Nchi ilikuwa salama mpk alipouliwa mzee Abeid amani karume
@111dudi17 күн бұрын
Na mpaka kufa kwa waznz, watataliwa .walipojitawala kwa mwezi,waliuana kama kuku.
@saadamar67128 ай бұрын
Ikiwa mtu mweusi hana thamani mbele ya mtu mweupe. MZEE Ali Hassan alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu. Jee MZEE Mwinyi ni Mweupe??😂😂
@omarali7977 ай бұрын
Maswali mazuri sana. Sema huyu Mzee Muongo sana. Jumbe ni mswahili mwenye asili ya bara, kama Mapinduzi alikuwa kashafika Makerere na msomi mzuri. Ali Hassan Mwinyi katoka Mkuranga, hakurudi tena, naye kusomeshwa mpaka UK.
@@Nedjadist Nawe wataka ushughulikiwe kwa maana huwezi kujiendesha mwenyewe. muangalie mau zinde
@seanmurray65168 ай бұрын
Kuna siku mutasimama mbele Ya Allah na kila mtu atahukumiwa kwa kosa lake
@sayidabdillah85058 ай бұрын
Dhamira yetu ya Zanzibar bado hatujafikia maama maamuzi ya nchi ya Zanzibar bado kabisa hatuamuii sisi wazanzibar tunaamuliwa na watu kutoka tanganyika Kiukweli ameondoka abdallah jamshed amekuja mtanganyika ni vile vile tofauti kwamba jamshed alikuwa ni white race mtu mweupe or mwekindu na mtanganyika ni Black people mtu mweusi Kwa weusi wake mtanganyika na anavyoturawala zanzibar hatuoni km tumetaliwa lakini bado zanzibar tuko chini ya utawala wa tanganyika Huo ndio ukweli Km tanganyika na Africa tunapendana basi ni wazi kuwa tanganyika waiwache zanzibar ijitawale wenyewe katika utambulisho waoo wa taifa huru la afrika
@martedimohamed63276 ай бұрын
Jamshed ni mt wa Oman na dhamira ilikuw kuwaondosh waoman lkn shida imeanza baada y kuuliwa mzee karume km angekuwepo zanzibar ingalijiendesha wenyew ndo maana hotuba ktk hotuba zke alikuw anasema muungano ni km koti
@saadamar67128 ай бұрын
Ikiwa lengo la kufanya Mapinduzi ni kujitawala na kujiamulia mambo yetu wenyewe. Leo kila unachotaka kufanya lazima waamuwe Tanganyika
@mangofish90798 ай бұрын
Hivi kila siku unasikia tumedhulumiwa tumefanyiwa hivi na vile hebu wahojini basi au familia zao wahojini ili watoe ushahidi sio porojo tuambieni nani au familia ipi jamaa zao waliuliwa au walifungwa bila ya hatia au walidhulumiwa nk.
@EshaHamd-ed9yv8 ай бұрын
Babu unajuwa kwamba sasa ni ulafi wa madaraka tu. Wizi Ufisadi dhuluma Mauwaji tu hawana lolote
@globaltv_online8 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@HajiMakame-m8l8 ай бұрын
Hujuwi kitu babu kuhusu mapinduzi
@abdulhakimjuma91128 ай бұрын
Jaribuni kutuaminisha uongo wenu lakini hatuwaamini tunajuwa nyinyi ni maadai wetu
@mussakiziyzi4087 ай бұрын
Af hauna ata ushahid wwte uwonqo wao Thanks Allah mitandao iko wazi tunaona kila kitu
@MassoudAlly-c9e7 ай бұрын
@@mussakiziyzi408ni uongo mtupu na ushahidi upo wakutosha tu na mashahidi was kwanza ni wao wenyewe baadhi yao wakitaka kutubia husema ukweli
@KijukuuMtemi6 ай бұрын
Ww mzee mmewauwa waarabu Sasa ivi ao mlowauwa wanatuletea msaada nyie njaa Kali
@abunufilaabunufila21528 ай бұрын
Mzee muongo sana
@aairraahseif56487 ай бұрын
Kwanini mlifanya mapinduzi ilihali mlishapata uhuru na kujitawa?
@khadijabuberwa33624 ай бұрын
Kadama nikamatu mpaka kufa kwako uko kadama
@MWIGAADAM-r3e8 ай бұрын
Mapinduzi yalikuja pinduwa serekali halali ya wazanzibar chini ya uhuru wa muengereza ambao mataifa mbali mbali wanaadhimisha ikiwemo Tanganyika yaliotokea zanzibar ni husda ya karume na Nyerere mungu awalipe kwa matendo yao ila kwann hamkupinduwa wakati wa muengereza???
@gangmore90918 ай бұрын
Ukweli upo wazi yaliyotokea yanajulikana kila mtu atahukumiwa alichokichuma insha Allah
@KijukuuMtemi6 ай бұрын
Bora tungetaaliwa na ao waarabu kuliko ngozi yeusi zilizojaa tama maisha magumu sana
@111dudi17 күн бұрын
John Okello alitawala znz tangu tarehe 12.1.1964 mpaka 3.2.1964. Na znz ikaungana na tanganyika kimabavu 26.4.1964.
@labunaabouna61228 ай бұрын
Dugh kumbe ndio sababu kuu basi Laazima yafanyike mapinduzi mungine maana zenjibar haina mauzi wala haijajitawala inatawaliwa na wageni wa tanganyika
@SaidAbdala-f7p25 күн бұрын
Mapibduzi. Masikini mzee. Hata mtoto wa miaka. 10. Atakulani. .Nyerere kajuwa kuwapandisha chuki . Haya sasa .subiri uende kaburini. Utaona kila kitu
@seanmurray65168 ай бұрын
Huyu mzee ni muongo na halijui asemalo wakati wa mapinduzi Sultan hakuwapo alikua dar baadae akaenda Mombasa huyu mzee si mzaramo hata hajui asemalo ni chuki tuu.
@lenniefei67102 ай бұрын
MULIPINDUA AMA MULIJIPINDUA ?! WAPUUZI WAKUBWA MUTATESEKA HADI YAUMMIL QIYAMA KWA DHULMA MULIZOJIFANYIA KWA MIKONO YENU WENYEWE ! MBONA HAMUKUMPINDUA MUINGEREZA ?!
@fathiyaabdallah43235 ай бұрын
Mhh mzee mbona humuogopi Mwenyezi Mungu unasema uongo mtupu. Au ndo sifa tu. Utajibu mbele ya Alokuumba.
@lawskuli98767 ай бұрын
Wauaji wamekamatwa Bubwini mara Mangapwani...mzee anafyatua tu. Pia huyu mzee anaonekana ni "racist"
@jarsjam88947 ай бұрын
Maendeleo hakuna labda kuharibiwa wtt wenu ili musiwe na wanaume
@shamsahamdan32748 ай бұрын
Zamani kulikuwa kuna uchumi mikarafu na minazi sasa tutakula.barabara uchumi nini having.sasa
@abdullkhamis54067 ай бұрын
Mbona nyinyi wewe mtaangazaji na huyu mzee kwani ni Sultani Gani khasa alie pinduliwa. Kwani Serikali ya Shamte ilikueko wapi au lini. Wacheni Kupotosha tafuteni elimu na mujifunze.
@salimbinshaks13858 ай бұрын
Ww mbwa wachauwongo unachoulizwa sicho unachojibu mlipiga watu nakuwauwa hiyondiyo dhambi muliyoifanya lakini kumbukeni iposiku itafika
@AllyHamran6 ай бұрын
Mtangazaji kashikilia kumpindua sutltan. Kwani sultan ndo alokuwa na serekali.
@abdulrahmansalim97738 ай бұрын
😮 MWENYEZI MUNGU ANAKUONESHA UJAHIL NA UNAFIKI WAKO ULIOUFANYA TUBU KWA MOLA WAKO 😮😮😮
@111dudi17 күн бұрын
Shule zilizojengwa na waingereza, ziliwasomesha waznz weusi kwa ada ya chini kuliko waarabu na waasia
@hafidhali30203 ай бұрын
Mzee umri huo bado wafurahia udhalim,na bahati mbaya kabisa na nyinyi mmetawaliwa na Tanganyika
@hajiameir86885 ай бұрын
Nyinyi wazee mmetuingiza mkenge mmegoma kutawaliwa na sultani ni sawa cha ajabu mmeenda kutawaliwa na tanganganyika inakuwaje? Hayo unayoyazungumza ni uongo na uzushi saivi mmebaki kuongozwa na kanisa
@mohammedbakar41425 ай бұрын
Mzee acha na hiyo story humoud kauliwa na dereva wa mzee Abeid Amani Karume alikuwa anatoka ndani kinyume nyume
@mhogomchungu71687 ай бұрын
Sultan Katawala mwezi mmoja tokea muengereza kuondoka , madhila gani yalofanyika ndani ya mwezi mmoja. Na kwanini hawakuuwa wazungu ambao ni weupe zaidi ambao hata mmoja hajaguswa na wahindi ? Chuki , tamaa ya mali na madaraka ndio zilizofanya watu wauwane
@AllyHamran6 ай бұрын
Ntangazaji weka sewa utawala wa sultan wa Muhammed shamte .lkn je Shamte hakuwa muafrika.
@Lundege_Hips8 ай бұрын
Wazee Sisi vijana Bado tutaendelea kuwalaumu sana mlikua na dhamira njema sana ya kufanya mapinduzi ila kwann mkatuingiza tena Ktk Domo la Tanganyika bado dhamira ya kujitawala na kufanya mambo yetu wenyewe haijapatikana maana hatupo huru
@martedimohamed63276 ай бұрын
Tusiwalaum sana Wazee kwasbb mambo yaliharibik baada ya kuuliwa mzee Abeid aman karume kwasbb km utaskiliza hotuba zake alikuw anasema muungano ni km koti unaweza kulivua dhamira yke ilikuw nzuri lkn kuna wtu waliomsaliti ndo maana akauliwa
@humoudseyd73108 ай бұрын
Mzeeee muongo hajuwi chochote anafyatuwa tu...anyway kwani saivi mejitawala nbona raisi wenu anachqguliwa na Nchi nyengine tanganyika Dodomaaaaaa tafauti yake nini sasa umeina wapi nchi ilojitawala na haina maamuzi wala bendera umoja wa mataifa tafuta history kwa mtu sahihi huyu mzee anataka anekane kwenye TV tu
@salimbinshaks13858 ай бұрын
Narudi tena ww mbwa wacha uwongo mapinduzi haipo muda nayo pia imepinduliwa na tanganyika ukifanya dhambi na ww utafanyiwa hayo nimaneno ya allah
@abdullkhamis54067 ай бұрын
Huu ni Upuuzi Mtupu. Hebu jitathminini.
@AllyHamran6 ай бұрын
Ananitawla muafrika mwenzangu ,yupi Karume,Mfaranyaki,Aboud jumbe,Antoni kisasi,Bakari jabu,Hamisi nyuni,Saidi washoto woote watwana kina Kaujore ? Hawa ndo wazanzibar ?
@martedimohamed63276 ай бұрын
Zanzibar imetawaliw na masultan 12 je hawa wote ni wazanzibar????
@martedimohamed63276 ай бұрын
Sultan wte walotawala zanzibar ni wazanzibar???
@AllyHamran6 ай бұрын
Huyu mzeee muongo wa mwishoooooooooooo.
@AllyHamran6 ай бұрын
Hajui loloote pumba huyu.
@hafidhali30203 ай бұрын
Mzee mwenyewe hajuwi anaekula wala anapolala shati alilovaa nongo tupu huyu mzee ni homeless
@yusufuheri65246 ай бұрын
Duuuuh mdomo wangu
@nkwazigatsha5 ай бұрын
Urongo mtupu. Huwezi kutaja mapinduzi bila john Gideon Okello ukawa sahihi. Haya hayakuwa mapinduzi bali kusalitiana ambapo Okello aliwasaidia lakini wakamsaliti
@surusuru19948 ай бұрын
Wamesikia wa Zanziba mana huya wanajifanya mindomo mireefu polen saaan kwkubaguliwa na hongeren pia kw mpiduzi
@mangofish90798 ай бұрын
Hivi kila siku unasikia tumedhulumiwa tumefanyiwa hivi na vile hebu wahojini basi au familia zao wahojini ili watoe ushahidi sio porojo tuambieni nani au familia ipi jamaa zao waliuliwa au walifungwa bila ya hatia au walidhulumiwa nk.
@johnkiimbila67998 ай бұрын
Tito Okello mbona hatajwi.
@alialamoudi97295 ай бұрын
Okelo alikuwa stering mwamba
@selecohabeeb66588 ай бұрын
Muongo miaka 22 ndani ya Jeshi umeondoka.bila ya cheo.......basi.ulikuuwa konda.....towa supporting documents kama.kweli Ulikuwa.jeshi...record zako.zitakuwrpo....lier pants on fire
@aairraahseif56487 ай бұрын
Sasa mnajitawala?au mnatawaliwa?mbona bado mko chini mnatawaliwa?sultan aliwa achia Nchi kwa hiyari na mazungumzo nasio kushika silaha, mapinduzi yamefanyika kuwa ondoa wazanzibari wenzenu nyie kwa nyie, msitudanganye ati mapinduzi kumuondoa Sultan, Sultan alishawakabidhini Nchi yenu kwa amani
@NAFTALIMUNDANGA7 ай бұрын
Kikowapi sasa! Umeua wenzako sasa ona ulivyo dhalili. Nan anayekujali? Jifunzeni mlio na nasafi leo
@AllyHamran6 ай бұрын
Ntangazaji weka sewa utawala wa sultan wa Muhammed shamte .lkn je Shamte hakuwa muafrika.
Uyo ushawishi ndio unamponza hakushiriki na hajui lolote,watu walikua kumi na sita tu itakuwaje asiwakumbuke muongo anajaribu kutakafuta umaarufu tu.hata wachezaji wa mpira miaka iyo ukiwauliza wanakumbukana wote itakuwa wauwaji wasikumbukane vipi
@MassoudAlly-c9e7 ай бұрын
Nyie mtatudanganya mpaka lini sulatani gani alie pinduliwa mbona kila siku mna tuletea viini macho tu
@abdulrahmansalim97738 ай бұрын
JEMEDARI GANI MTU WA MALAWI WACHA KUSEMA UWONGO MAJAMBAZI YAMEWAUWA WAZANZIBARI 😮😮
@muhammednassor35695 ай бұрын
Wewe mtu mzima lakini huna lolote kidhab waheed
@ashaali75068 ай бұрын
Nimefurahi umemtaja humoud umesem ukweli ila umeficha kdg
@abdulrahmansalim97738 ай бұрын
😮WEWE UMO TUU HUJIJUWI MUUWAJI WA WAZANZIBARI NA YEYE KAULIWA MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU WANAFIKI MADHALIM WEZI WAONGO HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN.
@jarsjam88947 ай бұрын
Sie karume alopindua Nyerere ndie alopindua na mpaka Leo muko chini ya bara nyooni mnauliwa ovyo
@jarsjam88947 ай бұрын
Walishirikiana na Nyerere kumuuwa karume yuleyule alomsaidia mapinduzi
@Msomali-o7f8 ай бұрын
Ukoloni bado upo jeshi jeshi jeshi mstaaf
@elioimer84237 ай бұрын
Muulize hivi :- Zanzibari au Wazanzibari wana jeshi bado?