Nilikutana Na Mzee Mengi Gym, Sikuwa Najua Yeye Ni Nani" | SALAMA NA MADAM RITA PART 2

  Рет қаралды 64,330

YahStoneTown

YahStoneTown

2 жыл бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
SOMETHING SPECIAL
Ms Rita Sundi Paulsen Hans ni mtu muhimu kwangu na kwa mamia kama pengine si maelfu ya wenzangu hapa nyumbani Tanzania. Yeye ni Mama kwanza, Dada kwa wengine, Aunt poa sana kwa kina Malik na Jamal, Bosi ya Mboka kwa Salama na wenzie lakini kubwa kabisa ni MJASIRIAMALI, jambo ambalo amekua akilisimamia lile analo liamini kwa miaka zaidi ya 30 sasa. Rita au Madam Rita alianza kufanya kazi toka alipokua na miaka yake ya mwanzo kabisa ya 20.
Mtoto kutoka kwenye familia ya kitajiri maana Marehemu Mzee Paulsen hakua mnyonge. Baba Mjerumani na Mama Mwenye asili ya kisukuma, kirudi na mchanganyiko wa makabila mengine kadhaa ambayo atatuambia humu ndani. Amekulia kwenye mitihani mingi mara baada ya Baba yake kufariki wakati yeye ana miaka 12 tu. Kutoka kwenye mazoea ya maisha ya kishua mpaka kupata mimba akiwa na umri mdogo na hilo kumlazimisha yeye kuondoka nyumbani akiwa na umri mdogo ndo mi naamini lililomfanya awe CHUMA mpaka leo. Naamini vile wanavyosema kila mtu na njia zake. Kila kitu kinachotokea kwenye maisha yetu kina sababu yake. Yeye kufariki kwa Baba yake ndo kulipelekea kupita KOTE alipopita. Shida na mitihani wakati mwengine huja kwa baraka tele, BARAKA ambazo mpaka leo hii ambayo mimi naandika waraka huu kwa majivuno mengi juu yake. Kweli kila kitu hutokea kwa sababu ili kitu kengine kizuri zaidi kiweze kukufuata ulipo.
Mimi na yeye tulifahamiana kwaajili ya kazi, nadhani wengi wanaijua hiyo khadhithi, ila kama hufahamu mimi na yeye makutano yetu ya kwanza yalikua ya kunipa kazi ya ku host Kili Music Awards ila hiyo kazi ilikuja baada ya pinduapindua nyingi alizo zifanya pale EATV baada ya siku moja mimi kuisema vibaya moja ya video ambazo kampuni yake ya Benchmark ilizitengeneza. Ilikua mtihani haswa baada ya kuskia naitwa tena ofisini kwake? Haya jengine lipi tena? Kumbe round hii ilikua kwa Neema sana, ila Bahati mbaya hiyo kazi wala sikuipata maana na watu wa Kili nao walinikataa kwasababu huko nyuma pia niliwasemea tuzo zao ambazo ki ukweli zilikua za kiwango CHA CHINI MNO considering hela ambazo wanazo wao kama KAMPUNI, kwa kweli lile halikua linapaswa kunyamaziwa.
Basi, peleka mbele mwaka mmoja au miwili baada ya hiyo incident akaniita tena kwaajili ya kazi ya Bongo Star Search sasa, na hii nyengine skia, nilipoitwa sikujua kama yeye ananitaka mimi kama Judge, mawazo yangu yalidhani anataka MTANGAZAJI wa shindano hilo, kumbe yeye alikua na BETTER idea, kama wazungu wanavyosema, the rest is history.
Rita ameniona mimi nakua mbele ya macho yake, nami pia nimeona transformation ya maisha yake kama Mama na Dada. Mengi amepitia ya hadharani na kwas siri, ninayo yajua na nisiyo yajua, ila ambalo nina uhakika nalo ni JINSI AMBAVYO MIMI NAJIVUNIA YEYE, kwa mishale yote ALOIKWEPA na kuendelea KUSIMAMA IMARA, Rita Paulsen Hans ni SHUJAA NA NUSU.
Mengi ameyaongea humu, ambayo ningependa uyaskie MWENYEWE bila ya mimi kudokoa lolote, hakuna chumvi wala sukari ilozidishwa humu ili ‘picha ipendeze’, badala yake ni simulizi nyundo ambazo kama kawaida zitakufanya ujifunze mambo mengi na pia kuangalia baadhi ya vitu kwa jicho jengine.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZbin Link bit.ly/KZbinSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 158
@zedekiasamara1783
@zedekiasamara1783 2 жыл бұрын
Maan, Salama is just too good. The ability to switch the questions based on a shift of emotions is top notch. Salama is the best interviewer in Tz, and it's not even close.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
MADAM 💕😘 Ila interview imekuwa fupi jamani, Salama tunamtaka tena Madam, hatujatosheka 😍
@jessicamagoke6800
@jessicamagoke6800 2 жыл бұрын
NAWAPENDA SANA NYIE WANAWAKE MUNGU AWABARIKI SANA 🙏🙏🙏💞💞💞
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 2 жыл бұрын
Hi 👋 spread love this side
@abelmirwatu544
@abelmirwatu544 2 жыл бұрын
Nimempenda sanaa Madam Ritha...ni mkweli na anaroho ya kizungu sanaa.
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 жыл бұрын
Such an inspiration... I love you so much madam Rita.
@happymahega2000
@happymahega2000 10 ай бұрын
Madame Rita she is a very grateful woman,this interview is so emotional
@sylviaoum2943
@sylviaoum2943 2 жыл бұрын
That switch😍😍😍🙌🙌🙌.... Love u madam Rita &Salama.
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw 3 ай бұрын
Kazi nzuri sana Salama Na....Ni bonge la interview. Pamoja na ufundi wa namna ya maswali. Inavutia kusikiliza. Pongezi kwenu nyote.
@saimonmwambilike2191
@saimonmwambilike2191 2 жыл бұрын
Am so greatful and bigg fan of SALAMA NA.... not only for being entertained but I learn alot about life. I never thought if behind madame Rita there were a lady who struggle in an exceptional way... you cure my pain by desolving my past and starting fresh as the new King.
@sistersade9039
@sistersade9039 2 жыл бұрын
I cried all along with madam Rita. Very sad childhood, but as u say madam, it eventually made who u r today. Mola kweli kajua vipi kukufuta machozi. As for u Salama u r simply an amazing interviewer.
@gwajeemmanuel4137
@gwajeemmanuel4137 Жыл бұрын
Nimeangalia vipindi vingi sana vya "salama na" am very excited with Madam Rita Story i even wish to see her someday and share more on her story she is extraordinary super woman fikisha salam zangu kwake
@abuuswahili
@abuuswahili 2 жыл бұрын
Salama you made it wonderful again.Her life is so inspiring.But I like also the signature at the end😍
@masturaabdul1007
@masturaabdul1007 2 жыл бұрын
Watu wazuri usoni ila nimejifunza wanamaumivu Makali Sana moyoni.
@susancharles1660
@susancharles1660 Жыл бұрын
Sana sikutegemea amepitia yote haya.
@juliananasari2526
@juliananasari2526 5 ай бұрын
Yah
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 4 ай бұрын
Ndiyo Dunia
@nigananurunjema
@nigananurunjema 4 ай бұрын
Maumivu ya watu hayakó machoni.
@wennybarny168
@wennybarny168 4 ай бұрын
SAAAANAAAA
@happyhousekeeper
@happyhousekeeper 2 жыл бұрын
😥😥 I can feel madam's pain 😞😞, it's well madam. RIP Mengi uwiii
@kelvinbanoth3013
@kelvinbanoth3013 2 жыл бұрын
What an interview, am so much moved by it!
@LilacAlm
@LilacAlm 2 жыл бұрын
Salama you're a super talented interviewer,you know exactly when to step and to release the gas peddle😁 and That Madame Rita is a natural born figher. May God bless you all for wonderful work that you do. Keep up the good work👊🎤
@sylviaoum2943
@sylviaoum2943 2 жыл бұрын
😍😍😍👏👏
@elizabethmollely3940
@elizabethmollely3940 2 жыл бұрын
Highest achievement ni watoto and I love that she is strong lol
@winnieevarest3634
@winnieevarest3634 2 жыл бұрын
SO LOVELY INSPIRING esp single mothers
@evelinekivuyo9713
@evelinekivuyo9713 Жыл бұрын
This is the best interview I’ve ever had.Salama tunaomba tena salama we have a lot to learn from her 😊
@susannesusie3217
@susannesusie3217 2 жыл бұрын
Salama najua unajua your the best but nakukumbusha your the best of the best 👍
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 4 ай бұрын
So good Madam Rita Wewe. MZURI Sana Tumejifunza mengi
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 4 ай бұрын
This was a nice interview so far. Seems Ritha was so so beautiful at her younger ages. No man could dare to walk out of her!
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 2 жыл бұрын
Habo kwa Walter chilambo njo nime penda, ila uyu dada ninavio mzimia Mungu mwenyewe ana juwa, Madame you're such a inspiration to me ♥️👏🏾
@benny5424
@benny5424 2 жыл бұрын
What an interview salama it is so strong
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 2 ай бұрын
Basi kwa kwa umelia. It is good to burn your eyes. Lakini ni kwambie kitu, umewaponya wengi Leo. Mungu awabariki
@medicalphysicsbiomedicalen1707
@medicalphysicsbiomedicalen1707 2 жыл бұрын
I love madam Rita. Nice interview
@magesalugwesa4449
@magesalugwesa4449 2 жыл бұрын
Aise salama I love what you do keep it up
@Mariahhymatia
@Mariahhymatia 4 ай бұрын
A very touching story mirroring almost exactly what I went through, except I am of a different gender! Bless her for revealing her life struggles.
@yusuphmligiliche8353
@yusuphmligiliche8353 3 ай бұрын
Heshima sana da Rita kwasababu mimi nilifanya Kazi nyingi na kampuni yako ya Benchmark. Ubarikiwe sis❤
@joramelishamghwira2425
@joramelishamghwira2425 2 жыл бұрын
Good interview Salama, your among top interviewer
@googleus4903
@googleus4903 2 жыл бұрын
I like your outfit SALAMA It's very DOPE
@asimwemukoyogo7325
@asimwemukoyogo7325 Жыл бұрын
What an interview.. Salama ujua sanaaa
@BlandinaKahuru-ur5el
@BlandinaKahuru-ur5el 4 ай бұрын
You have a golden heart madam Lita. God bless you❤
@ellybrown5989
@ellybrown5989 4 ай бұрын
Asante sana Salama, Asante Rita, Mbarikiwe sana.
@danielmsuya720
@danielmsuya720 Жыл бұрын
Pole sana madam Ritha, Sijui sana kuhusu wewe lakini na furahi sana kwa Maisha yako ambayo Yanamafundisho makubwa na Muhimu sana. Wewe ni Mwanamke Mvumilivu na Mnyenyekevu na usiyeweka vitu rohoni kwa chuki. Umewasaidia wengi na utaendelea kuwasaidia wengi maana huu ni wito kwako na wewe ni Baraka.
@mosessarya2174
@mosessarya2174 2 жыл бұрын
you are a really inspirational figure
@roseamos9930
@roseamos9930 2 жыл бұрын
Kweli kujikwaaa sio kuanguka I never had this before .penda huyo Dada sana
@missm729
@missm729 Ай бұрын
I love people who appreciate their life journey and understand what it means to lack. I hope Mengi's kids will learn from this much love Madam Rita.
@hatujuanisalum9354
@hatujuanisalum9354 4 ай бұрын
Mtu mzuri sana huyu mama na mzuri sana pia wa sura ( very beautful madam
@mosesallanadam1955
@mosesallanadam1955 4 ай бұрын
Madam Ritha you are impeccable, and thanks for sharing.
@vandexan1330
@vandexan1330 2 жыл бұрын
So lovely, Interview imekuwa short sana
@montanaprime
@montanaprime 2 жыл бұрын
Aisee interview nzuri sana
@zaipazzi9490
@zaipazzi9490 2 жыл бұрын
Salama umetoa macho madam anavyo lia ujue umetonesha kidonda.🥰 Nawapenda wote
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
interview was 👍👌🥰👏 🙌🇨🇭🇹🇿
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 2 жыл бұрын
Good switch Salama...I love U🥰
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 6 ай бұрын
Pole sana Ritha. Mungu akusimamie
@viviannjoki9989
@viviannjoki9989 2 жыл бұрын
So lovely
@wanzakleruu8648
@wanzakleruu8648 2 жыл бұрын
Salama was so emotional compered to Madam. Great talk so far by the way🥂
@freduallughano2301
@freduallughano2301 3 ай бұрын
That is yoyr altitute but others we saw Ritha was more emotional than Salama but this comes when you are neutral in your mindset.
@hatujuanisalum9354
@hatujuanisalum9354 4 ай бұрын
Nampenda sana jinsi alivyo kisha ana rohonzuri mno hata kwenye bongo star search
@angelberthakatundu9475
@angelberthakatundu9475 2 жыл бұрын
Daaah!! Madam umekula Raha zote za dunia.. Hopefully na Mimi one day yes!!😂
@edwinmbugua7738
@edwinmbugua7738 2 жыл бұрын
Tunaomba Salama na Mr Nice
@nadiashabani575
@nadiashabani575 3 ай бұрын
Nakuelewa sana madam Ritha coz nimepitia hao naelewa sana
@brendachibura6040
@brendachibura6040 2 жыл бұрын
More madam Rita. Pls
@kilinakoshengelo2944
@kilinakoshengelo2944 2 жыл бұрын
How come she says she has seen everything good when she has never seen my smile!?
@jocelyneinarukundo3655
@jocelyneinarukundo3655 2 жыл бұрын
🤭🤣🤣🤣
@rahmashomari1048
@rahmashomari1048 4 ай бұрын
We nawe😂
@kilinakoshengelo2944
@kilinakoshengelo2944 4 ай бұрын
@@rahmashomari1048 Naam
@idrissansereko6403
@idrissansereko6403 4 ай бұрын
Basi hayo mahojiano mgeyafanya kwa kiingereza maana yake kiingereza kingi sana vipi we Salama mwambie Rita hatupo UK topo TZ 😊😊
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 4 ай бұрын
Ndio hasara ya kutokusoma. Jiunge na Ras Simba umuelewe Madam Ritta.
@seifseifmohamed7118
@seifseifmohamed7118 4 ай бұрын
Ilitaka tujifunze mengi kutoka kwake yeye Madam Ritta. Sasa jielimishe akili yako ivuke kwenye dari ya unapopo lala ifike japo hewani
@NeemaSwai-sl3fh
@NeemaSwai-sl3fh 3 ай бұрын
Madam Rita nina mwengi ya kukueleza. Watu wengi wananifananisha nawe na wengine wananiambia mie ni ndugu yako ila siku nikukutana nawe nitakuambia mengi.ingiwa kuna siku moja nilikuona peacock hotel na siku nyingine nilikuona southern hotel ila haikuwa raisi kuongea nawe. Ila kuna jouney unayopitia same to me
@NataliaKenny-vb6os
@NataliaKenny-vb6os 3 ай бұрын
Naomba majina ako nikuangalie🎉
@bahatiapollo4892
@bahatiapollo4892 2 ай бұрын
Em nikuone
@ngoshachaula172
@ngoshachaula172 2 жыл бұрын
Interview ilikua kali akn madam kazidisha kizungu jamn mpaka atujelewa
@annahkiza6362
@annahkiza6362 2 жыл бұрын
Nawashuru sana , Salama Na Mme Rita
@annahkiza6362
@annahkiza6362 2 жыл бұрын
Nawashukuru
@nigananurunjema
@nigananurunjema 4 ай бұрын
Real Walter Chilambo is a talented person. That's how Ngoni people we are.
@user-it6po1le3v
@user-it6po1le3v 6 ай бұрын
Hongera sana madam Rita kwa story yako 😢
@glowingspirit606
@glowingspirit606 2 жыл бұрын
It was just so emotional, you might wish to pass through what Madam passed through maybe utaweza fika where she is, then slap yoself and say LEARN baby, that's for you to learn.
@mwanamfinanga8262
@mwanamfinanga8262 2 жыл бұрын
You too amazing salama...love the way you interview
@MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
@MINISTERBAHATIMPUME-px4pf 3 ай бұрын
Nakupenda sana Dada rita una moyo kama wa mtoto, nakupenda
@annettelyimo5239
@annettelyimo5239 4 ай бұрын
You are so beautiful that's why they took advantage of you... but you are blessed
@jayzeem14
@jayzeem14 3 ай бұрын
God allowed it so that you would be strong from it and also you would teach others. Many of us were teen mothers by default and though we suffered but God gave us a resolve in life and God has blessed us with gifts that we use to mentor others! Beauty has cost us but we God has turned what they meant for ill to be a blessings! Be grateful!
@hatujuanisalum9354
@hatujuanisalum9354 4 ай бұрын
Hajui kumdharau mtu .kwenye bongo star alikua hampond mtu kila mshiriki alikua anamsifia kua amefanya vizuri hata kama anajua hajashinda.mama wa ajabu sana mtu mzuri sana huyu jamani.na very very beautful woman
@godfreybayyo8079
@godfreybayyo8079 2 жыл бұрын
Sis❤️ ..Great of all time ..the real GOAT
@neemaalbert2731
@neemaalbert2731 2 жыл бұрын
I love madame ritha
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 4 ай бұрын
Inazuma saanna Dada Rita pole imepita. Now look your future Iyo Ina tokeya Kwa wengi Ina nigusa piya
@joiana4663
@joiana4663 5 ай бұрын
huwa nakupenda sana Ritha mpambanaji wa kweli
@davisminja3742
@davisminja3742 Жыл бұрын
Wachagga tunajua ku care alooo hapo kwa MZEE WETU MENGI umemtendea haki aseee hope amejigeuza alipo
@CatherineKaria-fk7fq
@CatherineKaria-fk7fq 4 ай бұрын
😂😂😂ilaaa
@driquesmariques9794
@driquesmariques9794 Жыл бұрын
Lady u got some history
@rabanfungo2408
@rabanfungo2408 2 жыл бұрын
🔥🔥
@abelmirwatu544
@abelmirwatu544 2 жыл бұрын
Salama mwambie Ritha aongee kiswahili.
@jescarobertkiswaga1580
@jescarobertkiswaga1580 Ай бұрын
Nampenda sana Madam Ritta nikimuona
@user-kh8tr8xh4v
@user-kh8tr8xh4v 4 ай бұрын
Malkia wa nguvu kwangu❤❤❤❤
@fakiimohamed6163
@fakiimohamed6163 2 жыл бұрын
Nice, tuletee... K.rin
@josephlorri431
@josephlorri431 4 ай бұрын
K-lyn, the gold digger... alimtegeshea mzee mimba,ndo chanzo cha mateso yote ya Dr Mengi hadi kifo..
@juliananasari2526
@juliananasari2526 5 ай бұрын
Madam Ritha nakupenda sana
@susancharles1660
@susancharles1660 Жыл бұрын
She still beautiful 😍
@neemaalbert2731
@neemaalbert2731 2 жыл бұрын
Rest on peace baba Mengi
@veronikabaraka3315
@veronikabaraka3315 Жыл бұрын
Tunaomba madam aludi tena
@arnesyaurio6346
@arnesyaurio6346 2 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@annahkiza6362
@annahkiza6362 2 жыл бұрын
RIP Mr Mengi💔
@hadijagere
@hadijagere 2 жыл бұрын
😭😭😭😭💜
@sarahsarahgilla8491
@sarahsarahgilla8491 2 жыл бұрын
Tunaomba madam Rita aongee kiswahili zaidi maana wengi hatuelewi
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 2 жыл бұрын
Wakati wenzako tunasoma wewe unacheza kibao kata .ukome😀
@happyhousekeeper
@happyhousekeeper 2 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 hahaha wewe, kibao nini, 😄😄😄
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 2 жыл бұрын
@@happyhousekeeper kibao kataaaa🤣
@happyhousekeeper
@happyhousekeeper 2 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 hahaha 😂😂 haki Mungu
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@masalakulwa7601 🤣🤣
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 2 жыл бұрын
Dah feel sorry for u lov 😪
@susannesusie3217
@susannesusie3217 2 жыл бұрын
Rest in peace Mengi
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 2 ай бұрын
Salama umempoya huyo Dada pia. Katoa siri nimewapenda
@magesalugwesa4449
@magesalugwesa4449 2 жыл бұрын
Salama this is my best show ever ever
@jumamofu9573
@jumamofu9573 2 жыл бұрын
Kingereza kingi sema na ww ila pole kwa kufiwa na #MENGI kumbe ilikuwa unampenda R.I.P #R_MENGI Sema we Ritha ni mzuri ila ndo hivyo unapenda kudate na madingi bila hivyo ningekupigia misele Mana nakuelewaga Sana we ni msupa mazee
@venanciapeter8059
@venanciapeter8059 Жыл бұрын
Shame on you
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 2 жыл бұрын
Salma Litta ni mtoto wa kishuwa acha mchezo alisoma Uganda kwamyaka ile ilikuwa ngumu sana kwanza Owens’s inker kusoma
@kadoaugust6497
@kadoaugust6497 3 ай бұрын
Maisha ya mwanadamu anayajua Mungu mwenyewe
@kulthummaabad
@kulthummaabad 5 ай бұрын
😢😢❤❤❤🎉🎉🎉
@godfreyjoseph4750
@godfreyjoseph4750 Жыл бұрын
Mnaharibu kipindi kwa huu uzungu wenu
@graceirungu2796
@graceirungu2796 4 ай бұрын
Mbna hajalisi hata nywele za kizungu hata rang 😊😊 mjeruman wa mchongo 😊😄
@queenhamduni2220
@queenhamduni2220 3 ай бұрын
Yeye ni 3rd generation kwani hujamuelewa kasema baba yake ni mjerumani na msukuma. Means baba yake alikuwa half cast wa kijerumani na kisukuma na siyo mzungu. Jifunze kusikiliza na kuelewa sio kukimbilia kuhukumu
@annamakomele339
@annamakomele339 7 ай бұрын
Yaani jaqcline mengi na maadam ritha walikuwa marafiki Sanaa Cha ajabi jaqcline akamgeuka maadam ritha Ila Mungu atamlipa
@dayana5513story
@dayana5513story 2 жыл бұрын
Madam l didn't know your my blood
@user-cw6jq7cv2k
@user-cw6jq7cv2k 3 ай бұрын
Rita now I know you, I think I love you
@rezembuses5739
@rezembuses5739 2 жыл бұрын
Mm nashangazwa na hawa wanaozaa wakiwa teenager. Huwa wanongoza kampeni za kile wanachokita mimba za utotoni. Lakini pamoja na mafanikio yao yote zaid wanajivunia watt wao.
@rahmashomari1048
@rahmashomari1048 4 ай бұрын
Yes ni must kujivunia watoto coz hawakutegemea kuwa wangefika pale ukizingatia maumivu walioyapitia
@rahmashomari1048
@rahmashomari1048 4 ай бұрын
Moving on ni kitu kigumu kuwa mama katika umri mdg changamoto za kutengwa, kwa bulled with everybody , kukatisha ndoto with something didn't planned lzim tukatae mimba katika umri mdogo
@mashipeter4819
@mashipeter4819 5 ай бұрын
Mungu akutunze. Nimejifunza mengi sana. Salama uko vizuri sana. Urafiki wenu udumu milele.
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Bongo Star Search 2019 | Ep 9 Top 10 Full Show
58:39
BongoStarSearch
Рет қаралды 462 М.
Mkasi - S02E06 with Rita Paulsen
28:00
MkasiTV
Рет қаралды 158 М.
貓媽媽🆚爆米花🌽🥷🍿 #aicat #shorts #cute
0:33
Cat Cat Cat
Рет қаралды 49 МЛН
小路飞跟姐姐去哪里了#海贼王#路飞
0:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 22 МЛН
КАРОЧЕ НЕУДОБНАЯ СИТУАЦИЯ😱🔥 #shorts
0:45
ПОПОВИЧИ
Рет қаралды 6 МЛН
Мировой Рекорд по Засыпанию (@DazByron )
0:30
Голову Сломал
Рет қаралды 4,3 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
0:17
Secret Vlog
Рет қаралды 11 МЛН