Tz inalia😭, kila mtu amekatwa mkia, wapinzani hata wana CCM.Tz inalia😭😭
@anuaryally61775 жыл бұрын
Analia nani labda wehu
@davidkaguru95115 жыл бұрын
Mccm bila police na tume feki ya uchaguzi hakuna kitu
@anuaryally61775 жыл бұрын
Uyo zitto aliupataje ubunge kama tume sio huru
@fatmahamad21565 жыл бұрын
@@anuaryally6177 kwa mbinde,na kawa na umakini mkumbwa LA si civyo asingeupata ng'ooo
@mwimbajinamwalimujaphetgeo17185 жыл бұрын
Kilio chenu kimefika mbinguni
@husseinkonz51925 жыл бұрын
Hakuna lolote nyie mnapelekesha mzee wawatu nyie
@yasinmagayu53815 жыл бұрын
msaka tonge tumekuchoka kukusikiliza
@jumamohamed31685 жыл бұрын
JISIMEE WEWE NAFSI YAKO ,WALA USIISEMEE NAFSI YA WENGINE ,SEMA MIMI NIMECHOKA KUKUSIKILIZA WALA USISEME TUMECHOKA KUKUSIKILIZA .
@bedamichael71035 жыл бұрын
Umeanza kampeni,mwanga mkubwa!
@frankhoffa83565 жыл бұрын
Huyu ni mwanga kama alivo mwanga Magufuli
@majeshiuzenza87215 жыл бұрын
Unahangaikia tumbo lako TU
@fatmahamad21565 жыл бұрын
Hakuna asiehangaikia tumbo ,hata ww,na km wanahangaika na tumbo lake,sio uo ubunge alonao si mdogo wa kupiga hela,angetulia tuu,lkn kaona wananchi wapo kwenye shida ndo kajitoa muhanga,
@zunyagapeter46475 жыл бұрын
Nabado rais anatakiwa akaze kabx hapo bado Sana
@ndarogamba1915 жыл бұрын
Wewe utakuwa zwazwa lazima🐊💪💉
@ototek80375 жыл бұрын
@@ndarogamba191 zwzw kivp..akaze tu tumechoka siasa. Hapa kazi tu, hali haiwezi kuwa bora kuboresha siasa ..wanaolia ni wale wakwepa kodi na wavivu na mafisadi hasa waccm. mzee magu akaze hadi wajinga kama ww wote mpate akili..shenz
@mohamedothman97695 жыл бұрын
@@ototek8037 ww ni mK
@elivinuskatunzi63115 жыл бұрын
Huna akiri ww
@gimpengigi37175 жыл бұрын
Pumbuvu ww mwenyew huna kitu unabwatuka bwatuka tu
@reginaldmapunda67025 жыл бұрын
Wako watu walimchoka hata Baba waTaifabila bila hata sababu yeyote ile ; lakini Leo wanamkumbuka na wanamheshimu na hata hiyo CCM ikitoka kwa kuchokwa tu basi mtaikumbuka mno hasa kama vyama vyenyewe tunavyovitegemea ndio hivi vya hovyohovyo na vinavyowatumikia vibaraka wa ubeberu. Viongozi wengi wa upinzani mnatafuta fursa za kuchumia matumbo yenu na hicho ndicho kinachowasumbua ili mpate kulipwa na hao watu wenu. Kama wapo watanzania walioichoka CCM ya Leo ni wale walionyang'anywa tonge mdomoni. Shibe ni mwanamalevya na thamani ya kitu huonekana wakati kikiwa kimekutoka. Kama vyama vyenyewe ndio hivi vyenye udictator ,vinanyanyasa na vina ubinafsi sitegemei maendeleo yeyote. Heri kubaki na CCM.
@mwanunukiyungi84875 жыл бұрын
Wewe umewasoma vizuri na ukitaka kuhakikisha hilo tazama Mbunge anapopata Ubunge tu anahama mji.
@hassanjomaa23135 жыл бұрын
Hahaha utavaa mpaka mairizi kiunoni tushawazoeya nyinyi nyumbu ccm oyeeeeeeeee
@yonabilshan64245 жыл бұрын
Iq yako ndogo
@elivinuskatunzi63115 жыл бұрын
Naamin huna akiri
@hassanjomaa23135 жыл бұрын
Mtaondoka nyinyi muiache ccm wacha waondoke
@mohammedvuai69045 жыл бұрын
Hassan Jomaa
@rehemadani36005 жыл бұрын
Kunabaadhi yakenge mnaoshabikia shabikia ccm kwaajili mama zenu wapewa kazi yakufanya usafi kwenye ofsi ya zavibaraka
Wasiokuelewa ni wacahe sana tena wale ndumila kuwili
@frankmombo94875 жыл бұрын
Nabadoooo hadi upumulie Oxgen
@jumasalumu35045 жыл бұрын
Zito. Mmeanza. Kampeni. Usiku kucha. Sisi. Tunawaona wewe. Unapenda. Vita. Lakini. Wew. Hutakuwepo watu wenu so mnawauwa wenyewe
@MohamedAhmed-ix3mf5 жыл бұрын
Ccm mafundisho yake yamo kitabuni hayafuatwi kama viongozi wao wangekua waadilifu si chama kibaya tatizo utekelezaji ni zero sisi hapa sharifu shamba kuanzia ngazi ya wajumbe mpaka wenyeviti ni rushwa tupu milori inapakia mizigo na kupakUa mizogo masaa 24 ni kero kubwa kwetu kila tukilalamika hatusikilizwi
@imranmaofa5655 жыл бұрын
frank mombo angalia sana ucje ukwa umelala bila kuamka maana unamuua mwezio wakat ww hujijui lini
@antipaschaulo28435 жыл бұрын
Hakika Magufuli ameleta mapinduzi ambayo upinzani wajipange vizuri la sivyo watamuongezea umaarufu JPM maradufu. Kinachoonekana kwa Zito ni njaa tu