No video

YUPI WA KUFUATA KATI YA YESU NA MUHAMMAD: BUKAVU CONGO

  Рет қаралды 24,722

WARNING OF LAST DAYS

WARNING OF LAST DAYS

Күн бұрын

Пікірлер: 156
@user-tu5co2zw9m
@user-tu5co2zw9m Ай бұрын
ubarikiwe mwalimu ndacha
@SamsonKinyua-yr6lz
@SamsonKinyua-yr6lz Ай бұрын
Haki najivunia kuwa mkirsto amen amen❤🎉
@JojoSrena
@JojoSrena 20 күн бұрын
Na mimi pia
@frankmwakalinga7455
@frankmwakalinga7455 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana Professor Ndacha Mungu akuinue sasa kwa injili hio ya kweli🙏🙏
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 ай бұрын
Paul nawe Mungu akubariki akupe kila hitaji. Uliombalo kwa Mungu uishi milele na familia yako kwa kweli unaijua Biblia Mungu akubariki🎉💕🙏🏾
@kingofjungle510
@kingofjungle510 Ай бұрын
Hata mimi nampenda Paul
@tomisomutua25
@tomisomutua25 Ай бұрын
Amen
@niwagwenemayeye972
@niwagwenemayeye972 6 күн бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu Yesu na ajulikane na watu wote
@rehemashariff3119
@rehemashariff3119 2 ай бұрын
Ameeeeeen hakika huu ni ukweli Yesu ndiye njia iliyo nyoka
@melizakwamboka8004
@melizakwamboka8004 Ай бұрын
May God bless you ndacha mtumzi wa mungu🙏🙏🙏🙏
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 19 күн бұрын
Upotevu too
@mwoso
@mwoso 2 ай бұрын
Hapo injili ya yesu kristo iliingia kabisa maskioni mwa watu! Ubarikiwe mwalimu Ndacha.🙏
@bubasha88
@bubasha88 6 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 ай бұрын
Yesu ni mwema sana pr Ndacha wape habari njema watoke huko waje kwa Yesu ubarikiwe sana
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 28 күн бұрын
TUJE TUKATE VIUNO SIOO
@Joao-iw9bd
@Joao-iw9bd 13 күн бұрын
Ndacha njoo Mozambique ufundishe watu❤❤
@LaizaLaiza-oj9uw
@LaizaLaiza-oj9uw 2 ай бұрын
Kabisa yesu niuzima wa milelele
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 Ай бұрын
Sikuli ukisema hivyo iyo nikumpinga yesu direct Yohana 17:3 Na uzima wa milele ndiyo huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na yesu kristo uliyemtuma
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 Ай бұрын
Yesu anamtukuza Mungu wewe na ndacha mnamtukuza yesu Ukifa tu na hiyo Imani Mutoni
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 Ай бұрын
Mathayo 7:21 Si Kila mtu aniambiaye Bwana Bwana atakayeingia katika ufalme wa mbinguni bali ni yeye afanyaye mapenzi ya baba yangu aliye mbinguni 7:22 wengi wataniambia siku Ile Bwana Bwana hatukufanya unabii Kwa Jina lako na kwa jina lako kutoa pepo Na Kwa Jina lako kufanya miujiza mingi 7:23 Ndipo nitawaambia dhahiri Sikuwajua nyinyi kamwe ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 Ай бұрын
Yesu hawatambui wacheni kujipendekeza kwake
@salumdjumabizmana0110
@salumdjumabizmana0110 12 күн бұрын
wallah kwa yule anaefuata mihadhara hawezi kuwa mkristo hata kidogo . namshkuru Mwenyezi MUNGU kunifanya muislam. ukristo sio njia wala sio dini
@wacekebbro
@wacekebbro 5 күн бұрын
siwezi fuata mchawa mohammed
@SamuelmuneneMuthoni
@SamuelmuneneMuthoni Ай бұрын
Be blessed ndacha barikiwa
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 19 күн бұрын
mashallah uwislam nuru allihamdullilah ❤❤❤❤
@jasonplayz4394
@jasonplayz4394 2 ай бұрын
Akuna aliye kama yesu nani mwanahume kama yesu hallelujah milele na milele ❤❤❤love your so much my
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 ай бұрын
Kumbe wewe hujui mwana huoa au hujamii ukiona mwanamme hakuna tumtilie mashaka
@athmanidi7388
@athmanidi7388 Ай бұрын
Wakiristo Yesu NI Mungu kwenu Ama Mwana WA Mungu.?
@erickagwe8841
@erickagwe8841 2 ай бұрын
Jina la Bwana Yesu lisifiwe kwa ulimwengu wote
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 ай бұрын
Tena uko na msomaji mzuri Paul waambiee Mungu awabariki sana
@RobatiSiplian
@RobatiSiplian 2 ай бұрын
Mangy akubaliki sana
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 Ай бұрын
Waislamu hoi
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 ай бұрын
Kwa kweli pr Ndacha Mungu akubariki waeleze hao hawajui kitu wanawafata waarabu hata hawajamuona
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 ай бұрын
Wewe hujui hata unasemaje nn nikuulize jee wewe unaamini kuwa yesu aliuwawa na viumbe ambao yeye amewaumba na kumpandisha msalabani Jee ulikuwepo siku kinafanyika hicho kitendo au Kama ulivyouliza na wewe ulimuona au unafata maji tu Kama kaa ureda?
@athmanidi7388
@athmanidi7388 Ай бұрын
Tafadhali Ndugu Yangu kwa Mkiristo Yesu NI Mungu tafadhali
@MaryNjeri-ox1ry
@MaryNjeri-ox1ry 2 ай бұрын
Ndacha Mungu akusaidie
@SimonRiikah
@SimonRiikah Ай бұрын
MUNGU akurinde mwalimu ndacha kwa mafundisho
@LuisFaustinoLuis
@LuisFaustinoLuis Ай бұрын
Ndacha mungu akubaliki sana amina
@BakulikiraMushengezi
@BakulikiraMushengezi 2 ай бұрын
Ubarikiwe baba.
@junicnamuwenge6957
@junicnamuwenge6957 2 ай бұрын
Hallelujah 🙌🙌🙌🙌🙋🙋💃💃🇸🇦🇸🇦🇺🇬🇺🇬
@LuisFaustinoLuis
@LuisFaustinoLuis Ай бұрын
Mungu akubaliki sana ndacha
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 19 күн бұрын
Iyo kafiri ndacha inamutukana mtume wadaraja prof Muhammad uwislam nuru ❤️
@EMIDISumaili
@EMIDISumaili 16 күн бұрын
Wewe kuma
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 16 күн бұрын
@@EMIDISumaili mujinga kafiri soma ujuwe haki
@ElizabethAoko-p8q
@ElizabethAoko-p8q Күн бұрын
Acha ufala
@CadetYuma
@CadetYuma Ай бұрын
Mungu awe Nawel sikuzote za maisha yako.
@ShilohPraise04
@ShilohPraise04 2 ай бұрын
Ndacha tunakutaka Burundi
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 Ай бұрын
Yesu ni Bwana
@jamesmukindia3797
@jamesmukindia3797 2 ай бұрын
I love pst dacha
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 ай бұрын
Hee vp kwani ushayafata maneno ya papa?
@everlynewanyama
@everlynewanyama 2 ай бұрын
Kuna muislamu apo ady nmemuhurumia😂😂😂😂😂Ndacha kiboko yao tangaza injili ady kieleweke ❤
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 2 ай бұрын
😂😂😂😂 Hana lolote 😂😂😂
@DakorTrony
@DakorTrony Ай бұрын
Muhammad
@hamisahtuman5595
@hamisahtuman5595 2 ай бұрын
Paulo Msomaji uko vizr
@user-km2fj5cs4v
@user-km2fj5cs4v 2 ай бұрын
Yesu ndiye wa kufuuatwa wala hakuna mwingine
@richardodoyo7558
@richardodoyo7558 2 ай бұрын
Ngeraa mtumshi wa MUNGU kutangaza injili ya YESU KIRITO AMNAAA
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 ай бұрын
Yesu ndio njia na kweli na uzima. Nakupenda yesu
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 ай бұрын
Kwa hio tumkanyage au ni barabarani tupitishe gari?
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 Ай бұрын
@@hassanjuma2772 utafahamu 2
@wilsonkantabula1715
@wilsonkantabula1715 2 ай бұрын
Mwamed ni mfuasi wa Yesu. Waislamu wameamriwa kumkiri masih kwa kinywa Chao. Kwenye Quran.
@user-ek7bx6sk6f
@user-ek7bx6sk6f 2 ай бұрын
ALLAH AKBAR Uislamu ndio dini ya haki mtajaribu namna zote na vyovyote muwezavyo ila mjuwe hiyo dini inalindwa na pekee Muumba kwa hiyo haiwezi kuanguka iatabaki imara na Nakiri kuwa Muhammad (S.A.W) Ameteuliwa na ALLAH ili kuifundisha
@costantineevarist5110
@costantineevarist5110 2 ай бұрын
Uislam wa wa kikatoriki
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Mhammad (s. a. w) aliye teuliwa na mungu yupi yule alie baka kitoto cha miaka 6 au? 😂😂😂😂😂
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Na kwanini allah hasikii kiswahili chako anasikia kiarabu?
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Pole sana na hiyo dini yako ya kulithi ya ukafiri kutoka uarabuni
@PeterMagoye
@PeterMagoye 20 күн бұрын
Sasa dini ya majini nayo unajivunia nayo na amri za kiislam ni za kiajabu
@CelestinoCasimiro
@CelestinoCasimiro Ай бұрын
Wewe ndacha yeso ni wawa zilaeri tu pekeyao
@user-ux5qk8fl4u
@user-ux5qk8fl4u Ай бұрын
Waislam sijui kwanini wanafata dini yanamna hii.
@CelestinoCasimiro
@CelestinoCasimiro Ай бұрын
Armani iwe nawe chee
@ArmandMananira
@ArmandMananira Ай бұрын
Amen,
@MohamedMeja
@MohamedMeja 2 ай бұрын
Ndachaa ni fujoo tu hana moja ajualo
@qerysir4410
@qerysir4410 2 ай бұрын
wew kaoshe matako maana hapo ndipo akili zako zilipo
@MajiiIfande
@MajiiIfande Ай бұрын
Ndacha amehubiri ukweli , kufa na kuzikwa kaburini ni kumfuata Muhammad? Hii ni hoja mufilisi ,haina andiko wala uthibitisho
@PendoGakumbi
@PendoGakumbi 2 ай бұрын
Kimeumana! Wale wa am proud to be muslam. Mko wap
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 2 ай бұрын
Am proud to be a Muslim ❤
@obedkalinga9704
@obedkalinga9704 2 ай бұрын
Eti macca ni katikati ya dunia, akili za waislam zinawatosha wenyewe sijui anatumia kigezo kipi maana tuliosoma geografia kama muhimili wa dunia ni macca
@geofreymulei5695
@geofreymulei5695 2 ай бұрын
Dacha kiboko yao wapashe
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 ай бұрын
Ikiwa ndacha kiboco Inamana anaishi mtoni
@saidira726
@saidira726 Ай бұрын
Sasa kwa nini wewe ndacha na wenzako mnakuja kutetea alie kuwa hai? Ipo siku mate yatakukauka
@RITAChepngetich
@RITAChepngetich 9 күн бұрын
I think iyo mti unayesema si mti halisi ni wewe na mimi kama hauna matunda masuri mungu atavuna nni fungukeni akili pamoja na roho senu nyinyi waislamu mnaelewa kimwili
@FredizMhagama
@FredizMhagama 2 ай бұрын
Mmh wenye dini wamelishwa matango pori na mudy
@user-hr7ep8zt2r
@user-hr7ep8zt2r 2 ай бұрын
Sule utateteya mtume? Simtume ajiteteye?
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 ай бұрын
injili ya yesu kristo lazima isikiwe na kila mtu,dunia yote ili siku ya mwisho ukiulizwa usipate cha kujitetea na Mungu mwenyewe.. Mimi namfuata yesu kristo daima
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 ай бұрын
Injili inaeleweka mwenye masikio na asikie
@user-hr7ep8zt2r
@user-hr7ep8zt2r 2 ай бұрын
Sule wacongo kuwanafundisha kwautaratibu batubasikuye uko nasemanini mudahalo sivita kunawatu naowafwata kwaiyo inaomba kufundisha kwautaratibu
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Waislamu ni makafiri wanafuata kafiri mwenzao mhammad aliekuja kupinga na kupotosha njia ya Mungu wa kweli ya ukiristo iliyotangulia
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@smadon5638
@smadon5638 2 ай бұрын
Nyie Wakristo ndo munaabudu Binadamu Yesu,eti Mungu du😂
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
@@smadon5638bora sisi wakiristo tu Muabudu yesu mwana wa Mungu aliye hai ambae yuko mbinguni na siku ya khiama atakuja kuwahukumu nyie makafiri pamoja na mhammad wenu kwasababu nyie makafiri mmemuasi Mungu wa kweli muumba mbingu na ardhi Jehova mnaabudu jiwe la uarabuni misikiti yote imeekekezwa saudiarabia nyie waislamu mnaposali mnatazama saudiarabia ndo Mungu wenu aliko na hilo jiwe haliskii kiswahili linaskia kiarabu 🤣🤣🤣🤣
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Ай бұрын
Muhammad ni kafiri
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 Ай бұрын
@@Juniorjacob-le1rr hivi tayari ama una jingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khammadjeffa515
@khammadjeffa515 2 ай бұрын
Wewe kazi yako ni kujenga hoja tu.
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 2 ай бұрын
Ndacha una kiti chako chako mbinguni
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 ай бұрын
Mbinguni ataenda kwa ndege au kwann mm Nina uhakika kuwa atalala ardhini kawa kina Musa Ibrahim yakub na wengine wewee kamau napinga Pinga tu lkni Hilo ndio ukweli wenyewe umekuja kwa udongo utarudi kwa udongo
@mrjulius5840
@mrjulius5840 2 ай бұрын
Kwahyo bwana mtume alioa mtoto mwenye miaka 6 ?
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SwidikiKabemba
@SwidikiKabemba 23 күн бұрын
Lakwanza unasema uongo lapili ule alieowa mtume haikuwa dada Yako
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr 22 күн бұрын
@@SwidikiKabemba mtume wenu alikua mbakaji
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr 22 күн бұрын
@@SwidikiKabemba mbona abake mtoto mdogo mshenzi Sana yeye
@SwidikiKabemba
@SwidikiKabemba 21 күн бұрын
@@Juniorjacob-le1rr kutusi usiomtambua yaonesha ushenzi kamili.kwanza wewe ni murongo waajabu kusema miaka6 ,jazba yauongo inaacha unasahau namna walikupashaka
@user-ls2qx1xq1r
@user-ls2qx1xq1r 2 ай бұрын
Mnajua wakristo tatizo sio kumkubali yesu na kumsifu tu kufata vitendo vyake mujuwe hakuna muslam anomkataa yesu mwenyezi mungu kaleta manabii wengi tu akiwemo yesu yaani issa ilikufata njia ya mwenyezimungu anayoitaka tumjuwe mola mmoja tuu wa kuwabudiwa na namna ya kumuabudu kumsujudia na kumuoba yeye tu yesu alikua anasujudu kama anasujudu alikua anamsujudia nani kama yeye ni mungu tatizo la wakristo mnamchukia mtume muhammad bure muhammad kaletwa ili kukutoweni katika shirki kumwita yesu mtoto wa mungu au wengine wana sema mungu wengine utatu maana nyinyi wenyewe hamjielewi yesu mtume kama mitume iliopita nyinyi wakristo hamtafakari au mnajisemea tu mnafanya mchezo na utukufu wa mungu kama ni kigezo chenu kua ati yesu kamfufua mtu au kazaliwa bila ya baba huo ndio uwezo wa mungu akitaka jambo lake liwe husema kuwa na likawa na kutumia viumbe vyake kufanya miujiza hebuni kaeni ufikiri sawasawa wakristo vitabu vya mwenyezi vinavyo eleweka ni ijil zabur taurat quran bibilia imetuka wapi usituletee sijui bibili imo taurati sijui imo ijili tunataka vitabu vya mwenyezi mungu vinyojulikana hichi ni kitabu ni ----- kutoka kwa mwenyezi mungu wakristo hamna kama unamfata yesu hebu basi tuonesheni kitabu chake na wallahi mkiwa nayo ijili au zaburi au taurat kamili ikiwa kama quran kitabu kamili basi wakrito nyote utakua wailam
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Ай бұрын
Yesu alisema ukimwamini kama yeye ni mwana wa Mungu ubatizwe. Je, wewe unayemkubali ulisha batizwa?
@user-vl7zi7rz8y
@user-vl7zi7rz8y Ай бұрын
Alafu tofautisha manabii wengine na yesu kwasababu yeye yukojuu ya vitu vyote
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Ай бұрын
@@user-vl7zi7rz8y Yesu yuko tafauti na wengine. Yeye alimuita Mungu baba yake, alitumwa na Mungu kama mwanawe, ni mtakatifu na hakufanya dhambi, alitoka kwa Mungu na alirudi huko, alikuja kwa jina la baba yake Mungu na anahaki ya kuitwa hilo jina Mungu, ata hukumu walio hai na walio kufa, yaani marehemu Muhammad atahukumiwa na Yesu, alisamehe dhambi za watu...
@eliyandondole
@eliyandondole 2 ай бұрын
Mchungaji ndacha wewe hatari sana bado wagumu tu kuokoka
@wilsonkantabula1715
@wilsonkantabula1715 2 ай бұрын
Quran inasema yesu atakuja kuhumu wapinga kristo. Mpinga kristo ni nani?
@DakorTrony
@DakorTrony Ай бұрын
Quran ni ya waharabu hata imeandikwa kiarabu
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 28 күн бұрын
NA BIBILIA IMETOKA WAPI
@smadon5638
@smadon5638 2 ай бұрын
Yesu alitumwa kwa Wayahudi Makabila 12 ya Waisraeli,hakutumwa kwa Wafrika 😂😂
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Ай бұрын
Hii ni hoja ya anayemfwata marehemu Muhammad aliyerogwa...
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Ай бұрын
​@@bustedislam3578 marehemu tena 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Ай бұрын
@@Juniorjacob-le1rr Marehemu kabisa kabisa. Aliyekufa ni marehemu. Na waislamu wanapashwa kumswaliya ili waone kama Mungu wao anaweza kumrehemu. Ni hatari
@user-fi4qy9se4r
@user-fi4qy9se4r 2 ай бұрын
Sasa km yesu ni mungu mbona asulubiwe wakristo karibuni kwenye uislamu
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Hahaha kwisha habari zenu waislam kwanza waislamu ni makafiri mana wamekuja nyuma ukiristo ulitangulia ndipo. waislamu wakaja nyuma kupinga na kupotosha njia ya kweli ya Mungu ya ukiristo
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 ай бұрын
​@@ramadhanmahongole9293hebu tuelimishe nn ukristo uliotangulia ili tuelimike maana hakuna ukiristo Kuna kristo ,na kristo ni jina la mtoto wa mariamu Sasa Kama wewe ndo umepata dini Hilo jina lake sawa ,
@user-fi4qy9se4r
@user-fi4qy9se4r 2 ай бұрын
Ndacha hujui lolote wewe
@mrjulius5840
@mrjulius5840 2 ай бұрын
Kumbe MUHAMAD ALIROGWA ? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 ай бұрын
Kuna vitu vinahitaji elimu Pana Sasa tungelikuwa sote tunachukulia Kama elimu yako basi ingelikuwa tabu kwa mfano muhammadi alirogwa na yesu alichukuliwa nashetani hivi vitu vinahitaji elimu ,na siku zote neno usilo na elimu nalo usilitamke
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Ай бұрын
Hahahahaha
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SwidikiKabemba
@SwidikiKabemba 21 күн бұрын
@@mrjulius5840 ndio muhammadi alirogwa lakini hakuroga kama vile Yesu aliroga mti usizaematunda
@claverirambona6068
@claverirambona6068 2 ай бұрын
Ndacha Mungu akubaliki
@claverirambona6068
@claverirambona6068 2 ай бұрын
Ndacha Mungu akubaliki
@claverirambona6068
@claverirambona6068 2 ай бұрын
Ndacha Mungu akubaliki
QORAN SI KITABU CHA MUNGU: BUKAVU CONGO (NDACHA VS UPANGA WA RADI)
57:19
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 17 М.
JE YESU ALIKUFA???
1:38:58
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 20 М.
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 8 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 48 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
Je Majini ni Dini gani? Sheikh Mbogo Tz Vs Mch Ndacha Kenga
54:25
DAAWA ONLINE TV
Рет қаралды 5 М.
WAFU WAKO WAPI ? KASARANI DAY 4 BY FRANCIS NDACHA
57:16
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 4 М.
Uungu wa Yesu.
1:16:39
Sauti ya Uzima
Рет қаралды 3,1 М.
MAMBO YA KUZINGATIA SIKU HIZI ZA MWISHO - Rabbi Abshalom Longan
59:27
Beit Abraham ( Nyumba ya Abraham)
Рет қаралды 7 М.
MACHO SAFI YASIYOWEZA KUANGALIA UOVU_ASK ZACHARY KAKOBE
1:08:15
Live Testimony TV
Рет қаралды 1,8 М.
Dada akuja kuwaokoa wakristo walipolemewa kiwanja cha chemka sana leo ujumbe umefika
1:29:47
OMOSHI ONE HOUR AMEPATIKANA LEO, JACARANDA
2:07:03
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 19 М.
مناظرة الشيخ أحمد ديدات مع القس جيمي سواجارت المناظرة الكبرى
3:06:27
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 8 МЛН