M niko Kenya nmebarikiwa sana na mafundisho yako Mungu azidi kukubariki na injili hii ienee dunia nzima
@ShukuruDaudi-ue6inАй бұрын
Amen 🙏 🙏 Asante MUNGU akuzidishie na akubariki,BWANA YESU KRISTO atusaidie sana 🙏 😭🧎♀️🧎♀️
@rosepeter89962 жыл бұрын
Yaani mafundisho ya huyu mama hunibariki sana.......abarikiwe sana mungu na amuinue zaidi akazidi kutubariki na kutufunza neno safi lakuishi ndani ya roho zetu.
@jackswat Жыл бұрын
Ahsante mtumishi na nabii wa bwana Mdo 2:17, Mimi leo nimeokoka tena, MUNGU ANISAIDIE. Amina
@bernadettekosani94652 жыл бұрын
Injili takatifu ya BWANA YESU KRISTO itangazwe opte duniani. Asante mama kwa ushuhuda. Mungu akubariki sana
@ElizabethMelaisho4 ай бұрын
Kwa Jina la Yesu na Neema ya Msalaba, naomba toba kwa ajili yangu, mume wangu, wanangu, wazazi wangu, ndugu zangu na wenzi wao na watoto wao na wote ndugu na wazazi wa mwenzi wangu! Roho Mtakatifu tusaidie!
@desderykarugaba18262 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kujitolea kufundisha injili ya kweli.
@PreciousZawadi-w8z Жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN MUNGU awabariki wateule wa mungu mwanibariki sana
@BonifaceKyando-f5x Жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu aliye kuonyesha hayo Ili utuambie tuweze kupona
@judithlibombolo39752 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu ninabarikiwa kitoka kenya.ikumbuke ndoa yangu
@quintavitalis9262 жыл бұрын
Ibada nzuri mno mpaka mwili umenisismka , Mungu yupo kati yenu ,
@janetisaac10842 жыл бұрын
Ameeeen Mungu awabariki wateule wa Yesu mbarikiwe sana nawapenda sana ibada hizi nazihitaji sana pia ninazipenda
@Josphine-x4p10 ай бұрын
Niko Kenya mum,nimebarikiw sana maiisha yangu y wokofu wangu umebatilika God bless you
@sophiamakani61332 жыл бұрын
AMEN AND AMEN hakika hiii injili inabariki sana Asante sana promover TV be blessed
@ResparGirbert3 ай бұрын
Amen hakuna kama wewe Bwana Asante Yesu
@BestKindole6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama kwa kufikisha ujumbe
@janetisaac10842 жыл бұрын
Ameeeen,ubarikiwe sana mama,nimejifunza vitu vikubwa sana,Naomba Mungu aisaidie niweze kushinda mambo yadunia
@bellingtonlyimo64672 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana. Kinachotakiwa upate uwanja mpana kadri iwezekanavyo ili ujumbe huu uwafikie watu wengi zaidi na ikiwezekana mikutano ya wazi ifanyike.
@chrysanthushakaunga65602 жыл бұрын
Yesu wa mbinguni hahusike
@geitandelwa2992 жыл бұрын
NDIO tunaambiwa habari ya KUWA NA magari majumba NDOA na kujipamba waume zetu wasituache na kumbe tumemuacha MUNGU NA SASA NDOA ZIMEKUWA CHANZO CHA KIFO BILA KUMULUDIA MUNGU HAKUNA KITU KINAWEZA KUWA SALAMA BILA KUWA NA YESU NDANI YETU
@anethswilla75632 жыл бұрын
Ahahahaaa Yani Kuna watu wanapoteza watu Yani unaweza jipamba na mume akachepuka vizuri tu maana tunayaona mie nishapona my
@trophywilson72112 жыл бұрын
Hakika mpendwa
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@anethswilla7563 fpct ilianzisha hizo semina miaka ya 2005 na bado wanaume waliyeyuka makanisani
@generosakinemo54902 жыл бұрын
Amina, Bwana Yesu tupe pumzi ya uhai tupe nyama na mshipa tuwe hai. Ee Yesu tuokoe amina
@DenisCasey-kh8ub Жыл бұрын
Umenigusa sana asante sana YESU KRISTO kwakututimia mtumishi wako asante sana, niokoe nai dunia
@bentesha2 жыл бұрын
Bwana Yesu alisaidie kanisa la sasa
@itangishakacecile30812 жыл бұрын
Hapa ni wapi ndugu zangu Panaitwaje? Jinsi munavaa binanivutia. Mungu awabariki sana
@imeldanyarotsa3636 Жыл бұрын
I really love when people are worshiping God from the bottom of their hearts,thanks be to God
@janetjanet86692 жыл бұрын
Amen kama ni Mungu ameshuka jaman abarikiwe sana mama Mchungaji pia mtumishi wa Mungu ubarikiwe sanaaaa 🔥🔥🔥🔥
@sirilekwiseka4192 жыл бұрын
Asante Mungu awabariki sana
@angelanaftael79652 жыл бұрын
Dada Mungu akuinue zaidi
@merryluca18442 жыл бұрын
Barikiwe sana,kelele za watoto zinatukosesha kusikia vizuri,ujumbe mzuri
@marymbodzembodze27072 жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah barikiwen sana watumishi wa BWANA
@RosaManuelCasimiro6 ай бұрын
Mungu akubariki sana mama.nataka kujua hababari ya kufunika kitshua
@liesharehema51932 жыл бұрын
Mungu akubariki dada Ester aminaaa
@mbalukatv2 жыл бұрын
Revival is here in this church! 1. Women dressed decently 2. People worshiping in truth and spirit 3. Order in the church 4. Sober word of truth and holiness
@julianawanjala64952 жыл бұрын
Amen barikiwa Sanaa mtumishi wa Mungu
@stellagabriel1172 жыл бұрын
amina
@tumaininzunda72062 жыл бұрын
Hii ndy ibada ambayo Mungu anakuwepo mahali kama hapo
@Ma86na2 жыл бұрын
Amen amen amen Asante Yesu
@lovenesswalter66502 жыл бұрын
I can feel the anointing
@MageSamwel-bp6od2 ай бұрын
Ee Mungu nisamehe kuna kitu nimejifunza hapa
@generosakinemo54902 жыл бұрын
Ndiyo matamanio yangu kuona injili ya kweli inahubiriwa kila mahali na watu tunamwelekea Yesu aliye Njia, Ukweli na Uzima
@bettyadhiambo95572 жыл бұрын
Yani ni Raha kuwa ndani ya Yesu 🔥
@aaSs-yf8oq2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@beatricemwamini20447 ай бұрын
Amin.
@aliciaallyson46782 жыл бұрын
Hallelujah,,Jesus Reign King of Kings
@generosakinemo54902 жыл бұрын
Asante Yesu sifa kwa Yesu. Injili ya Yesu Kristo isonge mbele Aminaaaa
@annissdaprincess38462 жыл бұрын
Ameen 🙏 injili isonge mbele inapendeza kwauhakika mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU wambinguni 🙏🙏
@carolinederi56902 жыл бұрын
Tazama jinsi ilivyo vema na kupendeza ndugu kukaa pamoja na kwa umoja ... Psalms 133:1
@Utanziwaministry-e8n Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho
@rahabusalum2152 жыл бұрын
Amina
@Collette776633 ай бұрын
Ubarikiwe
@DenisCasey-kh8ub Жыл бұрын
Eeeh, YESU nisamehe dhambi zangu, mimi nimtenda maovu nisamehe
@paulokiwango21 Жыл бұрын
Umegusa kote asante Yesu atuokoe
@lydiamichael55092 жыл бұрын
AMEEN barikiwa sana mtumishi wa Mungu, tunaendelea kujifunza tukirekebisha Kule tunakosea Eeh Bwana tusamehe
@miriammuller28452 жыл бұрын
Hallelujah God 🙏 bless
@margaretmuoti44492 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@bilalikisembe50122 жыл бұрын
Asante
@aishaidrissa61332 жыл бұрын
Ndungu,Jacktani, washauri Hawa wahubiri wasihubiri ndani TU,watoke nje pia,
@trophywilson72112 жыл бұрын
Nje ni mpaka kuwezeshwa
@Collette776633 ай бұрын
Amenaaaa
@ezekielphilemon73432 жыл бұрын
Aminaaaa
@paulojohn25802 жыл бұрын
Mungu nisamehe sana
@euphemiachaochao31712 жыл бұрын
Watching from Jordan
@edinakibani87252 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Mmmmh nimetiwa wivu jinsi wamama mlivovaa KWA heshima
@trophywilson72112 жыл бұрын
Barikiwa
@lovenesswalter66502 жыл бұрын
Yes 🔥🔥🔥
@janengaga29282 жыл бұрын
Yesu ni mwema.Atupe mwisho .mwema . Tumtumikie KWA uaminifu.
@lovenesswalter66502 жыл бұрын
Ni 🔥🔥🔥🔥🔥
@aswilejoseph5022 жыл бұрын
Muda ukiwa mrefu,ujumbe unapotea sana na mm huwa siwezi kuelewa ujumbe ulioubeba ingawa naamini umebeba ujumbe mzuri kwenye hizi video zako!!
@iamdivineimage2 жыл бұрын
Mungu akikupa ujumbe haijalishi ni wa urefu gani aliyekusudiwa ataupata tu
@sulemaan87985 ай бұрын
Napokea.
@bilalikisembe50122 жыл бұрын
Naisi kama naanza kupokea woke wokovu ndani ya moyo wangu
@trophywilson72112 жыл бұрын
Mungu nakuhitaji saana Maishani Mwangu nishike Neno lako kama nilivyokuwa nashika masomo nikiwa mdogo na Zaidi maana Neno lako ni la Milele
@victoriaaman2 жыл бұрын
Amen samahan eti kanisa lipo wap wapendwa
@flm15302 жыл бұрын
Yan unakuta mtu anasikiliza haya yote kuhus uzaz wa mpango na kujichua na kujiremb af anaendelea kufany hajui kuw anajiongezea adhabu maan ameijua kweli na kuikataa ni heri ambae hajasikia kbs
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
Jamn hapo kwenye kujichua hapo patam Sana maana kuacha ni neema unakuta mtu mzma lkn umeathilika na kbaya Zaid umeokoka hapo ndo patam me nilipataga shida Sana ilinichukua mda snaa
@rubefabi83662 жыл бұрын
Hakuna lisilowezekana kwake aaminiye.
@trophywilson72112 жыл бұрын
Anaweza kuendelea maana Kasililiza tu lakini Moyo haukupokea ,Neno ni mpaka moyo upokee ndipo ufuate Mafundisho
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 kumbe wapo watu wanaojichua??mie nilifikiri ni hadithi,Hee Mungu akusaidie nilifundishwa shuleni ila sikuwahi kukutana na Mtu anauefanya hivyo
@lovenesswalter66502 жыл бұрын
Had raha 🔥🔥🔥🔥🔥
@evangelicalgrouptv86172 жыл бұрын
Mama Esther ,asante sana kwa ujumbe huu, Lakini nina swali, KWA NINI MAMA ESTHER UNGALI UNAPAKA RANGI ZA MAKUCHA? Itatujenga tena sana ukiondowa hicho kitu. Bwana akubariki.
@iamdivineimage2 жыл бұрын
Kupaka rangi kucha nani kasema ni dhambi? Mbn unarejesha Kanisa kipindi cha sheria bila sababu?
@Share_theGospel2 жыл бұрын
Mungu hakika ni Mwaminifu 😥😥😥🙏🙏🙏
@bilalikisembe50122 жыл бұрын
Hivi hili knsa linapatikana wapi
@cornelgwarda38492 жыл бұрын
Yesu nisamehe sikujua kwamba kutumia uzazi was mpango nidhambi
@paulojohn25802 жыл бұрын
Hallelujah
@JELSONMAUKI5 ай бұрын
Nitapataje number za mtumishi Esta Masanja??????
@gracelauzi97462 жыл бұрын
Sauti ya watoto iko juu jameni
@iamdivineimage2 жыл бұрын
Kwa kweli
@rachelsoi47962 жыл бұрын
Kwa Yesu kuzuri jamani laaa!
@gracelauzi97462 жыл бұрын
WW DADA UTUELEZE JUU YA KUSUKA JUU MBONE MM SIJA ELEWA JAMENI PIA WA MAMA HAPO KANISANI MBONE MWASUKA INA. MAANA NINYI BIBILIA YENU YASOMA KUA. USUKE AMA NN WANAWAKE HAKI MUNGU ATUSAMEHE MM NA LIA SANA JUU YA SS WANAWAKE SIJUI NN 😭😭😭😭😭😭😭YESU YESU WANGU TUSAIDIE TUSHINDE ANASA ZA DUNIA LAZIMA TUTENGENEZE NA MUNGU NDIPO UFALME WA MBINGUNI TUTA UONA EEE YESU YESU WANGU TUSAIDIE TUSIMAME KATIKA UTAKATIFU WAKO TUTENDE YALIYO MAPENZI YAKO AMEN AMEN
@carolinederi56902 жыл бұрын
Mwenye amesuka huenda akawa ni mgeni...iwapo ulisuka tayari na nywele ni ndefu waeza chana lakin usiendlee kusuka kama waona shida kuchana punguza kiasi wokovu ni kujikana
@trophywilson72112 жыл бұрын
Kusuka Nywele zako halisi si dhambi,isipokuwa kuongeza ,Msikilize kwenye shuhuda za Maanga 7 kuna masali huko
@mercywasai61042 жыл бұрын
no bora kutii ,wewe usiangalie chenye mwingine anafanya fuata neno la Mungu tu
@gracelauzi97462 жыл бұрын
@@trophywilson7211 ww nipe kifungu kwenye bibilia inayo Sema zakwetu tusuke lakini tusiongezee marasita acheni kujichanganya maandiko iko wazi wamama tuache kupingana na neno LA MUNGU MWENYE KUFUNDISHA PIA ASOMA MAANDIKO WW PIA SOMA MAANDIKO MAANA MUNGU HUNENA MARA MOJA NA HATO RUDIA NENO LAKE NIKWELI NA LIKO WAZI WAMAMA WAAAA WAAA MUNGU ATUSAIDIE TUSIMAME KATIKA UTAKATIFU WAKE TUTENDE YALIYO MAPENZI YAKE AMEN AMEN
@ObediMacumbe-g5t6 ай бұрын
Nikwa nini ninyi Mnao tu hubiri eti mapambo ni dhambi ;mbona mwajipamba kwa kuvaa mavazi? 1petro 3:3 inasema kujipamba kwenu kusiwe kwa nje; yaani : kusuka nywele, kujitia dhahabu , na kuvalia mavazi mbona hamsemi mavazi? Je Mungu anakusudia watu wake wawe uchi?
@aishaidrissa61332 жыл бұрын
Sasa ivi, mikutano kama hii,ifanyeni hadharani nje kama ni uwanjani Ili Watu WOTE Kila mahali wawe huru,MKIfanya ndani ya makanisa yenu tuu bado,baadaye fanyeni na kwa nje.msiwe na ubinafsi
@rubefabi83662 жыл бұрын
Umezungumza jambo muhimu sana. Nakuunga mkono %
@jessemach44592 жыл бұрын
Ata ndani tu wagonjwa sana...kwanza ndani tupone alafu watoke nje.
@rehemaminja28432 жыл бұрын
Watumishi kama hawa wanafuata maelekezo ya Roho Mtakatifu... yamkini bado hajaambiwa aende viwanjani akiambiwa naamini atatii. Pia hii platform ya promover inafika mbali sana ambapo yeye asingekaa afike!
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@rehemaminja2843 hapo umegusa niko nje na Ujumbe unanifikia kwa Nguvu
@edwardmwalukware97342 жыл бұрын
Mambo mengi natamani ningefunzwa nikiwa kijana. Wakati tunafaa kufundisha mambo haya wanafundisha jinsi ya kuwa tajiri ili wapate fungu la kumi kubwa
@musabarnabas76282 жыл бұрын
Ni wapi hapa? Wananikumvusha ulokole wa zamani. Watu mnasifu mkipiga makofi na kucheza, hadi raha. Naumisi ulokole wa zamani!
@alfredmwangi96402 жыл бұрын
Uamsho kweli, nimeipenda sana hiyo sifa
@gracelauzi97462 жыл бұрын
Mbone Jana. Nilisikia twaeza suka zakwetu hapo mnanuacha njia panda mm
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
Rudia vzr kuskiliza klip ilopta, alionya Sana kwa maongozo ya bwana YESU akasema unasuka ili iweje? Si kutaka ziwe ndefu nywele? Ili uwe km mzungu? Alafu ww NI mwafrika? Ili umvutie nan mmeo? Bilashaka utavutia weng na kuzn nao pia maana hata kwa kutaman ushazn hata kwa kutzama tu tyr so akasstza kilemba funika kichwa mama me MKE WANGU nshamweleza
@gracelauzi97462 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 lakini wa mama wengi tumekua na mioyo migumu kuhusu mapambo na kusuka hata saa hii hapo wengine walikuja tangu juzi ila bado hamwaachi kusuka na pia hata ukishuka ifinike ujue waficha mwanadamu ila MUNGU HUWEZI MFICHA NA PIA WAO DANGANYA NAFSI NA KUJIPOTEZEA MDA JAMANI WA MAMA TUGEUKE KUZIMU INA TISHA MBONE ROHO NGUMU MUNGU ATU FUNGUE VIFUNGO HIZO KWA JINA LA YESU AMEN
@lucykapinga3692 жыл бұрын
nyelefup vaa kilemba
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 aliruhusu kusuka za kwako,Ila yeye tu alikatazwa avae kilemba
@iamdivineimage2 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 Dah! Watu wengi ni Wakristo lakini hamjui neno la MUNGU
@trophywilson72112 жыл бұрын
Kwa uzazi warundi tu na Wanyarwanda ndio wanaofuata maana wanazaa mpaka Watoto wanaisha tumboni
@elvisambundo904011 ай бұрын
Kama vile unavyoidaiwa kuwa huyu hatokani kwa Mungu basi promover TV mnafaa mtoe hizi video zake ili asiendelee kupotosha kanisa la BWANA
@zukramlula11532 жыл бұрын
Jamani YESU tusaidie. Injili ya kweli ya kutupeleka mbinguni imepotea makanisani. Kumbuka rehema Bwana. Rehemu eeh BWANA. Ni nani atakaetuokoa na mitego ya mwovu, no WEWE YESU ulieshinda kifo, kaburi na mauti. Tushindie eeh YESU.
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Yes tumebaki na MAWIGI na nguo fupi na KUJICHUBUA na uongo usengenyaji na kuniona na wizi wa WAUME za watu na UCHAWI na MUNGU ATUSAIDIE KUMUTAFUTA YY
@lucykapinga3692 жыл бұрын
@@geitandelwa299 Kwakweri Kabisaa
@lucykapinga3692 жыл бұрын
MUNGU NIMWINGI wa REHEMA atusamehe ZAMBI ZETYU
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@geitandelwa299 tukiviacha hivyo ni rahisi vingine kila leo tulihubiriwa kila wakati
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@geitandelwa299 mfuatilie saana huyo Mama utajifunza mengi mno si mawigi tu kama unapenda mawigi ,Anafundisha hadi kinachozuia maombi yako Yasifike mbinguni,Maanga 7 utajifunza kitu na kitakuinua Kiroho,pole saana kama umejeruhiwa
@nuruulomi57692 жыл бұрын
Tutapaje kupona jamani na hii mitego ya shetani
@bintibatuli48722 жыл бұрын
Naitaji vilevitabu vinavyo uzwa
@lovenesswalter66502 жыл бұрын
Pokea sifa Bwana, heshima utukufu twakupa ww
@amina48222 жыл бұрын
Kanisa gani ilooo jamaniii
@Susan-cl3fd8 ай бұрын
Bwana asifiwe hio mahubiri inagusa kweli nilidhani dhambi kubwa ni usherati na masengenyo ndio inapereka watu jahanam kumbe ni dhambi nyingi sana imejificha itafanya watu wengi waende kuzimu
@aswilejoseph5022 жыл бұрын
Punguza urefu wa video mtumishi ili watu tuone kwa ufanisi mkubwa!!