Asante Mzee wangu Kimiti Mungu azidi kukubariki nimeipenda hiyo tatetitotu uko vizuri sana kwenye katekisimu hasa mizizi ya dhambi (Bene Dixie) well spoken baba
@francismigongwa41462 ай бұрын
Atukuzwe Mungu milele
@edwardmakonge33713 жыл бұрын
Mzee kimiti ni yule yule,miaka ya sitini na kitu,alikuwa ukiriguru,tukiimba naye kwaya.lakini hadi leo anaendelea kumuhudumia mungu kule parokia ya ununio.mungu aendelee kukubariki.