Amina kubwa.🙏👌🙌 Ujumbe mzuri sana kwa watumishi ubarikiwe sana mtumishi wa BWANA ❤🙏👌🙌
@hamiduhamisi2371 Жыл бұрын
wallah😭😭😭😭 🛐🛐🛐🛐huwa nahisi kukusikia,l ujumbe wako, pia huwa nahisi kuelewa, sasa kuanzia leo nimekuelewa Pascal Please hapa daa kanisa rako wapi? barikiwa sana mtumishi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@elizabethkilendi9998 Жыл бұрын
Mungu akufiche kwa mbawa zake wakutafute maadui wasikuone
@valentinombilinyi3879 Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana kwa kusema kweli isiyopendwa na wengi walio jiingiza kwa Siri kuharibu uhuru wa Wana wa Mungu.
@phenymanga949 Жыл бұрын
this message is so touching huo wimbo unapenya mpk rohoni kufanya aaze kutubu na mapema.
@alexmkeha7895 Жыл бұрын
Amen 🙌 Mungu atusaidie nyakati hizi ambazo watu Wana penda kumpokea Bwana ila wakienda kanisani wanakutana na pokea gari na mafuta badala ya Bwana yesu
@rehemashariff3119 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtu wa Mungu ila nijuulize ulikuweko kwenye tamasha la watu wamataifa na waumini? Na yale yaloyo tokea kama wewe mtumishi unaambia watu nini? Pole sana iwapo nitakua nimekukwaza
@GabriellaWiseman Жыл бұрын
Amen barikiwa na huu UJUMBE uwafikie hata wasio amini ili wamfate mungu WA kweli 👏👏
@neyjames752911 ай бұрын
Aminaaa Mungu awafungue waelewe
@Bigiramanamechack-oq8nr Жыл бұрын
I love this songs mungu akupe nguvu na hakili yakuwabia ukweli wanao alibu kazi ya Mungu.
@mzungumaya4379 Жыл бұрын
Mungu akubarki sana mtumishi.hata wakuchukie wewe endelea kutangaza injili ya mungu.
@livinhillary9804 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@japonaiskasi6629 Жыл бұрын
😢😢😢😢Nalia baada ya kusikia hii Acha watu muabudu Mungu wa kweli 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@Saidi1581 Жыл бұрын
ubarikiwe sana mtumishi wa mungu Paschal cassian unasema ukweli kabisa tuna kuhombea sana tu kupitia mahubiri yako nabadilika huu wimbo una nifariji sana tu amen 🙏🙏
@jeniphermyingajeniphermyin8029 Жыл бұрын
Ameen Mungu akubariki,MAISHA bila Mungu nuhatari sana
@lightnessmushi8137 Жыл бұрын
Usiogope Mungu amekuchagua kuletachachu ndaniyawale waihubirioinjili yakweli,vitayote ni vya bwana juu maisha yako,simama na BwanaYesu wewe ni chombo kiteule
@christophezichichigohwa1916 Жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu, Paschal Cassian kwa mahubiri yako yenye ukweli halisi. Ingawaje vita unavyo kumbana navyo, Mungu wetu atakushindia. Barikiwa sana Baba yangu !
@LeokadiaChaula11 ай бұрын
@@jeniphermyingajeniphermyin8029lll❤😊😢😊
@LeokadiaChaula11 ай бұрын
@@christophezichichigohwa1916😊 tx SQ
@emanuelisumay11 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishiwa Mungu akuzidishe zaidiyakuwaandaa watu wa bwana wamajeshi barikiwa sana
@modestermurunga4667 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi Kwa ujasiri ulionawo Kwa kuwaonya wahubiri.nakuombea Mungu azidi kukusitiri
@dishanmwarangikuninga7526 Жыл бұрын
Bro nimekubali!!! Wambieni watu muda umwekwisha what atalent
@Akinyisafi Жыл бұрын
Nimekupatq vizuri brother watu waambiwe ukweli AMEN AMEN 🙏
@phenymanga949 Жыл бұрын
amen mtumishi wa Mungi.unasema ukweli kbs.Mungu akubariki na akuinuee zaidi na zaidi kwa utukufu wake.sister pheny frpm mombasa
@nanderaleah7997 Жыл бұрын
Surely you are the Nehemiah of our generation. Toboa yote bro.Sanity must come back to churches of today. Be blessed n covered with the precious blood of Jesus Christ of Nazareth.Noel from Uganda
@RechowiliamNdosi Жыл бұрын
Mungu mwenyezi akubariki sana mtumish kwa nyimbo zenye nguvu za mungu
@mamachris6811 Жыл бұрын
Wenye macho ya Rohoni tu ndo watakuelewa 😭😭😭
@BonifaceMutavi6 ай бұрын
Only few who believe in the true gospel and trust the word of God can understand the servant of God is talking about or insisting in preaching even through singing.
@nyemomazengo6800 Жыл бұрын
Mungu akuongezee neema na akupe maisha marefu
@NovaMatthew-c8n9 ай бұрын
Mungu akubariki, na kukulinda Mtumishi wa bwana, Hakika mwenye kusikia na asikie, mwenye kuelewa na aelewe. Madalali wa neno la mungu ni wengi makanisani. Waumini wametekwa kifikra. Asante sana Mtumishi Kwa ujasir na kukemea mawakala wa kuzimu. Laiti taifa letu lingewapata akina Paschal 20 jasir wa kukemea uovu huu.
@AnnOpondo-tf3uf Жыл бұрын
Nakupenda sana kutoka kenya, napenda unavyo sema ukweli na penda na nyimbo zako sana ila penye ulikosea ni hapo penye umeonyesha nika umetundikwa msalabani
@Pendopasilika Жыл бұрын
Hongera sana MUNGU akubariki mtumishi wa MUNGU BWANA YESU akufiche katika enzi yake ili watu wafunguliwe kupitia wewe
@GladnessNassari-ms3rp Жыл бұрын
Ahsante sana mwimbaji wangu nyimbo zako zinanibariki sanaa kwa maisha ya Sasa na Dunia ya leo
@akundaotieno866 Жыл бұрын
Amen ninapo sikiliza wimbo kama huu naguzwa saidi wacha mungu akupe hio neema edelea Niko Kenya barikiwa
@davidadorwa258 Жыл бұрын
Mungu akubariki na azidi kupa maono kwa ajali ya kueneza injili mambo unayosema ni ukweli lakini binadamu hawaoni,kazi nzuri pascal you atrue christian and you stand out because of the truth.
@roniasyeya9 ай бұрын
Ahsante mtumishi wa mungu Paschal mungu akubariki maana unaifanya kazi ya mungu bila kumuogopa mtu
@BenjaminMageu-lg8kt Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wamungu Kwa ukeeli Benjamin kutoka kenya
@williammadafu951810 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu paschal Cassian unakipaji kizuri sana cha kuimba hakika MUNGU ni mwema yupo pamoja nawe...
Amen 🙏🙏🙏🙏 ukweli mungu asimamie kabisa maana watu wanapotea
@rebyhud15959 ай бұрын
Ubarikiwe kwa ujumbe mzito na wa kweli mtumishi wa Mungu
@BonifaceMutavi6 ай бұрын
Watching online from Nairobi Kenya....I always follow closely your teaching and I really love your spiritual, motivating true gospel with God's anointing and power. I pray to our Mighty God to intervene and fight all battles for you. May our Mighty God lift you higher and protect you and family 24/7
@YonaMbawala-y5q Жыл бұрын
This is a good song that has strong massage, God bless you Cassian. Keep it up.
@roniasyeya9 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi Kwa kutuambia ukweli kuhusu manabii wa uongo
@simontv8124 Жыл бұрын
Pascal Cassian, You speak the truth Wanadamu wasikutatishe Moyo kwa Maneno Yao Usiseme Ukweli Let proceed to say the truth Ipo Thawabu Mungu Amekwisha Kuanda Kwa ajili ya watakatifu Wake...
@RadiyaHassan-m7g9 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi Mungu akulinde na maadui wote uzidi kutufungua macho na fahamu zetu
@annameshack9666 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atusaidie sana kumjua mtumishi wa kweli wa Mungu siyo rahis jaman!!!
@elizabethmsengi6868 Жыл бұрын
Napenda sn maneno yako mazr sn Mungu aliyokujalia 💪💪💪
@Julias-e9t9 ай бұрын
Kaka mungu akubariki sana kwa huo ukweli watu wanapotea sana
@MandelaMichaeli4 ай бұрын
Mungu akulinde na Asante kwa kutufunua macho
@MwanjelwaMwakyusa10 ай бұрын
Mungu akuinue tena, tena.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@WilliamMandwanga5 ай бұрын
Sema kweli mtumishi.mungu akubariki sana azidikukuinua mungu
@MwanjelwaMwakyusa10 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu, kizazi hiki kina kinakuhitaji. Nyimbo zako zina upako wakutosha ( high anoint ktk nyimbo zako. Nimebarikiwa kuzisikilize
@stellakussaga3537 Жыл бұрын
Blessed much mtumishi wa kristo Pascal Cassian kwakweli shujaa wa msalaba azidi kukuinua ktk viwango vya juu kwenye utumishi aliokuitia!damu ya Yesu ikufunike ikutetee sana!
@gracekayandakayanda3428 Жыл бұрын
Ámen Nipo South africa nyimbo zako zinanibariki sana 🙏🙏🙏🙏
@euniceallyargethar2285 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumie Amen amen na damu ya yesu ikufunike uiseme kweli ya mungu 🙏
@MwanjelwaMwakyusa10 ай бұрын
Pastor endelea kutuambia ukweli na ukweli wa Bwana wetu yesu utatuweka huru. Songa mbele na kazi ya Mungu
@janemlelwa8618 Жыл бұрын
waachieni watu wamuabudu MUNGU WA KWELI be blessed mtumishi I like this aong
@magrethbisaku2795 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mtimishi nakuombea Sana pia napenda huduma yako Mungu azid kukupa ufunuo mkubwa
@ANUSIATHACLEMENCE-mb4oy Жыл бұрын
Mungu wajaabu nilikuwa nakusikiliza Sana kwa ukweli wako nakuwa jasiri Cha ajabu ukajashinyanga Tena kwenye zehebu ninalosari kwa machimu
@nuruabraham37699 ай бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo zako, Mungu wa mbinguni akutunze daima.
@petereliya1983 Жыл бұрын
Amina 👏👏
@JoycePoul-l8y Жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akulinde mtumishi
@dishanmwarangikuninga7526 Жыл бұрын
Bro, mungu anakutumia napend vyenye unaimba Ata Mimi natamani kuimba kama wewe,, nigaanyie upako
@arachipr8162 Жыл бұрын
Bwana Yesu akusamehe
@justinefrank93425 ай бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu uzidikutupa nyimbo zakutuokoa kwakweli mtumishi unajuakuimba
@BeatriceMaghaja10 ай бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi
@JuatineLawa5 ай бұрын
❤ Mungu akupe maisha malefu
@alicemwaka3762 Жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana barikiwa barikiwa sana
@LuzuEbeneza11 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU wa mbingun
@SheillahWairai Жыл бұрын
❤❤❤A nice song keep going up to the mark of calling. MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI.
@deopriva3724 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa ukwel huo
@mamasmartcollection7063 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@FelistaFeliksi9 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Paschal unahubiri sana mpaka jasho linatoka watu hawaelewi na hawasikii kabsa wanaenda kwa manabii kwa sana duh Mungu awasaidie
@betrammyula75669 ай бұрын
Kweli wame waloga watu hawaelewi asante mtu wamungu ubalikiwe sana mungu akuweke sana tujue mengi
@MussaChaunga-vb9qi Жыл бұрын
Mtumish nimebalikiwa sana naomba mungu akupiganie Amina
@doricymaangame9983 Жыл бұрын
amen ubarikiwe na bwana kwa ujumbe mzuri
@SheliaWanyama10 ай бұрын
This song teaches about worshiping idle God bless you paster pascal
@athanaschacha.9424 Жыл бұрын
Yeyote anayejiona ni mwenye haki au ni mtakatifu awe wa kwanza kupiga wengine kwa mawe✔️
@BahatiDaudi-cw6sl4 ай бұрын
Amina mungu akulinde kak pascal
@ZabronJonas-l9d7 ай бұрын
Mungu akubalisa na akulinde sanaa
@lucypaulo9238 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Kwa nyimbo nzr
@yusuphusaimoni4182 Жыл бұрын
Hubiri injiri acha ujinga kijana Kwan we ndio upo sawa SS ndio tunawamin hao
@paschalymlangale8964 Жыл бұрын
God bless you 🙏🙏🙏 good song with good lesson
@NsengiyumvaEriaking Жыл бұрын
Ww njo mbimbaj kbs mungu Aw mbele Yoko kwanjiya Zaki zot
@kennyfriday Жыл бұрын
Watu saizi awataki kusikia lakin jaman siku ya mwisho watu wengi mtawalahani hao wachungaji wenu kwamba kwann mlikula sadaka zetu lakin amkutuambia ukweli kutokana na mateso ya jehanam moto unatisha na kinacho sikitisha asa ni kwamba moto wa jehanam hauzoeleki kila siku utakuwa unaongeza makali ndgu zangu usalama ni kumpokea yesu kwel kwel ubalikiwe pascal kwa kujitoa
@yusuphusaimoni4182 Жыл бұрын
Hubiri injiri kijana acha ujinga we Kijana
@kennyfriday Жыл бұрын
@@yusuphusaimoni4182 acha nionekane mjinga lakin ukweli umewafikia
@ntulloboy2916 Жыл бұрын
Pika injiri watu huku tunafunguliwa ndugu hakika tunabarikiwa
@JuliaLumande-r4p7 ай бұрын
❤❤ 🙏
@rithaurassa6 ай бұрын
Hatasikuelewi lakn utanisamehe. Bure
@sophias3334 Жыл бұрын
Dunia imeisha jaman tumugeukie mungu wa kweli jaman tusifanye mioyo yetu kuwa migumu tutajuta natutengeneze njia zatu kuanzia leo na majira haya natubu yote mungu nitakase nakufuta ww mungu wa kweli
@gilbertjulius8599 Жыл бұрын
Mungu akutumie zaidi
@aginesmwagala Жыл бұрын
Tunaomba uendelee kutuombea maan hatujui wapi twaenda passcal cassan
@elizabethmsengi6868 Жыл бұрын
Ubarikiwe sn Mtumishi wa Mungu 💓💓💓💓
@JulietShamala4 ай бұрын
Glory to lord mwenye macho ya kiroho utaelewa wambeni ukweli pasta
@RevocatusDeodatus-eo9cn Жыл бұрын
Amen akika watu wamrudie mungu wakwer na wamwabudu ktk kwer
@felisterligazio7151 Жыл бұрын
Dam ya Yesu ikufunike mtumishi wa Mungu, sema kweli, na Mungu akutie nguvu
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
Truth, powerful song. God have mercy upon the church of Jesus Christ
@sikujuajustine1688 Жыл бұрын
Mungu akubariki na akuongeze siku nyingi za maisha yako ili watu waokolewe
@daisyakhini9331 Жыл бұрын
Aamen mwinjilist,... Ukweli kabisaa, wanadam tunakosa ufahamu ndo tunapotoshwa na hao wenye vituko wakitumia jina la mingu alie binguni, mungu azidi kufunika na damu yake mwinjilist, Amen 🙏🙏🙏
@gustavengandu790010 ай бұрын
Soit béni au nom de notre seigneur Jésus Christ de Nazareth.
@espoirruhungo2614 Жыл бұрын
Ubarikiwe brother
@leahdaniel1117 Жыл бұрын
Roho yangu inaugua Sana kuona kundi kubwa la watu ambao YESU KRISTO amekufa kwa ajili yao linaenda motoni,macho yao yamepofushwa hata wasiuone ukweli, nimeonyeshwa hili lango la rehema karibu litafungwa.
@kennyfriday Жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana mtumishi mungu azidi kukutunza mtumishi maana vita ni kali sana ata biblia inasema tume esabiwa kama kondoo wa kuchinjwa
@AlbertNdato-ri2xb Жыл бұрын
Ubarikiwe Mutu wa Mungu,unasema kweli
@isayamabena7827 Жыл бұрын
Nasnte kasiani kwa kusema ukweli katika nyimbo zako zinanibariki hkika
@NeemaAbdala-z8b10 ай бұрын
mungu atu samehe tulie enda Kwa mwamposa asamehe nawatoto wetu twakuomba mungu