Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 179
@salmaalsharji820515 күн бұрын
Mungu akusaidie to sana unataka makubwa sana na sio your level at all . Time ya kujirekibisha ipo. Since utapata mshahara utaishi vizuri maisha mepesi na yenye baraka na furaha. Unawaza makubwa hayana faida wa mustkbali.
@esthermakelemo2864Ай бұрын
Me nampendaga tu Diva ,she is such a lovely lady with a pure and a clean heart
@masalakulwa7601Ай бұрын
duh..una shida upstairs..dva ni fake mtupu...huenda mmefanana tabia..
@modenasayiАй бұрын
@@masalakulwa7601😂😂😂😂 siyo kwa mchambo huo 😂😂😂
@nancyg8664Ай бұрын
@@masalakulwa7601😂😂😂
@steveabel5819Ай бұрын
For what thingg jmn😂
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Sasa kama humpendi ni wewe unamchukia mtu kwa maisha ya mtandaoni si ujinga@@masalakulwa7601
@salmaalsharji820515 күн бұрын
Aaaaaa diva hio Haitwi kupika inaiitwa kukoroga.
@rajabdibwa6415Ай бұрын
Tatizo la diva friji lake haligandishi😂
@pamelapaul764329 күн бұрын
Mbona Sasa kapikia sufuria aliyo unguzia njegere😂😂😂😢
@user-eo4hd8xu6dАй бұрын
😂😂😂picha linaanza bi.mzungu kaunguza njegereee
@glorybrayankessi7002Ай бұрын
🙌😂😂😂😂😂
@rizikiabdalla2501Ай бұрын
😂😂😂
@aminaali792Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mwaminievelyne9189Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@isaacmaombaАй бұрын
😂😂😂😂
@hamjanikera1234Ай бұрын
Diva nipe mm hizo Deras zako ambazo huziwezi.without unoffence njoo nikufundishe upishi kiasi na Insha'Allah utapenda my dia. Nakupenda bure❤
@user-do4md7jo6xАй бұрын
Mbn cyo lazima uchemshe njegere mi sichemshagi na zinaiva vizuri
@rosehaule6765Ай бұрын
Tena kwenye pilau unakaanga tu Jamani 😂😂 unajua ukiwa unapika Mara kwa Mara unakuwa mbunifu jiko.linahitqji uzoefu kamamuingii jikoni Mara kwa Mara kila ukipika avinogi
@NanaNana-oe5ft16 күн бұрын
Kibonge kweli ndio maana hata nganga hakutaki
@AishaHaji-jn7sgАй бұрын
Anakaa ndani Hana hata hela ya kitunguuu😦😦😦eti ajifunze kutumia simu yake kutoa hela 😂😂😂😂😂😂 Kumbe ma celeb wako kama sisi tu choka mbaya
@munaomar9532Ай бұрын
Mie nayapenda mapezi yao ❤😂mashaaallah japo mnawafanyia figisufigisu
Kuendekeza mdomo tu kupika aaah jifunze kupika ushakua mbibi maana sio dada🙂
@mariamusaulo4429Ай бұрын
Diva mwache mama mkwe sio vema kumsema kwenye mitandao
@blandinamyinga948929 күн бұрын
Saa nne ucku,hata mimi ningepuliza dawa😂😂chaaaa
@steveabel5819Ай бұрын
Huyu shehe mstaarabu ingawa sifa ndo zinamsumbua
@esuvathmollel2475Ай бұрын
Pilau limeugua Hadi Mimi huku Msumbiji naskia harufu Divva😢😂😂
@jocelyneliaminarukundo3633Ай бұрын
😂😂😂😂
@bennamush4616Ай бұрын
😂😂😂
@RandB_ChannelАй бұрын
Huyu mwana mke nimuchafu kweli unaweza pigiya muchungu iliunguza emo unapiga bila kuosha?? Makubwa wasani mnaishi maisha yakuigiza hawuna hata sufuria yamana sufuria zakisasa zenye haziungizi zinaja sana hawuna hata moja . Ww tu kaa maisha yabu single tu hakuna mwana umme asiye penda mke wake amupigiye chakula anyway hawa wamesha achana hizi show nizahapo nyuma
Hahahaha diva we kiboko kachumbali unachanganyia na mikono mmmmh
@nancyg8664Ай бұрын
😂😂 unaweza fanya hvo ukiwa pemben ya camera sio mbele ya camera jmn😂
@zawadichalale4047Ай бұрын
Sijawahi kuona pilau likigeuzwa kwa kupetwa kachumbari ikichanganywa kwa mkono 😂😂😂😂 mapishi mapya hayo chezea diva wewe 😂😂😂
@graceabdallah2670Ай бұрын
😂😂😂yani hata hasubiri kuulizwa mbona kama anakurupuka
@RutyNatalia-uu5ujАй бұрын
Linakorogwa kama kachumbari 😅😅
@maidimples8236Ай бұрын
How came unashika chakula like unachambua mtumba no bby nini kaz ya vijiko
@agriparose3942Ай бұрын
Hilo jishangazi taahira kujifanyisha
@ms_teeonlyАй бұрын
Diva uko mchafu unashika hiyo kachombari na mikono hata km umeosha mi siwezi kula
@salisali373827 күн бұрын
Kupika ni zirooo bibiie
@salisali373827 күн бұрын
Mara paaa wigi lina shika moto anavo jaza mafuta
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Sinki lakuoshea vyombo la divs ni safi
@shangwefisima5426 күн бұрын
Si wameachana😂
@annamussa185Ай бұрын
Hahaha,anajiongelesha English anajibiwa Swahili hata hainogi 😅😅
@taturamadhan594021 күн бұрын
Mume anashida huyu
@salmaalsharji820515 күн бұрын
Better change life style ushike pamoja labda wewe hio english kidogo ya kuombea maji to only. Maana nazingira yote hujui passport sheria hujui kuipanga family yako hujui. Saraha sijui una experience gani ya maisha? Better huyo mtumishi akipata huo mshahara wa ko atajuwa nini maaana ya maisha.
@activestudios.Ай бұрын
MAMA ALIKUWA ANAFUKUZA KUNGURU 😂😂😂😂😂😂😂 YA NINI KUJAZA MADIVA NYUMBANI
@AishaHaji-jn7sgАй бұрын
She is very stupid wallah eti babe Janelle anataka kukwambia mama ako alivyofanya na linacheka Abdul I salute you unauvumilivu sana
@3DshoezАй бұрын
Diva gym inamuhusu kwa kweli
@pamelapaul764329 күн бұрын
Hili tatizo 😂😂😂😂😂😂😢
@user-dj9xx9jl4jАй бұрын
Mama mkwe wangu ni bibi yangu yani napendwq mpk najuaaaaaaaaaaaà
@salmaalsharji820515 күн бұрын
Mmmmmmmm dear sorry huna maisha at all hamna binaaadam yoyote atakustahamilia hiiii tabia. Si wa soko si wa hilo Abadan si wamazungumzo. Sasa hainashida better kaaaaa kitako ujifundishe ni wife material. Si vibaya . Abdul juuuuuu ya maskin wake anayo skill za maisha vipi aishiiiiiii . Vipi azungumze na vipi heshima. Kwa muonekano only deeeep sijui kama mnyanyasaji au Bakhil au muhuni. Au muongoIlanajuwa Kupanga nkwa kuyapima mazungumzo to anaoneka anao hekhma na bussara.
@user-ji1bc5ti8rАй бұрын
Matha kavaa zake suti
@mwajumalubunga1534Ай бұрын
😂😂😂😂
@happinesshezron6633Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@Rogathe-RogatheАй бұрын
😂😂😂😂😂
@JOCENTEАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@lucymtui8680Ай бұрын
😂 mshenzi wewe
@Zainab_salatАй бұрын
Ninawapenda channel ya zamaradi tv bado gigy
@consolatamsacky6400Ай бұрын
Alafu unatupikia na sufuria la presure cooker duh sisi tunamaisha zaidi ya hayo usitufanye wajinga😂😂😂😂😂
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Basi nkaona nimeiona pekeangu nasema hii si sufuria ya rice cooker 😂😂😂Kwani hana sufuria
@MsDidi-wz2rxАй бұрын
😂😂😂😂
@MsDidi-wz2rxАй бұрын
Alivyofunika na mfuniko ndio nimechoka zaidi😂😂😂😂😂😂😂
@MwaminiyusuphRwekaza26 күн бұрын
Sasa at ww mkubwa mzima adi saa nne uck uko kwa watu tena ukweni khaaaa af et unasema ulishangaa😮
@user-fx7ig1uy6tАй бұрын
Kumbe ata mimi mrembo
@gracekenan4665Ай бұрын
Yani Hawa watu na filter zao unaweza kukufuru kumbe sisi ni wazuri zaidi jamani
@bennamush4616Ай бұрын
Yani wew acha tuu sisi ni wazuri mno Hawa watu ukikutana nao live utakimbia 😂😂😂
@Hajer-be2khАй бұрын
Ila diva angekua hajifanyi mzungu huyo mwanaume mbona naona mwelewa sn au ni kwakua tu wanashoot hii drama yao😂
@EmmyMoАй бұрын
😂😂😂😂😂ila ww
@user-hp5kl8wd1eАй бұрын
yaani sijaelewa huo mchanganyiko jmni
@bennamush4616Ай бұрын
Kama Mimi tuu sijaelewa kabisa
@jasminmsuyaАй бұрын
Mafuta yamiminwa kama maji khaa anaekula atakua si binadamu kwa kwel
@agriparose3942Ай бұрын
Yaan anayoongeq na anyofanya ni utaahira mtupu hajiamini anajikweza kumbe jitu lenyewe mwajuma ndala ndefu kabisa
@zeshsulesh608424 күн бұрын
Kizungu/kiswahili
@floraflora9490Ай бұрын
Diva leo uko na sura tofauti na ile unayotuonyesha,
@mwajumalubunga1534Ай бұрын
Uwo ndo ualisia wa sura yake sasa 😂
@SuleimanKhdijaАй бұрын
Utaratibu n nywele zipo nje 😂😂hiyo si pilau ni pilawa 😂😂
@mumyhendry2919Ай бұрын
😂😂😂😂😂duuh aibu naona mim!!!!Kweli sometimes wanaume wanavumilia japo hata wao hawajakamilka but this one!!!I salute!!!
@missdija4959Ай бұрын
Mbona humvalishi Martha vizuri?🙁
@gracekaboigora189Ай бұрын
Unajua Je kama una roho nzuri???
@RahmaAbubakar-cb3jx23 күн бұрын
😂😂😂
@gracekaboigora189Ай бұрын
Manguo yako marefu yanakuzeesha
@AishaFadhili-c6r26 күн бұрын
Eeeh
@wemaMichael-fr4thАй бұрын
wote mmekutana nyuma sifuri
@user-bj6cr8nr6vАй бұрын
😅
@fathiyahmuzney7367Ай бұрын
Janele Abdul anaonekana hakupend hebu kaa mbal na ndoa yao😂😂😂
@chany9950Ай бұрын
Duuuh uyu mama ajuwi kupika jmn🥺
@mwajumalubunga1534Ай бұрын
😂😂😂😂
@ZulekhaAmar-fy4pmАй бұрын
Umeonaee anazunguka tu mwisho wigi liingie kwenye pilau😂
@zaynababdullah3061Ай бұрын
@@ZulekhaAmar-fy4pm😂😂😂😂
@user-yo3jv1ry3tАй бұрын
😅😅😮😅😅😊@@ZulekhaAmar-fy4pm
@fatimaharoun-np8uvАй бұрын
😂😂😂😂
@annajoseph9955Ай бұрын
Pilau,,,wali unapitishwa mwiko mara mbili tu bhana ,,,kila muda unakoroga tu 😂😂😂😂😂
@scholamodestus9386Ай бұрын
Anageuza mpka nasikia kizungu zungu😂😂
@annajoseph9955Ай бұрын
@@scholamodestus9386 Yani sio kwa kugeuzwa huko
@user-pr4hb2yc9jАй бұрын
Pilau linakorogwa hilo
@masalakulwa7601Ай бұрын
hayo unayomimina ni mafuta au maji😂
@steveabel5819Ай бұрын
Diva ni mchafu jmn unachanganyaje kachumbari na mkono af unashika shika sehem nyingine bila kunawa jmn🙌 chakula chako sili nisije kuumwa tumbo bure🤮
@lilianestephanie7881Ай бұрын
Matherrrr
@graceabdallah2670Ай бұрын
Mmmh kupika hakuna kitu hapo
@gracewairimu80024 күн бұрын
Body language inaonyesha uyu dada ni fake friend kabisa ana jitaidi kwa sababu unafaidi urafiki na Diva