Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 39
@lusakaone7782Ай бұрын
Hongera Mh. Ismail Makamo Mwenyekiti wa ACT wazalendo
@omarmohammed5157Ай бұрын
Nakupenda Jussa kwa ajili ya ALLAH buure❤❤❤
@salyali7807Ай бұрын
Respect mh Jussa ... you are Zanzibarians hero
@salyali7807Ай бұрын
Excellent interview
@NoufelSalimАй бұрын
Jussa sisi wazanzibar tunakua hatuchoki kukuskiliza
@jovankishamba9424Ай бұрын
Mzee Jusa umeeleweka vizuri sana.
@adamyussuf1678Ай бұрын
Hakika wazanzibari tunachotaka ni mamlaka kamili ya Zanzibar sio kuombewa misaada na Tanganyika ndio Zanzibar ijenge barabara, hospitali na maji tunataka Zanzibar tujitegemee wenyewe sio leo mpaka tuombewe na mkoloni Tanganyika.
@bintqassimidarous1636Ай бұрын
Mtangazaji sauti yako kama Ahmed Ally wa simba 😂
@salyali7807Ай бұрын
Please mhe tunataka ugombee jimbo la malindi Please Please please
@user-et9vf2ro2kАй бұрын
Naam kaabbisa kabbisa Hatuhitaji ghorofa tunahitaji zanzibar moja zanzibar mpya mamlaka kamili nasio ajira JKU au Kufagia manispaa hapana tunahitaji kujenga zanzibar bandari kua freeport tunahitaji elimu ya juuu tunahitaji sarafu yetu jeshi letu bendera yetu haaaa Ahaaa kabbissa kabisa tunahitaji uhaniaji sawasawa
@HajjNgwaliАй бұрын
Kinach nifurahisha nikwmb wana shukran kw mam ni jamb zur San
@YahyaOthman-et2kiАй бұрын
Hongera kiongoz wetu
@omarmohammed5157Ай бұрын
Kuna haja ya kubadiishwa huu mfumo wa katiba unaosema Rais ndio muwamuzi wa mwisho hili jambo ndio linaowapa kibur marais wa Zanzibar ingewekwa maamuzi ya Raisi wakubaliane na washauri wake enough
@user-hu4sd7bg8nАй бұрын
❤❤❤❤❤
@NabilAchimid20 күн бұрын
Wakat nashuka ndege Canada naenda migration nikakutana na Maigration mzungu kabica akaniuliza unatoka tanzania bara au visiwani nikamjib visiwani akaniuliza neno moja tu ismail jussa unamjuwa ndio ni our leader alinijib neno moja tu yap.
@user-et9vf2ro2kАй бұрын
Jamanii huyu anaezuungumza ndio yule alie pigwaaa akavunjwaa vunjwa mbona inaonekanaa anaipenda nchi yakeee ya zanzibar kwanini alipigwa kwanini alifanyiwa yale mbona haonekani kua anakisasi anaonekana anaukunjufu wa moyo wake mtu huyu anapendeza sana mpeni nguvu na umoja huyu mtu pia inaonekana anatetea watu wakeee eti jamaniii
@MrKhatibuАй бұрын
Ni mtu makini sana, anajua zipi siasa za jukwaanina zipi siasa za mahojiano na siasa majadiliano. Yupo smart
Akiwekacho Mungu Binaadamu hukiondowi kaza buti Jussa tupo na wewe
@user-ze4fk7vq5w27 күн бұрын
Tupo pamoja na ACT
@husseinmkanga7794Ай бұрын
Jussa nakupa heshima kwenye muungano, lakini kuhusu zito anaetaka kazi na bata hachaguliki hata kwa sawa. Labda ubunge wa kigoma. Kipindi kigumu tulikipenda kwa sababu wizi wa fedha za Uma, rushwa, matumizi mabaya ya mali za Uma yalipungua sana. Nakubali JPM hakuwa mtume huenda alikosea kwenye mambo ya demokrasia. Lakini Mali za Uma rushwa matumizi mabaya ya mali za Uma, ulinzi wa lasilimali za nchi na wizi wa Mali za Uma alifanya kazi hiyo kwa hali kubwa na kujitoa. Ndio maana watanzania wa ya chini anaowatetea jussa ndio wapenzi wakubwa wa ile hali iliyokuwa ngumu kwa wanasiasa ilikubalika na watanzania walio wengi. Lakini vile vile ndugu yangu jussa ufisadi wa mwinyi nzanzibar hauna tofauti na ufisadi wa Samia kwenye muungano hebu tuwe wakweli ili ufisadi uishe Bara na Visiwani!
@user-et9vf2ro2kАй бұрын
Mawazo yako mazuri tena inafaa wote wawe na fikra zinazotokana na wewe maana zinajenga hazibomoi
@user-lm3lt7xx6lАй бұрын
Sawa jembe mm nikimuona jussa naona km maalim seif
@user-et9vf2ro2kАй бұрын
Kweli kabbissa kkabbisa
@King_Of_EverythingАй бұрын
✌️👍👊.
@user-su6vt8ev8d23 күн бұрын
Sawa Makamo
@alijuma8009Ай бұрын
🎉🎉🎉
@KhalidAli-nk5qhАй бұрын
Jussa uwemwema kwenye maongezi uwe na hikma busara
@abdulrahmansalim9773Ай бұрын
😮 SADAQTA 😢
@fahadabdalla8194Ай бұрын
Uraaaaa
@clemencemarcelli3365Ай бұрын
Zito haaminiki ndumilakuwili
@yayananajota5838Ай бұрын
Ufisadi upo ndani ya familia,
@omarmohammed5157Ай бұрын
MARAISI WA MUUNGANO BAADO WANAFUWATA MILA NA ITIKADI ZILEZILE ZA DR NYERERE
@salyali7807Ай бұрын
Umekusudia mchonga meno nyerere sio dr.
@user-ue2nz3vc4jАй бұрын
Elewa neno mwana-siasa, aongelei uhasilia eti serikali ya ubadhiribu na ufisadi tema mate chini ww, miradi ya viwanja vya ndege na bandari inaendelea bila kusita huo ndio ufisadi, mufilisi wa sera kichwani jussa...
@bakarsuleiman3989Ай бұрын
Ww una wazimu kijana hujui unacholiongea wizi umekithiri kwa mgongo wa maghorofa wananchi walipa kodi ni maskini pesa zinapigwa
@nassorseif7907Ай бұрын
Muheshimiwa mutashinda vp 2025 wakati Mwinyi kakataa kubadilisha muundo wa Tume ya uchaguzi na wo wanategemea huko kubadilisha matokeo au kufuta kabisa matokeo mmejipanga vp na hili mkurengezi mpk saiv ni yule yulemuaji Faina kuraya mapema sheria haijabadilishwa baraza la wawakilishi vp unaaminisha watu ushindi wa 2925 muheshimiwa??