Wao wanauwa watoto wazee vikongwe palestna wanawapa mayahudi silaha lebanon wameziripua simu za mkononi leo wanayoyafanya wao mbona hawaya zungumzi natamani serekali inipe nafasi nifanye mdahala nao nchi zakiafrca wanawapa waasi silaha wauwe lukuki ya watu leo tanzania ndio nchi yenye machafuko kweli
@jacksoncharles541115 сағат бұрын
Duuh,pro.wangu Kabudi muogope Mungu,wewe ni professor ila mambo unayoyaongea hata mtu mwenye level ya primary school hawezi kuongea upuuzi kiasi hicho,shame on you!!!
@mohamedally1216 күн бұрын
Safi sana waziri, umemjibu jizuri sana kibaraka huyu
@AhmedAli-x8w9e6 күн бұрын
Mwambie mamaako bc ampe Kuma kama kapatia
@philemonsnyanda9450Күн бұрын
Amejibu vizuri wapi ,acha uchawa ndugu
@newtonnyembe82285 күн бұрын
Human right watch waelekeze macho masikio na nguvu zote huko mashariki ya kati. Iachane na Tanzania kwanza.
@VailethKaali-hx8yh19 сағат бұрын
Sijawahi kumwelewa huyu Professor hata kidogo anatetemekea sana sahan yake ya ugali na sio haki za watu kila kitu yeye anakataa tu
Prof mzima tena wa Sheria anajitoa ufahamu Kwa kujizima na maslahi yake binafsi na familia yake binafsi, Sasa tumepaona panapo vuja ndani ya Taifa letu, huyu mzeee angekaaaa kimya, Dunia nzima imeshuhudia Tanganyika inavyokandamiza na kuisigina katiba na Sheria zetu, uchawa ndiyo unawasumbua huyu Prof kabudu mpuuuuzi sana msomi wa Sheria
@philemonsnyanda9450Күн бұрын
Lilishappata sehemu ya kulia ugali haliwezi kusema ukweli ndo maana linajiita professor majalala😂
@grationkato765816 сағат бұрын
Umewaikufika nchi zipi nje ya Tz na nje bara la Africa
@maase2023Күн бұрын
Mambo yetu yote hayaendi bila misaada na taaluma zao kisha tunawabeza kuwaita mabeberu
@yaronaWilliam2 күн бұрын
Tutauficha ukweli, lakini Mungu huwezi kumficha, tunatumia taaluma zetu kuficha kutetea uongo, ogopeni laana.
@ChristerKokuКүн бұрын
Haaaaaa inabidi tucheke,kicheko cha huzuni.Huyu mzee nilikuwa na mheshimu sana.basi jitahidi kuwa mkweli,.....linda heshima yako.
@ommymsangi91822 күн бұрын
Huwezi unamuuliza mtuhumuwa akashindwa kujitetea lkn utekwaji upo,vyombo binafsi vinatishiwa na wapinzani wana kamatwa.
@maase2023Күн бұрын
Tunawatukana na kuwabeza kwa kuwaita mabebera kisha kesho tunaomba mikopo na misaada hao hao
@boniphacesululu54286 күн бұрын
Ipo siku, niswala la Muda, kwasababu wote ni wanadam hatakama tutajitahidi kuficha ukweli kwaajili ya matumbo yetu siku inakuja Mungu atatoa HAKI kwa Kila mmoja kadri ya matendo yake
@AhmedAli-x8w9e6 күн бұрын
Washamba tu awa wazeeee ipo cku litapotea kwenye game
@AbdallaMwagora-sm1rj6 күн бұрын
Kabudi ana harakisha Ili kumtoa Kwenye reli mtangazaji.ukweli ni kwamba serekali inatumia mamlaka kukandamiza upinzani.na Hilo haliepukiki mpaka tupate katiba mpya .ndio maana mwalimu alisema serekali ni mtoto wa chama na chama ni baba waserekali .je Kuna mtoto atakosa kutetea babaake ?#katiba mpya ndio suluhu ya matatizo yetu Tanzania.
@kateahmed58522 күн бұрын
Acha ubabylon kijana
@omarsultan45026 күн бұрын
Waende mahakamani wapi ww kabudi muwakamate kwa polisi wenu alf waende mahakamani ya kwenu nyinyu
@mdedsm55226 күн бұрын
😂😂😂😂majibu ya harakaa ila si ya kuridhisha
@jamesmboneko29526 күн бұрын
Serikali hii haitaki kuambiwa Ukweli. Ni Aibu kubwa kukimbia Maswali
@lucasdeus56533 күн бұрын
Anaongea upuuzi tu
@habibuamir10056 күн бұрын
Wewe c ndio ulio okotwa jalalani
@lucasdeus56533 күн бұрын
Kwanza wazee wetu walipo madadakani ni walafi, wabinafsi na hawana nia nzuri na kizazi kijacho ambacho n watoto wao. Unaweza kuona ni jinsi gani tuna wazazi walio potoka
@mustafamuhunzi40475 күн бұрын
acha kutetea ujinga, yale mnayoyafanya yote hata wewe muhusika.
@mustafamuhunzi40475 күн бұрын
mbona unakua na haraka kabda jibu halijakamilika? una uplofesa wowote mnapeana madaraka tu.
@donaldbenedict57612 күн бұрын
Katiba gani serikari inafuata kuuwawa kwa kibao ni uongo?kupotea kwa akina soka kutekwa ovyo kwa wananchi alafu eti kifo cha mzee kibao nikama vifo vingine kabudi acha uongo CCM na police mmekuwa mstari wa mbele kunyanyasa wananchi mahakama Tanzania zinafanya kazi kwa maagizo hata kabudi unajua
@masoudalriyamy62986 күн бұрын
Bado hatujapata wapinzani tanzania ingekua kweli kunawapinzani ccm haipo leo hawa tulonao kwanza wanaudini halafu kundi jengine wanataka pesa wengine kazio yao kupenda ubaguzi wewe umezaliwa mkuranga wewe umezaliwa kigoma wewe umezaliwa pemba kiufupi wapinzani bado tena mwaka huu ccm njia nyeupe sii bara sii zazibary mwinyi ndio kaumaliza upinzani zazibary hajatokea kiongozi kuijenga kama mwinyi hata 1
@FridayMwassa2 күн бұрын
Kwa katiba hii hata ufanyeje huwezi
@YusufSwaibu6 күн бұрын
Acheni ujinga wa ndishi wa habari kuleta taarifa za kijinga kama hizi watu wanauwawa gazi mbona hamsemi wajinga wakubwa nyie
@IbnuAlly-wm8il6 күн бұрын
Wametawaliwa kifikra na wazungu kwaiyo hawaoni ispokuwa kile wanachokiona wazungu