Kauli ya Yusuf Makamba Kwa Askofu Gwajima

  Рет қаралды 347,624

SIMU. Tv

SIMU. Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 153
@ZeAniamalTV
@ZeAniamalTV 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 very interested but badala ya wapinzani tukabatizwa wote kwa moto🤣🤣🤣🤣
@kayalaonlinetv
@kayalaonlinetv 2 жыл бұрын
Atwabatiza kwa moto
@henokoriziki9704
@henokoriziki9704 4 жыл бұрын
Mzee makamba hongera sana baba Wa hekima big up walisishe wanao waongea pointi mwanzo mwisho
@timboxlee919
@timboxlee919 Жыл бұрын
Huyu si mtanzania mzarendo ni bonge la nafiki,Rip JPM
@johnkahekwa8962
@johnkahekwa8962 4 жыл бұрын
Loh! Ndugu zetu was Tz, munaiva kisiasa kweli. Muendeleye nakutaja jina la Mungu katika siasa yenu na bila ubaguzi wa dini. Sijawahi kusikiya Islam anahusiyana vizuri na mkristo. Hongera kubwa na mubarikiwe sana. Mimi toka Bukavu, D. R. Congo
@anordnyika1067
@anordnyika1067 3 жыл бұрын
PP₩]PpppppPPPPpappppĺl
@zennokimaro4324
@zennokimaro4324 4 жыл бұрын
Kiukweli huyu Mzee Makamba Mungu azidi kukutetea, una Hekima kubwa sana mzee wetu
@AhmetMtonga
@AhmetMtonga Жыл бұрын
Kilasiku wewe kwenyeutubayako umesoma kwa waluteti tumechoka
@victorialubwaza1583
@victorialubwaza1583 Жыл бұрын
Usiwaguse masihi wa Bwana ukiwagusa umeguaa mboni ya jicho la Mungu
@josephnchunga3019
@josephnchunga3019 5 жыл бұрын
Huyu Mzee amekomaa kisiasa yuko vizuri sana
@fraviansweetberty8819
@fraviansweetberty8819 2 жыл бұрын
Sasa Kama mlitaka apamban na mafisad Magufur kwann mlimuhuwa Mungu ana wasubili kwa amu
@halimajamaniamekuwamndeme9617
@halimajamaniamekuwamndeme9617 4 жыл бұрын
Mzee noma, I love you, Makamba wangu
@rukiamussa9509
@rukiamussa9509 4 жыл бұрын
Weweeeee wasambaaa mkoapiiiii👏👏👏👏👏👏👏👏👏hebu tujipigie makofi wasambaaaa
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 2 жыл бұрын
Alimnadi mwisho wapicha alipigwa chini hiyo ndo ccm
@evshukurulupale6959
@evshukurulupale6959 4 жыл бұрын
Huyu Baba kwa kweli anaongeaga point sana , Mungu akubariki sana
@julianajohn5256
@julianajohn5256 2 жыл бұрын
Kana ongea haka kafupi
@fidelisnairowa6121
@fidelisnairowa6121 2 жыл бұрын
makamba umetisha
@brendanadrian1976
@brendanadrian1976 4 жыл бұрын
Leo hii ni mgombea wa CCM kiti cha Ubunge Kawe.
@mercyshepherds7206
@mercyshepherds7206 2 жыл бұрын
Mafarisayo
@Chef_Ammytz
@Chef_Ammytz 2 ай бұрын
Ccm hoyee
@frankmwanga1135
@frankmwanga1135 Жыл бұрын
1à111
@johnrickmwamselele1036
@johnrickmwamselele1036 Жыл бұрын
Hapo sawa
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 4 жыл бұрын
Mzee lowasa kaunga juhudi yuko nyumbn amerudi ufisadi kauacha wapi.....!???
@eliajoseph6865
@eliajoseph6865 4 жыл бұрын
Kaacha chadema
@bensonjumapili6780
@bensonjumapili6780 7 жыл бұрын
makamba unanivutia kuingia kwenye siasa,nakupenda sana mzeee wangu makamba
@maryzahabu7445
@maryzahabu7445 5 жыл бұрын
Benson Jumapili .
@nicokabonge197
@nicokabonge197 5 жыл бұрын
Hadi raha ...kumsikiliza Mzee makamba
@jumanneally2432
@jumanneally2432 4 жыл бұрын
Asante makamba
@bagayajimloja3610
@bagayajimloja3610 3 жыл бұрын
Mungu amrehem jpm
@johnbernad6806
@johnbernad6806 4 жыл бұрын
Maneno mazito yenye hekima na busala
@kabogeof9597
@kabogeof9597 4 жыл бұрын
Maneno yanadumu ba hayabadiliki ila alieyasema anabadilika
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 жыл бұрын
Vita vya Gwajima na kikwete muda mrefu.pia Gwajima alianza kumtetea Magufuli muda mrefu.na Magufuli alijua sifa hizi zina sababu.iliJanuary Makamba awe waziri mkuu.
@beckasalum2620
@beckasalum2620 2 жыл бұрын
Ndio maana mm nasemaga gwajima mnafki Sana Ila tripu hii kanyoshwa na mama
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 3 жыл бұрын
Kama umesikia kimemo cha makamba kimekataliwa tuonane😂
@abdallahrunwa1886
@abdallahrunwa1886 4 жыл бұрын
Hapo sasa ndipo unadhibitika usemi anaopenda kusema mheshimiwa rais Magufuri kuwa msema kweli ni mpenzi wa Mungu mzee umeudhihilishia umma wakitanzania kuwa wewe humumnyi mdomo huo ndiyo mzee wewe ndiyo jembe la CCM nakwaminia sana majipu sugu hayahitaji kupasuliwa kwa ngazi ni makavu hivyo hivyo kwani chama chetu bado kina misingi imara wala visitokee vibaraka kujikweza eti wanaipenda CCM hao ni wanafiki wakuwa wepesi wakutanguliza kauli zao mbaya baadae wanasahau kauli zao nimefurahi sana hotuba zako mzee mwenzangu ni zautu uzima hazna unafiki ndani yake inabaki aibu kwa yule kwa kusema kwake hakuweka pazia...!usemi wa wahenga usitukane wakunga uzazi ungalipo...!
@generosemwashambwa8285
@generosemwashambwa8285 4 жыл бұрын
Yaani fasihi yako ipo njema ingawaje hiyo hotuba naona itaelewka kwa kwa kundi dogo sana lkn big up babake
@greatiq8234
@greatiq8234 5 жыл бұрын
Siku ukikosea moja tu, jibaba anakumwaga kaa uharo!
@shammoha5297
@shammoha5297 5 жыл бұрын
Nice speech. Mheshimiwa Yusuf Makamba Mola akubariki😘😍👍
@azizawadh5973
@azizawadh5973 4 жыл бұрын
Mzee Makamba ulitoa neno lakini kuna waliokuchukia hapo walikua wskijichekesha tu sasa unayaona binadamu wabaya sana
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 5 жыл бұрын
Asiyatie kichwani mwake maneno yenu maana mlitufikisha pabaya
@mohamedkigwehe3561
@mohamedkigwehe3561 3 жыл бұрын
Luwasa sijui kama anasikilizaga hii kumbe nifisadi/ngwajima naye nimuongo duh? Chama hicho kinasema leo hii wapo tena ccm.
@greatiq8234
@greatiq8234 5 жыл бұрын
"Juhudi zetu hapa hatumpigi mtu kamba. Na mwisho tuna malizia kwa salam za Makamba! Baba yetu Makamba.....
@fransicsamson106
@fransicsamson106 6 жыл бұрын
Wagombea mbona walikuwa wengi?Sasa Leo lnageuka alijitokeza mmoja eti nitume Mimi umegeuza maandiko mzee.swali hilo ktk Bblia liliulizwa hawakujitokeza zaid ya mmoja.kama ndvo kwa CCM walijitokeza weeengi kupitia mchakato na akabak mmoja Nitofaut na jins umekalili kwenye Bbilia Umeonopa
@yasinkihupi9583
@yasinkihupi9583 4 жыл бұрын
Hukumuelewa. Mheshimiwa alikataa kuwa mwenyekiti wa ccm. Walitumia hekima kumuomba. Sababu tamaduni ya ccm ni kuwa raisi ndio anabeba dhamana ya uenyekiti wa chama. Ila yeye alishinda uraisi ila walipotaka wamkabidhi uenyekiti wa chama alikataa. Sababu ukiwa raisi na mwenyekiti wa chama unajifunga kuna baadhi ya mambo huwez fanya kwa ajili ya kurinda heshima na hadhi ya chama katika jamii
@erodeshayo8672
@erodeshayo8672 2 жыл бұрын
Unaakili sana mzee maneno yako ni zaidi ya chochote nakupenda Sana mzee wang
@halimajamaniamekuwamndeme9617
@halimajamaniamekuwamndeme9617 4 жыл бұрын
Nampenda sana makamba,
@kundaelisengasu4972
@kundaelisengasu4972 4 жыл бұрын
Nakukubali mtumishi makamba
@marthamungure1777
@marthamungure1777 3 жыл бұрын
Alikosea kumgeuka Lowasa
@madehasamwel8519
@madehasamwel8519 3 жыл бұрын
Watanzania ni wanafiki xana xana,,.ya leo yanafurahixh xna
@florianmombo2867
@florianmombo2867 8 жыл бұрын
asante sana simu tv mnatusaidia sana sisi watanzania tuliopo nnje ya Tanzania.
@jabirmawazo9680
@jabirmawazo9680 6 жыл бұрын
Baba tupo vizuri tunamiliki sim siku hizi na ......... sifa ya muongo mwenye shibe ni kunywea maji. Sawa mzee
@jabirmawazo9680
@jabirmawazo9680 6 жыл бұрын
Mwenye shibe hunywea maji
@rahmazahor4333
@rahmazahor4333 3 жыл бұрын
Nina huko Leo gwajuma huko mbungeni CCM...
@maxcharles5436
@maxcharles5436 3 жыл бұрын
ccm ya unafiki mbona gwajima yupo. bungen
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 5 жыл бұрын
Duuh....!!!! Kweli kwa upinzani huu ni ubatizo wa moto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joashnyabange8830
@joashnyabange8830 7 жыл бұрын
safi sana baba
@hekimafungo5303
@hekimafungo5303 3 жыл бұрын
Leo gwajima anaonekana ni mzuri
@mkalikwanza2536
@mkalikwanza2536 4 жыл бұрын
Napenda Sana speech za huyu mzee
@tereseamasawe8111
@tereseamasawe8111 4 жыл бұрын
MAKAMBA HII KAULI ILIKUWA NI YA KIFISADI TU. ULIKUWA UNAJIPENDEKEZA KWA RAIS ILI UPATE KULA VYA BURE. LAKINI MAGU ALLIGUNDUA HILO .MSIMAMO WA MAGU UKAWA NI KUTUMBUA TU MPAKA WEWE MAKAMBA UKAAMUA KUSUSA NA KIKAO DODOMA MWAKA HUU 2020.
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 3 жыл бұрын
Mzee ni mhubiri ni kiplan
@habibumdetele6530
@habibumdetele6530 4 жыл бұрын
Hapa ndipo tunajifunza uwezo wa kufikiri ulivyofifishwa na elimu yetu.Leo ccm na gwajima tena kampeni manager makamba hahaha...
@nicotitus2987
@nicotitus2987 4 жыл бұрын
Mzee makamba ishi miaka miambili katika jina layesu aameni
@amonamiri4487
@amonamiri4487 3 жыл бұрын
Mnafiki tu huyu
@arlecoboazsote5056
@arlecoboazsote5056 3 жыл бұрын
Kweli kifo hakina huruma.
@palmalazulazul4939
@palmalazulazul4939 3 жыл бұрын
huyu mzee daah nimechelewa kumjua na kumfuatilia ila nimegundua ana hekma sana
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 3 жыл бұрын
Muuaji huyo. Kafiri mkubwa.
@amonamiri4487
@amonamiri4487 3 жыл бұрын
Kweli kabisa mbwa huyu mkubwa
@dominickmihayo5764
@dominickmihayo5764 3 жыл бұрын
Nimekumic sana mzee wangu
@fatmaali2050
@fatmaali2050 4 жыл бұрын
Kwa hiyo na ccm yatoa utume na kazi yake ni ya mungu
@vanessagoodluck7176
@vanessagoodluck7176 6 жыл бұрын
Ubatizo wa moto sasa unatupata wote manaa jua linawaka mpaka vyumbani
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 жыл бұрын
Kabisa
@trophainamagogwa9590
@trophainamagogwa9590 5 жыл бұрын
Makamba aise angekuwa bado Kijana angegombea Uraisi na Angeshinda
@elizabethludovick9075
@elizabethludovick9075 4 жыл бұрын
Tuna.Wazee.wenye.busara.sina.shaka
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 жыл бұрын
Duuuh mzee makamba. Umenikosha mnoooo. Namuombea Mungu hekima zako na zaidi
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 жыл бұрын
Namuomba
@ibramollel4196
@ibramollel4196 4 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mzee basi amezeeka mungu ampe Afya njema
@oswardukulule1638
@oswardukulule1638 4 жыл бұрын
Mzee makamba tunakushukuru kwa ushauri wako lakini pia tutakumiss sana
@yahayaolomi1057
@yahayaolomi1057 3 жыл бұрын
Mzee makamba bhana
@kassimmohammed4949
@kassimmohammed4949 5 жыл бұрын
Majanga tuuu yumo akufuru
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 4 жыл бұрын
Babu kulikoni??
@reginaldtemu6305
@reginaldtemu6305 4 жыл бұрын
Huyu anayesemwa ni gwajima yupi?
@joelmisholi4958
@joelmisholi4958 4 жыл бұрын
Dr Magufuli una majembe Baba MUNGU Akusaidie TUPO Baba!
@jumahaonga4803
@jumahaonga4803 4 жыл бұрын
Oil
@jumahaonga4803
@jumahaonga4803 4 жыл бұрын
Looking at Malawi
@onesmokamili2968
@onesmokamili2968 4 жыл бұрын
Gwajima mgombea ubunge kawe
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 6 жыл бұрын
Ubatizo wa Wa moto sasa wanaupata mzee baba nishida Mjini!!
@danielmwaipyana4501
@danielmwaipyana4501 4 жыл бұрын
Huyu mzee anaunabii ndani yake sema hajijui tuu
@marthamungure1777
@marthamungure1777 3 жыл бұрын
Askofu acha uongo
@pascalmerkior4119
@pascalmerkior4119 5 жыл бұрын
Sasaivi upo kitaa unalia na ccm imekutupa
@bujiiclassic1964
@bujiiclassic1964 4 жыл бұрын
Safi xana Mzee makamba
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 5 жыл бұрын
Haaaaaaaaaa Haleluya tena safi sana
@jensenyluponelo5425
@jensenyluponelo5425 5 жыл бұрын
Pamoja sana kiongozi makamba
@hassansaid5166
@hassansaid5166 3 жыл бұрын
Mzee upo sahihi
@jimushijoseph2408
@jimushijoseph2408 5 жыл бұрын
Usimguse masihi wa. Bwana.Usimtukane mkuu wa watu.
@gracewiliam8872
@gracewiliam8872 4 жыл бұрын
Ok mkuu nakuelewa
@halimajamaniamekuwamndeme9617
@halimajamaniamekuwamndeme9617 4 жыл бұрын
Maneno mazuri sana, ya Mh makamba,
@elishawema7725
@elishawema7725 4 жыл бұрын
Haleluyaaa
@lucasjacob9733
@lucasjacob9733 4 жыл бұрын
Sasa hivi. Mzee kwisha ulimfagilia mwisho wake Sasa hivi kimya jamaa hashauriki
@shwaibumsuya6731
@shwaibumsuya6731 4 жыл бұрын
Safi sana mzee makamba
@hamoudsaid5582
@hamoudsaid5582 3 жыл бұрын
Mnafiki uyu mzee
@asmamaarifa2649
@asmamaarifa2649 3 жыл бұрын
Pumbavu sana,
@amonamiri4487
@amonamiri4487 3 жыл бұрын
Muuaji mkubwa
@ezramakina8030
@ezramakina8030 6 жыл бұрын
Nafurahia sana hotuba zako mh
@hellenmgonja5165
@hellenmgonja5165 4 жыл бұрын
Sema ucogope sema
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 4 жыл бұрын
Anayo kazi mchumia tumbo gwajima kondoo awawezi iyo mchumia tumbo tutajua mengi mzee makamba ubalikiwe cn na mungu!!!!!
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw 2 ай бұрын
Hujui unachoongea
@trophainamagogwa9590
@trophainamagogwa9590 5 жыл бұрын
Makamba Kwa kweli unafaa saana kwani unasema ukweli
@macktoshnyabicha2779
@macktoshnyabicha2779 4 жыл бұрын
Aliona mbali. Jpm amebatiisa kwa moto. Mimi no mkenya nampenda sana.
@kulwasalum3597
@kulwasalum3597 4 жыл бұрын
Nafasi za uongozi za ukuu wa wilaya , ukijipendekeza kwa Rais unapata. !!! Duuuuh .... !!!!!
@tinamzava834
@tinamzava834 4 жыл бұрын
Yan mnahangaika kipind hii du polen
@ezkielyohana4964
@ezkielyohana4964 5 жыл бұрын
😂😂makamba hatare Sana.
@trophainamagogwa9590
@trophainamagogwa9590 5 жыл бұрын
Gwajima nje nje na Makamba
@aminamakacha6258
@aminamakacha6258 4 жыл бұрын
Sikwa madongo ayo nimekupenda bure. Makamba
@ibramollel4196
@ibramollel4196 4 жыл бұрын
Hayo sio madogo niukweli
@robertjunior9916
@robertjunior9916 4 жыл бұрын
Makamba kapigwa kamba kimya 😂😂😂😂😂
@azizawadh5973
@azizawadh5973 4 жыл бұрын
Mfumo uliopo sio rafiki
@cypmkutubi3109
@cypmkutubi3109 5 жыл бұрын
Kumbe Gwajima alianza uwongo kitambo sana.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
aisee huyu baba kaisoma bible kisawasawa kwa kweli anayajua maandiko hatariii
@zennokimaro4324
@zennokimaro4324 4 жыл бұрын
Kabisa anafaa kuwa mwalimu wa bible study.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
@@zennokimaro4324 hahaaa ivi eh?
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Mzee Makamba na misemo ya vitabu vya Imani.
@mwanashazingas3977
@mwanashazingas3977 5 жыл бұрын
Gwajima mnafiki tu wakawaida
@maalimtowba5784
@maalimtowba5784 5 жыл бұрын
Yaako waapi leo maneno mzr ya wazee wetu?
@trophainamagogwa9590
@trophainamagogwa9590 5 жыл бұрын
Maandiko unayajua ungeokoka wangeokoka wengi saana Mzee Makamba
@twahanassoro7610
@twahanassoro7610 5 жыл бұрын
Kua mu Islam tayar ni Uokovu
NONDO ZA MZEE WARIOBA MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU HAYATI SOKOINE
19:28
MZEE YUSUF MAKAMBA KATIKA MKUTANO MKUU WA CCM KIZOTA
13:59
MUHIDIN MICHUZI
Рет қаралды 127 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 33 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 13 МЛН
💩Поу и Поулина ☠️МОЧАТ 😖Хмурых Тварей?!
00:34
Ной Анимация
Рет қаралды 2 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 55 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 650 М.
FULLVIDEO: GWAJIMA AMLIPUA TENA MAKONDA SAKATA LA KIPINDI CHA CLOUDS TV 19/03/2017
56:22
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 351 М.
HISTORIA YA YUSUPH MAKAMBA
6:22
Davistar Media
Рет қаралды 7 М.
AGIZO LA JPM: Kuhusu Mwanamke alieangua kilio mbele yake
8:28
Millard Ayo
Рет қаралды 255 М.
Salamu za Mzee Makamba
9:50
KKKT DKMS Online TV
Рет қаралды 159 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 33 МЛН