Рет қаралды 21,499
ISMAIL JUSSA akihutubia katika Kikao cha Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo wa ngazi ya Mkoa, Majimbo, Matawi na Ngome zake wa Kisiwa cha Unguja, kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, katika Ukumbi wa Majid Hall Kiembe Samaki Mkoa wa Mjini-Magharib Unguja leo Septemba 03, 2023.