh?
@mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын
Mzee Makamba na misemo ya vitabu vya Imani.
@mwanashazingas39775 жыл бұрын
Gwajima mnafiki tu wakawaida
@maalimtowba57845 жыл бұрын
Yaako waapi leo maneno mzr ya wazee wetu?
@trophainamagogwa95905 жыл бұрын
Maandiko unayajua ungeokoka wangeokoka wengi saana Mzee Makamba