MWANAJESHI MSTAAFU ZANZIBAR ALIYESHIRIKI KUWAKAMATA WAUAJI wa HAYATI MZEE ABEID KARUME "WALIKIMBIA"

  Рет қаралды 17,564

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 86
@globaltv_online
@globaltv_online 8 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@abunufilaabunufila2152
@abunufilaabunufila2152 8 ай бұрын
We mzee hujaongea ukweli bali uongo uliopitiliza
@madetetv6576
@madetetv6576 7 ай бұрын
Wewe ulikuwepo? Yani unambishia mtu ambaye yupo toka hujazaliwa na qlishuhudia tukio
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 8 ай бұрын
Kaondolewa mkoloni sultani kakabidhiwa mkoloni mtanganyika, kichekesho.
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 6 ай бұрын
Nchi ilikuwa salama mpk alipouliwa mzee Abeid amani karume
@111dudi
@111dudi 17 күн бұрын
Na mpaka kufa kwa waznz, watataliwa .walipojitawala kwa mwezi,waliuana kama kuku.
@saadamar6712
@saadamar6712 8 ай бұрын
Ikiwa mtu mweusi hana thamani mbele ya mtu mweupe. MZEE Ali Hassan alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu. Jee MZEE Mwinyi ni Mweupe??😂😂
@omarali797
@omarali797 7 ай бұрын
Maswali mazuri sana. Sema huyu Mzee Muongo sana. Jumbe ni mswahili mwenye asili ya bara, kama Mapinduzi alikuwa kashafika Makerere na msomi mzuri. Ali Hassan Mwinyi katoka Mkuranga, hakurudi tena, naye kusomeshwa mpaka UK.
@Nedjadist
@Nedjadist 4 ай бұрын
Acha ubaguzi, mkiachiwa wenyewe patakuwa vurugu. Tetea Muungano uboreshwe tu. Angalia Sudan.
@AmerinhoAmour
@AmerinhoAmour 3 ай бұрын
​@@Nedjadist Nawe wataka ushughulikiwe kwa maana huwezi kujiendesha mwenyewe. muangalie mau zinde
@seanmurray6516
@seanmurray6516 8 ай бұрын
Kuna siku mutasimama mbele Ya Allah na kila mtu atahukumiwa kwa kosa lake
@sayidabdillah8505
@sayidabdillah8505 8 ай бұрын
Dhamira yetu ya Zanzibar bado hatujafikia maama maamuzi ya nchi ya Zanzibar bado kabisa hatuamuii sisi wazanzibar tunaamuliwa na watu kutoka tanganyika Kiukweli ameondoka abdallah jamshed amekuja mtanganyika ni vile vile tofauti kwamba jamshed alikuwa ni white race mtu mweupe or mwekindu na mtanganyika ni Black people mtu mweusi Kwa weusi wake mtanganyika na anavyoturawala zanzibar hatuoni km tumetaliwa lakini bado zanzibar tuko chini ya utawala wa tanganyika Huo ndio ukweli Km tanganyika na Africa tunapendana basi ni wazi kuwa tanganyika waiwache zanzibar ijitawale wenyewe katika utambulisho waoo wa taifa huru la afrika
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 6 ай бұрын
Jamshed ni mt wa Oman na dhamira ilikuw kuwaondosh waoman lkn shida imeanza baada y kuuliwa mzee karume km angekuwepo zanzibar ingalijiendesha wenyew ndo maana hotuba ktk hotuba zke alikuw anasema muungano ni km koti
@saadamar6712
@saadamar6712 8 ай бұрын
Ikiwa lengo la kufanya Mapinduzi ni kujitawala na kujiamulia mambo yetu wenyewe. Leo kila unachotaka kufanya lazima waamuwe Tanganyika
@mangofish9079
@mangofish9079 8 ай бұрын
Hivi kila siku unasikia tumedhulumiwa tumefanyiwa hivi na vile hebu wahojini basi au familia zao wahojini ili watoe ushahidi sio porojo tuambieni nani au familia ipi jamaa zao waliuliwa au walifungwa bila ya hatia au walidhulumiwa nk.
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 8 ай бұрын
Babu unajuwa kwamba sasa ni ulafi wa madaraka tu. Wizi Ufisadi dhuluma Mauwaji tu hawana lolote
@globaltv_online
@globaltv_online 8 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@HajiMakame-m8l
@HajiMakame-m8l 8 ай бұрын
Hujuwi kitu babu kuhusu mapinduzi
@abdulhakimjuma9112
@abdulhakimjuma9112 8 ай бұрын
Jaribuni kutuaminisha uongo wenu lakini hatuwaamini tunajuwa nyinyi ni maadai wetu
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 7 ай бұрын
Af hauna ata ushahid wwte uwonqo wao Thanks Allah mitandao iko wazi tunaona kila kitu
@MassoudAlly-c9e
@MassoudAlly-c9e 7 ай бұрын
​@@mussakiziyzi408ni uongo mtupu na ushahidi upo wakutosha tu na mashahidi was kwanza ni wao wenyewe baadhi yao wakitaka kutubia husema ukweli
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 6 ай бұрын
Ww mzee mmewauwa waarabu Sasa ivi ao mlowauwa wanatuletea msaada nyie njaa Kali
@abunufilaabunufila2152
@abunufilaabunufila2152 8 ай бұрын
Mzee muongo sana
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 7 ай бұрын
Kwanini mlifanya mapinduzi ilihali mlishapata uhuru na kujitawa?
@khadijabuberwa3362
@khadijabuberwa3362 4 ай бұрын
Kadama nikamatu mpaka kufa kwako uko kadama
@MWIGAADAM-r3e
@MWIGAADAM-r3e 8 ай бұрын
Mapinduzi yalikuja pinduwa serekali halali ya wazanzibar chini ya uhuru wa muengereza ambao mataifa mbali mbali wanaadhimisha ikiwemo Tanganyika yaliotokea zanzibar ni husda ya karume na Nyerere mungu awalipe kwa matendo yao ila kwann hamkupinduwa wakati wa muengereza???
@gangmore9091
@gangmore9091 8 ай бұрын
Ukweli upo wazi yaliyotokea yanajulikana kila mtu atahukumiwa alichokichuma insha Allah
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 6 ай бұрын
Bora tungetaaliwa na ao waarabu kuliko ngozi yeusi zilizojaa tama maisha magumu sana
@111dudi
@111dudi 17 күн бұрын
John Okello alitawala znz tangu tarehe 12.1.1964 mpaka 3.2.1964. Na znz ikaungana na tanganyika kimabavu 26.4.1964.
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 8 ай бұрын
Dugh kumbe ndio sababu kuu basi Laazima yafanyike mapinduzi mungine maana zenjibar haina mauzi wala haijajitawala inatawaliwa na wageni wa tanganyika
@SaidAbdala-f7p
@SaidAbdala-f7p 25 күн бұрын
Mapibduzi. Masikini mzee. Hata mtoto wa miaka. 10. Atakulani. .Nyerere kajuwa kuwapandisha chuki . Haya sasa .subiri uende kaburini. Utaona kila kitu
@seanmurray6516
@seanmurray6516 8 ай бұрын
Huyu mzee ni muongo na halijui asemalo wakati wa mapinduzi Sultan hakuwapo alikua dar baadae akaenda Mombasa huyu mzee si mzaramo hata hajui asemalo ni chuki tuu.
@lenniefei6710
@lenniefei6710 2 ай бұрын
MULIPINDUA AMA MULIJIPINDUA ?! WAPUUZI WAKUBWA MUTATESEKA HADI YAUMMIL QIYAMA KWA DHULMA MULIZOJIFANYIA KWA MIKONO YENU WENYEWE ! MBONA HAMUKUMPINDUA MUINGEREZA ?!
@fathiyaabdallah4323
@fathiyaabdallah4323 5 ай бұрын
Mhh mzee mbona humuogopi Mwenyezi Mungu unasema uongo mtupu. Au ndo sifa tu. Utajibu mbele ya Alokuumba.
@lawskuli9876
@lawskuli9876 7 ай бұрын
Wauaji wamekamatwa Bubwini mara Mangapwani...mzee anafyatua tu. Pia huyu mzee anaonekana ni "racist"
@jarsjam8894
@jarsjam8894 7 ай бұрын
Maendeleo hakuna labda kuharibiwa wtt wenu ili musiwe na wanaume
@shamsahamdan3274
@shamsahamdan3274 8 ай бұрын
Zamani kulikuwa kuna uchumi mikarafu na minazi sasa tutakula.barabara uchumi nini having.sasa
@abdullkhamis5406
@abdullkhamis5406 7 ай бұрын
Mbona nyinyi wewe mtaangazaji na huyu mzee kwani ni Sultani Gani khasa alie pinduliwa. Kwani Serikali ya Shamte ilikueko wapi au lini. Wacheni Kupotosha tafuteni elimu na mujifunze.
@salimbinshaks1385
@salimbinshaks1385 8 ай бұрын
Ww mbwa wachauwongo unachoulizwa sicho unachojibu mlipiga watu nakuwauwa hiyondiyo dhambi muliyoifanya lakini kumbukeni iposiku itafika
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Mtangazaji kashikilia kumpindua sutltan. Kwani sultan ndo alokuwa na serekali.
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 8 ай бұрын
😮 MWENYEZI MUNGU ANAKUONESHA UJAHIL NA UNAFIKI WAKO ULIOUFANYA TUBU KWA MOLA WAKO 😮😮😮
@111dudi
@111dudi 17 күн бұрын
Shule zilizojengwa na waingereza, ziliwasomesha waznz weusi kwa ada ya chini kuliko waarabu na waasia
@hafidhali3020
@hafidhali3020 3 ай бұрын
Mzee umri huo bado wafurahia udhalim,na bahati mbaya kabisa na nyinyi mmetawaliwa na Tanganyika
@hajiameir8688
@hajiameir8688 5 ай бұрын
Nyinyi wazee mmetuingiza mkenge mmegoma kutawaliwa na sultani ni sawa cha ajabu mmeenda kutawaliwa na tanganganyika inakuwaje? Hayo unayoyazungumza ni uongo na uzushi saivi mmebaki kuongozwa na kanisa
@mohammedbakar4142
@mohammedbakar4142 5 ай бұрын
Mzee acha na hiyo story humoud kauliwa na dereva wa mzee Abeid Amani Karume alikuwa anatoka ndani kinyume nyume
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 7 ай бұрын
Sultan Katawala mwezi mmoja tokea muengereza kuondoka , madhila gani yalofanyika ndani ya mwezi mmoja. Na kwanini hawakuuwa wazungu ambao ni weupe zaidi ambao hata mmoja hajaguswa na wahindi ? Chuki , tamaa ya mali na madaraka ndio zilizofanya watu wauwane
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Ntangazaji weka sewa utawala wa sultan wa Muhammed shamte .lkn je Shamte hakuwa muafrika.
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 8 ай бұрын
Wazee Sisi vijana Bado tutaendelea kuwalaumu sana mlikua na dhamira njema sana ya kufanya mapinduzi ila kwann mkatuingiza tena Ktk Domo la Tanganyika bado dhamira ya kujitawala na kufanya mambo yetu wenyewe haijapatikana maana hatupo huru
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 6 ай бұрын
Tusiwalaum sana Wazee kwasbb mambo yaliharibik baada ya kuuliwa mzee Abeid aman karume kwasbb km utaskiliza hotuba zake alikuw anasema muungano ni km koti unaweza kulivua dhamira yke ilikuw nzuri lkn kuna wtu waliomsaliti ndo maana akauliwa
@humoudseyd7310
@humoudseyd7310 8 ай бұрын
Mzeeee muongo hajuwi chochote anafyatuwa tu...anyway kwani saivi mejitawala nbona raisi wenu anachqguliwa na Nchi nyengine tanganyika Dodomaaaaaa tafauti yake nini sasa umeina wapi nchi ilojitawala na haina maamuzi wala bendera umoja wa mataifa tafuta history kwa mtu sahihi huyu mzee anataka anekane kwenye TV tu
@salimbinshaks1385
@salimbinshaks1385 8 ай бұрын
Narudi tena ww mbwa wacha uwongo mapinduzi haipo muda nayo pia imepinduliwa na tanganyika ukifanya dhambi na ww utafanyiwa hayo nimaneno ya allah
@abdullkhamis5406
@abdullkhamis5406 7 ай бұрын
Huu ni Upuuzi Mtupu. Hebu jitathminini.
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Ananitawla muafrika mwenzangu ,yupi Karume,Mfaranyaki,Aboud jumbe,Antoni kisasi,Bakari jabu,Hamisi nyuni,Saidi washoto woote watwana kina Kaujore ? Hawa ndo wazanzibar ?
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 6 ай бұрын
Zanzibar imetawaliw na masultan 12 je hawa wote ni wazanzibar????
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 6 ай бұрын
Sultan wte walotawala zanzibar ni wazanzibar???
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Huyu mzeee muongo wa mwishoooooooooooo.
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Hajui loloote pumba huyu.
@hafidhali3020
@hafidhali3020 3 ай бұрын
Mzee mwenyewe hajuwi anaekula wala anapolala shati alilovaa nongo tupu huyu mzee ni homeless
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 6 ай бұрын
Duuuuh mdomo wangu
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 5 ай бұрын
Urongo mtupu. Huwezi kutaja mapinduzi bila john Gideon Okello ukawa sahihi. Haya hayakuwa mapinduzi bali kusalitiana ambapo Okello aliwasaidia lakini wakamsaliti
@surusuru1994
@surusuru1994 8 ай бұрын
Wamesikia wa Zanziba mana huya wanajifanya mindomo mireefu polen saaan kwkubaguliwa na hongeren pia kw mpiduzi
@mangofish9079
@mangofish9079 8 ай бұрын
Hivi kila siku unasikia tumedhulumiwa tumefanyiwa hivi na vile hebu wahojini basi au familia zao wahojini ili watoe ushahidi sio porojo tuambieni nani au familia ipi jamaa zao waliuliwa au walifungwa bila ya hatia au walidhulumiwa nk.
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 8 ай бұрын
Tito Okello mbona hatajwi.
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 5 ай бұрын
Okelo alikuwa stering mwamba
@selecohabeeb6658
@selecohabeeb6658 8 ай бұрын
Muongo miaka 22 ndani ya Jeshi umeondoka.bila ya cheo.......basi.ulikuuwa konda.....towa supporting documents kama.kweli Ulikuwa.jeshi...record zako.zitakuwrpo....lier pants on fire
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 7 ай бұрын
Sasa mnajitawala?au mnatawaliwa?mbona bado mko chini mnatawaliwa?sultan aliwa achia Nchi kwa hiyari na mazungumzo nasio kushika silaha, mapinduzi yamefanyika kuwa ondoa wazanzibari wenzenu nyie kwa nyie, msitudanganye ati mapinduzi kumuondoa Sultan, Sultan alishawakabidhini Nchi yenu kwa amani
@NAFTALIMUNDANGA
@NAFTALIMUNDANGA 7 ай бұрын
Kikowapi sasa! Umeua wenzako sasa ona ulivyo dhalili. Nan anayekujali? Jifunzeni mlio na nasafi leo
@AllyHamran
@AllyHamran 6 ай бұрын
Ntangazaji weka sewa utawala wa sultan wa Muhammed shamte .lkn je Shamte hakuwa muafrika.
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 8 ай бұрын
😮HAKUNA MSHTUKO WOWOTE WEWE COMMANDO ULIKUWAPO WAPI WACHA KUSEMA UWONGO UMELAANIKA KAMA BARAKATI SHAMTE.😮
@aminattai2676
@aminattai2676 8 ай бұрын
Uyo ushawishi ndio unamponza hakushiriki na hajui lolote,watu walikua kumi na sita tu itakuwaje asiwakumbuke muongo anajaribu kutakafuta umaarufu tu.hata wachezaji wa mpira miaka iyo ukiwauliza wanakumbukana wote itakuwa wauwaji wasikumbukane vipi
@MassoudAlly-c9e
@MassoudAlly-c9e 7 ай бұрын
Nyie mtatudanganya mpaka lini sulatani gani alie pinduliwa mbona kila siku mna tuletea viini macho tu
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 8 ай бұрын
JEMEDARI GANI MTU WA MALAWI WACHA KUSEMA UWONGO MAJAMBAZI YAMEWAUWA WAZANZIBARI 😮😮
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 5 ай бұрын
Wewe mtu mzima lakini huna lolote kidhab waheed
@ashaali7506
@ashaali7506 8 ай бұрын
Nimefurahi umemtaja humoud umesem ukweli ila umeficha kdg
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 8 ай бұрын
😮WEWE UMO TUU HUJIJUWI MUUWAJI WA WAZANZIBARI NA YEYE KAULIWA MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU WANAFIKI MADHALIM WEZI WAONGO HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN.
@jarsjam8894
@jarsjam8894 7 ай бұрын
Sie karume alopindua Nyerere ndie alopindua na mpaka Leo muko chini ya bara nyooni mnauliwa ovyo
@jarsjam8894
@jarsjam8894 7 ай бұрын
Walishirikiana na Nyerere kumuuwa karume yuleyule alomsaidia mapinduzi
@Msomali-o7f
@Msomali-o7f 8 ай бұрын
Ukoloni bado upo jeshi jeshi jeshi mstaaf
@elioimer8423
@elioimer8423 7 ай бұрын
Muulize hivi :- Zanzibari au Wazanzibari wana jeshi bado?
@Msomali-o7f
@Msomali-o7f 8 ай бұрын
Mmmmmh
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,1 МЛН
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 29 МЛН
Siti Bint Saad nyota ya Zanzibar
2:57
DW Kiswahili
Рет қаралды 26 М.
UKWELI WA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MWANDISHI WA MZEE KARUME
34:57
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
HISTORIA Ya KARUME, Rais Aliyezawadiwa  KIFO Kwa WEMA Wake!
22:09
Global TV Online
Рет қаралды 598 М.
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 431 М.
MWANDISHI WA HABARI WA MZEE KARUME AILILIA ZANZIBAR
36:02
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 26 М.
HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
18:44
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,1 МЛН