Рет қаралды 34,588
WAZIRI SILAA AAGIZA UCHUNGUZI MGOGORO wa NYUMBA ya BIBI KIZEE MWANANYAMALA- AOMBA SIKU 30 KUMALIZA..
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa kiwanja no. 781 maeneo ya Mwananyamala jijini Dar Es Dalaam ambapo imeibuka sintofahamu kati ya Bibi Juto Ally anayedai hakuwahi kuuza nyumba hiyo na Bwana Aloyce Msafiri anayedai amenunua nyumba hiyo muda mrefu.
Aidha Waziri Silaa baada ya kusikiliza pande zote mbili na kukagua baadhi ya nyaraka za kiwanja hicho amewaomba pande zote mbili wawe na subira na wampe muda wa siku 30 na kuwaagiza wataalamu wake pamoja na vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichunguze ili kupata ukweli wa kadhia hiyo.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx