Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa "Nina Makabila Matatu" | SALAMA NA MADAM RITA PT 1

  Рет қаралды 144,101

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

Пікірлер: 135
@sistersade9039
@sistersade9039 2 жыл бұрын
Wonderful interview. Wow madam Rita what a wonderful personality you have. Salama u r an amazing interviewer. Well done
@rashidopakwa6230
@rashidopakwa6230 2 жыл бұрын
Salama you're one of the best presenters in Africa.👏👏👏. That's why I like your interviews. 🔥🔥🔥✔️🇰🇪👊
@Iamcameronboyce
@Iamcameronboyce 2 жыл бұрын
They’re the Definition of Independent Women ♥️
@davidnchoji
@davidnchoji 2 жыл бұрын
My favorite show with my favorite Host...I love you Da Salama since then❤️😍
@nicki1885
@nicki1885 2 жыл бұрын
She’s a strong woman ! Started from the beginning, she has a beautiful soul ! 😭♥️
@Iamcameronboyce
@Iamcameronboyce 2 жыл бұрын
Madam is a whole different person. Her personality is 🔥
@nicki1885
@nicki1885 2 жыл бұрын
I love the fact she didn’t want to use the words “it was an accident” and changed it to “it wasn’t planned “🙏💯
@clevermngao7565
@clevermngao7565 6 ай бұрын
Wanaume Mungu anatuona!! Yaani uende kumchukua mtoto wa watu ili umuendeleze Shule kwa sababu ni mdogo na alishapewa mimba akiwa na umri mdogo! Then badala ya kumuendeleza shule unamtia mimba nyingine!! Je! Huu ni ukatili au sio ukatili? Pole sana Madam Rita kwa safari hiyo ya maisha uliyopitia!!!
@maryamtan682
@maryamtan682 6 ай бұрын
Wanasema akili ku mkichwa😂😂😂😂
@roseruhuta3325
@roseruhuta3325 6 ай бұрын
Mada Rita ❤
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 жыл бұрын
Icon...🔥 One among my favourite people...♥️ Thank you Ecejay!
@SaidChande-yl3wq
@SaidChande-yl3wq 9 ай бұрын
A pure administrator! All the best 👍 madam
@StephenKihula
@StephenKihula 5 ай бұрын
Your story put me on point to look you in a very special manner. But all in all pole Sana kwa yote uliyopitia to where you're today.
@fatmamwalim-ih4ku
@fatmamwalim-ih4ku 6 ай бұрын
Ki ukwe ukweli huyo Mama nanpenda sana sana*Allah ampe umri mrefu
@yusuphmligiliche8353
@yusuphmligiliche8353 5 ай бұрын
Hongera sana Salama kwa hii platform ya mahojiano. Shukran kwa haya mahojiano na da Rita. Endelea na kazi bora!
@RuthBenjamin-vk8fd
@RuthBenjamin-vk8fd 8 ай бұрын
God akulinde madam Ritha umeongea nimemuelewa Sanaa Sanaa endelea kubariki vijana wetu
@tumainkitundu1015
@tumainkitundu1015 Жыл бұрын
Madam Ritha wewe ni mtu na nusu nakubali kazi yako. Keep it up
@k.d.m83
@k.d.m83 2 жыл бұрын
Tusisahau kutuma Tip kupitia Mpesa aisee, kazi nzuri wanafanya😁
@albogastmselejr4583
@albogastmselejr4583 2 жыл бұрын
Jesca Leo Kabadilisha Nguo Kumbe Ana Kijitako Cha Bunduki 🤣🤣
@doreendinamica3473
@doreendinamica3473 2 жыл бұрын
hii ni exclusive yaani ..........big up salama...!
@5starsmoviecenter714
@5starsmoviecenter714 2 жыл бұрын
We call them over thinker they have smart mind, focoused, open minded and always think positive
@mwajabujumanne9025
@mwajabujumanne9025 2 жыл бұрын
I appreciate. Sana madam kwa unachokifanya mungu azid kukulinda
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 6 ай бұрын
Kupungua kwa uzuri inategemea na hali ya maisha ya kila siku ila nampenda sana huyu dada ana huruma sana mpenda watu mchapa kazi j say big up madam🎉
@DEBORAHMASANJA-yz3go
@DEBORAHMASANJA-yz3go 6 ай бұрын
Hi Madam Rita nakupenda sana
@zakiakawese3222
@zakiakawese3222 2 жыл бұрын
Nakubari sana hizi Interview 👏👏✌️
@florakaria3793
@florakaria3793 6 ай бұрын
Madam Rita pls naomba niwe rafiki yako ! ❤nitapata mengi kwako
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 6 ай бұрын
Wanawake kweli kama maua,yanachanua na baadaye kufunga. True with time we decay,urembo wake wote mzuri sana umepungua sanaaa,daah wkt ni ukuta
@FiollaIsaya
@FiollaIsaya 5 ай бұрын
Huyu madamu mara mbili siku tofauti nili msalimia shikamoo alikaa kimya nilijisikia vibaya sana afu nilikua shabiki yake sana
@carolineoyugi7771
@carolineoyugi7771 2 жыл бұрын
Mek up ya Leo mbaya sana madam
@masturaabdul1007
@masturaabdul1007 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃sanaaaa. Mbaya mbaya mbayayaayyaa
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Hiyi make inaitwa "nude" na ndo fashion ya wakati huu
@mustafaameir8186
@mustafaameir8186 2 жыл бұрын
She is a strong woman !
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 6 ай бұрын
Kuna mambo mengi sikuwahi kuyasikia kwenye interview yoyote aliyowahi kufanya Ritha,ila leo nimepata majibu ya maswali yote niliyokuwa nikijiuliza. Umepitia mengi, lakini hukuwahi kukata tamaa pamoja na mapito yote.You are a super women🎉
@karutomdee3107
@karutomdee3107 8 ай бұрын
Mada masha allah jamn nakupenda jamn sirias toka zamani sema nafasi nakosa kpzzzzzz jaman nakupenda eee nko mkoa eee
@coneephraim7756
@coneephraim7756 2 жыл бұрын
Salama...... you ar so good and fit on presenting a sessions with..... to me you ar not boaring in all of ur ukorofi questions....
@mussakhamis2377
@mussakhamis2377 2 жыл бұрын
Good interview
@HamadiBwakame
@HamadiBwakame 6 ай бұрын
Salama twawapenda s punguzen kiizungu
@TaarabChannel
@TaarabChannel 6 ай бұрын
Mupitie na kwangu wapenzi..sapoti kusapotiana❤
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 2 жыл бұрын
Kazi nzuri 👊🏿
@fatmebakar1315
@fatmebakar1315 11 ай бұрын
Yani nakipenda kipindi hichi San Kwanza mazingira yake uwandaaji wake Yani nimzuri sana
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 6 ай бұрын
Ki King'eng'e kimezidi banaaaa
@rukiachamani1101
@rukiachamani1101 2 жыл бұрын
Nami ni mmojawapo wa watu wanaotaka kukaa peke yangu muda mwingi.
@josephlorri431
@josephlorri431 7 ай бұрын
Mtoto mzuri wewe, kwa nini ukae mwenyewe muda mrefu? Toa nafasi, nipo
@theresiarutagwaba
@theresiarutagwaba 6 ай бұрын
Even me dear
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Mimi ni super loner hadi watu hawanielewi na wanahisi nataka kujiua
@masturaabdul1007
@masturaabdul1007 2 жыл бұрын
Pole Madam ila sitaki kuwa mnafiki alokupamba kakuharibu kama hujatambuliswa nisingekujuwa😃 Madam achana na mpambaji huyoo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Kabisaaa
@zarayusuf2882
@zarayusuf2882 6 ай бұрын
Who is madam Rita ?
@neemaalbert2731
@neemaalbert2731 2 жыл бұрын
Madame ritha mnyamwezi sanaaa🤪❤️
@AlbertShayo-i6v
@AlbertShayo-i6v 6 ай бұрын
Dada salama.. mimi binafsi naona uongozi ndani yako.. hebu pita kidogo huko alafu kuna watu watakushukuru kwa maamuzi utakayochukua
@mazartajmohamed1437
@mazartajmohamed1437 6 ай бұрын
Iron lady very difficult to understand her, genueas and confident this type of lady there are very few in this planet.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
My favorite 😘
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 жыл бұрын
Am a loner too..na ni kitu kizuri sana...unafanya hata maamuzi kwa iuyafikiria wewe kama wewe. Madam Ritha ni mtu poa sana. Nakumbuka the day I met her akanisifia mpaka nikajisikia raha sana👌😘😘
@aloyceshaban1348
@aloyceshaban1348 Жыл бұрын
Mmmmh
@Mkanani311
@Mkanani311 2 жыл бұрын
Salama mnoma
@LéontineVyizigiro-j9b
@LéontineVyizigiro-j9b 7 ай бұрын
Kizungu jamani warundi hatuerewi
@alawisaid280
@alawisaid280 4 ай бұрын
salama jitahidi kuwaambia wapunguze kingereza siunajua wa tz tuna hiyo shida😅
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 Жыл бұрын
Mwaka 2023 Nakuja Bss Natamani Sanaa
@letsgrowwithm4620
@letsgrowwithm4620 2 жыл бұрын
Thats me loneeeer🙏
@LunodzoMwinuka
@LunodzoMwinuka Жыл бұрын
Sauti za jamaa wanaopiga picha zinasikika. Mnaweza lifanyia kazi hilo pia.
@emmanuelonyangoochola9228
@emmanuelonyangoochola9228 5 ай бұрын
Apewe heshima yake huyu mama
@nereaigogo4442
@nereaigogo4442 2 жыл бұрын
Ila kiukweli hii ni moja ya interview ngumu sana ambayo salama amewahi kufanya Imagine anam interview boss wake na rafiki yake.
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Alishawahi kumhoji kwenye kipindi chake cha zamani yeye Salama kinaitwa MKASI. Hii anamhoji ni mara ya pili.
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Salama alishawahi kumhoji huyu bosss wake kwenye kipindi chake cha MKASI kabla ya hiki
@Chapesamedia
@Chapesamedia 2 жыл бұрын
Huyu mama wange mpa ile nafasi ya Stive nyerere kaleta vipaji vingi sana tena wakali.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
True my dear 👍
@catenzeki678
@catenzeki678 2 жыл бұрын
Nakubaliana na ww 100 kwa 100
@ngoshachaula172
@ngoshachaula172 2 жыл бұрын
Chapesa sikubaliani naww ni tapeli
@Chapesamedia
@Chapesamedia 2 жыл бұрын
@@ngoshachaula172 sawa ila uliwahi kusoma mikataba yao au kujuwa makubaliano yao maana watanzania mara nyingi kusoma mikataba tunauvivu nako sana. Kwahio sote ukweli hatuujuwi tusimuhukumu.
@vj8313
@vj8313 2 жыл бұрын
Kabisa
@cobrachristian3685
@cobrachristian3685 2 жыл бұрын
Kumbe wewe n mtu wa rwanda dada yetu kalibu nyumbani🇷🇼
@ngoshachaula172
@ngoshachaula172 2 жыл бұрын
Uoni komweee hilo
@maidamhanje5993
@maidamhanje5993 2 жыл бұрын
Tupo wengi tunapenda sana kua pekee yangu nilijua ni ugonjwa
@beatricekitara5808
@beatricekitara5808 2 жыл бұрын
Iyo ni shida sio kawaida
@bellabakera
@bellabakera 2 жыл бұрын
Wa kwanza leo
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 2 жыл бұрын
Wa kwanz mm tulia
@SalmaJuma-xv9qp
@SalmaJuma-xv9qp 11 ай бұрын
Nzurii
@ruu6592
@ruu6592 Жыл бұрын
I lv madam Rita but she looks very difficult ☺
@karimukalema4613
@karimukalema4613 2 жыл бұрын
WHERE IS JESICA ????????? WE WANT HER BACK
@vj8313
@vj8313 2 жыл бұрын
Kingereza kingi madam vp ? Kumbuka kuna ambao hawajasoma wanatizama kipindi hata hiyo english yako hawaijui so speak national language banaa, all in all uko good jasiri muonyesha njia 🔥
@rommelmauma8081
@rommelmauma8081 2 жыл бұрын
Hakuna ubaya endapo mahojiano yatakuwa kwa Kiswahili au Kiingereza; kuchanganya lugha hizo mbili kunaharibu mazingira ya maudhui ya mahojiano. Chuchumilieni kuongea Kiswahili!!
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
Dada ongea kiswahili bila kuchanganya kiingereza wengine hatuelewi😢😢
@yustersimon5104
@yustersimon5104 6 ай бұрын
Hata hicho kiswahili kajifunza mwaya
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
🔥🔥
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 2 жыл бұрын
Me hivyo viti mlivyo kalia , hata sijavielewa kabisaa.. Khaa🤗 ukihojiwa na mtu anaekujua ngumu kuficha ukweli Asante Salama
@fatmebakar1315
@fatmebakar1315 11 ай бұрын
Yani madam rita story yako kwakweli inaendana Na yangu kabisa
@ZainabuMteti
@ZainabuMteti 9 ай бұрын
Madam pole ulipitia
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 6 ай бұрын
Hivi mi nauliza ni nani aliwahi kuwa mtoto?nadhanni jibu ni wote usichana,umama,na uzee?je hali si inaenda kubadilika? Mangapi yamemtokea madam?linganisha jani bichi na njano uzri wake .maisha ni safari ndefu.
@romanarosemedard2551
@romanarosemedard2551 6 ай бұрын
Be specific Sasa kitambulisho cha NiDa umejaza hayo makabila ya baba zako 3 Siku zote tunafuata ukoo wa baba Aliyeweka mimba kwa mama yako Halafu wewe unajulikana kama hata shule umepia Huko ni kujikaa Ritha
@mtilimsita6675
@mtilimsita6675 6 ай бұрын
Nimependa mama
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 6 ай бұрын
Mimi Nina makabila 9 yani sieleweki😂😂😂😂😂kila kits nipo tofauti
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 2 жыл бұрын
Hapo kwenye sura zake mbili nimeziona hiyo sura yake ya kazi unaweza usiamini kama ni the same person 😂😂
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
🤣🤣
@AliySaid-i2t
@AliySaid-i2t 6 ай бұрын
Alikua anaupenda tu huo mchezo
@shukurupaul5299
@shukurupaul5299 11 ай бұрын
Omg
@ebbyramadhani
@ebbyramadhani 2 жыл бұрын
jesca leo vipi?
@asmaathmani440
@asmaathmani440 Жыл бұрын
Madam nakupenda but kuhus age umetudanganya
@amirymdee4259
@amirymdee4259 Жыл бұрын
***Napajua Umurushaka,Nkwenda,Kaisho,Murongo Kona kumi na mbili,****
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 6 ай бұрын
MAJIZI GROUP 😅😅😅
@albogastmselejr4583
@albogastmselejr4583 2 жыл бұрын
Aisee Mbona Heleni Za Madame Kama Ni Mzigo 🤣🤣 Au Basi Itakuwa Kakata Nyororo Ya Mbwaaa
@catenzeki678
@catenzeki678 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙆‍♀️🙆‍♀️
@petermanala6138
@petermanala6138 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂dar sawa bwana
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Jamani watu wanapenda kuongea vibaya
@prudencemushi6948
@prudencemushi6948 Жыл бұрын
The Accent is boring.... juzi tuu the accent was well booom it has changed
@mack_B.
@mack_B. 2 жыл бұрын
Hivi ukisema kua hupend mtu muongo mnafiki sjh nn na nn hiv inakuaje kwa upande wako wewe mwenyew hivyo vtu u didn't get au manake uongo kuuepuka Ni Mara chache Sana same tu unafiki jmn tusiwe waongo katka ilo🤣🤣🤣
@fidelitekarigirwamuyangwa973
@fidelitekarigirwamuyangwa973 6 ай бұрын
Kama Mimi nimezaa14 nikateseka
@tausiabdalla9904
@tausiabdalla9904 Жыл бұрын
Kumbe hata kama u unahela mambo ni magumu tu😅
@neemaalbert2731
@neemaalbert2731 2 жыл бұрын
Heshma Kwa mama Samia kurudisha wajawazito shulen
@LaurenceKagoma
@LaurenceKagoma 6 ай бұрын
Inawezekana akawa ni mhaya wapenda English.
@KhadijaMiteya-hh8xl
@KhadijaMiteya-hh8xl 6 ай бұрын
Amesha kwambia msukuma na mjerumani ujasoma comment?
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Jamani hiyo ni fashion ya make inaitwa "nude" Naona watu hawajailelewa ila iko namna hiyo Wakati prince Harry anaoa mjukuu wa Queen Elizabeth, mtoto wa prince Charles (ambaye sasa ndo king wa uingereza) watu walisema bi arusi hajatumia makeup kabisa, kumbe alitumia makeup ya milioni 30 za kitanzania. Ni make ya nude ambayo rangi zake ziko kimya. Rangi hazi-shout.
@naturelle1097
@naturelle1097 6 ай бұрын
Where is the camera interviewer is looking away..we see legs n shoes can u be serious
@mikhitaryankombo9604
@mikhitaryankombo9604 2 жыл бұрын
Mm binafsi nakubali hiki kipindi lkn kwauchunguz wangu nimebauni wanaongea kingereza Sasa kuliko kiswahili ndio hua siku mbaya ya kipindi
@magorymara5515
@magorymara5515 6 ай бұрын
Ni lugha ya pili Tanzania kama hujui moja lazima utajua moja huko ndo ukweli
@dianerditto
@dianerditto 2 жыл бұрын
Madam Ritha mimi pia sio mnafki, nikuombe tu umfukuze kazi huyo makeup artist wako aliekufanya hvo uson kwenye interview hii
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 2 жыл бұрын
😆😆😆😆
@masturaabdul1007
@masturaabdul1007 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😯😃😃 kweli age imeenda ila makeup mbaya sanaa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Hahaha kweli aiseee🤣
@tuliadamson3422
@tuliadamson3422 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣✌
Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Rita Paulsen (Kwa sauti yake mwenyewe)
12:45
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 58 М.
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 115 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН