UKIPEWA nafasi siku zote fanya katika ubora huwezi jua nn kipo mbele yako............... hongera new CDF... kila laheri Mungu akulinde.
@keveniadasilvia64782 жыл бұрын
May jesus bless you and our nation and your people.
@mluziwajini47342 жыл бұрын
Hongera na Leo hii ni mkuu wa majeshi
@Rolemodel_wa_taifa2 жыл бұрын
Safi sana Makamanda wetu God Bless Tanzania
@bakarithegeoinformatician74062 жыл бұрын
Sema Mkuu amekaa kijeshi zaidi wachache tu wataelewa kuwa jamaa sio politician!
@dicksonaroka69615 жыл бұрын
Safi sana wanajeshi wetu kwa ulinzi wa nchi kila kukicha ....
@jkaaya36392 жыл бұрын
Safi sana Jacob mkunde tuilinde nchi yetu hatuna pakwenda hikichafuka
@ShaqueeBlackrapper2 жыл бұрын
Safi sana Jeshi letu makini 🇹🇿✊
@papaamashana39622 жыл бұрын
Safisana mukuu ubalikiwe mungu akulehekima yakutetea haki nakweli kwawananchi namahitajiyao
@stevensemeni32112 жыл бұрын
Kwl kabisa mkuu tunaimani na jeshi letu liko makini
@fabianndimanya20552 жыл бұрын
Silaha zenyewe zimechooooka mnamtisha nani😂😂😂😂😂
@savaynerjuma39342 жыл бұрын
😂😂😂
@R.Dickon2 жыл бұрын
Miaka 2 baadae sasa ni Tanzanian CDF who's know the next bt only God 📌
@mohammedally6962 жыл бұрын
Na amini Tanzania kuwa liko na jeshi bora na liko na umakini kuliko Kenya
@mashakabundala99552 жыл бұрын
Sisi kenya 🇰🇪 nibora kuliko tz na ug ndio inafuata kenya baba uhuru hoyee
@Mpakauseme2 жыл бұрын
@@mashakabundala9955 Unajidanganya mwenyewe 🤣🤣🤣🤣
@masudikongoninga27962 жыл бұрын
Kaka ubora wako uko wapi katika zoezi tu fika katika house of death ambayo mpaka America ameshindwa ndio ujione ubora WA jeshi lako inaitwa Somali land muulize America soldier na kenya hadi Sasa wapi. Sasa Nani bora. Tafakari Kisha utanijibu
@twalibkatuli53182 жыл бұрын
@@masudikongoninga2796 hili nalo neno
@awdhiamiri74512 жыл бұрын
kazi iendelee Imani yetu ipokwenu wakuu wanchi yetu
@pureleathershoes80662 жыл бұрын
Nice. Kipindi nasoma nilitamami sana kujiunga jwtz now umri umesogea 30 plus I can't join
@ahmedhajji12105 жыл бұрын
safi sana jeshi lenye heshima na utii
@taturashid41672 жыл бұрын
Nice,keep it up general mkunda
@samwelimashaka89975 жыл бұрын
Wenye nia mbaya watapata tabu sana
@japhetsenkondo77652 жыл бұрын
Hii imekaa vzr sana
@ramiaramadhan74442 жыл бұрын
safi sana wafaaha pongez
@msafirisaimoni95612 жыл бұрын
Kazi iendele
@rasrizzy_g78562 жыл бұрын
Fanyeni parade kama ya urusi itakua poa sana kuliko vipande vidogo vidogo vya mazoeZ
@LoloLolo-on8ej2 жыл бұрын
Ahhh pumba tupu yani wehu nyinyi
@undersonmwombeki62192 жыл бұрын
Bdo mnatumia siraha za mkolon za zaman na ndogo ivyo jaman
@donaldmartin12332 жыл бұрын
Mabeyo is best of all
@shukurkatembo28075 жыл бұрын
mia mbili na mbili kei jei waziiii
@ngamanyajoshua8392 жыл бұрын
Halafu unakuta wenye nia mbaya wenyewe wametulia tu wame set Drone ..haahaa
@kamiltz94205 жыл бұрын
Hongera zake kamanda,
@yussfujonhmasengese70492 жыл бұрын
Vijana awii kalimbuni kulitumikia taifa letu
@mimosapudica18945 жыл бұрын
Nimeona jamaa anaongeza oil kwenye SMG Kwa kutumia kopo la Maji!!Nakosa Cha kuandika Ila sisi tutabaki wababe wa Gorilla war
@innocentrichard29455 жыл бұрын
haujui unachokiongea wew
@mimosapudica18945 жыл бұрын
@@innocentrichard2945 Baki na unachokijua!!
@mwajumamohd79302 жыл бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣,mi nimekuelewa braza,yaani sisi ni wababe kwa sehemu tulipo. Zana hizi bado ni old model,watu wako mbali Sana kidigital
@enocksilungwepondajr97072 жыл бұрын
Hata ulaya bootcamp zipo
@stephanomoses76942 жыл бұрын
😄😄nakupata vzur sana kaka
@aulamongi20202 жыл бұрын
Nani mkorofi tena Jmn Mbona tunatishiana
@mohayussuf20572 жыл бұрын
Ndio mnajoandaa na ngorongoro kuwapiga wamasai
@nyamosegathomas39942 жыл бұрын
Sauti kama Mh. Sabaya
@charleskhan74912 жыл бұрын
inatakiwa mmuelewe mheshimiwa, sio kuzunguka nyumba km nyumba
@salehabri69572 жыл бұрын
👍
@dolumwamuyenu22452 жыл бұрын
Hongera tunaomba muende Ukraine mkafanye field ya miezi miwili tu ili tujiimarishe zaidi
@crershawmafia10092 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 hio field zitarudi na ndege ya maiti na vilema tu
@dolumwamuyenu22452 жыл бұрын
@@crershawmafia1009 🤣🤣🤣🤣 noma sana mkuu maana kule ndio uwanja halisi wa kujiimarisha.
@salumhassan22042 жыл бұрын
😀😀😀
@patrickmarko44672 жыл бұрын
Aisee kule Kuna nuclear bombs sio poa
@madoidotv91032 жыл бұрын
Vipi mpaka wa kusini?
@estherwlle50842 жыл бұрын
Saf saanaaa
@ViceAdmiralVasilyArkhipov Жыл бұрын
Mwanaume kamili huyu
@mulangilakabwarebenson51285 жыл бұрын
Safi sana
@yusuphwm2 жыл бұрын
Hatar sana ngoja tu nicheke😆😆
@joramylucas74542 жыл бұрын
Inatakiwa jeshi litumie pia na anga advantage kam vile kuwepo kwa drons nk siyo magar na kwata
@samwelijoab34252 жыл бұрын
Menaona askari wangu nidhaifu hata mavaziyao😭😭😭
@yunusabdulwallace38012 жыл бұрын
Anza kurudi kwenu Burundi we're coming for you
@samwelijoab34252 жыл бұрын
tougher man wangu
@kizazijeuri35625 жыл бұрын
silaha za kizamani sana kama ujaona cha maana gonga like apa
@slimjumakimamba39795 жыл бұрын
Hahaa mazoezi tu hayo hawawezi kukuonyesha siraha halisi za kivita
@frankmushi88922 жыл бұрын
Jaribuu tuoneee
@azizikipande75192 жыл бұрын
Wazi afande
@teamallyracing17805 жыл бұрын
Hizo silaha tangu Vita vya kwanza vya Dunia
@raibethnicholaus14932 жыл бұрын
Hii nchi inarindwa na Mwenyez Mungu tu
@yusuphwm2 жыл бұрын
😆😆😆
@savaynerjuma39342 жыл бұрын
Yani 🤣🤣🤣
@awaziernest80005 жыл бұрын
Afadhali maana huko Luna mipaka mingi isiyo lasmi ndio maana matukio ya ujambazi hayaishi
@seiflugendo50432 жыл бұрын
Endeleeni sasa mkione cha mtemakuni
@moodyman75885 жыл бұрын
Asalama aleykum mm ni mtanzania lkn miinichagua raisi izo silaha mlokuwa nazo zote niteka makumbosho. Nitakuleni vitu vya kileo vya kubonyeza tu. Silaha Za kimataifa. Yata wazungu waogope kuivamia Tanzania. Think before you done
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Unabwabwaja tu hao wazungu ndio wanaziumba hizo silaha sasa je watakuogopaje wewe mtu ambaye huwezi kujitengenezea chochote zaidi yakuomba misaada kila siku
@kelvinnachy74622 жыл бұрын
unachekesha sana sana. Punguza movie kijana. Afu angalia taarifa huko ukraine mbona hatuoni hizo Siraha za kubonyeza au Americans walios syria hawatumii hiyo
@paulmassawe15912 жыл бұрын
Mkuuu vp kuhusu Ukraine na rushia unasema kuhusu hilo
@pujimontanapachino49582 жыл бұрын
Ianzishwe gym kwakila askali hapa tz tena hiwe ni lazima cz naona kama vile wamechoka yani awatishii adui kabisa wallah yani mpaka uruma
@patrickmarko44672 жыл бұрын
Kawasogelee uone unafikiri vitani wanatumia six packs😂😂😂😂
@westoffset6602 жыл бұрын
Who is here after him being selected by Samia 😇
@emmanueltonani15812 жыл бұрын
Am here
@danwayne7862 жыл бұрын
Poa lakini kumbuka kutoa safey kabla ya kufiatua bastola
@benedictmhina89402 жыл бұрын
Kamanda kasahau kutoa 🔓
@astan.lomacks96925 жыл бұрын
Wata weza kuhivamiya Umarekani kweli?
@yonasmbele91282 жыл бұрын
Hao makamanda sio Wala chips
@reynalddrusilah75812 жыл бұрын
Mpaka wa kusini ni wamoto kuliko wa magharibi
@basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын
Nimekuelewa Reynald, nimecheka kizungu.😊😊😊😊
@musanzowa89885 жыл бұрын
Sawa commander
@eddynaeem67082 жыл бұрын
kamanda sawa lakini nawale wanaotumia vikosi vya usalama kunga'nga'nia madaraka bila ya ridhaa ya wananchi itabidi muwaondoe kwa makonzi ya kichwa
@nacebamr47222 жыл бұрын
Pisto enyew inagoma kufyetuka daah!!
@crershawmafia10092 жыл бұрын
Aibu sana😂😂😂
@allyiddy54402 жыл бұрын
Safi bila nyie amani hamna tuwe wamoja
@magrethbruno18575 жыл бұрын
Nzuru iyo
@amanijampion30452 жыл бұрын
Teknolojia za miaka 60 iliyopita
@highthemetv78572 жыл бұрын
Tuko nyuma Sana kisilaha ...Kenya na Rwanda wako mbali Sana Wana silaha za kisasa new model
@barakarobert10292 жыл бұрын
Unafaa kuwa cdf mpya
@JK-uq1tv2 жыл бұрын
Huyu mkuu wa majeshi mpya amekaa kimedali Zaid Hongera CDF mpya alafu kaz anaijua.
@patrickmarko44672 жыл бұрын
Kwn CDF aliyepita hakukaa kimedani
@JK-uq1tv2 жыл бұрын
@@patrickmarko4467 Naye pia alikuwa yuko vizuri sana ndio maana akaweza kutupitisha ktk kipindi kigumu cha kuondokewa na Rais akiwa madarakani Nchi nyingi za Africa Rais akifia madarakani vita inaaza ila kwa hekima ya CDF mstaafu Mabeyo Nchi yetu 🇹🇿 ilikuwa salama.
@James-y3j2v5 жыл бұрын
Pombe hiyo
@gadimaro93675 жыл бұрын
Safi kamanda jako
@yousirsports74822 жыл бұрын
hawa jamaaa wakiwa huku duuh wanaomba vita ije leo
@kibelloh2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿💥💥💥
@omarmukhtar86635 жыл бұрын
Kama silaha zenyewe ndio hizo hata Burundi msichokoze 1910
@dicksonaroka69615 жыл бұрын
We mpumbavu wa fikra uwez kumwonesha adui yako silaha unazo unazo taka muoneshe hzo hzo kukuuu sio hzo za kisasa unazo taka nakam unafikir hazifany kaz peleka tumbo lako hapo ndo utajua kama zinaua au laaa
@anuaryally61775 жыл бұрын
Mbona wanakimbilia tanzania kama msichokozwaote wewe unafikiri jeshi litakuonyesha siri zote kuna ndege vifaru umeviona apo
@uledimtumwa24065 жыл бұрын
Wewe kama mrundi jaribu uone.
@ibraheemomary35815 жыл бұрын
Mpumbavu ww silaha za jeshi hua hazioneshwi..... Usiropoke vitu usivyovijua... Unataka zioneshwe adui akujue una silaha za namna gani???
@kingmajatv5 жыл бұрын
Mpumbavu wewe Mrundi fara sana huwez kuonesha siraha zako zote kwa adui sawa
@stevenclaud66482 жыл бұрын
Mkuu samahani tuombe mechi ya kirafiki na AL Shababu au Boko Haramu
@frankmushi88922 жыл бұрын
Wataomba pooo awaaa watajutafutaa
@crershawmafia10092 жыл бұрын
Jeshi lenyewe limejaa vijana walioenda kusaka ajira baada ya kusota mtaani😁😁😁 tegemeeni kipigo cha kwenda msije mkajitusu kwa kagame tu round hii atawasafisha kwa nguvu ya anga tu.
@abasishabani11512 жыл бұрын
Siraha za mkoloni hizo
@issaibrahim87962 жыл бұрын
Ahahahah
@africanmandetraveler28472 жыл бұрын
Wapelekwe Ukraine wakasikilize mziki wa Putin.
@crershawmafia10092 жыл бұрын
Yani kwa silaha hizo hata wale mabishoo wa Ukraine waliosalenda kwa mrusi wakitumwa kwetu leo watatunyoosha😂😂😂
@hatibuabdulla10392 жыл бұрын
Ahahahahah
@jobwanjala91762 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@samwelijoab34252 жыл бұрын
Hatakuongea hajui😭😭😭
@justinefelis87722 жыл бұрын
Aliye kwambia huyo NI mwanasiasa NI Nani????huyo NI kamanda kenge wewe.
askari nidhaifu mno pia hata mazoezi ubunifu matumizi ya silaha duni nakazarika ayo mazoezi ya vita vya kwanza na vyapili wanatuletea kwenye Karne hii ya miaka 2022 nandomana walipigwa kongo Hadi meja kuwawa ukiona mpaka meja ana uawa basiujue nikikosi dhaifu sana
@patrickmarko44672 жыл бұрын
Duuh...
@suleimansadalla56062 жыл бұрын
Maneno ya mana
@suleimansuleiman24365 жыл бұрын
so poor military practice..they are so good for politics not for men like Alshabab and Taliban, they will run like rates behind a hungry cat
@salehemsumi6155 жыл бұрын
Hanithi wa Heidi wewe!!!
@ibraheemomary35815 жыл бұрын
You idiot... Military practices are very confidential... There are not publicized.. stop talking non-sense