Wonderful interview. Wow madam Rita what a wonderful personality you have. Salama u r an amazing interviewer. Well done
@rashidopakwa62302 жыл бұрын
Salama you're one of the best presenters in Africa.👏👏👏. That's why I like your interviews. 🔥🔥🔥✔️🇰🇪👊
@Iamcameronboyce2 жыл бұрын
They’re the Definition of Independent Women ♥️
@davidnchoji2 жыл бұрын
My favorite show with my favorite Host...I love you Da Salama since then❤️😍
@nicki18852 жыл бұрын
She’s a strong woman ! Started from the beginning, she has a beautiful soul ! 😭♥️
@Iamcameronboyce2 жыл бұрын
Madam is a whole different person. Her personality is 🔥
@nicki18852 жыл бұрын
I love the fact she didn’t want to use the words “it was an accident” and changed it to “it wasn’t planned “🙏💯
@clevermngao75656 ай бұрын
Wanaume Mungu anatuona!! Yaani uende kumchukua mtoto wa watu ili umuendeleze Shule kwa sababu ni mdogo na alishapewa mimba akiwa na umri mdogo! Then badala ya kumuendeleza shule unamtia mimba nyingine!! Je! Huu ni ukatili au sio ukatili? Pole sana Madam Rita kwa safari hiyo ya maisha uliyopitia!!!
@maryamtan6826 ай бұрын
Wanasema akili ku mkichwa😂😂😂😂
@roseruhuta33256 ай бұрын
Mada Rita ❤
@maryshirima12342 жыл бұрын
Icon...🔥 One among my favourite people...♥️ Thank you Ecejay!
@SaidChande-yl3wq9 ай бұрын
A pure administrator! All the best 👍 madam
@StephenKihula5 ай бұрын
Your story put me on point to look you in a very special manner. But all in all pole Sana kwa yote uliyopitia to where you're today.
@fatmamwalim-ih4ku6 ай бұрын
Ki ukwe ukweli huyo Mama nanpenda sana sana*Allah ampe umri mrefu
@yusuphmligiliche83535 ай бұрын
Hongera sana Salama kwa hii platform ya mahojiano. Shukran kwa haya mahojiano na da Rita. Endelea na kazi bora!
@RuthBenjamin-vk8fd8 ай бұрын
God akulinde madam Ritha umeongea nimemuelewa Sanaa Sanaa endelea kubariki vijana wetu
@tumainkitundu1015 Жыл бұрын
Madam Ritha wewe ni mtu na nusu nakubali kazi yako. Keep it up
@k.d.m832 жыл бұрын
Tusisahau kutuma Tip kupitia Mpesa aisee, kazi nzuri wanafanya😁
@albogastmselejr45832 жыл бұрын
Jesca Leo Kabadilisha Nguo Kumbe Ana Kijitako Cha Bunduki 🤣🤣
@doreendinamica34732 жыл бұрын
hii ni exclusive yaani ..........big up salama...!
@5starsmoviecenter7142 жыл бұрын
We call them over thinker they have smart mind, focoused, open minded and always think positive
@mwajabujumanne90252 жыл бұрын
I appreciate. Sana madam kwa unachokifanya mungu azid kukulinda
@halimalachpat19276 ай бұрын
Kupungua kwa uzuri inategemea na hali ya maisha ya kila siku ila nampenda sana huyu dada ana huruma sana mpenda watu mchapa kazi j say big up madam🎉
Wanawake kweli kama maua,yanachanua na baadaye kufunga. True with time we decay,urembo wake wote mzuri sana umepungua sanaaa,daah wkt ni ukuta
@FiollaIsaya5 ай бұрын
Huyu madamu mara mbili siku tofauti nili msalimia shikamoo alikaa kimya nilijisikia vibaya sana afu nilikua shabiki yake sana
@carolineoyugi77712 жыл бұрын
Mek up ya Leo mbaya sana madam
@masturaabdul10072 жыл бұрын
😃😃😃😃😃sanaaaa. Mbaya mbaya mbayayaayyaa
@wennybarny1686 ай бұрын
Hiyi make inaitwa "nude" na ndo fashion ya wakati huu
@mustafaameir81862 жыл бұрын
She is a strong woman !
@shyfettymtunda46196 ай бұрын
Kuna mambo mengi sikuwahi kuyasikia kwenye interview yoyote aliyowahi kufanya Ritha,ila leo nimepata majibu ya maswali yote niliyokuwa nikijiuliza. Umepitia mengi, lakini hukuwahi kukata tamaa pamoja na mapito yote.You are a super women🎉
@karutomdee31078 ай бұрын
Mada masha allah jamn nakupenda jamn sirias toka zamani sema nafasi nakosa kpzzzzzz jaman nakupenda eee nko mkoa eee
@coneephraim77562 жыл бұрын
Salama...... you ar so good and fit on presenting a sessions with..... to me you ar not boaring in all of ur ukorofi questions....
@mussakhamis23772 жыл бұрын
Good interview
@HamadiBwakame6 ай бұрын
Salama twawapenda s punguzen kiizungu
@TaarabChannel6 ай бұрын
Mupitie na kwangu wapenzi..sapoti kusapotiana❤
@josephgatunzi16702 жыл бұрын
Kazi nzuri 👊🏿
@fatmebakar131511 ай бұрын
Yani nakipenda kipindi hichi San Kwanza mazingira yake uwandaaji wake Yani nimzuri sana
@raphaelkessy73606 ай бұрын
Ki King'eng'e kimezidi banaaaa
@rukiachamani11012 жыл бұрын
Nami ni mmojawapo wa watu wanaotaka kukaa peke yangu muda mwingi.
@josephlorri4317 ай бұрын
Mtoto mzuri wewe, kwa nini ukae mwenyewe muda mrefu? Toa nafasi, nipo
@theresiarutagwaba6 ай бұрын
Even me dear
@wennybarny1686 ай бұрын
Mimi ni super loner hadi watu hawanielewi na wanahisi nataka kujiua
@masturaabdul10072 жыл бұрын
Pole Madam ila sitaki kuwa mnafiki alokupamba kakuharibu kama hujatambuliswa nisingekujuwa😃 Madam achana na mpambaji huyoo
@salomewandya72572 жыл бұрын
Kabisaaa
@zarayusuf28826 ай бұрын
Who is madam Rita ?
@neemaalbert27312 жыл бұрын
Madame ritha mnyamwezi sanaaa🤪❤️
@AlbertShayo-i6v6 ай бұрын
Dada salama.. mimi binafsi naona uongozi ndani yako.. hebu pita kidogo huko alafu kuna watu watakushukuru kwa maamuzi utakayochukua
@mazartajmohamed14376 ай бұрын
Iron lady very difficult to understand her, genueas and confident this type of lady there are very few in this planet.
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
My favorite 😘
@faithjonathan38452 жыл бұрын
Am a loner too..na ni kitu kizuri sana...unafanya hata maamuzi kwa iuyafikiria wewe kama wewe. Madam Ritha ni mtu poa sana. Nakumbuka the day I met her akanisifia mpaka nikajisikia raha sana👌😘😘
@aloyceshaban1348 Жыл бұрын
Mmmmh
@Mkanani3112 жыл бұрын
Salama mnoma
@LéontineVyizigiro-j9b7 ай бұрын
Kizungu jamani warundi hatuerewi
@alawisaid2804 ай бұрын
salama jitahidi kuwaambia wapunguze kingereza siunajua wa tz tuna hiyo shida😅
@joycemuhoja4729 Жыл бұрын
Mwaka 2023 Nakuja Bss Natamani Sanaa
@letsgrowwithm46202 жыл бұрын
Thats me loneeeer🙏
@LunodzoMwinuka Жыл бұрын
Sauti za jamaa wanaopiga picha zinasikika. Mnaweza lifanyia kazi hilo pia.
@emmanuelonyangoochola92285 ай бұрын
Apewe heshima yake huyu mama
@nereaigogo44422 жыл бұрын
Ila kiukweli hii ni moja ya interview ngumu sana ambayo salama amewahi kufanya Imagine anam interview boss wake na rafiki yake.
@wennybarny1686 ай бұрын
Alishawahi kumhoji kwenye kipindi chake cha zamani yeye Salama kinaitwa MKASI. Hii anamhoji ni mara ya pili.
@wennybarny1686 ай бұрын
Salama alishawahi kumhoji huyu bosss wake kwenye kipindi chake cha MKASI kabla ya hiki
@Chapesamedia2 жыл бұрын
Huyu mama wange mpa ile nafasi ya Stive nyerere kaleta vipaji vingi sana tena wakali.
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
True my dear 👍
@catenzeki6782 жыл бұрын
Nakubaliana na ww 100 kwa 100
@ngoshachaula1722 жыл бұрын
Chapesa sikubaliani naww ni tapeli
@Chapesamedia2 жыл бұрын
@@ngoshachaula172 sawa ila uliwahi kusoma mikataba yao au kujuwa makubaliano yao maana watanzania mara nyingi kusoma mikataba tunauvivu nako sana. Kwahio sote ukweli hatuujuwi tusimuhukumu.
@vj83132 жыл бұрын
Kabisa
@cobrachristian36852 жыл бұрын
Kumbe wewe n mtu wa rwanda dada yetu kalibu nyumbani🇷🇼
@ngoshachaula1722 жыл бұрын
Uoni komweee hilo
@maidamhanje59932 жыл бұрын
Tupo wengi tunapenda sana kua pekee yangu nilijua ni ugonjwa
@beatricekitara58082 жыл бұрын
Iyo ni shida sio kawaida
@bellabakera2 жыл бұрын
Wa kwanza leo
@abdulraufmohammedsalum68062 жыл бұрын
Wa kwanz mm tulia
@SalmaJuma-xv9qp11 ай бұрын
Nzurii
@ruu6592 Жыл бұрын
I lv madam Rita but she looks very difficult ☺
@karimukalema46132 жыл бұрын
WHERE IS JESICA ????????? WE WANT HER BACK
@vj83132 жыл бұрын
Kingereza kingi madam vp ? Kumbuka kuna ambao hawajasoma wanatizama kipindi hata hiyo english yako hawaijui so speak national language banaa, all in all uko good jasiri muonyesha njia 🔥
@rommelmauma80812 жыл бұрын
Hakuna ubaya endapo mahojiano yatakuwa kwa Kiswahili au Kiingereza; kuchanganya lugha hizo mbili kunaharibu mazingira ya maudhui ya mahojiano. Chuchumilieni kuongea Kiswahili!!
@gracekagoma32316 ай бұрын
Dada ongea kiswahili bila kuchanganya kiingereza wengine hatuelewi😢😢
@yustersimon51046 ай бұрын
Hata hicho kiswahili kajifunza mwaya
@khadijahali4837 Жыл бұрын
🔥🔥
@tiffanyakramJr8222 жыл бұрын
Me hivyo viti mlivyo kalia , hata sijavielewa kabisaa.. Khaa🤗 ukihojiwa na mtu anaekujua ngumu kuficha ukweli Asante Salama
@fatmebakar131511 ай бұрын
Yani madam rita story yako kwakweli inaendana Na yangu kabisa
@ZainabuMteti9 ай бұрын
Madam pole ulipitia
@halimalachpat19276 ай бұрын
Hivi mi nauliza ni nani aliwahi kuwa mtoto?nadhanni jibu ni wote usichana,umama,na uzee?je hali si inaenda kubadilika? Mangapi yamemtokea madam?linganisha jani bichi na njano uzri wake .maisha ni safari ndefu.
@romanarosemedard25516 ай бұрын
Be specific Sasa kitambulisho cha NiDa umejaza hayo makabila ya baba zako 3 Siku zote tunafuata ukoo wa baba Aliyeweka mimba kwa mama yako Halafu wewe unajulikana kama hata shule umepia Huko ni kujikaa Ritha
@mtilimsita66756 ай бұрын
Nimependa mama
@itanzaniaAS6 ай бұрын
Mimi Nina makabila 9 yani sieleweki😂😂😂😂😂kila kits nipo tofauti
@sumayaishengoma45432 жыл бұрын
Hapo kwenye sura zake mbili nimeziona hiyo sura yake ya kazi unaweza usiamini kama ni the same person 😂😂
@khadijahali4837 Жыл бұрын
🤣🤣
@AliySaid-i2t6 ай бұрын
Alikua anaupenda tu huo mchezo
@shukurupaul529911 ай бұрын
Omg
@ebbyramadhani2 жыл бұрын
jesca leo vipi?
@asmaathmani440 Жыл бұрын
Madam nakupenda but kuhus age umetudanganya
@amirymdee4259 Жыл бұрын
***Napajua Umurushaka,Nkwenda,Kaisho,Murongo Kona kumi na mbili,****
@sasha-ri7tf6 ай бұрын
MAJIZI GROUP 😅😅😅
@albogastmselejr45832 жыл бұрын
Aisee Mbona Heleni Za Madame Kama Ni Mzigo 🤣🤣 Au Basi Itakuwa Kakata Nyororo Ya Mbwaaa
@catenzeki6782 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mwajumalubunga15342 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙆♀️🙆♀️
@petermanala61386 ай бұрын
😂😂😂😂😂dar sawa bwana
@wennybarny1686 ай бұрын
Jamani watu wanapenda kuongea vibaya
@prudencemushi6948 Жыл бұрын
The Accent is boring.... juzi tuu the accent was well booom it has changed
@mack_B.2 жыл бұрын
Hivi ukisema kua hupend mtu muongo mnafiki sjh nn na nn hiv inakuaje kwa upande wako wewe mwenyew hivyo vtu u didn't get au manake uongo kuuepuka Ni Mara chache Sana same tu unafiki jmn tusiwe waongo katka ilo🤣🤣🤣
@fidelitekarigirwamuyangwa9736 ай бұрын
Kama Mimi nimezaa14 nikateseka
@tausiabdalla9904 Жыл бұрын
Kumbe hata kama u unahela mambo ni magumu tu😅
@neemaalbert27312 жыл бұрын
Heshma Kwa mama Samia kurudisha wajawazito shulen
@LaurenceKagoma6 ай бұрын
Inawezekana akawa ni mhaya wapenda English.
@KhadijaMiteya-hh8xl6 ай бұрын
Amesha kwambia msukuma na mjerumani ujasoma comment?
@wennybarny1686 ай бұрын
Jamani hiyo ni fashion ya make inaitwa "nude" Naona watu hawajailelewa ila iko namna hiyo Wakati prince Harry anaoa mjukuu wa Queen Elizabeth, mtoto wa prince Charles (ambaye sasa ndo king wa uingereza) watu walisema bi arusi hajatumia makeup kabisa, kumbe alitumia makeup ya milioni 30 za kitanzania. Ni make ya nude ambayo rangi zake ziko kimya. Rangi hazi-shout.
@naturelle10976 ай бұрын
Where is the camera interviewer is looking away..we see legs n shoes can u be serious
@mikhitaryankombo96042 жыл бұрын
Mm binafsi nakubali hiki kipindi lkn kwauchunguz wangu nimebauni wanaongea kingereza Sasa kuliko kiswahili ndio hua siku mbaya ya kipindi
@magorymara55156 ай бұрын
Ni lugha ya pili Tanzania kama hujui moja lazima utajua moja huko ndo ukweli
@dianerditto2 жыл бұрын
Madam Ritha mimi pia sio mnafki, nikuombe tu umfukuze kazi huyo makeup artist wako aliekufanya hvo uson kwenye interview hii