Рет қаралды 2,847
Mwanasiasa mkongwe na mhudumu wa wizara mbili tofauti katika kipindi cha utumishi wake serikalini, Shamim Khan si jina geni kwa watanzania hususani watu wazima wenye umri wa zaidi ya miaka 50.
Je, ni nani Shamim Khan? Wizara zipi alizohudumu?
Ungana na Jaafar Mponda kufahamu mengi zaidi ndani ya ZUMARI.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz