ZANZIBAR SI SHWARI - 01

  Рет қаралды 60,920

SK Media Online TV

SK Media Online TV

5 ай бұрын

Hali ya kisiasa si nzuri kwa Rais Hussein Mwinyi. Hii ni sehemu ya kwanza ya uchambuzi wa hali hiyo. Sikiliza.

Пікірлер: 266
@kenedyrocky4641
@kenedyrocky4641 5 ай бұрын
KAKA YANGU A NGURUMO, HUU UKURASA WAKO HUU UNANIPA ELIMU NZURI SANA YA KISIASA. SINA NENO ZURI ZAIDI YA NENO "ASANTE" MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE AFYA NJEMA NA QWARESMA NJEMA MPENDWA WA MUNGU.🙏🙏🙏
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 27 күн бұрын
@@kenedyrocky4641 Maneno ya kuambiwa ....
@fahmisaid6758
@fahmisaid6758 5 ай бұрын
Shukran Ansbert kwa kutuelimisha, Zanzibar kuna mengi na mazito endelea kutufahamisha.
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 5 ай бұрын
Bora ujiuzulu fadher mungu atakupa riziki ako kesho kiama upate pepo kazi mbaya sana
@stanslausmchonde7892
@stanslausmchonde7892 5 ай бұрын
Jasusi @Evarist Chahali alisema haya bila ufafanuzi sana alisema TU Ufisadi wa mheshimiwa kuwapa watu wake kazi kujinufaisha lakini Leo Ngurumo SK MEDIA ama Maswali Magumu umeibua kile kilichojificha. Ahsante sana.
@batrumbeziks5946
@batrumbeziks5946 3 ай бұрын
Huyo aliyejifanya "Mzanzibari" uliyempa kizungumza sio Mzanzibari. Sie Wazanzibari hatuna Kiswahili kibovu kama hicho.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 5 ай бұрын
Asante mzalendo Ansbert kwa uandishi wako mahiri, wananchi tunabahati kupata habari ingawa ni mtandaoni tutaambiana tulipofika. Huyu wa Zanzibar ameonyesha uthubutu, kama ni kwa manufaa ya wananchi iwe rahisi tu na wengine waige ili wenye mazoea wabaki wenyewe ndio demokrasia, lakini huku Tz.bara sidhani patatokea uthubutu huo zaidi ya kulindana kwa maslahi yao binafsi!.
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 5 ай бұрын
Sio Zanzibar tu pasipo salaama.Hata nyumbani kwako wewe mwenyewe si shwari baina yako na mkeo na wanao.Wewe endelea kuchimba ya wengine kwako kunaporomoka
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
Afrika tuna uhaba wa viongozi bora.Tunaongozwa na watawala wasio na uwezo,bora liende.
@myself4128
@myself4128 5 ай бұрын
Zanzibar leo hii Inatangaza Kuishiwa Pombe basi ujue Utalii umeleta Majanga! na Msisahau Mashoga na Ushoga! Nchi itanuka Mavi mkikaa Kimya!😊
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Sijui nyie mnao wapigia makofi Hawa na kuwafumbia midomo
@DavidDanken-uf7kp
@DavidDanken-uf7kp 5 ай бұрын
Dah tutatapakaa mav aisee!
@meekman1805
@meekman1805 5 ай бұрын
😁😁😁
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 4 ай бұрын
Nchi inanuka mavi ivooo kweli kweli kabisa.
@user-zx9mk6pr1c
@user-zx9mk6pr1c 5 ай бұрын
Wazanzibar wakaze ngoma siku zote maisha Yana maumivu!
@frankminga9307
@frankminga9307 5 ай бұрын
Mchambuzi makini, aksante
@machaliakulima76
@machaliakulima76 5 ай бұрын
Mchochezi makini yeye Ngurumo yuko Ulaya likitokea varangati hayumo atafuhia sababu yuko Ughaibuni
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Atakama yuko wapi watawala wanao watu wao ukouko
@naimaabdu8012
@naimaabdu8012 5 ай бұрын
Huo muziki unatuchanganya. Unatutoa katika kusikiliza na kutafakari linaloongelewa
@user-iu3th3my7k
@user-iu3th3my7k 5 ай бұрын
Napenda sana melody ya huu wimbo 💕
@giovannir.restone182
@giovannir.restone182 5 ай бұрын
Kwa mwendendo huu wa uongozi.. Naiona Zanzibar ikipoteza hadhi yake ambayo kwa miaka mingi inajulikana na kuwa kivutio kikubwa sana kwa watalii wengi duniani. Huyu jamaa hafai kuiongoza Zanzibar
@omarkapula588
@omarkapula588 5 ай бұрын
Sio kweli hilo ni jambo dogo msipotoshe watu zanzibar inazidi kuwa maarufu duniani
@RioIpo
@RioIpo 5 ай бұрын
Hufai weye
@giovannir.restone182
@giovannir.restone182 5 ай бұрын
@@RioIpo I don't have to !
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 5 ай бұрын
Zanzibar imekwisha na ishazama waliobaki majeruhi.
@user-pf2qk8fz9o
@user-pf2qk8fz9o 5 ай бұрын
Asante mchambuzi mahili wangu umenidadafulia vizuri saaana
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 5 ай бұрын
Jamaa kaangalia mbali Sana utalii unamambo mengi kwa Imani yake ameona kazi haifai
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Ni vita tu ya maslahi. Waziri yule alikuwa ndie anaeuza pombe yote Zanzibar kama alivyosema Rais.
@user-hx8yd9gp2q
@user-hx8yd9gp2q 4 ай бұрын
Kwahuu uliowepo zbar ndio haufai kwasababu umebeba kila aina ya maasia
@jafarindande5574
@jafarindande5574 5 ай бұрын
Urais 2030 kazi ipo, naona Dr Mwinyi anawanyima usingizi.
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 5 ай бұрын
Tunakuza sana mambo madogo
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 5 ай бұрын
Raisi mwiny umeongea point kubwa kwel kama angekufuata kwanza angetenda kitendo cha kiungwana si vizur kutangaza mtandaon kwanza bila kukufata
@johnambrose7223
@johnambrose7223 5 ай бұрын
Ndo wale wale
@felixmsale9244
@felixmsale9244 5 ай бұрын
Big up mkuuu .Zanzibar na Tanganyika haiwezi kua salama kabisa kwa ķosa moja kubwa .HAINA KATIBA NZURI .VIONGOZI WANAITAWALA NCHINKAMA WAFALME WANARIDHIANA MADARAKA. HATUWEZI KUA SALAMA HATA SIKU MOJA BILA KATIBA THABITI.
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Ndio ila ilo ni Moja Kati ya mambo muhimu lakini tungelimpata Mt mzalendo engerekebisha yote ayo
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
​@@user-et9vf2ro2k Tanzania hakuna tatizo la Katiba tatizo ni kutokuheshimiwa na kutekelezwa. Kuna ibara kadhaa mfano 133 - 144 (Akaunti ya pamoja nk). Kubwa kuliko yote kizazi kilichopo sasa wa kila upande hawana imani tena na Muungano na kama ni hivyo Katiba haiwezi kupatikana.
@yudamtewele2006
@yudamtewele2006 5 ай бұрын
Nakuelewa Sana mkuu I wish one day uje kugombea hata uenyekiti wa Kijiji . Example
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m 4 ай бұрын
❤mchambuzi makini sana yajayo yanatisha 😢 wazanzibar hawatokubali tena kuibiwa kura na itaeleweka tu tupo tyr sote kuuwawa ikisha ccm itawale mikarafuuu😮
@josephmwita6012
@josephmwita6012 5 ай бұрын
my prophetic mzee ngurumo
@amesalum3636
@amesalum3636 5 ай бұрын
Well done My SIR ❤
@evansmtalo9406
@evansmtalo9406 4 ай бұрын
Muda utasema! Tusubiri.
@ProsperMwakasungura
@ProsperMwakasungura 4 ай бұрын
Una weledi mkubwa sana Ngurumo.
@msabahaali758
@msabahaali758 5 ай бұрын
ngurumo nimekukubali kuichambua Zanzibar ni ombi langu kwa muda mrefu huku ni shamba la bibi mwinyi anakipakulia minyama tu
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 5 ай бұрын
Ya Kikwwte na Lowassa . Ni haya tena .
@user-ev3pw5me1w
@user-ev3pw5me1w 5 ай бұрын
Huyu sio rais huyu ni gavana wa Zanzibar
@dn.n4983
@dn.n4983 5 ай бұрын
Huyu baba kweli tunakulenda sana
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 5 ай бұрын
Zanzibar tunatawaliwa na mtanganyika kwa maagizo ya uengereza na marekan ..hatu mumunyi maneno..
@josephlorri431
@josephlorri431 5 ай бұрын
Tanganyika kutawala visiwa vya Zanzibar ndo salama ya visiwa hivo... vinginevyo wangechinjana na kupinduana... Mzee Karume ni kiongozi hasa,aliona mbali,alichoka haraka baada ya mapinduzi na hakuachwa salama
@myself4128
@myself4128 5 ай бұрын
sisi wote ni Nchi moja acheni ujinga
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 5 ай бұрын
​@@myself4128Tanzania ni nchi 2 zenye geographia tofauti,historia tofaut ,mipaka tofaut ni utashi TU wachama tawala ila sio wananchi Zanzibar muungano tumeukataa zaman sana
@afropatriot7769
@afropatriot7769 5 ай бұрын
Na tanganyika tunatawaliwa na mzanzibar kwa mamlaka ya nani
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 5 ай бұрын
Wewe ni mwongo
@issayahya1640
@issayahya1640 5 ай бұрын
Mwinyi watu wengi hawamjui ila ni fisadi sana na ana ujamaa sana. Ulizia kampujimya Tronic ni ya nani
@user-qv7nx2tx6t
@user-qv7nx2tx6t 5 ай бұрын
Uyo raix wa zanzibar anakula hela tuu alafu aondoke mchezo uishe
@ChabAlly-jq6oo
@ChabAlly-jq6oo 4 ай бұрын
Fitna tupu. Hakuna chochote hapo.Udini pia umetiwa ki namna.Na kumfanya Mwinyi si Mzanzibari. Matatizo kuyapeleka kwenye pombe ili kunyanyua hisia za wazanzbari. Mwinyi anafanya vizuri sana Zbar.
@humuodkindi4926
@humuodkindi4926 5 ай бұрын
Zanzibar kuko shuwari kabisa. Haya maneno ni kawaida upande wapili wakiona shuwari hawapati usingizi
@halimamasai2234
@halimamasai2234 5 ай бұрын
Tena shwara kweli kweli We acha unafiki na kutia watu wasiwasi
@rafaelmarquez9396
@rafaelmarquez9396 3 ай бұрын
Urais wa kumwaga damu za wasio na hatia ili awe rais dhulma haidumu na ikidumu inadamirisha
@user-pj8cj7ps5b
@user-pj8cj7ps5b 5 ай бұрын
Safi sana
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 4 ай бұрын
WAHAKIKISHA WEWE NDIE ULIWAFUNGA MSHEIKH WA ZANZIBA KUUNGWA MYAKA 9 HADI WENGINE KUWA WALEMAVU UKIMTIIKIKWEE BADALA YA MUNGU WAKO ,ILI UPWE URAISI ,HATA IDDI AMIN GADAFI NA ....WALIKUTANA NA MUNKARI NA NAKIR ....
@froma3732
@froma3732 5 ай бұрын
Ukiwa unaongea hizo nyimbo hazihitajiki inakuwa unatuchanganya
@patrickmarwa9587
@patrickmarwa9587 5 ай бұрын
History of Gaddafi of Libya
@zapauzapau-ts7se
@zapauzapau-ts7se 5 ай бұрын
Sahihi usemayo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Hayo ni ya kawaida mbona Lowasa slijiudhuru Mungu amlaze mahali pema peponi
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
Lowasa amekujaje hapa 2naongelea kuhusu Znz
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 5 ай бұрын
Kwa sababu Luwasa ni Mtanzania wa kupigiwa mfano.
@evansmtalo9406
@evansmtalo9406 4 ай бұрын
Hii familia ya mzee mwinyi inajua faida ya biashara ya pombe.ndo maana tangu zamani wanaipenda hii biashara
@ismaeldiwani1595
@ismaeldiwani1595 5 ай бұрын
Fanyia utafiti mambo mengine unayoyawasilisha. Ukiendelea hivi utajivunjia heshima ya umakini
@halimamasai2234
@halimamasai2234 5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 5 ай бұрын
usiyo yajua kaa kimya uyajue
@farisomar1889
@farisomar1889 5 ай бұрын
Ni vibarak wa ccm kuiangamiza Zanzibar tu
@elibarikikweka5712
@elibarikikweka5712 4 ай бұрын
There must be a very crucial issue,so huwezi kusema eti Zanzibar si shwari. Lazima KUNA sababu
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si 5 ай бұрын
Huyu Mzee SAA ingine kama hazimtoshi kabisaa! Yeye ni mwandishi wa kizamaani ! Sasa hapa znz huwa hatubahatishi!
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 5 ай бұрын
kama ni kweli Rais Mwinyi amegawa tenda za pombe kwa upendeleo kwa ndugu zake, basi huyu ni Rais bomu na Z'bar inaelekea kuzimu.
@josephlorri431
@josephlorri431 5 ай бұрын
Shabib.... mzigo uliwekwa
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Una Dhani nini wewe
@w4058
@w4058 5 ай бұрын
Majambazi tu hao CCM wakosefu wa utu imani hawana jengine washenzi wakubwa
@w4058
@w4058 5 ай бұрын
Allah atuhifadhi Ansberten kipenzi chetu wapenda haki
@AbdallaJuma-tx5ck
@AbdallaJuma-tx5ck Ай бұрын
Asante sana.
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 5 ай бұрын
Historia ya zanzibari kwa elimu ya dini ya mungu nchi iliyo jaa misikiti kila pahala haifai kutenda mambo enayo katazwa katika dini ya kiislaam hapo braka la mungu haitaendelea kwa uasi pombe utali ushoga pesa sio kila kitu masahaba hawakuwa hivyo bora ritha mungu NA kusoma gruani NA maana yake baraka itajaa tele kwa watoto na vizazi NA kwa nchi
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo 5 ай бұрын
Zanzibar ni nchi inayotegemea sana UTALII. Ule si utalii wa kidini. Eleweni.
@DrFatmaKhanPanAfrikan
@DrFatmaKhanPanAfrikan 5 ай бұрын
😒 Muziki sauti punguza please
@user-jx7ot4ru7l
@user-jx7ot4ru7l 5 ай бұрын
Bora ujiuzulu zanzibar sinchi hii mkoa tu huu wewe waziri unaweza kwenda tia saini Kenya waje Kenya waje aekeze watu
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 5 ай бұрын
Zanzibar ni mkowa wenye tarehe yake ya uhuru,katiba yake,Sheria zake,mipaka yake ni tofaut na mikoa ya Tanganyika kama vile Tanga,Daresalam,Dodoma nk
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Kweli tumshauri huyu Mt kwa Hali ilivo bora a hie t akafanye mwengine yabinafsi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
​@@Sheba4651 Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hivyo ndani ya Muungano nje ya mataifa mengine Zanzibar sio nchi hata Ireland, Scotland, England na Wales zinafanya United Kingdom (Uingereza) passport yao ni moja hivyo nje ya nchi nyingine zote hizo sio nchi, nchi ni United Kingdom (Uingereza) na Tanzania ipo kama hivyo Zanzibar na Tanganyika zote sio nchi, nchi ni Tanzania.
@leotvke.
@leotvke. 5 ай бұрын
Bila shaka unayoyasema yanauzito mkubwa na mimi kama mchambuzi chipukizi wa siasa za kimataifa naunga a na wewe Mia fili Mia, 2022 ni litembelea taifa hilo na nikaona hata kampuni zinazopewa tenda za ujenzi ni kupitia jina lake kama vile Mwinyi contraction engineering hilo lilinishangaza na vyombo vya habari na mashirika ya haki za uma yamekaa kimya juu ya huo unyama
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 5 ай бұрын
❤❤❤
@HhhTt-vl9ct
@HhhTt-vl9ct 5 ай бұрын
Sami ni waziri wa utalii na utalii unataka anasa Moja wapo ni pombe Sasa serikali imezuiya kuingiza pombe Zanzibar na yeye simai ana bar kubwa pale Zanzibar na ni kitovu Cha watalui wanao tumia vileo kwa ufupi hiyo ndio story.
@RioIpo
@RioIpo 5 ай бұрын
Mercury na 6 degrees zote zake
@mbelechimakobola8835
@mbelechimakobola8835 5 ай бұрын
Kila mtu na kipaji chake kweli, kwa upande wa chaneli hii, uchambuzi yakinifu wa kisiasa ndio mahali pake, safi kabisa ndugu, barikiwa, tunainjoi.
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 5 ай бұрын
Sisi wanzanzibar tupo shwar saana kwa sasa, hakuna shida YOYOTE wala vurugu, habar ya viongozi tunawaachia wenyewe hadi 2025 😅 vurugu kwetu uchaguzi tu basi
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Sawa ila isimaanishe kwa mba2025 ndo tufanye vurugu ama tufanyiwe hapana bali ni historian t kua kila uchaguzi tunafanyiwa fujo Mara hii bass ujinga ujinga huu
@shahabdallah9407
@shahabdallah9407 5 ай бұрын
Kumbe kisa ulevi?
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 ай бұрын
😮😮Kaja bila ya WAZANZIBARI kujuwa nani raisi na yeye katumia kupiga watu na kuuwa alikuwa zaidi ya kujiuzuzu lakini kaganda na damu za watu 😮😮😢😢😢😮
@lucylyuki4852
@lucylyuki4852 5 ай бұрын
Kumbeeerr
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
Serekali si ndo baraza la mawaziri au anaongelea nn Mwinyi wa mkulanga
@mwanalelee6
@mwanalelee6 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@makibadatela7865
@makibadatela7865 5 ай бұрын
Kujiuzulu sio kwenda kumwomba Bosi wako kuwa mie naacha kazi au la, Bali ni uamuzi wako kuwa una acha kazi na hutoendelea nayo akubali au akatae, kumwarifu ni utaratibu tu haubadili umuzi uamuzi wako na ungwana, Hilo la kutaka kujizulu halafu bosi akakataa !!!!!
@elibarikikweka5712
@elibarikikweka5712 4 ай бұрын
Duuh! Kama ni HIVYO basi ni balaa. LAKINI hii haitoshi kusema Zanzibar si shwari
@KhaleedHamad-vl7lz
@KhaleedHamad-vl7lz 5 ай бұрын
Hahaha serikali ya kifalme baba mwana
@alvinbernad6549
@alvinbernad6549 5 ай бұрын
Kimeumana😂😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
👊✌👍.
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Chadema au ccm
@NoufelSalim
@NoufelSalim 5 ай бұрын
Uyo simai anauza pombe na mwinyi anaitk biashara ya pombe, kiufupi wote wanapigania matumbo Yao.
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Una uhakika gani tupe uhakika sasaiv ili tujiridhishe ili tuingie mzigoni
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 5 ай бұрын
Kagame anaivamia nchi moja ya Africa mashariki Ndani ya wiki mbili hizi...fuatilia hii...it is serious
@user-mn7zq7cd5t
@user-mn7zq7cd5t 5 ай бұрын
Inchi gani
@freduallughano2301
@freduallughano2301 5 ай бұрын
Mmmh Kagame anajua madhara ya vita labda apigane na Burundi lkn kwa tz au kenya hawezi labda alazimike kupigana.
@user-ly7yx2be1p
@user-ly7yx2be1p 5 ай бұрын
Wewe ngurumo unapandiwa kumbeee
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 ай бұрын
😮
@lucylyuki4852
@lucylyuki4852 5 ай бұрын
Eeeheee
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 ай бұрын
😮WAZANZIBARI HATUTAKI MUUNGANO HARAMU USIO NA MSINGI WA KIMAADILI WAZANZIBARI NA NCHI YAO 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 5 ай бұрын
Maadili yapi? Wakati kumechafuka hatari
@jumakiduka4625
@jumakiduka4625 5 ай бұрын
huo muziki kstska tsarifa zako unakera
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 5 ай бұрын
Manyan yakipigana nyas ndio zinaumia
@SalamaKhamis-un8vn
@SalamaKhamis-un8vn 5 ай бұрын
Huu mziki unakeraaa
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
2lia ww ndo unaleta stim ya kusikiliza vizuri kinacho ongewa
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Ndio ila kwa wengine unafurahisha maana kwaya wanazipenda Sana hawa
@godsson5954
@godsson5954 5 ай бұрын
bora umeongea ni heri awe anaongea bila mziki au bora waweke beat tu
@stanslausmchonde7892
@stanslausmchonde7892 5 ай бұрын
Huo mziki ndio kitambulisho Cha chanel hii ya SK MEDIA
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r 5 ай бұрын
Eti anataka kugombea urais Bara na siumesema Bara ndiokwao kwani akigombea anaizuia chadema kushinda, jinga Sana wewe
@benedictmichael2425
@benedictmichael2425 5 ай бұрын
Kimya kingi kina mshindo mkubwa. Tunausubiri huo mshindo....
@edesaron9070
@edesaron9070 5 ай бұрын
Duuu urafi wa madaraka
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 5 ай бұрын
Naona nikiendelea kufurahia bando langu
@kabwangaselemani5228
@kabwangaselemani5228 5 ай бұрын
Hivi ni kweli channel hii haijaona mema kwenye Serikali hizi mbili?
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 5 ай бұрын
Acha uchonganishi Mzee miyeyusho
@pherdsonmasansi3068
@pherdsonmasansi3068 5 ай бұрын
Biashara ya Bia
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 5 ай бұрын
Kwani serekali ni nani si pamoja na huyo aliyejiuzulu?? Kama ana mawazo tofauti ndo ajiuzulu😢😢
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 ай бұрын
HUYU RAISI SI MUISLAMU HATOKI MISIKITI I MBONA ANAJIHUSISHA NA POMBE POMBE AU MLEVI KAMA KARUME HAWA WATU HAWANA IMANI YA UISLAMU PESA MBELE WAMEWEKA SIO WATU WAZURI 😮😮😮 .
@muuminsaid-bd6cm
@muuminsaid-bd6cm 5 ай бұрын
Mm namkubali raisi wangu mwinyi pija kazi
@user-tk8nn2tu3u
@user-tk8nn2tu3u 5 ай бұрын
Iko wapi Zanzibar tunayoijuwa?
@user-jq7cf9qe8o
@user-jq7cf9qe8o 5 ай бұрын
😂😂😂ipo subiria inaandaliwa vizury maanake ushoga unaenea kila kona usagaji usiseme dhulma n.k still kunawajinga wa unguja wanaipenda CCM ila tuendeleee😂😂
@josephbundala1475
@josephbundala1475 5 ай бұрын
Huyu si mchambuzi. Ni mzushi tu.
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo 5 ай бұрын
Hongera!
@machaliakulima76
@machaliakulima76 5 ай бұрын
Rais Hussein si mlevi wala mnywaji wa vilevi
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 5 ай бұрын
kama haukili wache wakile.kama hanywi ache wanywe
@machaliakulima76
@machaliakulima76 5 ай бұрын
Hussein Ali Hassan Mwinyi yuko vizuri kiutendaji tunayaona maendeleo anayofanya na ari ya kuijenga Zanzibar kama vile kuboresha na kujenga miundo mbinu kama vile barabara, maskuli ya kisasa, vituo vya kisasa vya usafiri wa jamii kama vile pale Malindi nk. Lakini akina aina ya Ngurumo hawapendi kuona Zanzibar ikiwa na amani wanapenda kuona vurugu, misuguano nk. Zanzibar ni portpal ni visiwa vya watu mchanganyiko karibu ulimwengu wote, iweje akina ALI HASSAN MWINYI, Ngurumo awaseme si wazanzibar mbona huyu mwandishi anatumia kalamu kalamu yake kuibomoa Zanzibar?
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 5 ай бұрын
Ametumwa huyo
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Wewe hujui kitu tulia unacho kiona wewe ni mshahara wako t
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 5 ай бұрын
@@user-et9vf2ro2k Wewe pia unachokiona ni chuki roho mbaya na husda tu ya Kipemba ndio unayoiona ila hahaha Mitano Tena kwa Daktari Hussein Mwinyi kipenzi cha Wazanzibari wanaojielewa
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 5 ай бұрын
Mkereketwa kanena hhhhh
@gangmore9091
@gangmore9091 28 күн бұрын
​@@rajabmsinzia1715 jiseme nafsi yko wa zanzibar wanaojielew ni wale wanaotka mamlaka kamili hayo anayofanya mwinyi n lazima wafenye kama serekali barabara hospital nk hayo majukum yao
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 5 ай бұрын
MIMI SIONI TATIZO HAPO RAISI YUKO VIZURI TU
@ZaitunAbdallah-ol1bb
@ZaitunAbdallah-ol1bb 5 ай бұрын
Muongo hukutaka kujiuzulu muongo
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Eeee we Nani unaejiamini ili na sisi tupate ujasiri
@godsson5954
@godsson5954 5 ай бұрын
UCHAMBUZI UFANYIKE BILA HUO WIMBO(BACKGROUND MUSICS SUCKS)
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 5 ай бұрын
HHHHHHHH IMEFIKA ZAMA WATU NI WAZUR KUWASHAURI WENZA WAO ILA WAO NI NGUMU KUZIKUTA IZO TABIA KUWANAZO😂😂😂😂😂😂😂LAZIMA TUWE WA KWELI😂😂😂😂😂😂
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 5 ай бұрын
Mtu mzima ukizungumza ukiwa umeegemea kitu kama hiyo pulpit ni dalili ya kuongea uongo
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 ай бұрын
😮SHAMTE MPUMBAVU MNAFIKI MUONGO HAJIJUWI WAPI YUPO 😮😮😮😮
@alijuju8697
@alijuju8697 5 ай бұрын
Kwani huyo seif hakuwa muislam? mbona...
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 5 ай бұрын
Zanzibar ni shwari na amani
@machaliakulima76
@machaliakulima76 5 ай бұрын
Ngurumo anachuki sana sana sana na Tanzania
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 5 ай бұрын
Huyu mzee ametumwa
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Alokwambia Nani au kimya cha njaa ndio tunagugumia acha masihara yako wewe
@alexmachare6495
@alexmachare6495 5 ай бұрын
Maswali magumu
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 5 ай бұрын
We mpumbavu huyu ni daktari unayemuongelea ,acha uchochezi unajifanya una akili sana sio, na unaipenda Zanzibar!!!???
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 5 ай бұрын
Ukitaka ujikute matatani basi ujadili suala la Zanzibar kwa akili yako,, utajikuta yule unae mtetea anakubadilikia ,, Sisi wazanzibar hatuna tabia ya chuki za kuendelea, soon utakuja kusikia kitu kuhusu Mwinyi na Wazir simai, ya ngoswe mwachie ngoswe
@Iptysamkihiyo
@Iptysamkihiyo 5 ай бұрын
acheni unafki ni chuki tu
@mohamedally5544
@mohamedally5544 5 ай бұрын
Nahitaji mawasiliano yako mkuu Nina hitaji kuongea nawewe.
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo 5 ай бұрын
Utanipata kwa WhatsApp +46700560797
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es 5 ай бұрын
Akioshwa Kwa Damu ya Yesu atatakata na kung'aa kabisa.
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 5 ай бұрын
Au sio ulijuaje
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es 5 ай бұрын
Imeandikwa ktk Isaiah.1:18.
@Sheba4651
@Sheba4651 5 ай бұрын
​@@rev.livingstoneelihuruma-fk7es Ati damu ya Yesu ! Kwani alitoka damu? Hizo habari za kutoka damu mbona ni uongo, hata Paulo ana shaka nalo. Alisema, aliokolewa, sasa tushike lipi, kuna damu ya Yesu ama aliokolewa? ##Waebrania 5:7
@mrishojuma4695
@mrishojuma4695 5 ай бұрын
Mjinga wewe we mwenyewe hujaoshwa na Yesu kwamaana hakujui Yesu mwenyewe kwamaana humuabudu Mungu Bali unawaabudu wazayuni
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es 5 ай бұрын
Haya ni Maneno ya Hekima, na Hekima ni Mafumbo.Mithali.1:1-7,Tunaweza kutambua kweli Fulani zilizofichwa tkt Maneno ya Hekima Kwa Hekima hiyo hiyo.John.1:29. Tangu kale watu walitumia kafara za wanyama Ili kuondoa khatiya,Nuksi,mikosi,na mabalaa. Na hata Sasa Bado Kuna njia watu wanazitumia.
ZANZIBAR SI SHWARI - 02
13:14
SK Media Online TV
Рет қаралды 10 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
TRUTH: Is Raila a CONMAN?
17:58
Herman Manyora
Рет қаралды 26 М.
MONGELA, RAIS MWANAMKE NA KOSA LA WANAUME
23:01
SK Media Online TV
Рет қаралды 20 М.
ZANZIBAR HAKUJAWA SHWARI: BARAKA SHAMTE KATEKWA, KATESWA
17:26
SK Media Online TV
Рет қаралды 86 М.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 56 М.
#MEDANI ZA SIASA: HASHIM RUNGWE SPUNDA ANATEMA CHECHE
1:29:07
Star TV Habari
Рет қаралды 4,4 М.
NAPE AMESAIDIA WAPINZANI. WAJIPANGE!
8:35
SK Media Online TV
Рет қаралды 45 М.
Doston Ergashev - Kambag'alga (Official Music Video)
5:32
Doston Ergashev
Рет қаралды 5 МЛН
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
3:26
JYP Entertainment
Рет қаралды 57 МЛН
Munisa Rizayeva - Aka makasi (Official Music Video)
6:18
Munisa Rizayeva
Рет қаралды 10 МЛН
Әділет Жауғашар & SUNDET MUSLIM - Бір оқиға [M/V]
3:05
Әділет Жауғашар
Рет қаралды 133 М.
LISA - ROCKSTAR (Official Music Video)
2:48
LLOUD Official
Рет қаралды 131 МЛН
Әбдіжаппар Әлқожа - Ұмыт деме
3:58
Әбдіжаппар Әлқожа
Рет қаралды 938 М.